Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #261
Hawa ni wale ambao wapo karibu yako au ndani kwako, kumbuka hawa viumbe wanaishi pamoja na binadamu japo hatuwaoniKwa hawa wanakuja kupiga misele tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni wale ambao wapo karibu yako au ndani kwako, kumbuka hawa viumbe wanaishi pamoja na binadamu japo hatuwaoniKwa hawa wanakuja kupiga misele tu
OkHawa sio wa kuleta pesa, ukitaka pesa zipo njia nyingine za kufanya pamoja na kutoa kafara za damu ili wakija uwape.
Hawa wasafi njia si ndiyo hiyo ya kisomo, ama kuna njia mingine??Wanaotaka kafara ya damu ni wachafu.
Wasafi huwa hawataki kitu.
Hii ni kama demo ama mfano.Teh teh teh hilo radi sasa 😹😹😹
Nyumba zenyewe mafundi walipunja cement si balaa zito hilo.?!!
Kama ni washkaji hivi mbona wanidhuru?Hawa ni wale ambao wapo karibu yako au ndani kwako, kumbuka hawa viumbe wanaishi pamoja na binadamu japo hatuwaoni
Ni hiyo tu mkuu.Hawa wasafi njia si ndiyo hiyo ya kisomo, ama kuna njia mingine??
Hallelujah!!!
Nitaweka sawa vyote. Hakuna matata.Ni hiyo tu mkuu.
Tafuta nguo nyeupe ama kanzu,uvumba/jawi,ubani zuhra,udi wa Shivam na mshumaa mwekundu unatosha.
Pia usome usiku wa kiza kikali kuanzia saa 6 mpaka saa 9 isifike alfajri.
Usiku huu huu nitaku PM nikurushie.
Angalizo usiziweke exposed hizo karatasi ni hatari.
Pia uandike katika karatasi nyeupe kwa wino mweusi au mwekundu itapendeza zaidi.
We chill bro si umesema kiarabu unajua?
Usiku huu huu PM mzigo unaingia.
Kuwa karibu sio kwamba ni washkaji, hao wanaishi na kufanya mambo yao na pia wengine hukaa ndani ya nyumba kabisaKama ni washkaji hivi mbona wanidhuru?
Njia yoyote ambayo haimkufuru Mungu waweza kutumia ilimradi ufanikiwe the bad thing is to die broke while there's a lot of ways to make money.
Masharifu ni watu gani?Masharifu ndyo niliwakataa tangu mwanzo, nikaona afadhali nitumie kizungu
Sio watu, ni majiniMasharifu ni watu gani?
😹😹😹 huyo km naagin hatishi bana.!!Hii ni kama demo ama mfano.
Huwa wanakuja kwa mfanano wa hivi chini wakipasua ardhi kutokeza juu.
Kuna anayekuja nusu mtu nusu nyoka,na kuna anayekuja full nyoka na kubadilika akishakusogelea karibu.
Usithubutu kukimbia ukimuona ni sawa umemdharau.
Wengine wanakua na upepo mkali zungusha duara la chumvi na katikati tengeneza nyota kwa chumvi au sembe. View attachment 3045664View attachment 3045665chumvi au sembe.
Unalala mno mwenzio nimecheka mpk mbavu zimeuma 😹😹😹😁😁😁 nimeupenda huu uzi una kitu cha muhimu sna lakin.
Sema huyu jamaa nimchunguzi wa mambo mno huwa nafuatilia nyuzi zake kwa ukaribu mno huenda akaja kugundua kitu😁Unalala mno mwenzio nimecheka mpk mbavu zimeuma 😹😹😹
Mkuu itabidi tushirikiane kugundua jambo letu 😁Sema huyu jamaa nimchunguzi wa mambo mno huwa nafuatilia nyuzi zake kwa ukaribu mno huenda akaja kugundua kitu😁
Hahaha mimi huo uwezo sioni kama ninaoMkuu itabidi tushirikiane kugundua jambo letu 😁