Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Niliyoyaona baada ya kuita roho za giza kwa kutumia OUJIA board (don't try this at home)

Mkuu hii ni Siri yangu binafsi kwa sababu nilichaapa kuwa siwezi kutoa Siri.

tafuta maarifa utafunuliwa na kuishi kwa uhuru katika huu ulimwengu utajifunza mambo mengi Sana.
Mkuu hayo marriage wapi yanapatikana labda unaweza kutusaidia na sisi tukajifunza kama hutajali
 
Hii inaitwa tahsin suffly.
Kazi yake ni kukukinga na mashetani,vibwengo,majini ya aina yeyote dhidi ya uchafu wao na internal power yao.
Ukisoma mara 3 inadumu kwa muda wa masaa 12 ukisoma mara 7 inadumu kwa muda wa masaa 24.
Na unaisoma ukiwa nyumbani au sehemu yoyote tu?
 
Mr. Manson

SIku zote unapo taka kufanya jambo lako hasa nguvu za Giza basi iwe siri yako,

nitakupa kanuni ambazo jamii kubwa za Giza ulimwenguni na hatari hutumia kwa mfano FREEMASONRY, BILDERBERG, CABAL, ILLUMINATI, SKULL AND BONES, na kadhalika...


1. Tafuta kwanza maarifa kuhusu ulimwengu wa Giza

2. unatakiwa kuwa msafi kimwili, usinywe pombe, bangi sigara au kilevi chochote

3. Unatakiwa kujua unaita nini katika ulimwengu huo

4. Ongea lugha yako kwa sababu majini Wana uwezo wa kuongea lugha yeyote duniani

5. Hii ndio muhimu hutakiwi kuwa mwoga kwa sababu ukiwa mwoga wanajua na haitakiwi huna Imani wataondoka na roho yako utakufa tu ukifanya masihara kwa sababu hizo ni falme zenye nguvu Sana Sana Sana
kila la kheri mkuu mengine siruhusiwi kabisa kukuambia kwa sababu wewe sio mwanachama.
Kumbe mna chama kabisa Huwa mnalala vizuri usiku?
 
Hakunaga majini, wala sijui vibwengo
Huwa ni story tu za hapa na pale
Akili yako ikiwa haiko sawa ukiwa na wenge ndio mnaona ni majini.
 
Mr. Manson

SIku zote unapo taka kufanya jambo lako hasa nguvu za Giza basi iwe siri yako,

nitakupa kanuni ambazo jamii kubwa za Giza ulimwenguni na hatari hutumia kwa mfano FREEMASONRY, BILDERBERG, CABAL, ILLUMINATI, SKULL AND BONES, na kadhalika...


1. Tafuta kwanza maarifa kuhusu ulimwengu wa Giza

2. unatakiwa kuwa msafi kimwili, usinywe pombe, bangi sigara au kilevi chochote

3. Unatakiwa kujua unaita nini katika ulimwengu huo

4. Ongea lugha yako kwa sababu majini Wana uwezo wa kuongea lugha yeyote duniani

5. Hii ndio muhimu hutakiwi kuwa mwoga kwa sababu ukiwa mwoga wanajua na haitakiwi huna Imani wataondoka na roho yako utakufa tu ukifanya masihara kwa sababu hizo ni falme zenye nguvu Sana Sana Sana
kila la kheri mkuu mengine siruhusiwi kabisa kukuambia kwa sababu wewe sio mwanachama.
Kuna andiko la uchawi lililochanganywa spell za uchawi wa BABELI na spell za codex of gigas.
Hilo niliambiwa Freemason ndio wanalitumia sana.Ila sharti lake gumu maana ukiisoma andiko zima mara 21 ni sawa umejitawaza kuwa mkuu wa kilinge.Ni spell ya nafsi chafu ambazo unaziondosha kwa kafara ya damu ya mtu.
 
Back
Top Bottom