Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie sana wifi wa ujinini 😹😹Sema Ameeeeen!
Hallelujah!!!
Ako na kaka yake pia, vipi nikulink nae?? Utaweza kutizama lidubwana lina mkia wenye futi 50??Msalimie sana wifi wa ujinini 😹😹
Ameeeen.!!
Mkuu hayo marriage wapi yanapatikana labda unaweza kutusaidia na sisi tukajifunza kama hutajaliMkuu hii ni Siri yangu binafsi kwa sababu nilichaapa kuwa siwezi kutoa Siri.
tafuta maarifa utafunuliwa na kuishi kwa uhuru katika huu ulimwengu utajifunza mambo mengi Sana.
Mkuu kumbe wewe muoga unalikaribia na kuliuliza linataka nini kwenye himaya yakoHata mimi ningeyeya aisee! We dubwana linaminywele ina buruza na futi zaidi ya 20 nasubiri nini hapo tehtehteh??
Hallelujah!!!
Na mimi naomba mkuu nirushie kama hutajaliTahsin ni dua nzuri sana kaka nadhani unaijua kama huijui nitairusha PM mkuu.
Fafanua kidogo hapo mkuu,Mix fresh brest milk with fresh sperm milk, drink on earthquake nights and you will see your demon queen coming to you.
Kwanza hayo maneno wanaandika ukutani kwa kutumia damu ya pig🐖
Alafu hilo eneo hutumika kufanya ibada za kishetani pamoja na kuita roho za giza.
Pia kunakuwa na majakuzi kama yale ya kuogea, yanawekwa damu za pig na watu wanaingia na kuoga.
Fafanua kidogo hapo mkuu,
🤣🤣🤣Vipi siwezi kuchonga la kwangu niwaite wanipulizie upepo kwa mbele lakini
Dua hiyo ina kazi au lengo gani inapo somwa?Hii hapa nimeitupia wote muione.
Nimeandika kwa mkono maana hizi dua nadra kuzipata kwa chapisho.
View attachment 3046465
Hii inaitwa tahsin suffly.Dua hiyo ina kazi au lengo gani inapo somwa?
Wao ndyo wataamua wakae wapi, pia wanaweza hata wanakuvaa mwilini kabisaVipi siwezi kuchonga la kwangu niwaite wanipulizie upepo kwa mbele lakini
Na unaisoma ukiwa nyumbani au sehemu yoyote tu?Hii inaitwa tahsin suffly.
Kazi yake ni kukukinga na mashetani,vibwengo,majini ya aina yeyote dhidi ya uchafu wao na internal power yao.
Ukisoma mara 3 inadumu kwa muda wa masaa 12 ukisoma mara 7 inadumu kwa muda wa masaa 24.
Hiyo show ni live auKuna show moja inaotwa Beyond belief fact or fiction huwa inaonyesha mambo kama haya!
Kuna mambo yanawatokea watu ni ya ajabu sana. Unaweza kudhani kama stori fulani ila kuna watu yawawatokea.
Thanks mkuuHii hapa nimeitupia wote muione.
Nimeandika kwa mkono maana hizi dua nadra kuzipata kwa chapisho.
Hammaz
A man with no name
View attachment 3046466
Isome ukitaka kulala au ukitaka kutoka.Na unaisoma ukiwa nyumbani au sehemu yoyote tu?
Shukran sana MkuuIsome ukitaka kulala au ukitaka kutoka.
Maana ukilala hujui kitakujia nini usingizini na ukitoka hujui utakumbana na nini njiani.
Kumbe mna chama kabisa Huwa mnalala vizuri usiku?Mr. Manson
SIku zote unapo taka kufanya jambo lako hasa nguvu za Giza basi iwe siri yako,
nitakupa kanuni ambazo jamii kubwa za Giza ulimwenguni na hatari hutumia kwa mfano FREEMASONRY, BILDERBERG, CABAL, ILLUMINATI, SKULL AND BONES, na kadhalika...
1. Tafuta kwanza maarifa kuhusu ulimwengu wa Giza
2. unatakiwa kuwa msafi kimwili, usinywe pombe, bangi sigara au kilevi chochote
3. Unatakiwa kujua unaita nini katika ulimwengu huo
4. Ongea lugha yako kwa sababu majini Wana uwezo wa kuongea lugha yeyote duniani
5. Hii ndio muhimu hutakiwi kuwa mwoga kwa sababu ukiwa mwoga wanajua na haitakiwi huna Imani wataondoka na roho yako utakufa tu ukifanya masihara kwa sababu hizo ni falme zenye nguvu Sana Sana Sana
kila la kheri mkuu mengine siruhusiwi kabisa kukuambia kwa sababu wewe sio mwanachama.
Kuna andiko la uchawi lililochanganywa spell za uchawi wa BABELI na spell za codex of gigas.Mr. Manson
SIku zote unapo taka kufanya jambo lako hasa nguvu za Giza basi iwe siri yako,
nitakupa kanuni ambazo jamii kubwa za Giza ulimwenguni na hatari hutumia kwa mfano FREEMASONRY, BILDERBERG, CABAL, ILLUMINATI, SKULL AND BONES, na kadhalika...
1. Tafuta kwanza maarifa kuhusu ulimwengu wa Giza
2. unatakiwa kuwa msafi kimwili, usinywe pombe, bangi sigara au kilevi chochote
3. Unatakiwa kujua unaita nini katika ulimwengu huo
4. Ongea lugha yako kwa sababu majini Wana uwezo wa kuongea lugha yeyote duniani
5. Hii ndio muhimu hutakiwi kuwa mwoga kwa sababu ukiwa mwoga wanajua na haitakiwi huna Imani wataondoka na roho yako utakufa tu ukifanya masihara kwa sababu hizo ni falme zenye nguvu Sana Sana Sana
kila la kheri mkuu mengine siruhusiwi kabisa kukuambia kwa sababu wewe sio mwanachama.