Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Wewe hapa umechambua au umelalamika?
Kinachokufanya usikubali ubora wa mpinzani wako ni nini wakati kila mtu anayechambua hapa kaiona Yanga ilivyocheza kipandi cha kwanza na Simba kupotea kwa takribani DK 30 za kwanza? Ukiamua kuchambua chambua ukija kishabiki sema wewe ni shabiki.
Kitendo cha mechi kuisha bila Mzamiru huku kocha akichezesha 3 strikers ni kubet kusiko na mpangilio. Ukiangalia Sub alizofanya Nabil utakubaliana na mleta Uzi, ni kocha kichaa tu angekubali Kaseke acheze DK 70 uwanjani, Feitoto amecheza kwa nguvu muda mrefu na alikokuwa anaelekea ni kwenye kadi nyekundu ukikumbuka foul dhidi ya Engineer. Tuisila kuanzia DK ya 70 alikuwa likizo ya bila malipo kwa hiyo kupumzishwa ilikuwa haina mjadala.
Rudi kwenye Sub za Simba sasa.
Baada ya sub za Simba Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba?

Mbona game kadhaa tunacheza hivyo hasa tunapokuwa tunahitaji goli zaidi? Kimahesabu Yanga hawakuwa bora kwenda mbele ndiyo maana Kocha aliweka watu wengi wa kushambulia mbele cos nyuma kulikuwa na watu wengi upande wa Yanga ,he was right na ililipa japo goli halikupatikana kama Yanga wangepata goli la pili kwa mapungufu ya uwanjani basi ungesema sub imetuua ila haikutokea hivyo.Kama sub ya Simba ilikuwa mbovu mbona Yanga hawakuwawin Simba tena kupitia udhaifu huo? Tazama Chiefs walivyotumia udhaifu wa sisi kushambulia na kuwa walegevu kurudi kukaba tulikula 4 hiyo ndiyo huitwa matumizi ya udhaifu wa mpinzani.Mpinzani hawezi kuwa dhaifu afu clear chances hujapata.

Sema Yanga akikuwa bora kwenye nini hadi akapata matokeo yale na Simba sijaona udhaifu mkubwa cos kama ni loose balls timu yoyote ile inaweza kufungwa from far kwa situation ya jana ya goli wala hiyo haiwezi kuprove ubora wa timu.

Ubora wa timu unazingatia utengenezaji wa nafasi na kuzitumia , wewe sema Yanga walitengeneza nafasi ngapi na walitumia ngapi maana hata ya Zawadi ni loose ball sio created chance cos hakuwa assisted na mchezaji wa Yanga.Wachezaji wa Simba walijipanga kwa usahihi nyuma ila mpira ulimgonga mchezaji ukaenda upande ambao golikipa hakuwa na cha kufanya.

Tatizo la bongo kila timu inayoshinda ndiyo bora na hapo ndipo mwanzo wa matatizo.
 
Simba aliupiga mwingi second half
Cha ajabu analaumu subs yaani wabongo bana.

Game ya 2-2 last year kila mtu anakubali kwamba Simba walikuwa bora kipindi cha kwanza na Yanga cha pili dk kama 20 ila simba ikadominate mchezo dakika za mwisho ila game ya jana Simba wameshindwa tu kufunga ila walicheza poa tu
 
Baada ya sub za Simba Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba?

Mbona game kadhaa tunacheza hivyo hasa tunapokuwa tunahitaji goli zaidi? Kimahesabu Yanga hawakuwa bora kwenda mbele ndiyo maana Kocha aliweka watu wengi wa kushambulia mbele cos nyuma kulikuwa na watu wengi upande wa Yanga ,he was right na ililipa japo goli halikupatikana kama Yanga wangepata goli la pili kwa mapungufu ya uwanjani basi ungesema sub imetuua ila haikutokea hivyo.Kama sub ya Simba ilikuwa mbovu mbona Yanga hawakuwawin Simba tena kupitia udhaifu huo? Tazama Chiefs walivyotumia udhaifu wa sisi kushambulia na kuwa walegevu kurudi kukaba tulikula 4 hiyo ndiyo huitwa matumizi ya udhaifu wa mpinzani.Mpinzani hawezi kuwa dhaifu afu clear chances hujapata.

Sema Yanga akikuwa bora kwenye nini hadi akapata matokeo yale na Simba sijaona udhaifu mkubwa cos kama ni loose balls timu yoyote ile inaweza kufungwa from far kwa situation ya jana ya goli wala hiyo haiwezi kuprove ubora wa timu.

Ubora wa timu unazingatia utengenezaji wa nafasi na kuzitumia , wewe sema Yanga walitengeneza nafasi ngapi na walitumia ngapi maana hata ya Zawadi ni loose ball sio created chance cos hakuwa assisted na mchezaji wa Yanga.Wachezaji wa Simba walijipanga kwa usahihi nyuma ila mpira ulimgonga mchezaji ukaenda upande ambao golikipa hakuwa na cha kufanya.

Tatizo la bongo kila timu inayoshinda ndiyo bora na hapo ndipo mwanzo wa matatizo.
Kwa hiyo kwa maoni yako Yanga hakuna walichofanya toka DK ya kwanza hadi mwisho zaidi ya "goli la kubahatisha?"
Kocha unaweka waahambuliaji 3 mbele ukiwa uneondoa viungo watakaoandaa nafasi matokeo yake Kagere na Mugalu wanageuka watafuta mipira badala ya wamaliziaji halafu unasema Sub haikuwa na madhara?
 
Udhaifu wa Simba kwa sasa ni kukosa a best clinical finisher tu yaani ambaye ikitokea tu chance unahesabu ni goli na awe na uwezo wa mbio(speed) ,anaweza kupunguza watu na akaforce kuscore maana kwa sasa sioni kama tuna mshambuliaji halisi mwenye sifa tajwa hapo juu
Kagere hata control tu ni shida ,Boko vile vile ,Mugalu control anayo ila kufunga yupo chini ,naamini kwa sajili tatu ambazo Manara kasema basi hapo kwenye ushambuliaji watakuwa wamepaona pia.
 
Kwa hiyo kwa maoni yako Yanga hakuna walichofanya toka DK ya kwanza hadi mwisho zaidi ya "goli la kubahatisha?"
Kocha unaweka waahambuliaji 3 mbele ukiwa uneondoa viungo watakaoandaa nafasi matokeo yake Kagere na Mugalu wanageuka watafuta mipira badala ya wamaliziaji halafu unasema Sub haikuwa na madhara?
Viungo walikuwepo , Morison , Miq,Bwallya na Lwanga ,kucreate chances kulikuwepo kama kawaida tu na hata hivyo sio kisingizio maana hata Kagere na Mugalu came muda umekwenda sana

Lakini pia kuhusu Yanga walimudu kufanya high pressing na mikimbio mingi ya hatari zile dakika za mwanzo kisha walipopata goli wakaendeleza kwa dk 10 hivi tu wakaanza kuwa watumwa wa mpira.Unadhani kwa nini hawakupata goli la pili kwa ubora mnaodai walikuwa nao?
 
1. Kuwaanzisha Erasto Nyoni na Bernard Morrison ambao leo ndiyo Wachezaji wa Simba SC waliocheza vibaya na Kuharibu zaidi badala ya Kuwaanzisha Muzamiru Yasini na Rally Bwalya Kiufundi kumeigharimu Simba SC.

2. Kumuanzisha Clatous Chama ambaye bado Kichwa chake kimetawaliwa na Kumpoteza Mke huku ikijulikana Kiufundi kabisa Saikolojia ina nafasi yake katika Ufanisi wa Mchezaji Mpirani.

3. Kutangulia Kumuingiza Meddie Kagere ambaye kwa sasa hana tena Madhara yote na ameshuka mno Kiuchezaji na Kuchelewa Kumuingiza Mshambuliaji makini Chris Mugalu Kiufundi Kumeigharimu Simba SC.

4. Ama Kocha Mkuu na Msaidizi wake au Wachezaji wa Simba SC kwa sasa wamezidi Kujiamini na kuwa na Dharau wakisahau kuwa Mechi ya Derby'na Yanga SC ni zaidi ya Kucheza na akina AS Vita Club, Al Ahly na Kaizer Chiefs FC.

5. Simba SC kutokuheshimu Utamaduni wa Derby ambapo Kambi ya Simba SC kule Bunju ilikuwa ni ya wazi na kila Mtu hata Adui aliruhusiwa kwenda na Kuhudhuria tofauti na iliyokuwa Kambi ya Yanga SC ambayo ilitawaliwa na Umakini, Tahadhari na Ulinzi mkubwa sana.

6. Ndani ya Klabu ya Simba kuna Usaliti mkubwa sana na kuna Watu wanaodhaniwa ni Simba SC kweli kumbe ni Mapandikizi ya Yanga SC na ndiyo kwa miaka hii Minne wamechangia Yanga SC kuwa na Kiburi dhidi ya Simba SC japo Kiuwezo hata Wenyewe wanakiri Kuzidiwa na Simba SC.

7. Wachezaji wa Simba SC kutokuwa na Moyo wa Uchungu na wa Kujitolea Kuifia Timu / Klabu kama alionao Jose Miquissone ambaye huhitaji Akili Kubwa kujua kuwa ndiyo mwenye Uchungu hasa na Mafanikio ya Simba SC kuliko wengine ambao Uchungu walionao ni Kutongoza hovyo Wahudumu wa katika Ndege, Kutoroka Kambini kwenda Klabu na kufanya Uzinzi, Kujipodoa na Kutwa kuwa tu Mitandaoni kituringishia Gari zao, Nguo zao na Wake / Mademu zao.

Nitakuwa siyo Mwanamichezo, Mpuuzi na Mnafiki pia kama baada ya kusema yote haya nisiipongeze Klabu ya Yanga SC kwa Kushinda Mchezo wa leo kwa Goli la Kimchezo ambalo kamwe ukiwa Mtu wa Mpira huwezi Kumlaumu Kipa Aishi Manula na Beki Shomary Kapombe.

Kwa wale wanaomlaumu Mwamuzi Mwandembwa kuwa ameiumiza mno Simba SC je, tumeshajiuliza kuwa Timu inayoumizwa na Mwamuzi Wachezaji wake kwa Statistics wanaweza kuwa ndiyo wanaongoza kwa Kucheza Faulo / Rafu nyingi zile?

Ushauri wangu wa bure tu kwa Wana Simba SC ni kwamba badala ya Kumlaumu Mwamuzi tumeshukuru kwa Kuwavumilia sana Wachezaji wa Simba SC kwani nina uhakika angeamua Kuchezewa Kiukauzu na inavyotakiwa basi John Boko, Thadeo Lwanga, Joash Onyango, Bernard Morrison, Mohammed Hussein Tshabalala na Pascal Serge Wawae wangetolewa kwa Kadi Nyekundu.

Simba SC ikubali Matokeo ijipange mno.
Sasa akili imerudi
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Hata bahati nayo haipo kwenye Mpira kama ambavyo huamini kwenye uchawi
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Ndugu tukubali tu tulizidiwa kimbinu, shots on target Simba alikuwa na 2 tu na yanga 4 mi niungane na mchambuzi wa awali
 
Jenta hapa umeandika kweli tupu ila kuna muda nawe unakuwa kama msemaji wenu mnatabia ya kupanic hovyo, utopolo aka chura kapata matokeo kutokana na alivyocheza,
Kila siku mnalalamika kuwa:
1. Mgalu si mchezaji wa maana;
2. Kagere hapa zei na kocha ingawa bado ni mchezaji jembe.
Leo hii imebadilika! Maajabu haya ya wanasimba
 
Mkuu umecheki game?? Hebu comment kiwango cha simba.

Kwa comment hii unataka kusema simba imecheza vyema jana?? Wachezaji wake wengi walikua chini ya kiwangi sijui kwanini. Kiukweli hawakua normal leo tifauti na ile mechi ya 1-1.

Ile mechi walipofungwa goli moja tuliona kabisa uhitaji wa kusawazisha mpaka wakapata goli tofauti na hii ya jana.

Haya tusubiri kigoma.
ndio imecheza vema umiliki 61%
najivunia simba team yangu na naamini sio kila siku lazima tushinde
 
Mpaka sahizi mkude atakua anachekelea hihihihihi! Huku Mzamiru naye akijipiga kifua pupupu!
Poor Gomes
Poor players
Poor technical bench
 
Kila siku mnalalamika kuwa:
1. Mgalu si mchezaji wa maana;
2. Kagere hapa zei na kocha ingawa bado ni mchezaji jembe.
Leo hii imebadilika! Maajabu haya ya wanasimba
Wamechanganyikiwa. Walichokwenda nacho uwanjani kumbe Ni feki
 
Wamechanganyikiwa. Walichokwenda nacho uwanjani kumbe Ni feki
Watanzania tunajifanya waongeaji sana hasa akina Gentamycin ambaye amekula ban! Tunalazimisha hoja zetu za kitoto etc ukienda katika siasa ndiyo kichefu chefu
 
mnaolalama humu kuwa yanga kabahatisha, mbona mlimsifia simba walipocheza na AS Vita kule club bingwa japo alishinda kwa kubahatisha?

tulieni dawa iwaingie nyie watembeza maji wa mo
 
Nimeishia hapo kwa kusema meddie kagere ndo alianza kitu ambacho sio kweli


Tumuachie kocha kazi Jaman kupigwa mshapigwa keleleeeeeee hatutaki
 
Watu wamesahau mpaka ubingwa!!! Mimi ni Simba japo sina ule ushabiki sana mpaka nikose usingizi na kwa bahati mbaya mechi sikuiona nilikuwa na majukumu mengine ila tatizo kubwa nadhani Simba waliaminishwa na viongozi wao kuwa wao ni bora na kama walizifunga Finalist wa kombe la CAF yanga ni nani hawana kitu na terehe ile walikimbia na hii walitafuta sababu ya kukimbia hii ikawakaa akilini wachezaji kuwa Yanga wanaogopa lakini mwisho wa siku wameshinda na kama harusi basi wametia mchanga chakula cha harusi kwa hili Simba wamekosa furaha ila wana nafasi ya kuweka sawa Kigoma wakikosea na huko basi huu ndio utakuwa ubingwa wa kwanza duniani lakini mshindi ana majonzi kuliko number 2. Focus mechi ya Kigoma na Manara afunge mdomo wake mchafu anawapa sifa sio zao mpaka kina Morison wanajiona kama wamekuwa kina De bruyne.
 
Back
Top Bottom