Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Umechambua kiushabiki sana. Goli ni goli hata liwe la namna gani jomba. Na hata usingemgonga yule boya ile ilikua on target ya goli.Imeisha hiyo
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Hata mechi ijayo tuna uwezo wa kuwafunga. Mechi ya mwisho ya sare, mlisawazasha dk ya 89 ya mchezo! Na kwa taarifa yako, Yanga siyo timu dhaifu hata kidogo.

Wachezaji wa Yanga wana ubora kuliko hata hao wa Simba! Kinacho ikumba Yanga ni ukosefu tu wa morali kwa baadhi ya wachezaji, na hasa wale wenye kudai malimbikizo ya mishahara, nk!

Siku zote mashabiki wa simba akili zenu zimeshikiliwa na yule mvuta bangi wenu Haji Manara, anayependa kucheza mpira nje ya uwanja! Huku Yanga ikiwekeza nguvu kubwa ndani ya uwanja! Na mkiendelea kumuendekeza, tutawafunga kila siku.
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki na ile wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Na ile nafasi ya Yacouba nayo dk za mwanzo usiisahau kuihesabu. Naona unataja za Bocco tu.Nirudi kwenye goli la deflection ambalo unalibeza, lile goli limetokana na shambulizi kali.Timu ilifika eneo la hatari ikapata kona nyingi ambazo moja ndiyo ikaza hilo shambuli wewe umekomaa na bahati tu.Unataka kutuaminisha Simba hawajawahi kufunga bao la kubapatiza mtu Mzee.
Kubali tu mmefungwa.Mbona wenzako wamekubali kiroho safi?
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Mi niliona nafasi moja tu ya wazi, aliyopiga nje Morrison akiwa ndani ya sita.Kosa kosa zingine zilikuwa za kawaida.
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Wape heshima Yanga,walistahili kupata walichokipata. Mpira wa siku hizi unachezwa maabara. Ukifanikiwa kufanya postmortem vizuri kuhusu mpinzani wako basi uwanjani unaenda kumalizia tu. Hapo ndipo Simba wanapofeli,hawafanyi utafiti wa kutosha kuhusu ubora wa Yanga hasa kwenye derby!

Mfano kipindi cha kwanza km Yanga wangekuwa na striker katili level za Prince Dube/ Boko wangefunga zaidi ya goli moja kulingana na takwimu. Simba walicheza vizuri kipindi cha pili japo umakini wa mabeki wa Yanga ulikuwa Kikwazo kupenyeza mipira.
 
1. Kuwaanzisha Erasto Nyoni na Bernard Morrison ambao leo ndiyo Wachezaji wa Simba SC waliocheza vibaya na Kuharibu zaidi badala ya Kuwaanzisha Muzamiru Yasini na Rally Bwalya Kiufundi kumeigharimu Simba SC.

2. Kumuanzisha Clatous Chama ambaye bado Kichwa chake kimetawaliwa na Kumpoteza Mke huku ikijulikana Kiufundi kabisa Saikolojia ina nafasi yake katika Ufanisi wa Mchezaji Mpirani.

3. Kutangulia Kumuingiza Meddie Kagere ambaye kwa sasa hana tena Madhara yote na ameshuka mno Kiuchezaji na Kuchelewa Kumuingiza Mshambuliaji makini Chris Mugalu Kiufundi Kumeigharimu Simba SC.

4. Ama Kocha Mkuu na Msaidizi wake au Wachezaji wa Simba SC kwa sasa wamezidi Kujiamini na kuwa na Dharau wakisahau kuwa Mechi ya Derby'na Yanga SC ni zaidi ya Kucheza na akina AS Vita Club, Al Ahly na Kaizer Chiefs FC.

5. Simba SC kutokuheshimu Utamaduni wa Derby ambapo Kambi ya Simba SC kule Bunju ilikuwa ni ya wazi na kila Mtu hata Adui aliruhusiwa kwenda na Kuhudhuria tofauti na iliyokuwa Kambi ya Yanga SC ambayo ilitawaliwa na Umakini, Tahadhari na Ulinzi mkubwa sana.

6. Ndani ya Klabu ya Simba kuna Usaliti mkubwa sana na kuna Watu wanaodhaniwa ni Simba SC kweli kumbe ni Mapandikizi ya Yanga SC na ndiyo kwa miaka hii Minne wamechangia Yanga SC kuwa na Kiburi dhidi ya Simba SC japo Kiuwezo hata Wenyewe wanakiri Kuzidiwa na Simba SC.

7. Wachezaji wa Simba SC kutokuwa na Moyo wa Uchungu na wa Kujitolea Kuifia Timu / Klabu kama alionao Jose Miquissone ambaye huhitaji Akili Kubwa kujua kuwa ndiyo mwenye Uchungu hasa na Mafanikio ya Simba SC kuliko wengine ambao Uchungu walionao ni Kutongoza hovyo Wahudumu wa katika Ndege, Kutoroka Kambini kwenda Klabu na kufanya Uzinzi, Kujipodoa na Kutwa kuwa tu Mitandaoni kituringishia Gari zao, Nguo zao na Wake / Mademu zao.

Nitakuwa siyo Mwanamichezo, Mpuuzi na Mnafiki pia kama baada ya kusema yote haya nisiipongeze Klabu ya Yanga SC kwa Kushinda Mchezo wa leo kwa Goli la Kimchezo ambalo kamwe ukiwa Mtu wa Mpira huwezi Kumlaumu Kipa Aishi Manula na Beki Shomary Kapombe.

Kwa wale wanaomlaumu Mwamuzi Mwandembwa kuwa ameiumiza mno Simba SC je, tumeshajiuliza kuwa Timu inayoumizwa na Mwamuzi Wachezaji wake kwa Statistics wanaweza kuwa ndiyo wanaongoza kwa Kucheza Faulo / Rafu nyingi zile?

Ushauri wangu wa bure tu kwa Wana Simba SC ni kwamba badala ya Kumlaumu Mwamuzi tumeshukuru kwa Kuwavumilia sana Wachezaji wa Simba SC kwani nina uhakika angeamua Kuchezewa Kiukauzu na inavyotakiwa basi John Boko, Thadeo Lwanga, Joash Onyango, Bernard Morrison, Mohammed Hussein Tshabalala na Pascal Serge Wawae wangetolewa kwa Kadi Nyekundu.

Simba SC ikubali Matokeo ijipange mno.
Huu mbona nwandiko wa Gentamycine huu?! Kaja kwa style nyingine??[emoji44][emoji15][emoji15]
 
Jenta hapa umeandika kweli tupu ila kuna muda nawe unakuwa kama msemaji wenu mnatabia ya kupanic hovyo, utopolo aka chura kapata matokeo kutokana na alivyocheza,
Mbumbumbu fc kwenye ubora wenu
 
Wewe hapa umechambua au umelalamika?

Kinachokufanya usikubali ubora wa mpinzani wako ni nini wakati kila mtu anayechambua hapa kaiona Yanga ilivyocheza kipandi cha kwanza na Simba kupotea kwa takribani DK 30 za kwanza? Ukiamua kuchambua chambua ukija kishabiki sema wewe ni shabiki.

Kitendo cha mechi kuisha bila Mzamiru huku kocha akichezesha 3 strikers ni kubet kusiko na mpangilio. Ukiangalia Sub alizofanya Nabil utakubaliana na mleta Uzi, ni kocha kichaa tu angekubali Kaseke acheze DK 70 uwanjani,

Feitoto amecheza kwa nguvu muda mrefu na alikokuwa anaelekea ni kwenye kadi nyekundu ukikumbuka foul dhidi ya Engineer. Tuisila kuanzia DK ya 70 alikuwa likizo ya bila malipo kwa hiyo kupumzishwa ilikuwa haina mjadala.

Rudi kwenye Sub za Simba sasa.
Kwa kweli Tuisila alinikera sana jinsi alivyocheza Kipindi cha pili. Sikuelewa kwanini kocha alimuacha hadi dk ya 90. Alikuwa anatembea tu uwanjani,akipewa mpira anapoteza kirahisi. Na akipoteza hakabi!!

Kocha lazima awe mkali na amuonye.Shukrani kwa dogo Kibwana shomari alijitahidi mno kupambana na Morrison ambaye alikuwa akipewa mipira mingi iliyopotelea kwa Tuisila.
 
Hata mechi ijayo tuna uwezo wa kuwafunga. Mechi ya mwisho ya sare, mlisawazasha dk ya 89 ya mchezo! Na kwa taarifa yako, Yanga siyo timu dhaifu hata kidogo.

Wachezaji wa Yanga wana ubora kuliko hata hao wa Simba! Kinacho ikumba Yanga ni ukosefu tu wa morali kwa baadhi ya wachezaji, na hasa wale wenye kudai malimbikizo ya mishahara, nk!

Siku zote mashabiki wa simba akili zenu zimeshikiliwa na yule mvuta bangi wenu Haji Manara, anayependa kucheza mpira nje ya uwanja! Huku Yanga ikiwekeza nguvu kubwa ndani ya uwanja! Na mkiendelea kumuendekeza, tutawafunga kila siku.
Hata wachezaji wa Yanga wenyewe watakushangaa, ukiwaambia wao ni bora kuliko simba.
 
Katika point zako zote point ya maana sana ni ya kupoteza nafasi na ni wazi Simba ilipata nafasi za wazi nyingi zaidi kuliko hata hao Yanga lakini matumizi ya nafasi hizo ndiyo yalinishangaza.

Haya twende kwa Yanga , unaweza kuniambia ikiwa Yanga walicheza vizuri zaidi walipata clear chances ngapi na walikosa ngapi na kwa nini?

Maana kuna shida naiona katika uchambuzi wa kibongo yaani timu ikiconced goli tu anaanza kulaumiwa kocha ohh angempanga huyu au yule hapa tu unaongea eti Nyoni ni mbovu mara angeanza mzamiru ila umesahau mzamiru ana udhaifu wake ambao mechi kadhaa anauonesha nao ni kupoteza pasi nyingi japo ana ubora wake mkubwa kwenye ukabaji (kupora mipira haraka) at the end game imeisha Morison akiwemo na alicheza alivyoweza.Kumbuka Simba wanacheza mpira endelevu yaani wa kitabuni Yanga wanakamia tu cos wanatambua wana madhaifu mengi tu.

Kuhusu Sven , ndo huyo huyo mliyemlaumu daily ohh anapanga mshambuliaji mmoja , mara timu haifungi magoli mengi yaani sijui tunapenda nini kwa kweli ,hivi unaweza kwenda kuwaambia watu eti Yanga walikuwa bora zaidi ya Simba uwanjani kisa wamefunga tena a deflection ball goal yaani hicho ndicho kipimo kweli? [emoji23] unadhani watapata hizo deflection goals siku zote brother sahau hilo.

Mazoezi kuwa wazi sio sababu kama ingekuwa Sababu basi Yanga alipaswa ashinde goal 5 alipe kisasi cha miaka ile basi.Chambueni kiutu uzima sio blahblah nyingi kama hizi mnaharibu uhalisia ndiyo maana Yanga huko CAF kaenda mara nyingi than simba ila ana mafanikio kiduchu ukilinganisha na Simba kwa kuwa tu many times wanacheza kumkamia Simba while Simba ashavuka steji hiyo.

Ngoja tuone hizi next two games nani atakuwa mbabe huenda kila siku watapata deflection ball jambo ambalo kamwe siliamini
Umeandika mimavi tena ya choo cha stand eti Yanga wanaikamia Simba rubbish
 
Wewe hapa umechambua au umelalamika?

Kinachokufanya usikubali ubora wa mpinzani wako ni nini wakati kila mtu anayechambua hapa kaiona Yanga ilivyocheza kipandi cha kwanza na Simba kupotea kwa takribani DK 30 za kwanza? Ukiamua kuchambua chambua ukija kishabiki sema wewe ni shabiki.

Kitendo cha mechi kuisha bila Mzamiru huku kocha akichezesha 3 strikers ni kubet kusiko na mpangilio. Ukiangalia Sub alizofanya Nabil utakubaliana na mleta Uzi, ni kocha kichaa tu angekubali Kaseke acheze DK 70 uwanjani,

Feitoto amecheza kwa nguvu muda mrefu na alikokuwa anaelekea ni kwenye kadi nyekundu ukikumbuka foul dhidi ya Engineer. Tuisila kuanzia DK ya 70 alikuwa likizo ya bila malipo kwa hiyo kupumzishwa ilikuwa haina mjadala.

Rudi kwenye Sub za Simba sasa.
Well said mkuu wangu[emoji1666]
 
Game nimeicheck vizuri kabisa ndiyo maana nimesema wazi shida ilikuwa kutumia nafasi tu upande wa Simba

Mfano Boko alikosa goli ambalo kwa mchezaji ambaye ni makini hakupaswa kukosa , Morisson alikosa goli hivyo hivyo , kwa kifupi game ilikuwa mikononi mwa Simba hasa second half ila nafasi hazikutumiwa vizuri na wachezaji wetu.Ukitazama vizuri utagundua kuwa tumeingia kwenye box ya Yanga mara nyingi zaidi , naamini huwezi kufanikiwa kuingia kwenye box ya mpinzani zaidi afu tuseme hamkucheza vizuri katikati ya uwanja au mpira kwa ujumla unless kucheza mpira vizuri kuwa kuna maana nyingine.

Goli la Yanga la deflection ni maamuzi ya mtu kupiga shuti kuelekea golini na likamgonga mtu likajaa wavuni at the end unakuwa umeshinda ila hata Kocha makini hawezi kujivunia hilo ,kocha makini atajiuliza kama ule mpira usingedeflect kwa beki wao Je,timu yangu ilikuwa na uwezo wa kutengeneza nafasi za wazi na kuzitumia? Kama hakuna nafasi zinazotengenezwa na timu kocha mzuri anajua hii sio class ni bahati tu.

Ninachokikubali kwa sehemu pia ni hili la kujitoa kufa kupona kwa Yanga (hii ni nature ya timu inayohisi ni dhaifu ila inajaribu kuonesha ina ubora mkubwa ) wachezaji katika game hizi wanacheza kwa umakini hata kama viwango vyao kesho hutoviona hivyo jambo linaloitofautisha na Simba na haya hujidhihirisha kwa namna ambavyo timu inaperform kwenye mashindano marefu hasa ya Ligi za mzunguko.

Jaribu kufikiri upya , ikiwa refa angetoa penalty ile Simba wakafunga then wakashinda tungekuja hapa kusema wachezaji wa Simba hawajitumi kama wa Yanga? Vipi kama nafasi za wazi za Morison na Boko zingekuwa magoli tungekuja na stori hiyohiyo? Kwangu ni hapana

So kama Yanga watashinda games tatu zijazo mwaka huu mbele ya Simba tutakuwa na cha kuhoji zaidi kwa nini ,ila kwa jana mi naona bahati tu maana mimi sijui ishu za uchawi naamini tu uchawi upo ila ulikuwa applied au la jana mie sijui.
Umekazania tu deflection Kwan goal la deflection sio goli?! Mbona unalialia hivyo??
 
Watu wamesahau mpaka ubingwa!!! Mimi ni Simba japo sina ule ushabiki sana mpaka nikose usingizi na kwa bahati mbaya mechi sikuiona nilikuwa na majukumu mengine ila tatizo kubwa nadhani Simba waliaminishwa na viongozi wao kuwa wao ni bora na kama walizifunga Finalist wa kombe la CAF yanga ni nani hawana kitu na terehe ile walikimbia na hii walitafuta sababu ya kukimbia hii ikawakaa akilini wachezaji kuwa Yanga wanaogopa lakini mwisho wa siku wameshinda na kama harusi basi wametia mchanga chakula cha harusi kwa hili Simba wamekosa furaha ila wana nafasi ya kuweka sawa Kigoma wakikosea na huko basi huu ndio utakuwa ubingwa wa kwanza duniani lakini mshindi ana majonzi kuliko number 2. Focus mechi ya Kigoma na Manara afunge mdomo wake mchafu anawapa sifa sio zao mpaka kina Morison wanajiona kama wamekuwa kina De bruyne.
Naungana na wewe upande wa Manara. Kama Simba inataka kuwa klabu kubwa Afrika iachane na mpayukaji. Huwezi kuwa na msemaji anayeharibu saikolojia ya wachezaji kwa kuwajaza ujinga.
Bora Boko awe nahodha na msemaji wa timu maana ana busara.
 
Wape heshima Yanga,walistahili kupata walichokipata. Mpira wa siku hizi unachezwa maabara. Ukifanikiwa kufanya postmortem vizuri kuhusu mpinzani wako basi uwanjani unaenda kumalizia tu. Hapo ndipo Simba wanapofeli,hawafanyi utafiti wa kutosha kuhusu ubora wa Yanga hasa kwenye derby!

Mfano kipindi cha kwanza km Yanga wangekuwa na striker katili level za Prince Dube/ Boko wangefunga zaidi ya goli moja kulingana na takwimu. Simba walicheza vizuri kipindi cha pili japo umakini wa mabeki wa Yanga ulikuwa Kikwazo kupenyeza mipira.
Huu ndo uchambuzi, siyo mtu anaandika ushabiki halafu anauita uchambuzi.
 
Back
Top Bottom