Lim Hoo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 438
- 1,031
Kazi kweli kweliMnashindwa kumuelewa huyu ameona mfano wa kaburi lililojengewa, sii shimo, ni mfano wa yale makaburi unakuta juu limejengewa na msalaba.. I think so
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweliMnashindwa kumuelewa huyu ameona mfano wa kaburi lililojengewa, sii shimo, ni mfano wa yale makaburi unakuta juu limejengewa na msalaba.. I think so
Hata kama ni mwaka wa kufosi ndo wafosi mpka kaburi liwe jeneza sasa! 😂😂Yaani kuna watu wanakera sana ujue...
Mtu kasema kaburi wenyewe wanalazimisha liwe jeneza..
Ndio havina madhara mkuu ila ukiona mambo yanakugusa au unaambiwa na wewe ushiriki hapo lazima uwoga uwepo mkuu...sasa hatari gan hapo kaka vitu vishakufa havina uhai haviwezi dhuru
Wewe umeelewaje mkuuMbona wenzako tumeelewa mkuu...
Na mada inaenda
Yaani wananikera sana mbona wengine tumeelewa hatuna hata cha kuuliza hapoMwingine kanichekesha et au ameona kabundi kenye afya mgogoro😅😅
Acha kusimanga watu...Hizo nyomi hapo chini utafikiri Uzi wa vocha😅😅😅
Kaona kaburiWewe umeelewaje mkuu
Mm sijaelewa ...kaona kaburi...?au kitu mfano WA kaburi...?Yaani wananikera sana mbona wengine tumeelewa hatuna hata cha kuuliza hapo
Ikitokea wanatoa vocha nitag sawa eeh?Hizo nyomi hapo chini utafikiri Uzi wa vocha😅😅😅
mleta mada sijavuta wala nin...nipo sawaHujavuta kitu kikali mleta mada?
Watu tumeona makaburiHizo nyomi hapo chini utafikiri Uzi wa vocha😅😅😅
Sawa mama....Acha kusimanga watu...
Kaburi wewe acha kukaza komwe ilooMm sijaelewa ...kaona kaburi...?au kitu mfano WA kaburi...?
Jamaa katupanga😅😅Watu tumeona makaburi
Ndiyo maana nimemuuliza mleta mada darini kuna ardhi ya kuchimba kaburiKaona kaburi
Weee na weee unazingua kaona kaburi au we ujaonaMm sijaelewa ...kaona kaburi...?au kitu mfano WA kaburi...?
ya leo nimeshindwa kuvumilia ndiomaana sjataja eneo.Shauri yako usirudie Tena kusema unavyokuta kwanyumba zawatu .....fanya kilichokuleta
naelewa kaka natania tuNdio havina madhara mkuu ila ukiona mambo yanakugusa au unaambiwa na wewe ushiriki hapo lazima uwoga uwepo mkuu...