D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Ni kweli kabisa mkuu.Mbunge licha ya kuaondoka alikua anarudi sana pale kambini Kuna kipind alikua anarudi kuangalia maendeleo ya ujenzi wa Ruvu jkt club, anaenda hadi shadidi kule
KURUTI wa JKT Unalinda ? hii sijawahi kuona maajabuila bado ulikuwa hushibiπ€£π€£π€£ tulikulaga kindoo cha lita 10 kilijazwa makande...watu 4 tulikimalizaπ€£π€£π€£π€£
hiyo siku nilipangwa Lindo wallah nili lala hadi kuna kuchaπ€£π€£π€£π€£ pange tokea ambush ninge kufa usingizini....!
Hv nikitaja force namba yangu utajua nlikuwa Mwaka gnπYes nimejichanganya nlimaanisha wa mujibu, wa kujitolea walikuja nyinyi mkiwa mnakaribia Kumaliza lakini mlikuwa mnafoleni pamoja usiku ila mnatenganishwa ninyi na wao.
Siku ya sherehe yenu nilicheka sana mayanga alipokuwa amevaa yale majani(kikundi cha singe)
Ujenzi wa uwanja walikamilisha wa kujitolea op makao
Dish halishiki mawimbi vizuri,hilo liko wazi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we Soma hata nyuzi zake sijui anatype huku anatembea [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha kudanganya watu.Nilishapita huko, nipo MSU now.
Ndio
π€£π€£π€£π€£KURUTI wa JKT Unalinda ? hii sijawahi kuona maajabu
ndio ila haikuwa main gate....!π€£π€£π€£π€£KURUTI wa JKT Unalinda ? hii sijawahi kuona maajabu
SAMIA
Kituo gani?ndio ila haikuwa main gate....!π€£π€£π€£π€£
Bulombora hiyo Nilikuwa nashinda kisima kuleWale wa 821 kj
Apana sio SamiaSAMIA
Mimi hujaniambia nilikua OP ganiMbuge aliondoka kipindi cha kati ya op magufuli na op mererani akaenda kusimamia ujenzi wa ukuta wa mererani kisha akaenda Dodoma akisimamia ujenzi mpaka alipopelekwa kwenye madaraka ya ukuu wa wilaya
Sio kwelihapo ndipo chanzo cha kuambukizana ukimwi...fimbo imchape yule, huyu...na yule...πππ
jeshi limeoza...asilimia 75 wapo kwenye grid ya Taifaπππ
Mwaka gani?Mimi hujaniambia nilikua OP gani
naafiki huku si ustaarabuless unatusumbua. japo na kwa wenzetu napo kuna fimbo ya maneno utaambiwa maneno mpaka unaweza kujiuluza mara mbilimbili mm kweli mwanaume..utaambiwa maneno ya shombo na dharau mpaka unaweza kupata hasira upigane bure ama kupata morali mara dufu.Lakini tofauti na majeshi ya nchi zilizoendelea huku kwetu bado tunachapana kama punda, kule kwa wenzetu ni matusi tu kama kawa lakini drill instructors hawaruhusiwi hata kumkunja recruit, huku kwetu afande anamnyuka kuruti utasema anapiga mtoto wake
Kwata nzuri ukiwa na mobility(ushirikiano wa viungo na akili)Duuh asee hakuna kitengo ninachokipenda na ninachokiona rahisi jeshini kama kwata huwa sielewi kwanini watu wanakichukia na kukiona kigumu
Yani mimi kwangu kwata ndio ilikuwa sehemu ya kupoozea machungu ya jeshi, maana mimi sipendi mabio wala mazoezi nakumbuka mwishoni mwa six weeks za kwanza, nilikosa kuwepo kwenye pass of square tu roho iliniuma sana
Nikasema kwenye graduu lazima niingie kitengo cha kwata, na kweli graduu nilikuwa kwata coy sema kimbembe kuweka silaha begani, hadi mfupa wa bega ukaanza kuuma nikawa naweka handkerchief
Yani mimi kiujumla jeshini vitu nilivyovipenda ni chenja, kwata, range (japo niliishia kulenga mijusi), syndicate na route march (kutembea tu), ila ukishaniambia nikimbie daah nilikuwa najionea tabu tu
Na yale maovyoovyo mengine nilikuwa siyapendi kabisa
Sasa nilichokosea ni nini hapo kusema physical training short?π€Ujue nawasoma muda mrefu mpaka mnanikera kuita pitshort ile inaandikwa PT Short sio pitshort
ππππPapaa Tango Eagle