Niliyoyashuhudia Jeshini

Binamu nami nije nilione trudie 😀😝😝
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daahh asee nimegundua kambi niliyoenda ilikuwa ya kawaida sana!!
 
pale ruvu utasikia kuruti uelekeo ni hivi utapita huku nyuma kama unaenda kwa dosa, utarudi hadi road block uelekeo kilima nyege[emoji3]
 
dah umenikumbusha jkt club, lile tengo nililipenda sana full utawala mapema tu kazi zimeisha mnaanza kufua wengine wanalala. Wakipita wenzenu wanaoenda guantanamo (shamba la vitunguu) wanawaangalia kwa huruma. Jioni mnarudi kambini wasafi na nguo safi!!
 
Umenikumbush 823KJ[emoji1787]
 
duuh! Hii ya kiumeni itakuwa balaa
 

Pole wewe ni general sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…