Niliyoyashuhudia Jeshini

Mimi nimesoma shule ambayo waalimu ni majeda mnaamshwa saa kumi usiku,tunaanza kukimbia tukiimba jua lile lile le mkemama ayaya iya iya mama mnarudia times na times hadi kumepambazula kiwanja mara 10 tu unakimbia ukipumzika unakula teke hadi unazima unatulizwa kama mpira. Unarudia tena na tena hadi saa nne .

So tunajua hilo . Push za kijeda ,sio za kidada, na vingine vingi
 
Huu ni mwandiko wa kike kama ni me kuna shida mahali.

Jamani huyu ni malikia wa nguvu sio Me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…