Lior
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 1,617
- 3,697
Kweli kabisa. Wanazani utaanza mazoezi magumu bila kuandaa mwili.Siku 2/3 misuli inazoea Ila mwanzo unasikia maumivu kidogo na kuchosha mwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa. Wanazani utaanza mazoezi magumu bila kuandaa mwili.Siku 2/3 misuli inazoea Ila mwanzo unasikia maumivu kidogo na kuchosha mwili
Very interesting. Tunasubiri muendelezo.
🤣🤣🤣Enhee
kuna watu mna sixth sense kama usalama wa taifahata mleta uzi kitendo cha kusema tu walienda kuvuna machungwa hauza code hiyo ni mgambo 832 KJ kama sikosei maana kitambo sana ni miaka kumi sasa tangu nitoke huko
Huwezi elewa upo mbali sanaKula kijogoo[emoji848][emoji848][emoji848]
Hamna machungwa tukuna watu mna sixth sense kama usalama wa taifa
Mwache mwenzio ananyonya kwa mama ake kwani mamaakoNdo Tabu ya kulea watoto kimayai yani wewe ni Litoto la Mama..Yani walitakiwa kukunyoosha haswa
Kuruti unagomesha,una maji?kurutiiiii mnywe maji mengi waziii
🤣🤣🤣🤣Mwache mwenzio ananyonya kwa mama ake kwani mamaako
Sema wewe ni Dada, mdada wasichana wasio jitambua ya ni wasichana wa hovyo hovyo tu.Mimi mdada.
Huu ni mwandiko wa kike kama ni me kuna shida mahali.
Jamani huyu ni malikia wa nguvu sio MeYani natamani kuingia kwenye Uzi nilipige mbata..Matoto ya Mama kila kitu linalia tu kama mwanamke[emoji706]..Watoto wa Mama ndio hawa wakikutana na Mitiani ya maisha kidogo tu wanajinyonga,Au kutoa ndogo...Sasa apo poti angesema amuombe TIGO dogo ili apunguziw mazoezi unafkiri huyu Mtoto wa Mama asingetoa??
Watoto wa Mama inabidi mjue Dunia ni katili sana hii lazima uwe MGUMU sio Kuonesha huruma na kulia ovyo Haisaidii.Kuna siku utaishi bila mama ndo utajua dunia ni Katili
Naona unaukataa uraia 😁Mkuu hizi codes kam hazipandi, nenda na bits tu.
Kivipi tena mkuu wanguNaona unaukataa uraia 😁