Niliyoyashuhudia Jeshini

Niliyoyashuhudia Jeshini

Karibu kkoo mzee mwezangu
Ukistaajabu ya Musa hujayaona ya Firauni.

Unamkaribisha mtu kwao? Jisomee kidogo:

 
[emoji2]Kuna mananga yaliweka Rapid badala ya single shots[emoji28]hawa kama msimuliaji walikuwa wanalala muda wa kipindi..

Zikianza kurindima[emoji1]mlio utapenda mbona
Hahaaa mtu anafungua usalama nusu badala ya kufungua hadi mwisho, matokeo yake anapiga rapid anashituka haelewi zimetokajetokaje, siku ya range ilikuwa ni vituko mkuu maafande walikuwa wanatazama comedy show ya bure
 
Bakabaka hayuko serious
Kamwaribia mwenzake… kwani box la condom sh ngapi?

Yan ni sawa makuruti mpendanee.. mapenzi moto moto, mmoja amwambie mwenzake nichore tattoo ya jina langu wakati anajua fika tattoo haziruhusiwi.
Hizo ziko demu Moja Alikuwa service Alikuwa Ana baba mbunye Kwa wadau alikuja kutoswa alikuja kubeba mimba ya service mwenzake
 
Back
Top Bottom