Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Malizia, service man alikupata?Nishaimaliza mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia, service man alikupata?Nishaimaliza mkuu
Karibu kkoo mzee mwezanguUzee ni dawa siyo ugonjwa.
Nina salamu zako dogoNishaimaliza mkuu
Nitakuchek ucjali mdogo wanguNIpe.
Aikooooo tulia wewe raha ya jkt minazi ukutane na ma MP au wale usalama wakukamate kama kuruti hujaiva unamtaja afande service wa watuUsinambie ulikuwa unasimamisha na kukwea sana minazi 😹
Ukistaajabu ya Musa hujayaona ya Firauni.Karibu kkoo mzee mwezangu
Inakuwaga na Vibe la hatari.chenja yangu pendwa
Kimbweku mbweku cheza!Kimbwekombweko cheza!
Kimbekele cheza....🎶
Hongera sana make hizo nafasi kuna kina sisi tunazihitaji lakini imeshindikana kuzipata.Eeeh Siri za jando hizo mkuu🤣🙌
Bibi unanichamba sasa mzee mwenzakoKama huna cha kuongea ni hei ukae kimya kuliko kuhatibu uzi wa watu. Huna haya?
AstaghfirullahSasa "sidiria sidiria" zinahusu nini tena kijana?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hahaha ukafanyaje sasa walikuruhusu ausikutaka kuwa mjinga siku ya intro baada ya kuona hapa sitoboi nilichana pitshot katikati
Umetisha😅👐nimelinda saaana 😅😅😅mi hadi siku ya kiapo nalinda anga
Chuo kiko karibu na nyumbani kwenu?Mbona mko serious hivi?
Mimi mpaka chuo nikiumwa mama atanipeleka hosp, na nikiwa najiskia vibaya vibaya nalia kabisa.. na sio kudeka, sijui ni nini uwa.
ChaiTangu mwaka uanze hii ndio thread niliyosoma kila kitu.
Huwa naishia heading na pages 2 tu.
Hahaaa mtu anafungua usalama nusu badala ya kufungua hadi mwisho, matokeo yake anapiga rapid anashituka haelewi zimetokajetokaje, siku ya range ilikuwa ni vituko mkuu maafande walikuwa wanatazama comedy show ya bure[emoji2]Kuna mananga yaliweka Rapid badala ya single shots[emoji28]hawa kama msimuliaji walikuwa wanalala muda wa kipindi..
Zikianza kurindima[emoji1]mlio utapenda mbona
Au Afande MDUBA, Muhehe huyu, yeye alikua anajisifu kuwa shuleni alifaulu masomo yote kasoro somo la HURUMA tu, hilo alifeli.Ukutane na Afande ngutanyi utaomba poo[emoji23]
Hizo ziko demu Moja Alikuwa service Alikuwa Ana baba mbunye Kwa wadau alikuja kutoswa alikuja kubeba mimba ya service mwenzakeBakabaka hayuko serious
Kamwaribia mwenzake… kwani box la condom sh ngapi?
Yan ni sawa makuruti mpendanee.. mapenzi moto moto, mmoja amwambie mwenzake nichore tattoo ya jina langu wakati anajua fika tattoo haziruhusiwi.