njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Wagunya na jamii moja inaitwa wagiriama kama sikosei hawa ndio kama kabila mama la hawa wadigo tunaowaona kule Tanga kiasili wao wanatokea ukanda wa pwani ya Mambasa kule Kenya tabia zao hawa wote ni watu wa shirki sanaa na uganga mwingi wakati kina moshieKwanini ufikiri hivyo?
Unajua kuna changamoto nyng(nyingine ni ngumu kuziweka wazi zaidi) km nilivyosema hapo kabla ndio maana niliomba kufahamishwa zaid kuhusu hawa walimu km wanawez kuondoka kistaarabu nifanye hvyo mke wng anateseka snUshauri tu, kwanini wewe peke yako huongei na baba mkwe wako, pekeenu kiume (man to man) ?
Ni matumaini yangu utapata ufumbu
Asante kwa ushauri mzuri naahidi kulifanyia kazi ingawa kuna ugumu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wng.Ushauri tu, kwanini wewe peke yako huongei na baba mkwe wako, pekeenu kiume (man to man) ?
Ni matumaini yangu utapata ufumbuzi.
Hata mm nawaza hvyo kwa maelezo ya mke wng alishawahi kunieleza babu yake(ameshafariki) alimkataza kukalishwa chini kutibiwa kwa maana atapokonywa uwezo wake,Wagunya na jamii moja inaitwa wagiriama kama sikosei hawa ndio kama kabila mama la hawa wadigo tunaowaona kule Tanga kiasili wao wanatokea ukanda wa pwani ya Mambasa kule Kenya tabia zao hawa wote ni watu wa shirki sanaa na uganga mwingi wakati kina moshie
Kule mlimani wana uganga wa vitabu sana na wa madawa ya kutibu tu
Unless n wewe ni mshirikinaUnajua kuna changamoto nyng(nyingine ni ngumu kuziweka wazi zaidi) km nilivyosema hapo kabla ndio maana niliomba kufahamishwa zaid kuhusu hawa walimu km wanawez kuondoka kistaarabu nifanye hvyo mke wng anateseka sn
Asante kwa ushauri ndgUnless n wewe ni mshirikina
If not muache tu
Maana utazaa watoto washirikina
Je utapenda watoto wako wateseke
We ushaskia jini linampenda yesu?Arsis nimefanikiwa kupitia visa vyote kuanzia mwanzo mpaka Sasa
Kuna mahali naona ulisema unaaminini mkristo wa kweli ni muislamu unaweza kuielezea hii kauli yako
"Mficha maradhi..."Unajua kuna changamoto nyng(nyingine ni ngumu kuziweka wazi zaidi) km nilivyosema hapo kabla ndio maana niliomba kufahamishwa zaid kuhusu hawa walimu km wanawez kuondoka kistaarabu nifanye hvyo mke wng anateseka sn
Angechapia mwenzako tena ujue ni " mkiristo" ungeacha hata kukaanga vitumbua vyako hapo ukamkosoe yani we mzee una matatizo wewe😂😂😂naradhi
Huwa sikisii.Angechapia mwenzako tena ujue ni " mkiristo" ungeacha hata kukaanga vitumbua vyako hapo ukamkosoe yani we mzee una matatizo wewe😂😂😂
Solution yake huyo ni shirkiAsante kwa ushauri ndg
Mimi sio mshirikina na siombi kufanya ushirikina iwe kwa kujua ama kwa kutokujua,Mungu wetu anauchukia ushirikina.
Kumuacha ni ngumu
malengo yng nimsaidie hilo ni jukumu lng km mume siwezi kukimbia.
Kuhusu watoto sizani km nitakuwa na amani nikiona wakiteseka,ndio maana nipo hapa kuomba msaada.
...Kifo humuumbua🙁"Mficha maradhi..."
Niombee tusifikie kwny shirki na mm sihitaji shirki ndio maana sikwenda kwa waganga.Solution yake huyo ni shirki
I wish you all the best
Nakuombea sana my brotherNiombee tusifikie kwny shirki na mm sihitaji shirki ndio maana sikwenda kwa waganga.
Nilivyopitia huu uzi nina matumaini kuna namna nzr nitasaidiwa hapa
Asante sn nami nakuombea kheri ndugu.
Unaandika vizuri tu. Nimekuelewa.Habari zenu ndugu zangu?
Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mleta mada na wachangiaji wote kwa ujumla.
Kuna elimu kubwa iliyojificha wengi hatuifahamu vzr lakini kwa mapitio yanayowasilishwa tumejikuta mengi kati yao yanatuhusu kwa kiasi fulani,kama halijakugusa wewe basi kuna mtu unamfahamu anapitia haya hata kwa uchache.
Natanguliza samahani km nitakuwa nmetoka nje ya mada.
Mimi nina mke na tumefunga ndoa miezi 4 iliyopita, umri wetu ni 20's. Tangu tumeoana kumekuwa na changamoto ambazo nyingi kati ya hizo ni kwa mke wangu kupata maradhi ya mara kwa mara na ndoto za ajabu nyingine za vitisho nyingine za maelekezo(kama maono juu ya kitu fulani) kwa maelezo yake mke wangu anasema yeye ana walimu tangu alivyokuwa mdogo na alipofikisha umri fulani baba yake aliwafunga hao walimu kwa maana walikuwa wakimuonesha vitu ambavyo vipo juu ya umri wake(mfano kuona uchawi au kitu kibaya)
Natamani kumsaidia mke wng lakini ukweli mimi sifahamu chochote kuhusu hao walimu na sijui nianzie wapi maana nikimshauri mke wng twende kwa baba yake anakataa hataki hata kusikia.
Nahitaji msaada kwa yoyote atakaekuwa na uelewa wowote juu ya hili, mke wng ana asili ya tanga amechanganya kabila la msambaa na mgunya.
Samahani kama kutakuwa na uwasilishaji mbaya kwny uandishi mimi sio mzoefu wa kuchangia hoja hapa jamii forum.
Shukrani kwenu M/mungu awabaribiki nyinyi na vizazi vyenu.
Nadhani Maulamaa wameelezea yao kwa kina nyuma huko, kuna wanaosema Malaika, kuna wanaosema Jini.Hapa huyu qareen anasimama kama kiumbe gani?
Umenichanganya sana, niliwahi kuona hii;Wagunya na jamii moja inaitwa wagiriama kama sikosei hawa ndio kama kabila mama la hawa wadigo tunaowaona kule Tanga kiasili wao wanatokea ukanda wa pwani ya Mambasa kule Kenya tabia zao hawa wote ni watu wa shirki sanaa na uganga mwingi wakati kina moshie
Kule mlimani wana uganga wa vitabu sana na wa madawa ya kutibu tu
Kwa sababu Waislam ndie wanaomfata Kristo, kwa matendo yao. Wao wanamwita "Masih", maana ni hio hio "kristo".Arsis nimefanikiwa kupitia visa vyote kuanzia mwanzo mpaka Sasa
Kuna mahali naona ulisema unaaminini mkristo wa kweli ni muislamu unaweza kuielezea hii kauli yako
Jini kwa lugha ya Kiarabu ni kitu kilichoficha, chukulia mfano hapa hapa Jamii Forums, asilimia kubwa tumejificha. Naamini Asilimia kubwa hapa tunampenda Yesu.We ushaskia jini linampenda yesu?
FF, hao chukulia ni wajukuu zako, wanakuchokoza makusudi upandishe.Huwa sikisii.
Unaonesha hata unachokisoma hukielewi.
Sikosowi wanaochapia (typos), nakosowa wanaokosea pa kuweka R na L.
Badala ya mahali mtu anaandika mahari na badala ya mahari mtu anaandika mahali.
Umenielewa au ndiyo shule za kusomea ujinga?