Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kwanini ufikiri hivyo?
Wagunya na jamii moja inaitwa wagiriama kama sikosei hawa ndio kama kabila mama la hawa wadigo tunaowaona kule Tanga kiasili wao wanatokea ukanda wa pwani ya Mambasa kule Kenya tabia zao hawa wote ni watu wa shirki sanaa na uganga mwingi wakati kina moshie
Kule mlimani wana uganga wa vitabu sana na wa madawa ya kutibu tu
 
Ushauri tu, kwanini wewe peke yako huongei na baba mkwe wako, pekeenu kiume (man to man) ?

Ni matumaini yangu utapata ufumbu
Ushauri tu, kwanini wewe peke yako huongei na baba mkwe wako, pekeenu kiume (man to man) ?

Ni matumaini yangu utapata ufumbuzi.
Asante kwa ushauri mzuri naahidi kulifanyia kazi ingawa kuna ugumu kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wng.
Unajua kuna changamoto nyng(nyingine ni ngumu kuziweka wazi zaidi) km nilivyosema hapo kabla ndio maana niliomba kufahamishwa zaid kuhusu hawa walimu km wanawez kuondoka kistaarabu nifanye hvyo mke wng anateseka sn
 
Wagunya na jamii moja inaitwa wagiriama kama sikosei hawa ndio kama kabila mama la hawa wadigo tunaowaona kule Tanga kiasili wao wanatokea ukanda wa pwani ya Mambasa kule Kenya tabia zao hawa wote ni watu wa shirki sanaa na uganga mwingi wakati kina moshie
Kule mlimani wana uganga wa vitabu sana na wa madawa ya kutibu tu
Hata mm nawaza hvyo kwa maelezo ya mke wng alishawahi kunieleza babu yake(ameshafariki) alimkataza kukalishwa chini kutibiwa kwa maana atapokonywa uwezo wake,
Na yeye mwnyw anasema anaogp kwenda kwa baba anahisi kuna vitu anataka kumpokonya avifanyie kazi kwny mambo yake ya tiba
Note:baba na babu(amefariki) wote ni watu wa tiba asili
 
Unajua kuna changamoto nyng(nyingine ni ngumu kuziweka wazi zaidi) km nilivyosema hapo kabla ndio maana niliomba kufahamishwa zaid kuhusu hawa walimu km wanawez kuondoka kistaarabu nifanye hvyo mke wng anateseka sn
Unless n wewe ni mshirikina

If not muache tu

Maana utazaa watoto washirikina

Je utapenda watoto wako wateseke
 
Unless n wewe ni mshirikina

If not muache tu

Maana utazaa watoto washirikina

Je utapenda watoto wako wateseke
Asante kwa ushauri ndg

Mimi sio mshirikina na siombi kufanya ushirikina iwe kwa kujua ama kwa kutokujua,Mungu wetu anauchukia ushirikina.

Kumuacha ni ngumu
malengo yng nimsaidie hilo ni jukumu lng km mume siwezi kukimbia.

Kuhusu watoto sizani km nitakuwa na amani nikiona wakiteseka,ndio maana nipo hapa kuomba msaada.
 
Unajua kuna changamoto nyng(nyingine ni ngumu kuziweka wazi zaidi) km nilivyosema hapo kabla ndio maana niliomba kufahamishwa zaid kuhusu hawa walimu km wanawez kuondoka kistaarabu nifanye hvyo mke wng anateseka sn
"Mficha maradhi..."
 
Angechapia mwenzako tena ujue ni " mkiristo" ungeacha hata kukaanga vitumbua vyako hapo ukamkosoe yani we mzee una matatizo wewe😂😂😂
Huwa sikisii.

Unaonesha hata unachokisoma hukielewi.

Sikosowi wanaochapia (typos), nakosowa wanaokosea pa kuweka R na L.

Badala ya mahali mtu anaandika mahari na badala ya mahari mtu anaandika mahali.

Umenielewa au ndiyo shule za kusomea ujinga?
 
Asante kwa ushauri ndg

Mimi sio mshirikina na siombi kufanya ushirikina iwe kwa kujua ama kwa kutokujua,Mungu wetu anauchukia ushirikina.

Kumuacha ni ngumu
malengo yng nimsaidie hilo ni jukumu lng km mume siwezi kukimbia.

Kuhusu watoto sizani km nitakuwa na amani nikiona wakiteseka,ndio maana nipo hapa kuomba msaada.
Solution yake huyo ni shirki

I wish you all the best
 
Habari zenu ndugu zangu?

Kwanza kabisa nitoe pongezi za dhati kwa mleta mada na wachangiaji wote kwa ujumla.

Kuna elimu kubwa iliyojificha wengi hatuifahamu vzr lakini kwa mapitio yanayowasilishwa tumejikuta mengi kati yao yanatuhusu kwa kiasi fulani,kama halijakugusa wewe basi kuna mtu unamfahamu anapitia haya hata kwa uchache.

Natanguliza samahani km nitakuwa nmetoka nje ya mada.
Mimi nina mke na tumefunga ndoa miezi 4 iliyopita, umri wetu ni 20's. Tangu tumeoana kumekuwa na changamoto ambazo nyingi kati ya hizo ni kwa mke wangu kupata maradhi ya mara kwa mara na ndoto za ajabu nyingine za vitisho nyingine za maelekezo(kama maono juu ya kitu fulani) kwa maelezo yake mke wangu anasema yeye ana walimu tangu alivyokuwa mdogo na alipofikisha umri fulani baba yake aliwafunga hao walimu kwa maana walikuwa wakimuonesha vitu ambavyo vipo juu ya umri wake(mfano kuona uchawi au kitu kibaya)

Natamani kumsaidia mke wng lakini ukweli mimi sifahamu chochote kuhusu hao walimu na sijui nianzie wapi maana nikimshauri mke wng twende kwa baba yake anakataa hataki hata kusikia.
Nahitaji msaada kwa yoyote atakaekuwa na uelewa wowote juu ya hili, mke wng ana asili ya tanga amechanganya kabila la msambaa na mgunya.

Samahani kama kutakuwa na uwasilishaji mbaya kwny uandishi mimi sio mzoefu wa kuchangia hoja hapa jamii forum.

Shukrani kwenu M/mungu awabaribiki nyinyi na vizazi vyenu.
Unaandika vizuri tu. Nimekuelewa.

Nadhani kuna mtu alikushauri juu hapo uongee na baba ya mkeo. Naunga mkono ile hoja. Nahisi ni pazuri kwa kuanzia.

Ushauri wangu, usiwe na hisia (emotions) kali za huruma kwa mkeo mpya kwa sasa. Mkazanie kila yanapomtokea, ashike sala na ibada.

Kama ana majini tena ni Walimu kama asemavyo, hayana sababu ya kumtesa. Yanamtesa ili iweje? Si yamfundishe tu?

Pia kama yamefungwa na babake, vipi yatamtesa?

Huyo mkeo anapima kina cha maji kwa sasa. Usiwe na hisia za huruma kabisa na mwambie ashike ibada, kama hivyo vishetani ni walimu basi watajitokeza bila kumtesa na hawatopanda au kuongea kupitia kumwingia yeye, watakua wanampa ndoto au wanawasiliana nae kwa fikra (telepathically).

Nahisi kama mkeo anadeka, lakini anadeka kwa njia alizokulia nazo kwenye malezi yake. Usimwendekeze.
Simba.
 
Hapa huyu qareen anasimama kama kiumbe gani?
Nadhani Maulamaa wameelezea yao kwa kina nyuma huko, kuna wanaosema Malaika, kuna wanaosema Jini.

Binafsi nachukulia maana ya neno jini kwa lugha (kisichoonekana), hata binadam asieonekana anaejificha, ni jini pia.

Tutaona mbele huko ufafanuzi wangu unatokana na nini.
Simba.
 
Wagunya na jamii moja inaitwa wagiriama kama sikosei hawa ndio kama kabila mama la hawa wadigo tunaowaona kule Tanga kiasili wao wanatokea ukanda wa pwani ya Mambasa kule Kenya tabia zao hawa wote ni watu wa shirki sanaa na uganga mwingi wakati kina moshie
Kule mlimani wana uganga wa vitabu sana na wa madawa ya kutibu tu
Umenichanganya sana, niliwahi kuona hii;


View: https://youtu.be/0QO0c9PTdew?si=T36RFQYx7Pl1nI5P
Simba.
 
Arsis nimefanikiwa kupitia visa vyote kuanzia mwanzo mpaka Sasa

Kuna mahali naona ulisema unaaminini mkristo wa kweli ni muislamu unaweza kuielezea hii kauli yako
Kwa sababu Waislam ndie wanaomfata Kristo, kwa matendo yao. Wao wanamwita "Masih", maana ni hio hio "kristo".
Simba.
 
We ushaskia jini linampenda yesu?
Jini kwa lugha ya Kiarabu ni kitu kilichoficha, chukulia mfano hapa hapa Jamii Forums, asilimia kubwa tumejificha. Naamini Asilimia kubwa hapa tunampenda Yesu.
Simba.
 
Huwa sikisii.

Unaonesha hata unachokisoma hukielewi.

Sikosowi wanaochapia (typos), nakosowa wanaokosea pa kuweka R na L.

Badala ya mahali mtu anaandika mahari na badala ya mahari mtu anaandika mahali.

Umenielewa au ndiyo shule za kusomea ujinga?
FF, hao chukulia ni wajukuu zako, wanakuchokoza makusudi upandishe.
Simba.
 
Back
Top Bottom