Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Uzi huu umeongelea mambo mazito sana ambayo wengi hawakuwahi kuyajuwa, lakini FF kuleta porojo za Manara na Mobeto na Simba unajaa kwenye 18 zake ni kuukosea adabu uzi huu wenye platinum zake.

Siasa za Simba na Yanga zinajulikana wazi, mechi za Yanga zinachezwa nje ya uwanja na wapinzani wake kuipunguza Yanga nguvu.

Yanga kuhama uwanja wa Azam wapo sahihi wanahujumiwa, tatizo la kocha anafuata utaratibu wa ulaya wachezaji wana muda wa maisha yao binafsi na vaada ya mechi wanapewa ruhusa warudi nyumbani siyo kukaa kambini muda wote.

Zama za Manara zimekwisha, Ally Kamwe ndio mahitaji ya wakati, huyo chizi Manara wamemshindwa ccm.

Kwenye uzi huu ukituletea porojo za machizi kama Manara utakuwa unatukosea sana.
 
Hujamalizia maswali yake.
 
Niko na swali kuhusu hadithi kadhaa,
1. Naomba kufaham kuhusu Anunaki, je kweli wapo??
Je ni kweli ndio wameumba binadamu??
Je ni kweli wametokea sayari inayoitwa Nibiru??

2. Naomba kufaham kuhusu na Enki na Enrili.

3. Je kuna vita yoyote ya kiroho iliyopo Kati ya majini na binadamu? Nauliza hvyo kulingana na uelewa wa kibinadamu. Rejea changamoto za watoto wa kike wengi kuanguka au kuumwa wakiwa mashulen kibinadamu hali hiyo tunaihusisha na matendo ya majini.

Nataman kufaham kama kuna bifu Kati yetu nn chanzo chake??

Ahsante
 
Uliniambia nitafute ni sura ngapi zilizoanza na alif, lam na miim kisha nitafute jumla yake kwa kutumia abjad, Alafu nitafute sura zilizoanza na alam.
Nilikujibu ila ukanambia idadi ya abjad nimekosea, Nimejaribu kutafuta njia nyingine nimekosa zaidi ya ile niliyotumia.
Elezea hiyo elimu ya Ladoun ni ya namna gani na aya zipi katika quran zimeelezea, Hili ni jipya kwangu kabisa.
 
Vionjo muhimu, hata kwenye mchuzi, leo ndimu, kesho limao, jesho kutwa embe mbichi.
 
Ndio hio ern
Mimi nadhani anayomaanisha Ndiyo hiyo wengine hudhani kuna jina la Allah la siri.
 
Majibu yako yamenipa maswali zaidi, Nivumilie tu.
1. Je jina Hilo lipo katika yale majina 99
2. Nimejaribu kupitia baadhi ya hadith nimeona viashiria kuwa jina la AL HAYYU AL QAYUMM huenda ndio ismul adhwam je hilo ni kweli? Kama sio kweli kuna uhusiano wowote wa jina Hili na ismul adhwam ?
Mwisho, Naomba ueleze jina Hilo linavyojulikana na maulamaa wengine?
 
Arsis tafadhali kwa mara nyingine nakuomba utuelekeze tiba ya kuondoa sheitwan wa kukufanyisha zinaa(jini mahaba) kwa sababu hii changamoto itapelekea kuvunja ndoa za watu wengi kwa sababu watu wenye uwezo wa kutatua jambo hilo ni wachache na kuwajua ni mtihani!, Ulieleza kikubwa ni taqwa,adhkar na istighfar nakubali lakini kumbuka vyote hivi vifanyike vikiambatan na matendo mema na subra na wakati huo huo mwenza wako anaona hutimizi wajibu wako kwa kushindwa kumfikisha(upungufu wa nguvu uliosababishwa na sheitwan huyo wa kijini) mwisho wa siku huwezi ukawa na taqwa ya kweli kama una stress,tafadhali nakuomba iwe ni wewe au sheikh bakora kwa idhini ya Mungu unisaidie kuundoa mtihani huu mimi na wenzangu unaotutesa.
 
Arsis naomba msaada wako mkuu Mimi ni mzaliwa wa bombo hospital nimekulia tanga usagara mabangi kingstone kama unapafahamu niko na mdogo wangu anaenifatia badala yangu alipata ajali ya pikipiki alipelekwa muhimbili kwa uwezo Mwenyezimungu alimbariki akapona lakini shida inakuja kauli hana kama mwanzo aongei vizur kama alivo kuwa mwanzo maneno hayamtoki vizuri kabisa hakuna tiba itayoweza msaidia arudi kama mwanzo naitaji msaada wako Bro
 
marahaba.
Sasa anko Arsis sijaelewa vizuri uliposema nimeoteshwa kazi yangu bila mimi kujijua

Ni kweli inaweza kuwa hivyo ila sasa ni kazi gani hiyo? Ndoto nyingi niotazo huwa sikumbukagi niamkapo

Naomba Arsis aniambie ni kazi gani hiyo Tafadhari🙏🙏
 
Usipo taja ukristo unapungukiwa nini kama unaona uislamu unafaa acha kushupaza shingo komaa na dini yako mkuu itakupeleka peponi
Hiyo itakuwa 'the peak of selfishness' Tumeumbwa tumtakie mazuri binadamu mwenzangu. Mimi naona Uislamu ni dini mustakim sana na inakidhi matakwa na majaribio ya akili. Nisimtakie mwingine hilo? Maana unajuaje kama huyo ameingia huko kutokana na kutofikiria au bila kupenda? Halafu sisi Waislamu tuna msemo mmoja: ' Naamini niko katika ukweli lakini pengine nakosea. Na naamini mwengine yuko katika upotevu, lakini pengine amepata!' Ndiyo maana nina vitabu sita vitakatifu vya dini na falsafa nyingine nyumbani kwangu navitalii mara kwa mara, ingawaje binafsi nimefasiri Qur'an Tukufu!
 
Nadhani
Nadhani tatizo lako kubwa ni elimu. Hii simaanishi kukutweza bali kukutia hamasa uanze kujisomea. Juu ya utafiti, suala hilo nimeshalijibu. Vitabu nilivyosoma juu ya Uislamu kwa Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa ni vingi hata sijui nikuongoze kwa kipi. Binafsi nimefasiri Qur'an kwa Kiswahili. Kama una idea tu juu ya uwezo hu, utakisia uelewa wangu nilionao. Huwezi kufasiri Qur'an kwa ustadi bila kupitia Bible. Hadithi nyingi zilizomo kwenye Bible zinaelezewa vizuri katika Qur'an. Mary, mama wa Yesu, nadhani ametajwa mara mbili tatu kwa jina katika Bible. Katika Qur'an ana chapter nzima iitwayo Mary!
Tafuta kitabu "Mohammad, the Natural Successor to Christ' by Ahmed Deedat, au 'Muhammad' by Karen Armstrong.
Juu ya Waarabu kuendelea kuwa Wakristo, hilo ni ushahidi kwa Uislamu haukuwalazimishi watu kwa nguvu kujiunga nao pale ulipofik mjini. Kuna Wamisri milioni 22 Wakriso, Walebanon milio3 Wakristo, Wapalestina, Wa Iraq hata Wairan wengi tu. Waislamu waliitawala India kwa karne kadhaa, lakini hadi leo kuna Mabaniani! Sidhani kama Wakristo wangelikubali hilo. Sehemu zote ambako majeshi ya Kiislamu yalifika yaliwapa hiari wakazi, aidha kusilimu au kulipa kodi. Kodi hii ilikuwa ni gharama ya ulinzi wao, vile hawakulazimika kuingia jeshini au kupigana na adui.
Kama wewe umeusoma Ukristo vizuri, kwanza nieleze nini maana ya ' Conquistadors' na jee unajua stori ya Joan of Arc? Na kwa nini Latin America yote wamekuwa Wakristo? Ambapo kabla ya kufika Wa Spanish walikuwepo Wahindi na Waislamu? Wamekwenda wapi Waislamu na Wayahudi wote wa Spain, wakati Spain kwa miaka 600 iikuwa chini ya Waislamu? Jibu nikujue umesoma!
 
Kwanza katika Kiswahili hakuna neno 'dhehebu' ni 'madhehebu' hata likiwa moja.
Pili: tunapozungumzia Uislamu na Ukristo hapa hatutazami madhehemu gani. Hayo ni masuala ya ndani mtajuana nyie wenyewe. Kwetu Ukristo ni Ukristo tu, kama ambavyo ukizungumzia Uislamu unazungumzia wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…