fmlyimo
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 330
- 210
Tiktok unatumia jina gani?Upo hai, ni mimi majukumu yameizidi kimo sipati muda wa kuingia hapa, nipo sana tiktok.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tiktok unatumia jina gani?Upo hai, ni mimi majukumu yameizidi kimo sipati muda wa kuingia hapa, nipo sana tiktok.
Ata mimi ningependa kujua niishachoka kugoogle "Arsis"Tiktok unatumia jina gani?
Siku za usoni utayaona mengi sana kuhusu majini kwenye uzi huu. Usidhani ndio tumemaliza, ndio kwanza tunaanza.Endelea kutafta mahali wakristo wamepata jina Yesu lakini kwa jina hilo mapepo yanatoka.. viwete wanatembea.. wagonjwa wanapona.. wafu wanafufuliwa..
Mnafocus na vitu visivyo na maana as if mkionyeshwa mtaamini.. msipoteze wakati
Natumia jina hilihili la Arsis lakini huko siongelei majiniAta mimi ningependa kujua niishachoka kugoogle "Arsis"
EWaislam tunaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuna wa taifa fulani au kabila fulani. Kumgawa Mwenyezi Mungu Kimataifa au kikabila ni kumshirikisha na kufuru Kiislam."Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israel uulize neno kwake, hata unaenda kuuliza kwa Baal ze bubu, Mungu wa ekron?"
Mie mbona Aris kashindwa kukupa taarifa zangu.. au kapofukaWale wanaokuja pm (dm) kwa mambo yao, tafadhali ongeeni hapahapa jukwaa la wazi, huu uzi wa mafunzo hatuwezi kuongea siri, tunataka iwe faida kwa wengi.
Usidhani tatizo lako ni lako peke yako.
Majini wa kishetani ni laghai na waongo sana. Lengo lao uwache kumwabudu Mwenyezi Mungu uwaabudu wao. Sijaisikia kauli ya Dr. Sule, siwezi kuijibu.Mjinga kivipi ?
Kama Sulemani aliyatumia Majini mema katika kumsaidia kufanyia kazi mbali mbali, kwanini mimi nisiichukue hiyo fulsa ili kujiongezea kipato?
Tambua kua kiumbe chochote duniani kinaweza kutumika katika shughuri za kuinua uchumi.
Punda anatumika kubeba mizigo, Ng'ombe anatumika katika shughuri za Kilimo.
Kwanini wewe umekasirika sana niliposema mtoa mada anisaidie kunipa majini kazi kama anauzoefu kwa upande huo?
Je ni kwanini wewe hupendi mimi kupata msaada toka kwa majini wema ?
Kumbuka ni Juzi Dr. Sule alitamka kuwa;
"Kuwatumia Majini wema kujiongezea kipato sio dhambi"
Ni kwanini wewe hutaki mimi kutumia hiyo fulsa?
Arsis hafanyi kazi za kujua au kuchunguza taarifa za watu. Huo ni umbea. Hairuhusiwi Kiislam:Mie mbona Aris kashindwa kukupa taarifa zangu.. au kapofuka
Ni nafsi zinatembeleana.Arsis (simba) habari za siku ya leo mkuu natumai u mzima kabisa
Ukiniuliza hali yanguu ata sielewi asee yaani sijielewi mambo ya ajabu ni mengi mkuu
Wiki hii j3 kama sio j4 kuna mambo ya ajabu yamenitokea ndo nakuja kushtukia leo.... iko hivi mimi naumwa na nina rafiki yangu ambayr anakujaga kunitembelea nyumbani anaweza ata kukaa pia mwezi mzima na zaidi innshort amekuwa kama ndugu.
Sasa hiyo siku ilikuwa jioni kama saa kumi na moja hivi huyo rafiki yangu alikuja na mimi nilikuwa nimelala si unajua usingizi ulivyo mtamu bhana
Alivyokuja hakuniamsha bali mimi ndo niliamka licha kutoosikia mtu kuingia yaani nimefumbua macho na kugeuza kichwa jamaa huyu hapa akaniambia "fresh" kwa ishara na mimi nikajibu then nikagonga tano nikarudi kulala huku nikijua rafiki yangu huwa haondoki nikiwa nimelala badala yake atabaki akicheki zake muvi au aniamshe tupige story za hapa na pale ila hakuniamsha basi nikafumba macho kama nusu saa hivi then nikasema acha nizinguane naye tu maana sio fair mtu anakuja kukuona wewe unalala tu
Ile kufumbua macho hayupo kuwauliza madogo wakasema kaondoka nikasshangaa mbona hajaaga sio kawaida yake hiyo
. Nikajisemea atakuwa ameenda kumsalimia mpenzi wake ambaye ni jirani na kwetu so atarudi tu ila cha ajavu mpaka iinafika saa tatu usiku jamaa hoka
Kuja kumuuliza kwenye simu mbona hakuaga plus lawama leo ndo anajibu anasema hakuja kabisa asee nimeshtuka pengine ni jini amechukua sura yake kuja kuniona, nimefikia hata hatua ya kuwaza pengine mwamba Arsis amekuja kuniona(sorry sir for suspecting you)
Na kama sio jini ni nani sasa huyo maana braza hapa anasema hajaja
Yaani sielewi ata mkuu hapa itakuwa nini sasa?
Endelea kuusoma huu uzi utapata majibu ya kina, lakini kwa ufupi; Ndoto zetu ndio uhalisia "reality ya nafsi zetu na roho zote".kingine ni kuhusu leo baada ya jana usiku kukesha naangalia series moja ya kichina "fangs of fortune" kwenye simu na kutafuta nyuzi za kusoma kuhusu mambo ya kiroho hatimae nikachoka basi nikalala na kama sikosei nimelala saa kumi na mbili asubuhi nikaota ndoto nyingi za ajabu tofauti ila iliyoniamsha yaani kunishtua ni moja nimeota nikiwa nimelala chumbani ghafla kwenye ndoto nikamnasa mchawi uchi kapaka maunga meupe nimembamba analoga chumbani kwangu sijui ndo alikuwa anaanza au amemaliza au ameishia njiani baada ya kumuona(ni mwanamke) basi akataka kutoroka akawa ananinyooshea kidole kama ananisema hivi basi na mimi ikabidi nikemee potelea mbali uoga
Nikaanza kumkemea "kwa jina la yesu shindwaa, fireeeee!! Moto wa yesu unguaaaaa!!" Lakini wapi(kumbuka bado nomelala hapo na ata ndotoni navyokemea nilikuwa nimelala uwezo wa kuamka sina) alafu kama kuna nguvu flanì inanizuia nisiamke yaani nilikuwa najua kabisa naota ila sasa kuamka ndo shida yaani mwili mzima kama unatetema hivi au tuseme kama ganzii flani nimenasa kitandani
WAkati naendelea kukemea mchawi akawa anataka kutoroka dirishani mara akanasa dirishani na ajabu hapo dirishani kuna kiumbe mwingine kanasa ata sijui kama ni mtu ila umbo ni la binadamu na ni mkubwa kiumbo ila yeye hakuwa uchi lakini amenasa
yeye na mwenzake wananiangalia basi mimi nazidisha kukemea na mwisho wa siku nikaweza kuamka ila kichwa kinauma asee
Nini hiyo mkuu na ina maana gani?
Kitu kimoja umewaambia ukweli hawa maamuma ni kuwa Allah sio Mungu ni jini mwenzio, watu wasimuombe Allah, wanatakiwa kumwomba "Illah", huyo ndio mwezi Mungu kwa kiarabu, lakini naona maamuma wamekomaa kumwabudu jini mwenzio AllahEWaislam tunaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuna wa taifa fulani au kabila fulani. Kumgawa Mwenyezi Mungu Kimataifa au kikabila ni kumshirikisha na kufuru Kiislam.
Iwe kikauli au kiitikadi, yote ni kukufuru.
Expert wangu si kila uzi ni wa kila mtu, haikusaidii chochote kuleta kashfa hapa na heshimu imani za wenzioKitu kimoja umewaambia ukweli hawa maamuma ni kuwa Allah sio Mungu ni jini mwenzio, watu wasimuombe Allah, wanatakiwa kumwomba "Illah", huyo ndio mwezi Mungu kwa kiarabu, lakini naona maamuma wamekomaa kumwabudu jini mwenzio Allah
Hewala mtaalaamu wa Qur'an na Kiarabu.Kitu kimoja umewaambia ukweli hawa maamuma ni kuwa Allah sio Mungu ni jini mwenzio, watu wasimuombe Allah, wanatakiwa kumwomba "Illah", huyo ndio mwezi Mungu kwa kiarabu, lakini naona maamuma wamekomaa kumwabudu jini mwenzio Allah
Vipi m@moderator, nani kaupunguza huu uzi, kisa cha Arsis cha Unguja sikioni. Kama mmekifuta si mnatakiwa mtujulishe?Huu uzi kuna visa vya Unguja sivioboi, viumechakachuliwa na nani Moderator?
Ilikuwa nianzie hapo nimalizie kisa cha Comorro, mwenye kupaona tulipoishia Unguja aniponeshe.
SIjakuelewa vizuri mkuu unaposema nafsi zinatembeleana maana elimu yangu ni ndogo sana tena ndogo... labda unifafanulie zaidiNi nafsi zinatembeleana.
Hii tabia ya mods kufuta nyuzi za watu inakera sana... sijui wanafaidika na nini. Wanasema eti where we dare to talk openly na tukiongea vya maana wanafuta ilihali sheria haijakiukwa.Vipi m@moderator, nani kaupunguza huu uzi, kisa cha Arsis cha Unguja sikioni. Kama mmekifuta si mnatakiwa mtujulishe?