Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Endelea kutafta mahali wakristo wamepata jina Yesu lakini kwa jina hilo mapepo yanatoka.. viwete wanatembea.. wagonjwa wanapona.. wafu wanafufuliwa..

Mnafocus na vitu visivyo na maana as if mkionyeshwa mtaamini.. msipoteze wakati
Siku za usoni utayaona mengi sana kuhusu majini kwenye uzi huu. Usidhani ndio tumemaliza, ndio kwanza tunaanza.
 
Wale wanaokuja pm (dm) kwa mambo yao, tafadhali ongeeni hapahapa jukwaa la wazi, huu uzi wa mafunzo hatuwezi kuongea siri, tunataka iwe faida kwa wengi.

Usidhani tatizo lako ni lako peke yako.
 
"Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israel uulize neno kwake, hata unaenda kuuliza kwa Baal ze bubu, Mungu wa ekron?"
EWaislam tunaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuna wa taifa fulani au kabila fulani. Kumgawa Mwenyezi Mungu Kimataifa au kikabila ni kumshirikisha na kufuru Kiislam.

Iwe kikauli au kiitikadi, yote ni kukufuru.
 
Majini wa kishetani ni laghai na waongo sana. Lengo lao uwache kumwabudu Mwenyezi Mungu uwaabudu wao. Sijaisikia kauli ya Dr. Sule, siwezi kuijibu.
 
Mie mbona Aris kashindwa kukupa taarifa zangu.. au kapofuka
Arsis hafanyi kazi za kujua au kuchunguza taarifa za watu. Huo ni umbea. Hairuhusiwi Kiislam:

Q 49:12. Enyi mlio amini! Jiepusheni na dhana nyingi, kwani baadhi ya dhana ni dhambi. Wala msipelelezane, wala msisengenyane nyinyi kwa nyinyi. Je! Yupo katika nyinyi anaye penda kuila nyama ya nduguye aliye kufa? Mnalichukia hilo! Na mcheni Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kupokea toba, Mwenye kurehemu
 
Ni nafsi zinatembeleana.
 
Endelea kuusoma huu uzi utapata majibu ya kina, lakini kwa ufupi; Ndoto zetu ndio uhalisia "reality ya nafsi zetu na roho zote".
 
Huu uzi kuna visa vya Unguja sivioboi, viumechakachuliwa na nani Moderator?

Ilikuwa nianzie hapo nimalizie kisa cha Comorro, mwenye kupaona tulipoishia Unguja aniponeshe.
 
EWaislam tunaamini Mwenyezi Mungu ni mmoja tu, hakuna wa taifa fulani au kabila fulani. Kumgawa Mwenyezi Mungu Kimataifa au kikabila ni kumshirikisha na kufuru Kiislam.

Iwe kikauli au kiitikadi, yote ni kukufuru.
Kitu kimoja umewaambia ukweli hawa maamuma ni kuwa Allah sio Mungu ni jini mwenzio, watu wasimuombe Allah, wanatakiwa kumwomba "Illah", huyo ndio mwezi Mungu kwa kiarabu, lakini naona maamuma wamekomaa kumwabudu jini mwenzio Allah
 
Kitu kimoja umewaambia ukweli hawa maamuma ni kuwa Allah sio Mungu ni jini mwenzio, watu wasimuombe Allah, wanatakiwa kumwomba "Illah", huyo ndio mwezi Mungu kwa kiarabu, lakini naona maamuma wamekomaa kumwabudu jini mwenzio Allah
Expert wangu si kila uzi ni wa kila mtu, haikusaidii chochote kuleta kashfa hapa na heshimu imani za wenzio

Jf ni kubwa sana,tembelea majukwaa mbali mbali utakutana na mambo yenye hadhi yako
 
Kitu kimoja umewaambia ukweli hawa maamuma ni kuwa Allah sio Mungu ni jini mwenzio, watu wasimuombe Allah, wanatakiwa kumwomba "Illah", huyo ndio mwezi Mungu kwa kiarabu, lakini naona maamuma wamekomaa kumwabudu jini mwenzio Allah
Hewala mtaalaamu wa Qur'an na Kiarabu.

Wewe tuwache sisi na ujinga wetu tumuabudu Allah, wewe abudu umpendae.
 
Huu uzi kuna visa vya Unguja sivioboi, viumechakachuliwa na nani Moderator?

Ilikuwa nianzie hapo nimalizie kisa cha Comorro, mwenye kupaona tulipoishia Unguja aniponeshe.
Vipi m@moderator, nani kaupunguza huu uzi, kisa cha Arsis cha Unguja sikioni. Kama mmekifuta si mnatakiwa mtujulishe?
 
Vipi m@moderator, nani kaupunguza huu uzi, kisa cha Arsis cha Unguja sikioni. Kama mmekifuta si mnatakiwa mtujulishe?
Hii tabia ya mods kufuta nyuzi za watu inakera sana... sijui wanafaidika na nini. Wanasema eti where we dare to talk openly na tukiongea vya maana wanafuta ilihali sheria haijakiukwa.

Kama sio kukosesha watu maarifa ni nini?? Maana kuna wengine hawajasoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…