mose
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 422
- 395
Shams al Maarif na Shams al Maarif al Kubra...Wasomi wengi wa dini hasa Sunni wanawachukulia sufi kama watu wasio katika usahihi hii ni kutokana na mambo yao hasa wengi kujihusisha na mambo ya uganga ijapokuwa wapo masufi wanaelimu kubwa tuu na ni wachamungu kwelikweli.
Moja katika masufi wakubwa ni huyu Ahmad Al Buni yeye aliandika kitabu maarufu kiitwacho Shams al maarifa inadaiwa ni kitabu cha uganga na mambo ya talasimu.
....
@};--
Tanzania imekuwa na watu ‘Wateule’ wachache walioitengeneza njia na misingi ya ‘mageuzi/mapinduzi’ ya mifumo inatawala ‘Dunia ya Leo’ na hali, KWA SASA 2024, tupo kwenye kipindi cha ‘Lala Salama’, siku za mwisho za mifumo inayovuna ujinga na upoyoyo wa umma ambao haujazinduka. Basi ndiyo amani ya dunia inalega lega na kupitia changamoto nyingi kwa kuwa ‘vita na machafuko huku na kule’ ni koroga koroga na kukorogana kwa ‘wahuni’ katika jamii – jamii zilizo kwenye ‘mazingira hatarishi’ ama hata pia ‘zilizoendelea’; mambo ya ‘vipakazio’ vya kuepa mielekeo ya midololo wa kiuchumi na mifumo/siasa mbovu za tawala.
Tanzania Mpya na basi ‘Afrika Mpya’, Afrika 2.0, haiwezi kujitenga na madhila ya upepo mbovu wa kiuchumi, tawala na amani Duniani. Kusudi la kujihami na mambo haya, kwa Tanzania, lilitaasishwa kwa shughuli ya siasa za Chama cha Watu, Chama cha Wananchi—Chama cha Mapinduzi.
Haya yatukumbushe ukweli wa dhahabu, Afrika 2.0—Afrika Mpya, ni ushindi wa wanadamu wa sura na rangi zote. Mwalimu Kambarage Nyerere, alipodhihiri tamko la Chama cha Mapinduzi kuhusu dhamira na mwongozo kwa ajili ya kushirikiana ili kuleta ‘Haki na Amani’ Duniani, nia yake ilikuwa moja na ‘Roho ya Ushindi’:
“Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania washirikiane na Waafrika wenzao kuleta uhuru na umoja katika Afrika nzima. Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania washirikiane na binadamu wenzao kuleta haki na amani duniani; Chama Cha Mapinduzi ni Chama cha watu; Chama Cha Mapinduzi kitaongoza kutoka miongoni mwa watu na kitaongoza kikiwa ni sehemu ya Watanzania maana wananchi ndio waliokiunda Chama Cha Mapinduzi kiwe chombo chao na kiongozi wao”
Mwenge wa Uhuru, ni shughuli ya kuchochea ‘Utaamuliko Jamii’ kwa ajili ya Afrika na Dunia Mpya—kupitia ‘UTU Mpya’; Mwanzo wa ‘Jua la Maarifu’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=Po2R9IbJCAE
====
Tanzania Mpya na basi ‘Afrika Mpya’, Afrika 2.0, haiwezi kujitenga na madhila ya upepo mbovu wa kiuchumi, tawala na amani Duniani. Kusudi la kujihami na mambo haya, kwa Tanzania, lilitaasishwa kwa shughuli ya siasa za Chama cha Watu, Chama cha Wananchi—Chama cha Mapinduzi.
Haya yatukumbushe ukweli wa dhahabu, Afrika 2.0—Afrika Mpya, ni ushindi wa wanadamu wa sura na rangi zote. Mwalimu Kambarage Nyerere, alipodhihiri tamko la Chama cha Mapinduzi kuhusu dhamira na mwongozo kwa ajili ya kushirikiana ili kuleta ‘Haki na Amani’ Duniani, nia yake ilikuwa moja na ‘Roho ya Ushindi’:
“Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania washirikiane na Waafrika wenzao kuleta uhuru na umoja katika Afrika nzima. Kazi ya Chama Cha Mapinduzi ni kuwaongoza Watanzania washirikiane na binadamu wenzao kuleta haki na amani duniani; Chama Cha Mapinduzi ni Chama cha watu; Chama Cha Mapinduzi kitaongoza kutoka miongoni mwa watu na kitaongoza kikiwa ni sehemu ya Watanzania maana wananchi ndio waliokiunda Chama Cha Mapinduzi kiwe chombo chao na kiongozi wao”
Mwenge wa Uhuru, ni shughuli ya kuchochea ‘Utaamuliko Jamii’ kwa ajili ya Afrika na Dunia Mpya—kupitia ‘UTU Mpya’; Mwanzo wa ‘Jua la Maarifu’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=Po2R9IbJCAE
====
Jua la Maarifu
Imani ni safari kwa ajili ya Hakika ya UTU na Uisho.
Siku za zamani, faraja ya Msafiri ni Dua yake na Imani, kwamba ijapokuwa akatiza katika ukonde wa uvuli wa mauti hatahofia Uovu.
‘Utaamuliko Jamii’ pia ni saga ya Msafiri; jamii inahitaji nguzo za imani kwa ajili ya safari yake ya matumaini – matumaini ya kuenenda salama.
Ijapokuwa jamii tofauti zimepata kufikiwa na miongozo ya kheri kwa ajili ya maisha na kuishi, jamii ya leo, tuseme 2024, bado inahitaji lile lile la ‘funguo za Maarifa’ kwa ajili ya kheri na salama ya maisha ya kileo.
Kiuono na ufikirifu mifumo, safari ya kujitafuta kiroho ina hatua tatu (1) Ya Nje, (2) Ya Mpito, na (3) Hatma ilivyo basi ni (A) Miongozo/Sheria, (B) Mbinu/vitendo imani, na (C) matunda ya kuiva na kukomaa kiroho. Kwa mintarafu ya haya, mambo ya nje ndiyo muktadha akilifu wa mapokeo ya kimila, desturi na sheria; mambo ya mpito ni muktadha akilifu wa ‘kaida/sala/miditisha; na mambo ya hatma ni Utaamuliko, Kujitambua, Kuifahamu KWELI.
Elimu 1.0 inahusu ‘Ya nje’; inaweza kusadifu mengi ya ‘maarifa ama/na kujua’ lakini kiufundi ni uelewa wa juu juu wa mambo. Elimu iliyotamalaki duniani—ya kuanzia chekechea hadi chuo kikuu, kiufundi, bado ni Elimu 1.0; inakidhi fahamu za mawazo na fikra kwa sura za juu juu lakini ‘haina kina hasa’ cha ukweli wa mambo… Hili ndilo linalotaka hata ‘Maarifa ya Dini’ yaje kujaribu kukamilisha ‘kiu cha maarifa’ ya Kweli.
Elimu 2.0 inahusu ‘Ya Mpito’; ni njia ya hekima kwa kuwa Uono na Ufikirifu Mifumo ni shughuli ya kutangamanisha kinachojulikana na kile kisichojulikana pasipo ‘Kasumba’ bali ‘Ushahidi’ wa Muktadha Akilifu wa Ushahibiano wa Mambo. Hili ndilo linalotengeneza nasibu ya ‘Kuipa Kina’ Elimu 1.0 kwa yale yafahamikayo kwa ufasaha. Basi ndiyo yawa, Elimu 2.0 ni daraja la ‘yenye ukomo’ na ‘yale yasiyo na ukomo’ kwa kuwa ‘mapengo ya maarifa/maarifu’ daima yanakubalika; kilicho ni fumbo kinabaki kuwa fumbo na kinachojulikana kinayakinishwa kwa mapana, marefu na kina cha mashauri.
Elimu 3.0 inahusu ‘Hatma’; ni hitimisho la mafikara na mwanzo wa ‘Kuya-JUA’ yote. Kiufundi kuyajua yote, ni uweza na upeo wa kutangamanisha yanayojulikana na yasiyojulikana kwa ‘Taamuli’ na ‘Umbonishaji fahamu Sahihi’ wa mapana, marefu na kina ya mafikara/kujiwazia Utu—ili kupata kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na kina; na kuujua upendo wa ‘Uzabibu 13’, upitao ufahamu wa kawaida -- kwa jinsi ulivyo mwingi, kupata kutimilika kwa utimilifu wote wa kile kilicho ni khasa ‘Roho ya Uzima wote’.
Elimu 3.0 ni ‘Jua la Maarifu’--mwanzo wa kujua yote kwa jinsi ya ndani na nje ya dhahiri.
Elimu 1.0 na Elimu 2.0 ni ‘uwanja wa mafikara’ na hali Elimu 3.0 ni usikirifu na maarifu kwa siri za miundo/mageuzi na uzima wa miili. Kwa mintarafu ya haya, Elimu 3.0 ni ‘Maarifu’ ya halisia za ‘Mwezi na Nyota’ na pia ‘Msalaba’ wa fizikia na metafizikia ya mambo. Elimu 3.0 huleta madaraja ya nishani ya utu, kujichagulia na Matendo Makuu. Elimu 3.0 ndiyo ufunguo wa Ukamilifu wa Hekalu la Mwili—Mambo ya ‘Uimamu’ ama kusema ‘Uteule’ kwa huduma za kuongezea wengine njia katika ‘Safari za Kujitafuta Kiimani na Uisho’.
Katika ulimwengu halisi wa mambo, watu wa ‘Uimamu’ na ‘Uteule’ huandamwa na uhasimu wa ‘Mapokeo’ na ‘Taratibu’ kutokea kwa Wahifadhina wa hayo kwa kuwa, kiufundi, mapokeo na taratibu ni mambo ya usukaji miundo jamii kwa ajili ya ‘usawa wa kimashirikiano’; kuyatishia hayo usalama wake inaweza kuwa ni ‘msala’.
Miundo yote inayonasibu ya kubadilika palipo na ‘Nuru’/’Ujio wa Nuru’; kwa kuwa nuru ya ‘Jua la Maarifu’ daima husukuma ‘mageuzi’ ya utu na jamii’-- ‘ mwenye nuru’ na ‘jamii’ katika kukutana uso kwa uso. Basi, Nuru ya Mtu wa Daraja, huleta chachu mpya ya utamaduni na kujichagulia ambavyo inaweza kuwa rafiki ama si rafiki na ‘hali ilivyo’/Statusi Kwou.
Na hili ndiyo adha iliyowakumba watu wa ‘Mwangaza’ katika nyakati na jamii mbalimbali; jambo linalotaka ‘Mtu wa Mwangaza’ kuzicheza karata zake kwa uangalifu kwa kuwa ‘kiza cha utu’/statusi kwou si rafiki kwa ‘Mvinyo Mpya’. Hili pia ndiyo daima limefanya ulazima wa faragha ama ‘sanaa ya kujichanganya na hali usijulikane’; kwa watu wa Elimu 3.0 kuishi hivi. Kwa hivyo, kiufundi, watu wengi wa rizayati ya Elimu 3.0 wamekuwa ni walinzi wa ‘maarifa ya Kazi’ ya kuleta ‘Utaamuliko Jamii’ kwa ‘Subira’ na ‘Faragha’.
‘Maarifa ya Kazi’ ni upanga—ukiwa katika mikono salama, ni kheri ya ‘Haki’ na ‘Mapenzi Mema’ kuifikia jamii pana, kwa namna zinazofaa na wakati muafaka. Ukiwa katika mikono isiyo salama, ni ‘mkosi’ wa ‘Madhalimu’ na ‘Dhuluma’--mambo ya kufumbana ukweli wa mambo ili basi kutumiana katika mabatili ya ‘Kujilisha Upepo’. Kwa mintarafu ya haya, mambo ya faragha daima ni Utaasisi ndani ya Taasisi kwa kuwa Muundo wowote wenye kujishikilia kwa uadilifu wa mafikara/shauri, dhamira na matendo ni ‘Taasisi’.
Basi ndiyo yawa, si kwa kuwa kuna jumuiya inayodhaniwa kuwa na ‘faragha’ basi kuna nia ovu nyuma yake… Kuna namna hata ulimwengu wote umefanyika kwa mambo ya muktadha akilifu wa uwaziwazi na tena vile vile muktadha uliyositirika—jambo hili linalazimu uhitaji wa ‘Roho wa Busara ya Utambuzi’ kumaizi ni yepi ya kushiriki kwa kheri na kutoshiriki kwa kheri vile vile—mambo ya ‘kutotupia lulu kwa shuwaini’…
Katika kipindi hichi ya ‘Mavuno’, busara ni kutangamanisha yale yote ambayo yamejitokeza katika dini na miongozo yote ya UTU na kujichagulia--kuyatangamanisha kwa kusudi la ‘kuijengea jamii/jumuiya ya kimataifa uwezo wa kulivuka vuguvugu la upoteaji wa Amani na Tumaini’ Duniani. Hili linalazimu kulingania ‘Utaamuliko Jamii’ kwa minajili ya kuleta umahiri wa jamii yote nzima katika ugani wote wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0. Kuleta wepesi kwa jamii kutambua dini zote na mafundisho ya kiroho, hasa hasa yanayotawala idadi kubwa ya waumini, yana ‘Hazina’ ijayo ni ‘mafumbo ya Kiimani’ kwa ajili ya ‘Liberti’--kweli yenye kumweka mtu huru kweli kweli…
Kujengea jamii uwezo wa fumbua mafumbo ya imani kuna leta ‘kinga’ na ‘ulinzi’ dhidi ya migogoro inayoweza kuchochewa na ‘ujuaji wa juu juu wa mambo’--ujuaji mbovu unaoweza kuchochea dhamira, jitihada na matendo ya uhasama na machukizo dhidi ya ‘Ubinadamu’.
‘Shams al Maarif’, Jua la Maarifu, ni moja ya kompendiamu ya ‘Maarifa ya Kazi’ inayovutia wengi wenye nasibu ya Rizayati ya Elimu 3.0 na hali hapo hapo ‘inaogopwa’ na wengine wengi wasio na ‘msuli’ wa kuyakabili ‘Maarifa’ yake. Rizayati ya Elimu 3.0 ni uzao wa ‘shughuli za faragha’ za watu wa Maarifa na Maarifu. Katika mikono isiyo salama, huwa ni zana ya ‘Shetani’ na katika mikono salama huwa ni zana ya ‘Malaika’. Basi ndiyo yawa, katika ‘wakati muafaka’ ukweli wa hili hauna budi kuwekwa wazi ili kumalizana na ‘kasumba’ ama/na ‘nongwa’ ya ‘kujua mambo kwa sehemu’.
Hisia na Kujisikia ndiyo asili ya cheche ya ‘Utu’, ambavyo tena ni asili ya nukta na duara la utukufu wa ‘Roho ya Uzima wote’. Kiuno na ufikirifu mifumo, hili linashahibiana na ‘nukta’ ya ‘andiko’ la (1)Kauli/NENO la kuanza yote kwa Jina la Rehema na Fadhili. (2) Kushukuru na Kutukuza ni ‘ombi’ la kijiweka sawasawa na ‘Mapenzi na Kheri’ ya kile kilicho ni asili ya Uzima wote na Amali zote za ‘Mbingu’ na ‘Nchi’. Kwa mintarafu ya ‘Mamlaka’ na ushahibiano wa Utaasi wa UTU na Utamaduni, asili ya yote hutajwa ni ‘Bwana wa Ulimwengu’.
Kiuono na ufikirifu mifumo, ‘Ufunguo wa Imani’ ni ‘Vesika Paisisi’ ya ‘Uzabibu 13’ ambavyo (3) Mbegu ya Miongozo ya Utu bora inakiriwa na kundanishwa(Rehema na Fadhili), (4) Utambuzi wa Utaasisi wa ‘Mtu/jamii katika Imani’ na hatma ya ‘Nyakati’ unakiriwa na kundanishwa (Eskatolojia—Siku ya ‘Hesabu’), (5) Kujisalimisha katika ‘Nishani ya Utu Bora’ – udhamirifu wa jitihada za kustahiki ‘kheri ya utukufu’ katika ‘Safari ya Kujitafuta’ (Sifa za kutosha Kuabudiwa kile kilicho ni Khasa asili ya ‘Mbegu ya Utu’ wetu kama ‘watu’, (6) Udhamirifu wa ‘Jitihada Sahihi’ kwa ajili ya kupata uongozeaji wa njia – njia za kujichagulia yaliyo na kheri ya ‘utimilifu wa kusudi la UTU’, (7) Udhamirifu wa ‘Kutumainia Mema’ na kuwa ndani ya ‘Mapenzi Mema’ ya fahari ya UTU.
.....
Hmmmm
Siku za zamani, faraja ya Msafiri ni Dua yake na Imani, kwamba ijapokuwa akatiza katika ukonde wa uvuli wa mauti hatahofia Uovu.
‘Utaamuliko Jamii’ pia ni saga ya Msafiri; jamii inahitaji nguzo za imani kwa ajili ya safari yake ya matumaini – matumaini ya kuenenda salama.
Ijapokuwa jamii tofauti zimepata kufikiwa na miongozo ya kheri kwa ajili ya maisha na kuishi, jamii ya leo, tuseme 2024, bado inahitaji lile lile la ‘funguo za Maarifa’ kwa ajili ya kheri na salama ya maisha ya kileo.
Kiuono na ufikirifu mifumo, safari ya kujitafuta kiroho ina hatua tatu (1) Ya Nje, (2) Ya Mpito, na (3) Hatma ilivyo basi ni (A) Miongozo/Sheria, (B) Mbinu/vitendo imani, na (C) matunda ya kuiva na kukomaa kiroho. Kwa mintarafu ya haya, mambo ya nje ndiyo muktadha akilifu wa mapokeo ya kimila, desturi na sheria; mambo ya mpito ni muktadha akilifu wa ‘kaida/sala/miditisha; na mambo ya hatma ni Utaamuliko, Kujitambua, Kuifahamu KWELI.
Elimu 1.0 inahusu ‘Ya nje’; inaweza kusadifu mengi ya ‘maarifa ama/na kujua’ lakini kiufundi ni uelewa wa juu juu wa mambo. Elimu iliyotamalaki duniani—ya kuanzia chekechea hadi chuo kikuu, kiufundi, bado ni Elimu 1.0; inakidhi fahamu za mawazo na fikra kwa sura za juu juu lakini ‘haina kina hasa’ cha ukweli wa mambo… Hili ndilo linalotaka hata ‘Maarifa ya Dini’ yaje kujaribu kukamilisha ‘kiu cha maarifa’ ya Kweli.
Elimu 2.0 inahusu ‘Ya Mpito’; ni njia ya hekima kwa kuwa Uono na Ufikirifu Mifumo ni shughuli ya kutangamanisha kinachojulikana na kile kisichojulikana pasipo ‘Kasumba’ bali ‘Ushahidi’ wa Muktadha Akilifu wa Ushahibiano wa Mambo. Hili ndilo linalotengeneza nasibu ya ‘Kuipa Kina’ Elimu 1.0 kwa yale yafahamikayo kwa ufasaha. Basi ndiyo yawa, Elimu 2.0 ni daraja la ‘yenye ukomo’ na ‘yale yasiyo na ukomo’ kwa kuwa ‘mapengo ya maarifa/maarifu’ daima yanakubalika; kilicho ni fumbo kinabaki kuwa fumbo na kinachojulikana kinayakinishwa kwa mapana, marefu na kina cha mashauri.
Elimu 3.0 inahusu ‘Hatma’; ni hitimisho la mafikara na mwanzo wa ‘Kuya-JUA’ yote. Kiufundi kuyajua yote, ni uweza na upeo wa kutangamanisha yanayojulikana na yasiyojulikana kwa ‘Taamuli’ na ‘Umbonishaji fahamu Sahihi’ wa mapana, marefu na kina ya mafikara/kujiwazia Utu—ili kupata kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, na urefu, na kimo, na kina; na kuujua upendo wa ‘Uzabibu 13’, upitao ufahamu wa kawaida -- kwa jinsi ulivyo mwingi, kupata kutimilika kwa utimilifu wote wa kile kilicho ni khasa ‘Roho ya Uzima wote’.
Elimu 3.0 ni ‘Jua la Maarifu’--mwanzo wa kujua yote kwa jinsi ya ndani na nje ya dhahiri.
Elimu 1.0 na Elimu 2.0 ni ‘uwanja wa mafikara’ na hali Elimu 3.0 ni usikirifu na maarifu kwa siri za miundo/mageuzi na uzima wa miili. Kwa mintarafu ya haya, Elimu 3.0 ni ‘Maarifu’ ya halisia za ‘Mwezi na Nyota’ na pia ‘Msalaba’ wa fizikia na metafizikia ya mambo. Elimu 3.0 huleta madaraja ya nishani ya utu, kujichagulia na Matendo Makuu. Elimu 3.0 ndiyo ufunguo wa Ukamilifu wa Hekalu la Mwili—Mambo ya ‘Uimamu’ ama kusema ‘Uteule’ kwa huduma za kuongezea wengine njia katika ‘Safari za Kujitafuta Kiimani na Uisho’.
Katika ulimwengu halisi wa mambo, watu wa ‘Uimamu’ na ‘Uteule’ huandamwa na uhasimu wa ‘Mapokeo’ na ‘Taratibu’ kutokea kwa Wahifadhina wa hayo kwa kuwa, kiufundi, mapokeo na taratibu ni mambo ya usukaji miundo jamii kwa ajili ya ‘usawa wa kimashirikiano’; kuyatishia hayo usalama wake inaweza kuwa ni ‘msala’.
Miundo yote inayonasibu ya kubadilika palipo na ‘Nuru’/’Ujio wa Nuru’; kwa kuwa nuru ya ‘Jua la Maarifu’ daima husukuma ‘mageuzi’ ya utu na jamii’-- ‘ mwenye nuru’ na ‘jamii’ katika kukutana uso kwa uso. Basi, Nuru ya Mtu wa Daraja, huleta chachu mpya ya utamaduni na kujichagulia ambavyo inaweza kuwa rafiki ama si rafiki na ‘hali ilivyo’/Statusi Kwou.
Na hili ndiyo adha iliyowakumba watu wa ‘Mwangaza’ katika nyakati na jamii mbalimbali; jambo linalotaka ‘Mtu wa Mwangaza’ kuzicheza karata zake kwa uangalifu kwa kuwa ‘kiza cha utu’/statusi kwou si rafiki kwa ‘Mvinyo Mpya’. Hili pia ndiyo daima limefanya ulazima wa faragha ama ‘sanaa ya kujichanganya na hali usijulikane’; kwa watu wa Elimu 3.0 kuishi hivi. Kwa hivyo, kiufundi, watu wengi wa rizayati ya Elimu 3.0 wamekuwa ni walinzi wa ‘maarifa ya Kazi’ ya kuleta ‘Utaamuliko Jamii’ kwa ‘Subira’ na ‘Faragha’.
‘Maarifa ya Kazi’ ni upanga—ukiwa katika mikono salama, ni kheri ya ‘Haki’ na ‘Mapenzi Mema’ kuifikia jamii pana, kwa namna zinazofaa na wakati muafaka. Ukiwa katika mikono isiyo salama, ni ‘mkosi’ wa ‘Madhalimu’ na ‘Dhuluma’--mambo ya kufumbana ukweli wa mambo ili basi kutumiana katika mabatili ya ‘Kujilisha Upepo’. Kwa mintarafu ya haya, mambo ya faragha daima ni Utaasisi ndani ya Taasisi kwa kuwa Muundo wowote wenye kujishikilia kwa uadilifu wa mafikara/shauri, dhamira na matendo ni ‘Taasisi’.
Basi ndiyo yawa, si kwa kuwa kuna jumuiya inayodhaniwa kuwa na ‘faragha’ basi kuna nia ovu nyuma yake… Kuna namna hata ulimwengu wote umefanyika kwa mambo ya muktadha akilifu wa uwaziwazi na tena vile vile muktadha uliyositirika—jambo hili linalazimu uhitaji wa ‘Roho wa Busara ya Utambuzi’ kumaizi ni yepi ya kushiriki kwa kheri na kutoshiriki kwa kheri vile vile—mambo ya ‘kutotupia lulu kwa shuwaini’…
Katika kipindi hichi ya ‘Mavuno’, busara ni kutangamanisha yale yote ambayo yamejitokeza katika dini na miongozo yote ya UTU na kujichagulia--kuyatangamanisha kwa kusudi la ‘kuijengea jamii/jumuiya ya kimataifa uwezo wa kulivuka vuguvugu la upoteaji wa Amani na Tumaini’ Duniani. Hili linalazimu kulingania ‘Utaamuliko Jamii’ kwa minajili ya kuleta umahiri wa jamii yote nzima katika ugani wote wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0. Kuleta wepesi kwa jamii kutambua dini zote na mafundisho ya kiroho, hasa hasa yanayotawala idadi kubwa ya waumini, yana ‘Hazina’ ijayo ni ‘mafumbo ya Kiimani’ kwa ajili ya ‘Liberti’--kweli yenye kumweka mtu huru kweli kweli…
Kujengea jamii uwezo wa fumbua mafumbo ya imani kuna leta ‘kinga’ na ‘ulinzi’ dhidi ya migogoro inayoweza kuchochewa na ‘ujuaji wa juu juu wa mambo’--ujuaji mbovu unaoweza kuchochea dhamira, jitihada na matendo ya uhasama na machukizo dhidi ya ‘Ubinadamu’.
‘Shams al Maarif’, Jua la Maarifu, ni moja ya kompendiamu ya ‘Maarifa ya Kazi’ inayovutia wengi wenye nasibu ya Rizayati ya Elimu 3.0 na hali hapo hapo ‘inaogopwa’ na wengine wengi wasio na ‘msuli’ wa kuyakabili ‘Maarifa’ yake. Rizayati ya Elimu 3.0 ni uzao wa ‘shughuli za faragha’ za watu wa Maarifa na Maarifu. Katika mikono isiyo salama, huwa ni zana ya ‘Shetani’ na katika mikono salama huwa ni zana ya ‘Malaika’. Basi ndiyo yawa, katika ‘wakati muafaka’ ukweli wa hili hauna budi kuwekwa wazi ili kumalizana na ‘kasumba’ ama/na ‘nongwa’ ya ‘kujua mambo kwa sehemu’.
Hisia na Kujisikia ndiyo asili ya cheche ya ‘Utu’, ambavyo tena ni asili ya nukta na duara la utukufu wa ‘Roho ya Uzima wote’. Kiuno na ufikirifu mifumo, hili linashahibiana na ‘nukta’ ya ‘andiko’ la (1)Kauli/NENO la kuanza yote kwa Jina la Rehema na Fadhili. (2) Kushukuru na Kutukuza ni ‘ombi’ la kijiweka sawasawa na ‘Mapenzi na Kheri’ ya kile kilicho ni asili ya Uzima wote na Amali zote za ‘Mbingu’ na ‘Nchi’. Kwa mintarafu ya ‘Mamlaka’ na ushahibiano wa Utaasi wa UTU na Utamaduni, asili ya yote hutajwa ni ‘Bwana wa Ulimwengu’.
Kiuono na ufikirifu mifumo, ‘Ufunguo wa Imani’ ni ‘Vesika Paisisi’ ya ‘Uzabibu 13’ ambavyo (3) Mbegu ya Miongozo ya Utu bora inakiriwa na kundanishwa(Rehema na Fadhili), (4) Utambuzi wa Utaasisi wa ‘Mtu/jamii katika Imani’ na hatma ya ‘Nyakati’ unakiriwa na kundanishwa (Eskatolojia—Siku ya ‘Hesabu’), (5) Kujisalimisha katika ‘Nishani ya Utu Bora’ – udhamirifu wa jitihada za kustahiki ‘kheri ya utukufu’ katika ‘Safari ya Kujitafuta’ (Sifa za kutosha Kuabudiwa kile kilicho ni Khasa asili ya ‘Mbegu ya Utu’ wetu kama ‘watu’, (6) Udhamirifu wa ‘Jitihada Sahihi’ kwa ajili ya kupata uongozeaji wa njia – njia za kujichagulia yaliyo na kheri ya ‘utimilifu wa kusudi la UTU’, (7) Udhamirifu wa ‘Kutumainia Mema’ na kuwa ndani ya ‘Mapenzi Mema’ ya fahari ya UTU.
.....
Hmmmm