Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Pamoja mkuu.T
This is the Truth in Christianity Doctrine.
The faith has northing to do with the demons but to cast them out wherever we contact them.
This is the Command from our Lord and Saviour Jesus Christ.
Mathayo (Mat) 10:8
Heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out devils: freely ye have received, freely give.
Ndio mwambie Mtoa mada aulize maswala ya Dini yako ili upate majibu ambayo Mashehe wako hawaja wahi kukufundisha.Kwenye Qur'an.
. Kitabu pekee ambacho hakina shaka ndani yake.
Hata we we jinni tu, labda huelewi maana ya jinni ndiyo unaona ajabu sana.
Kuwa jinni siyo tatizo, kuwa shetani ndiyo tatizo.
Tatizo naliona Baadhi ya wachangiaji Waislamu wanaanza kutumia hii simulizi kuukashifu Ukristo.Pamoja mkuu.
But kwa lengo la kujifunza story ya mkuu Corazon Espinado ni nzuri na it ia really eye opening for both the truth and the lie as long as spiritual essence is involved about the matter
Umeusoma ufafanuzi wa Arsis? Eti kweli jina "Yesu" mama'ke hakumuita hivyo hata siku moja?Nitashangaa sana jini kujua kwa undani wa habari za YESU Kristo.!
Tunachoshukuru hata arsis amejua yupoUnataka nikujibu Arsis alisema nini kuhusu hilo? Sitaki jazba lakini, ni majibu ya Arsis.
Arsis aliwahi kusema"Yesu mwenyewe kajua siku hizi kua kuna watu wanamuita Yesu". Nikamuuliz kwanini? Akanambia Yesu hajawahi kuitwa hivyo duniani. mama yake Yesu alikua anaongea Kiaramu (Aramaic) na Kimisri. Nilipomuuliza zaidi akanambia "wewe hupendi kusoma. Hizo lugha zote mbili zinafanana sana na Kiarabu cha zamani".
Kwa taarifa yako Majini wanamjua Yesu kupita anavyo julikana na Binadamu.Tunachoshukuru hata arsis amejua yupo
Inaelekea hujui majini ni viumbe gani,unachanganya na mapepo,ufahamu wako katika mapepo tu,ndio maana sishangai juu ya maeleoz yako hapaHakuna manabii wala mitume wa Mungu (Yehova/Elohim) waliohubiria majini. Waka hajuna majin waliofuata mafundisho ya Kristo wala mitume wake hivyo hakuna majini yansyofungamana na ukristo. Huku we casting out the demons kwa mamlaka Ya jina kuu la Yesu. Hatupungi waka kupandisha pepo maaba hatuna ushirika nao wowote.
Ukiona mkristo anafanya hayo, tambua huo ni ushirikina wake binafsi wala hatuna doctrine za kijinga jinga hizo, our God is holly n pure, hachangamani na mapepo wala sisi tunaomuamin na kumfuata hatuna time na mapepo waka majini, si mazuri si mabaya kama myaitavyo.
Huyu Arsis atawajuwa tu Watanzania ni kina nani.Muulize aris kuhusu mm.
Muulize unamfaham mtu anayetumia handle ya 100miles,
Nitafurahi kama atakujibu kuna jambo nataka kufaham
Sijaona code uliyoifunguwa. Mbona kaelezea kwa upana ulipomuuliza? Mimi nimefahamu ipo Duga Maforoni na kasema hilo, Je, kweli ipo haipo?Yeye Yuko kijiji Gani? Maana sio Duga (nawafungulia Codes).
Huko Shinyanga mpaka huyo Alli aliyemtaja mimi namfaham toka ujanani, alikuwa anakaa Dar. Kariakoo, akawa ni rafiki sana ya Gozi langu.Muulize muhusika mwenyewe Corazon Espinado japo sehemu zingine aliziongelea kama Shintanga na Dom za kweli.
Nani huyo? Arsis?Nimetafuta kwenye mtandao japo nimeangaika sana nimekuja kujua ni wale viumbe wanaoitwa Alien.
Wakristo mnachanganya sana jinni na shetani. Hamwijuwi tofauti yake kwa sababu hamna ilm. Pigeni goti Waislam tuwaelimishe.Kwa taarifa yako Majini wanamjua Yesu kupita anavyo julikana na Binadamu.
Wao walikuwepo na kumjua Mungu kabla ya Binadamu.
Ila kutokana na Imani ya Kikristo hiyo jamii ni kati ya jamii potofu na huwa wanazipotosha habari za Mbingu kwa makusudi ili kutimiza nia yao ya kumpotosha Binadamu.
Wewe wasikilize tu bila kuwa na wazo la kuwa amini kwakuwa Manabii wetu hawaja tuamrisha tumwamini Jini yeyote.
Kwa Neno lolote lile.
Baki kwenye maandiko yako ya Kinabii.
Hapa umechemka🤝..... Hidhr hawez fungiwa na majini kweny chupa!!!Nilivyoelewa mimi kuwa Yesu siyo jina lake kabisa. bado naendelea kutafuta wakristo wamelitowa wapi jina Yesu? kwa karibu kabisa nimepata ni wagiriki na wayunani ndiyo walimuita Yesu, siyo Wayahudi na Waarabu.
Sema nimeanza kufahamu kuwa Yesu siyo Myahudi, kwa sababu nimeona kuwa mama yake ni mtu kutoka Misri na wayahudi wanafata asili na ukoo kutokea kwa mama. Wakristo wanaamini hana baba, Waislam wenfi wanaamini hana baba. mimi binafsi naamini anaye baba mzazi, code zake zinafunguliwa na Qur'an.
Hii mada nzito sana kuliko tunavyoiona kijuujuu, sijawaahi kuona mada, hapa JF, iliyonifanya nibukuwe kwa haraka haraka kama hii. Nimepata ma 'reference" kibao ya kuchimbuwa, nimepata kipya humu cha "Meritaton.".
Duh! hivi kuna ma reference kibao kila mmoja kaandika chakae kuhusu Meritaton, cha ajabu, bibilia haijaandika sana kuhusu mama yake Yesu, Qur'an imeandika sana kuhusu Mariam, na mleta mada katupa jipya kabisa kutokea kwa "Arsis".
Nayamani sana nimjuwe huyo "Arsis" n nani? naanza kuwaza isje kuwa "Khidr" kwenye maandiko ya Kiislam.
cc' Corazon Espinado
Hao RAMADIYINNani huyo? Arsis?
Tufungulie codes na sisi.
Nani huyo? Arsis?
Tufungulie codes na sisi.
Nenda kasome kwenye Surat maryam mazungumzo baina ya Jibreel (A.S) na Maryam...... Kuna sehemu Maryam anamuuliza Jibreel, vipi ntapata mwana ikiwa mwanaadam hajawahi nigusa??Umeusoma ufafanuzi wa Arsis? Eti kweli jina "Yesu" mama'ke hakumuita hivyo hata siku moja?
Mama'ke alikuwa anamwita nani?
Arsis mtata sana, ansema mama'ke Yesu alikuwa siyo bikira.
Hili swali kwa Waislam; hivi Waislam wametowa wapi kuwa Yesu mama'ke alikuwa "bikra?
Naunga mkono hoja asimia zote. Hii mada ni deep sana. Imenifanya nichimbuwe makabrasha ya vitabu vya zamani na niwe napiga research za mtandaoni.Binafsi yangu kwenye maswala ya kujifunza huwa nakuwa mweupe kabisa (neutral gear) napokea ninachokisikia bila kuweka mipaka hata kama kinapingana na ufahamu wangu.
Kisha siwi mpumbavu wa kupokea kila ninachokisikia, lazima niyapime. Hii mada iko deep sana na ni nzuri sana. Mkuu Simba shusha vitu.
We jifariji tuWe jua tu inashangaza na kwakua huijui iman ya kikristo na jinsi itendavyo kazi, itoshe tu kuelewa hivyo basi
Binadamu na Jini ni nani alianza kuumbwa kwa Imani yako.Wakristo mnachanganya sana jinni na shetani. Hamwijuwi tofauti yake kwa sababu hamna ilm. Pigeni goti Waislam tuwaelimishe.