Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kwenye hii story kuna mambo mengi ya kujifunza hasa kuhusu majini na wachawi.
Wachawi wanaweza ku summon majini na wakawatuma lakini pia waganga wanaweza ku summon majini na wakawatuma utofauti itakuja tu unawatuma kwa kazi gani?
Ila haya mambo yanataka yanataka uwe na msingi wa imani vinginevyo utaangukia kwenye shirki, bwana Arsis story yako ina mambo mengi ya ulimwengu usionekana endelea kushusha vitu.
Muulize Arsis ni mambo gani mwanadamu ukiyafanya unakuwa umejiingiza kwenye rada za wachawi yaani wachawi wataanza kukufuatilia? Ili tujifunze hapa jinsi ya kuwakwepa hawa wanga maana wamezidi
 
Bwana Arsis huu uzi wako unafuatiliwa sana kila nikikatiza more than 15 people are here naamini kuna watu wengi wanafuatilia na wana elimu kubwa tu juu ya mambo ya kiroho ila hawa comment.
Comment ziongezeke jamani tujifunze simmesikia Arsis anapenda challenge ila nimegundua kuna vitu ata Arsis anaweza kujifunza kutoka kwetu na anawapenda binadamu
 
Mchawi hana sababu hata usifanye lolote wakiamua wakuharibue maisha wataharibu unadhani walo haribiwa maisha na wachawi waliingia rada zao??

Hakuna njia ya kukwepa mwanga mchawi Ila ucha Mungu jitakase na madhambi jenga urafiki na Mungu hakuna mchawi jinn atakusogelea.
 
Kama umekimbia kujihami mno Bimkubwa.
 
Safi kwa kuwa muwazi.
Kwanini uliacha uislamu mkuu?
Kama swali hili litakukwaza unaweza ku ignore tu be free
Ilitokea tu nilifanya kazi misheni ya Wakatoriki kule Peramiho.
Jinsi walivvokuwa wana nihudumia vizuri kimahitaji ya maisha na nikaanza kushirikiana nao kama kwenda kanisani kusali nao, kusoma Biblia na kuitafakari, nikayapenda mazingira yote kwa ujumla na kuamua kuwa Mkristo.
 
Nilikua sijaiona hii ruksa.

Arsis anasema wewe ni Muislam, ila ni asi tu.

cc; FaizaFoxy
Jamaa kashaumbuliwa!🀣 Ishu ni kwamba viumbe vingi visivyoonekana(malaika, majini e.t.c) ni vina uwezo au kiwango fulani za kujua siri za ulimwengu wa roho ambapo kule kila mtu yupo uchi. Ndo maana binadamu hata tufanye nini tayari mihuli ilishagongwa kwenye ulimwengu wa roho.
Ndo maana magonjwa, ukiua, ukizini ukijifanya hutaki mambo yako yajulikane watu wakienda kwenye watu waliopewa access ya ulimwengu wa roho kule hakujifichi kitu. Kule Unasoma maisha ya mtu hata kabla ya kuzaliwa, e.t.c

Nb; Ni rahisi kutabiriwa kuwa huyu mtu atakuja kuwa na mafanikio makubwa lakini atapitia changamoto kubwa. Laiti tungekuwa tunajua siri za ulimwengu wa roho tusingekua tunacheza na maisha ambapo shetani nae anaingia hapo kuvuruga maisha ya watu..kuna watu Leo hii walitakiwa kuwa watu wa nyazifa za juu, matajiri, e.t.c wamefariki kwa kucheza na maisha mfano kwa magonjwa ndoto hazijatimia. Ulimwengu wa roho unaweza ukatuelekeza ni namna gani tuishi na kuja kufanikiwa.Sema ndo hivo tumefungwa macho hatuoni yambeleni.

Aiseeh; ukijua siri za ulimwengu wa roho utamiliki na kutawala..yaani umeshatoboa...
Ndo maana hata leo hii mtu mwenye access ya ulimwengu wa roho ana uwezo wa kujua hata kubaini manabii feki, utajiri wa mtu kama ni halali au sio, kila kitu unachokitaka.
 
Nimependa jinsi ulivyo muwazi
Ukipata muda jaribu kuisoma na kuitafakari quran pia. Naamini utajifunza kitu ila huyu Arsis jini anabalaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…