Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Na
Arsis aliwahi kunambia "kwenye elimu usiogope anaebisha na wewe, ogopa asiebishana".

Mpe elimu na yeye amwage yake, ndio faida kwetu.

Arsis kamsifu sana FaizaFoxy navvyi challenge, kamsifu sana na Che mittoga lakini kasema kitu naogopa kukisema hapa. Akinipa rukhsa Che mittoga nakisema.
Wewe nae andika vizuri nijuwe Arsis kasema nini kuhusu mimi.

Hata jinni Arsis lazima anitambuwe uwezo wangu mapema tu. Mwambie mimi ndiyo Miss JF 2023/24.
 
Kiukwel kabisa arsis si wa kumuamini asilimia mia moja,kama utakumbuka vizur alisema amesoma taurat,injili,zabur na qur'an,,sasa na hivyo ndo asili ya elimu juu ya mambo mengi Upande wa pili anakuja kutuambia kuwa Bikira Maria hakuwa bikira alipo mzaa Yesu rehema na amani ziwe juu yake Hapa unajiuliza,je huyu mwamba ana ufahamu gani? Jibu lake lingine kuwa yeye ni mtu au anaweza kuwa chochote,kuwa chochote ni sahihi kwakuwa majini wanauwezo huo Ila arsis ni jini period,,kwahiyo nasisitiza sana huyu tumsome lkn si wa kumuweka maanani asilimia mia
Hilo la Yesu binafsi niliwahi kumsikiya msomi wa Kipalestina, namfatilia sana huyu kwa kuwa anaongea lecture zake kwa Kingereza kizuri na anafundisha. yupo kwenye mtandao. Na hivi juzi sijuwi jana, ndiyo nimemuona Arsis akilileta kivingine. Sema kanusa tu, hatupi vitu kwa kina, sifahamu Arsis anabana bana au Corazon Espinado anatubania vitu. Tafadhali simba kamba, usome uzi kwenye link hiyo ya chini hapo ili Arsis au wewe mtujazie manyama. Tuwekee kamba wale wanene wanene kabisa.

Hilo mimi niliwahi kuandika humu JF, nikakosa watu wa kupasha moto uzi. Pitieni hapa:

https://www.jamiiforums.com/threads...ni-hata-waislam-wengi-hawayajui-haya.2227017/


Mimi namuamini Allah na nafata kauli ya Allah ya "Soma kwa jina la" "Rabbika". Nimeogopa kuitafsiri Rabbika.
. Nimi bitamsona Arsis na mwengine yeyote huku najilinda kwa aliyonifundisha Allah. Siwezi kumuamini Arsis. na siwezi kumjuwa bila kumsikiliza (kumsoma) kwanza.
 
Wewe simulia ulicho kiona na kukisikia.
Mimi nimeipenda sana simulizi yako kwa kupata maarifa mapya.
Ndio maana nafuatilia hiyo
Kweli yako.

Ninacho kikataa ni kuruhusu hadithi yako kuwa jukwaa la kuukashifu Ukristo.

Mbona Wakristo wanaisoma mada yako kimya kimya na hawa wakashifu Waislamu ?

Wanaisoma ili kujielimisha na kuongeza maarifa mapya bila kujali yakipingana na Imani yao ya Kikristo.

Hivi unanielewa ninacho sema?
Unanipa ruhusa niseme alichonambia Arsis kuhusu wewe? Nimetonywa PM, simba anaogopa kusema.
 
Kuna kipindi sababu ya udadisi nikaanza kuchimbua elim kujua uharisia wa mambo...

Nikaingia kweny group la MAGICAL NAMES AND SPELL.... (Huko wanadai wanaweza kuzungumza mpk na malaika na wanamafunzo yao n.k

nikaingia kweny watu wa KUNDALIN AWAKENING... (Nilienda kwa lengo la kujifunza tu, ila imani ilitaka kunidondoka wallah)

Elim inaokoa lakin pia inapotoa,,,, usiweke divai mpya kwenye viliba au chombo cha zamani (yasema hvyo Bible)

Kuna elim ukisema uzifate Kama huna misingi badala ya kupata maarifa unaenda kupotea🤝🤝

Kuna mambo ya Lucid dreaming na Astro projection (watu wanakufundisha namna ya kutenganisha nafsi nje ya mwili.... Na ni really maana nilishajaribu ingawa niliishia njian


Kwahyo elim zipo nyingi ila ukizifata kichwakichwa wallah kesho tu unakuwa bonge la mchawi

Kwenye mambo ya kiroho kabla hajaja Mungu hutangulia shetwan kwanza,,, Yan nashindwa niweke vipi hii kitu, au ngoja niishie hapa😥😥

Ila hizi elim ni mbaya sana.... Ili zisikutawale inabidi uwe na elim ya Allah pamoja na nguvu zake hapo ndo utaweza kubeba hzo elim zingine maana kwako zitakuwa ziada tu🤝🤝

Ukiwa karibu na Allah hata kina Arsis na Ramadyn wote waje hawafui dafu.... 🚶🚶
Kwanini majini wote ni waarab, tuanzie hapa kwanza.
 
Nakuruhusu NIAMBIE tu, hapa hapa na wengine wasome.
Mimi ni bora kupita huyo Arsis.

Na najua ananiheshimu kwa ukubwa wangu kumzidi yeye.

Mwambie mimi ni Bos wake na naweza kumwajiri muda wowote ili awe mfanyakazi wangu hata kwa kujitolea.

Ila katika hii Mada namwachia aongee ili kuwapatia watu maarifa mapya.

Mwulize muda wowote atakwambia huyo kiumbe amenizidi maarifa mengi sana.
Unabwabwaja sana, namwachia Arsis aseme mwenyewe.
 
Nanyi muache kutukashifu Wakristo.
Huyo Arsis ni Pimbi tu.
Sisi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.
Iweje tukashifiane kwa kumsikiliza Jini Arsis.
Who is she ?
Waislamu mumeiharibu hii mada.
Niliongea pale Mwanzo kuwa ngoja tujifunze maarifa mapya mkaishia kutukebehi Wakristo kwa kuyategemea Majini.

Who are you by the way ?
Wewe lazima utakuwa shoga.

Maana mambo yako niyaki shoga shoga tu...
 
Che ni Prifix ya heshima katika jamii husika.
Kuna
Che-mponda
Che-Kalinga
She-lukindo
Mwa-mnyeto
Se-runkuma
Mwa-songwe
Se-mwali
Nk.
Ni kiambishi awali cha jina.
Ili ukipate ni lazima uheshimiwe na jamii husika.

Che Mallone:
Ni sawa na kusema ni "mfalme wetu"
Che mittoga: maana yake ni "mheshimiwa"
Niruhusu niseme Arsis kasema nini kuhusu wewe.
 
Mtoa mada Yupo kimya mda mrefu sana.
Na hajatoa udhuru.
Sasa si ni bora tuongee sisi ili kuchangamsha jukwaa.

Kukuridhisha ngoja tukae kimya ili kumngojea mtoa mada.
Kama unaijua namba yake ya simu jaribu kumpigia, na mwulize.
Mbona kimya kirefu.
Nipo, nawasoma, naandika niwape kionjo kipya leo.
 
Nilivyoelewa mimi kuwa Yesu siyo jina lake kabisa. bado naendelea kutafuta wakristo wamelitowa wapi jina Yesu? kwa karibu kabisa nimepata ni wagiriki na wayunani ndiyo walimuita Yesu, siyo Wayahudi na Waarabu.

Sema nimeanza kufahamu kuwa Yesu siyo Myahudi, kwa sababu nimeona kuwa mama yake ni mtu kutoka Misri na wayahudi wanafata asili na ukoo kutokea kwa mama. Wakristo wanaamini hana baba, Waislam wenfi wanaamini hana baba. mimi binafsi naamini anaye baba mzazi, code zake zinafunguliwa na Qur'an.

Hii mada nzito sana kuliko tunavyoiona kijuujuu, sijawaahi kuona mada, hapa JF, iliyonifanya nibukuwe kwa haraka haraka kama hii. Nimepata ma 'reference" kibao ya kuchimbuwa, nimepata kipya humu cha "Meritaton.".

Duh! hivi kuna ma reference kibao kila mmoja kaandika chakae kuhusu Meritaton, cha ajabu, bibilia haijaandika sana kuhusu mama yake Yesu, Qur'an imeandika sana kuhusu Mariam, na mleta mada katupa jipya kabisa kutokea kwa "Arsis".

Nayamani sana nimjuwe huyo "Arsis" n nani? naanza kuwaza isje kuwa "Khidr" kwenye maandiko ya Kiislam.

cc' Corazon Espinado
Yesu ni cheo sio jina la mtu, Sikumbuki ni kitabu gani katika biblia kinamzungumzia Yesu mwingine aliyekua Ngariba.. nautafuta huo mstari nitarudi
 
Arsis ni Jinn tena mkubwa mzee maana jinn anavyokuwa mzee ndio anazidi kuwa na nguvu pia anaonekana licha ya nguvu ana elimu na ilmu.
Ila ni muongo kusema yeye anaqeza kuwa chochote kawaida ya making wengi ni waongo hawapendi kusema ukweli kila kitu haswa jina lake asli yake sababu wanaogopa kutumikishwa na mwanandamu, Mwanadamu ana nguvu sana ni khalifa, Ila jinn anamuogopa sana Mwenyeezi Mungu kuliko sie wanadamu na ukiwa Mcha Mungu ndio kabisa wanakuogopa.

Majinn wanapenda sana ubinadamu wanapenda sana kila kitu cha mwanandamu japo wana uwezo Ila hawawezi kitu kuchukua bila idhini ya mwanadamu mfano jinn anataka damu kwanini asikamate mwenyewe akamfyonza jibu ni hawezi mpaka mwanadamu ampe go ahead.
 
Back
Top Bottom