Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Sio kuumbuliwa.
Huyo kiumbe anaweza kutabiri mambo flani flani. Hasa kwa watu mashuhuri kama mimi
Mkuu inaonekana ni mtu mwenye jina hapa bongo pengine tunakujua ila sio kwa jina hili.
Unatoa ruksa tena Arsis aendelee kutupa moja mbili kukuhusu au kwaleo inatosha?
Uwe na weekend njema boss kama ulivyo sema wewe ni mpenzi wa bia ila michepuko huna hongera endelea kubaki njia kuu kwamaaana "Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa, Afanya jambo litakalo mwangamiza nafsi yake" Mithali 6:32
 
Haya nimesikiliza hoja ya kila mmoja wenu na nimeridhishwa na uwezo wa kufikiri kwa baadhi juu ya mambo mbalimbali yaliyo jikita zaidi katika niche ya imani,
Binafsi nilikuwa very talkative katika utoto wangu kuukaribisha ujana, nimekulia kulia katika malezi ya ukristo ingawa baada ya kupokea kipaimara nilitengana na mlango wa kanisa muda mchache mbeleni.
Mimi ni mtu wa imani sana ingawa over 10+ years sina dhehebu ninaloabudu, ila namwomba mungu kama maono yangu yanavyo nituma na nahisi ni yeye ndo anayajibu maombi yangu.
Arsis Ningependa unisaidie nipate uelewa juu ya mmea cannabis katika upande wa kiroho unatafsiriwaje na matumizi tunayotumia sisi binadamu ni sawa?

Natanguliza shukran zangu
Raisi wa Introverts E.A
✍🏿Nawasilisha
 

Wewe ni mchanga sana kiimani jitahidi kuisoma hii story kwa utulivu kuna vitu utavielewa
 
Unapoona watu wapo uchi, waweza jikuta unasimamisha machine, hasa kama ukaona lenyr minyamaa mkuu ?

vipi utajiri wa bila masharti unatoa ?

To yeye njoo ule shule hala
 
Haha chambo ndogo sana imevua kamba.....hata ivyo bongo kila siku ni msimu wa kamba
 
Kuna manzi humu JF kwenye jina lake ina herudi D, naizimia amuwezi kunifanyia mafekeche iwe nke wangu .. plus utajiri wa bila masharti
 
Liliulizwa swali juu ya betting, akasema ataliwasilisha kwa Arsis subiri majibu kwanza ndo uombe izo odds 5000 kama Arsis alikwambia anagawa fixed match za bure🙁
Anachelewa muda unaenda, tuandae stake kabisa... tena mkeka wa Arsis anatakiwa alete Correct score odds zisome zaidi ya 5K
 
Usiseme wanaukumbi.
Sema ndugu zangu Waislamu,
Tujadili mambo yetu ya dini yetu.
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ

[ AL - KAFIRUN - 2 ]
Siabudu mnacho kiabudu;
Me nadhani ndugu zangu kwa wale walio tayari kusoma na kupata maarifa mengine nje ya mafundisho yetu ya dini wabaki wafuatilie na kwa ambao wako hapa kwa ajili ya kubishana habari za dini hebu waanzishe uzi wao wakabishane huko.

Cc faizafox
 
arsis leo kwa mara ya kwanza naandika hapa ila nimefatilia kitambo,swali je unanifahamu mimi?

kwanini mnaingiliana na wanadamu?
Daah! Mkuu na wewe umetoa ruhusu Arsisi atoe neno kukuhusu. Kongole mkuu una moyo bwana Arsis wa kibinadamu Arsis mwambie Arsis wa kijini aseme chochote kitu juu ya huyu ndugu yetu Mhafidhina07
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…