Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Sio kuumbuliwa.
Huyo kiumbe anaweza kutabiri mambo flani flani. Hasa kwa watu mashuhuri kama mimi
Mkuu inaonekana ni mtu mwenye jina hapa bongo pengine tunakujua ila sio kwa jina hili.
Unatoa ruksa tena Arsis aendelee kutupa moja mbili kukuhusu au kwaleo inatosha?
Uwe na weekend njema boss kama ulivyo sema wewe ni mpenzi wa bia ila michepuko huna hongera endelea kubaki njia kuu kwamaaana "Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa, Afanya jambo litakalo mwangamiza nafsi yake" Mithali 6:32
 
Haya nimesikiliza hoja ya kila mmoja wenu na nimeridhishwa na uwezo wa kufikiri kwa baadhi juu ya mambo mbalimbali yaliyo jikita zaidi katika niche ya imani,
Binafsi nilikuwa very talkative katika utoto wangu kuukaribisha ujana, nimekulia kulia katika malezi ya ukristo ingawa baada ya kupokea kipaimara nilitengana na mlango wa kanisa muda mchache mbeleni.
Mimi ni mtu wa imani sana ingawa over 10+ years sina dhehebu ninaloabudu, ila namwomba mungu kama maono yangu yanavyo nituma na nahisi ni yeye ndo anayajibu maombi yangu.
Arsis Ningependa unisaidie nipate uelewa juu ya mmea cannabis katika upande wa kiroho unatafsiriwaje na matumizi tunayotumia sisi binadamu ni sawa?

Natanguliza shukran zangu
Raisi wa Introverts E.A
✍🏿Nawasilisha
 
Sorry, Uislamu wote kwangu sio dini sahihi, ni ushirikina mtupu, mmejiunganisha sana na majini kwenye mambo yenu mpaka nashindwa kuiona nguvu ya Mungu na uwezo wake kwenye kutatua shida zenu.

Matatizo yenu mengi mnatatuliwa na majini, huku jina la Mungu mkilitaja juu juu tu ili ionekane mnamuamini, nashangaa nikimsoma huyu mleta story kuna mahali mpaka inaonekana Quran inashindwa kuondoa majini kwa wagonjwa, ila jini la mgonjwa linaondolewa na jini lingine {refer. mwanamke aliyetolewa jini na jini la mleta story Shinyanga}, sasa nyie msaada wenu mnaupata kwa Mungu au majini?!

Hii story nawaambia ukweli, imekuja kuivua nguo kabisa dini yenu, na kitabu chenu, na ndio maana nikimsoma faiza foxy kwenye hii story anaonekana kuipotezea, kama kukipuuza kile mleta mada anachoandika, ni kwasababu ameshaona dini yake anayoipigania humu kila siku, ina muunganiko wa moja kwa moja na majini, anaona aibu anajaribu kuificha, lakini haifichiki!.

Pesa za jamii ya waarabu wengi ni kwa msaada wa majini, sio Mungu, kufanikiwa kwenye mambo mengine kama safarini ni kwa ulinzi wa majini, sio Mungu, wengine wenu mnayaafuga majini ndani, mimi nitashangaa sana kama siku ikifika nikamuona muislamu yeyote wa hii dunia ameurithi ufalme wa Mungu, unless muwe na hiyo pepo yenu wenyewe ya mabikra 72!, lakini sio yule Mungu wa rohoni ninae mwabudu mimi na kumtumikia, kwa jina la Yesu Kristu wa Nazareth.

Wewe ni mchanga sana kiimani jitahidi kuisoma hii story kwa utulivu kuna vitu utavielewa
 
Arsis ni kiumbe wa ajabu sana. Anaweza kua anaingia humu na kujizana na watu bila sisi kujua.

Unalosema kua majini ni waongo sana ni kweli kabisa, kuna majini waongo sana. Ukifatilia uzi utajua tabia zao, wapo wa kweli, wacha Mungu, wasomi na mambo mengine mengi sana amabyo hata mimi hayaniingii akilini.

Isipokua kuna viumbe aina nyingi sana zaidi yya majinni. Ka,a n)vile binadam tupo wa aina nyingoi sana.

Ni ngumu sana kueleweka hapo, ukipenda nitajaribu kuelezea jinsi nilivyofundishwa na Arsis.
Unapoona watu wapo uchi, waweza jikuta unasimamisha machine, hasa kama ukaona lenyr minyamaa mkuu ?

vipi utajiri wa bila masharti unatoa ?

To yeye njoo ule shule hala
 
Kuna muda nikataka kukupuuza ila hapo ulipotaja neno.... Telepathy, nikaweka kambi

(Ntakuja pm, maana mimi pia napitia the same story japo wewe umenizidi maqam🤝

Hivi vitu ukimuelezea mtu ngumu kuelewa maana kwenye watu 1000 huwa vimempata mmoja pekee au hakuna kabisa!!!

Baba yangu alikuwa spiritual master kwahyo haya mambo yapo
Haha chambo ndogo sana imevua kamba.....hata ivyo bongo kila siku ni msimu wa kamba
 
Arsis ni kiumbe wa ajabu sana, kuliko tunavyofikiria. Ndio maana ananishikilia sana nimuelezee mafundishpo yake.

Hivi nimeanza tu, intro ya nilipoanzia mimi , sasa nimeingia intro ya Arsis alivyokutana na babu yangu. Tukitoka hapo ndio tutaingia "vionjo vya Arsis". hapo kuna mengi na matamu sana.
Kuna manzi humu JF kwenye jina lake ina herudi D, naizimia amuwezi kunifanyia mafekeche iwe nke wangu .. plus utajiri wa bila masharti
 
Liliulizwa swali juu ya betting, akasema ataliwasilisha kwa Arsis subiri majibu kwanza ndo uombe izo odds 5000 kama Arsis alikwambia anagawa fixed match za bure🙁
Anachelewa muda unaenda, tuandae stake kabisa... tena mkeka wa Arsis anatakiwa alete Correct score odds zisome zaidi ya 5K
 
Usiseme wanaukumbi.
Sema ndugu zangu Waislamu,
Tujadili mambo yetu ya dini yetu.
لَا أَعْبُدُ مَا تَعْبُدُونَ

[ AL - KAFIRUN - 2 ]
Siabudu mnacho kiabudu;
Me nadhani ndugu zangu kwa wale walio tayari kusoma na kupata maarifa mengine nje ya mafundisho yetu ya dini wabaki wafuatilie na kwa ambao wako hapa kwa ajili ya kubishana habari za dini hebu waanzishe uzi wao wakabishane huko.

Cc faizafox
 
arsis leo kwa mara ya kwanza naandika hapa ila nimefatilia kitambo,swali je unanifahamu mimi?

kwanini mnaingiliana na wanadamu?
Daah! Mkuu na wewe umetoa ruhusu Arsisi atoe neno kukuhusu. Kongole mkuu una moyo bwana Arsis wa kibinadamu Arsis mwambie Arsis wa kijini aseme chochote kitu juu ya huyu ndugu yetu Mhafidhina07
 
Back
Top Bottom