Swali zuri sana hilo.Heshima yako mkuu,mm swali langu mbona Mambo yangu mengi hayaendii Kama nikifungua biashara inaishia Kati Yani kila mipango yangu Mingi huishia Kati shida nini....naomba msaada wako
Utatambua ishara zipi za mtu aliyerogwa?Swali zuri sana hilo.
Usfungue biashara kwa faida yako, fungua biashara kwa faida ya wengi. Utapata faida kubwa sana. Sawa?
Hapa nakubali, 👏🏾Swali zuri sana hilo.
Usfungue biashara kwa faida yako, fungua biashara kwa faida ya wengi. Utapata faida kubwa sana. Sawa?
Daah! Arsis majibu yako yana hekima kubwa sana, hongeraSwali zuri sana hilo.
Usfungue biashara kwa faida yako, fungua biashara kwa faida ya wengi. Utapata faida kubwa sana. Sawa?
Hilo jina lipo, ukitaka kulijua unabidi kwanza ulifanyie kazi, halafu la pili kulijua au kutokulijua itategemea na nia yako unagtaka kulijua la nini?Mimi nina maswali mawili
La kwanza, Je Arsis unalijua jina la ALLAH ambalo ndio jina kubwa kupita yote maarufu kama ismu llahu liadwam .
Inasemekana ukimuomba Mungu kwa jina hilo anakupa papo hapo.
Je unalifamu?
Nimeelewa, nilikua napenda na wengine waelewe.Hapo nimecoment tu kuhusu audio niloisikia huko juu
Nimekuelewa ila nifafanulie kidogo hapo kwenye kulifanyia kazi ni kulifanyiaje?Hilo jina lipo, ukitaka kulijua unabidi kwanza ulifanyie kazi, halafu la pili kulijua au kutokulijua itategemea na nia yako unagtaka kulijua la nini?
Hakuna muujiza isipokua ni wa Muumba weetu tu.
Kiswahili tunasema ni jina, lakini sio jina kama kama kawaida. Ni "code" ziku hizi mnasema. Waarabu wanasema "Ramz". Waimgereza wanasema "pass word". Ni kwa ajili ya mawasiliano tu, kama hivi Simba na mimi tuna pete ya mawasiano. Haina kazi wala miujiza, ni mawasiano tu mimi na yeye. Sawa?
Sisi tutakusaidia hapa JF. Usisahau.Swali langu Arsis
Kwanini nashindwa kupata msaada kwa watu kwenye suala langu la jamaa kutumia vyeti vyangu na anapata mshahara mzuri,posho, na marupurupu mengine?
Nimejaribu kufuatilia mpaka baraza la mitihani (NECTA) Kujua jina langu au vyeti vyangu vinatumika ofisi gani au idara gani iii nipate kuchukua hatua za kisheria?
Ukiwa kama unayeona mpaka mambo yasiyoweza kuonekana kwa macho ya kibinadamu au kwa sisi watu ambao hatuna Mamlaka yoyote kwenye hii nchi. Kinachonisumbua ni kupata upinzani kila mahali, hata watu ambao wana nafasi za kunisaidia lakini bado sifanikishi? Nilienda mpaka NECTA kuhakiki lakini nilikuta upinzani na yule niliyemkuta sehemu ya ukaguzi wa vyeti ikaonesha alijua naenda kufanya nini pale na ananijua. Ninapambana kwa sababu ni haki yangu Chuo ada niliilipa kwa jasho langu mwenyewe hata kuijenga na kuitengeneza CV yangu ni jitihada zangu. Nimeomba msaada kwa ndugu zangu ambao wana nafasi ya kutoa amri mara moja tu lakini nao wanapuuzia. Halafu mtu ambaye hakusoma wala hakupata uzoefu wa kutengeneza wasifu anakula kupitia jina langu. Nikifanya interview kwenye ofisi zingine nafaulu vizuri usaili lakini kuitwa kuanza kazi hakuna. Mpaka nimeamua kufanya mambo yangu binafsi tu na Alhamdulillah nayamudu lakini kwanini nadhurumiwa haki yangu? Na kwanini sipati ushirikiano kutoka kwa Ndugu, marafiki au watu niliosoma nao ? NECTA ni pagumu na UTUMISHI nako ni vikwazo na nimejiapiza sikubali haki yangu ipotee hivi hivi. Ingawa kuna mazingira fulani ya kutishia usalama wangu nayaona au kuhisi hatari ya kufuatiliwa na watu wasiojulikana. Ushauri wako na mwongozo wako nauomba.
Nieleweshe vizuri sisi wengine vichwa vizitoSwali zuri sana hilo.
Usfungue biashara kwa faida yako, fungua biashara kwa faida ya wengi. Utapata faida kubwa sana. Sawa?
kwamba yey ni mjamaaNieleweshe vizuri sisi wengine vichwa vizito
Siri hapa ni kuacha maaswi kwa ukamilifu wake.... Kuipa Dunia kisogo hapo utakuwa karibu na Allah halafu yeye ndo atakufunza usiyoyajua🤝Nimekuelewa ila nifafanulie kidogo hapo kwenye kulifanyia kazi ni kulifanyiaje?
Maana mimi naona hata hivi kukuuliza ndio nimeanza kulifanyia kazi.
Kuhusu kulijua nia yangu ni ili niweze kuisadia jamii kwa ukubwa kama vile hilo jina lilivyo kubwa
Yupo sasa hivi, hii wapo wengi lakini yule wa mwisho akija na issa atakuja kumuua. Kisa chake kirefu sana, siku moja Simba ataleta hapa, yeye ameuliza hii swali siku nyingi sana.Swali la pili kiumbe anayeitwa masihi dajjal ni katika binadamu au majini ? na imebaki miaka mingapi mpaka aje?
Shukurani mkuu, Arsis unaweza ongezea chochoteSiri hapa ni kuacha maaswi kwa ukamilifu wake.... Kuipa Dunia kisogo hapo utakuwa karibu na Allah halafu yeye ndo atakufunza usiyoyajua🤝
Mfano hapo ulipo sahv unamaradhi ya nafsi kwahyo ni ngumu kutunukwa kitu kikubwa kama hicho
Inahitaji uchamungu kumtaja sana Allah mpaka nafsi itulie
(Mitume na mawalii hutengenezwa muda mrefu... Mwisho ndio wanakuwa karibu na Allah)
Nakupa mfano mdogo unaoonekana..... Comment ni nyingi hapa zingine za kejeli kwa mleta mada, lakini umeona amepaniki wala kumjibu mtu vibaya hata sehem moja???
Watu wa dhikr hiyo tunaita ni hatua kwenye utulivu wa moyo, na kuna daraja zake..... Kwahyo kama unataka karama na kuwa karibu na Mungu lazima utengenezwe bro kunataratibu zake!!
Mimi sina akili nyingi kama wewe. Mimi nafanya, nasema kile mimi nakijua, basi.Jinsi gani sasa wewe hujui nilipo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Asante Arsis Mungu azidi kukujaza elimuYupo sasa hivi, hii wapo wengi lakini yule wa mwisho akija na issa agtakuja kumuua. Kisa chake kirefu sana, siku moja Simba ataleta hapa, yeye ameuliza hii swali siku nyingi sana.
Sikiliza, unauliza swali kubwa elimu yake kubwa ambayo binaadam hana.
Maana ya Masihi Dajjal ni Massih wa uongo.
Mimi nafuga pia majini.Mimi sina akili nyingi kama wewe. Mimi nafanya, nasema kile mimi nakujua, basi.
Utatambua ishara zipi za mtu aliyerogwa?