Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Kuna kipindi sababu ya udadisi nikaanza kuchimbua elim kujua uharisia wa mambo...

Nikaingia kweny group la MAGICAL NAMES AND SPELL.... (Huko wanadai wanaweza kuzungumza mpk na malaika na wanamafunzo yao n.k

nikaingia kweny watu wa KUNDALIN AWAKENING... (Nilienda kwa lengo la kujifunza tu, ila imani ilitaka kunidondoka wallah)

Elim inaokoa lakin pia inapotoa,,,, usiweke divai mpya kwenye viliba au chombo cha zamani (yasema hvyo Bible)

Kuna elim ukisema uzifate Kama huna misingi badala ya kupata maarifa unaenda kupotea🤝🤝

Kuna mambo ya Lucid dreaming na Astro projection (watu wanakufundisha namna ya kutenganisha nafsi nje ya mwili.... Na ni really maana nilishajaribu ingawa niliishia njian


Kwahyo elim zipo nyingi ila ukizifata kichwakichwa wallah kesho tu unakuwa bonge la mchawi

Kwenye mambo ya kiroho kabla hajaja Mungu hutangulia shetwan kwanza,,, Yan nashindwa niweke vipi hii kitu, au ngoja niishie hapa😥😥

Ila hizi elim ni mbaya sana.... Ili zisikutawale inabidi uwe na elim ya Allah pamoja na nguvu zake hapo ndo utaweza kubeba hzo elim zingine maana kwako zitakuwa ziada tu🤝🤝

Ukiwa karibu na Allah hata kina Arsis na Ramadyn wote waje hawafui dafu.... 🚶🚶
 
Naunga mkono hoja asimia zote. Hii mada ni deep sana. Imenifanya nichimbuwe makabrasha ya vitabu vya zamani na niwe napiga research za mtandaoni.
Ni kweli kuna maarifa mengi sana yamefichwa kwenye vitabu na ukifanya research ya kujisomea mwenyewe utajifunza mengi na kustaajabishwa sana ILA nimejifunza pia inabidi kuwa na misingi imara sana unapoanza kufanya research za kuyajua mambo yaliyofichwa.

Maana mara nyingi huwa yamebeba ajenda pia zenye lengo la kuteka ufahamu, hivyo misingi imara inatusaidia kuchambua pumba na mchele.

Misingi imara inapatikana kwa kuijua kweli, na kweli inapatikana kwa kulisikia na kulielewa neno, na neno linapatikana katika vitabu vitakatifu ambavyo Muumba amehusika moja kwa moja na sio mitazamo ya wanadamu.
 
Hapa umechemka🤝..... Hidhr hawez fungiwa na majini kweny chupa!!!
Yule anaconnection na Allah moja kwa moja (n nabii yule)


Pia hapo kweny nabii Issa huenda anababa pia skushauri hata kufanya research.... Acha kabisa, ukifanya hvyo tafsiri yake umeanza kumtiria shaka Mwenyez mungu na mtume wake kuwa kunasehem wamedanganya🤝

Arsis, anaelim lakini ni kiumbe wa kusadikika sabb amna anayejua yeye n nani........ (Najaribu tu kuwaza je kama Arsis ndo Ibiris mwenyewe utajuaje, maan pia Ibiris ananguv, elim kubwa na uongo wa hali ya juu)

Kwahyo tusome Kama story vichache tuchukue vingine tuviache🚶
Kuna kitu kimoja huwa nakisema mara nyingi sana hapa JF, "huwa sikisii", hata kuliwaza hilo la "khidr" sijakisia, linatokana na majibu ya Arsis kusema kuwa yeye anaweza kuwa "chochote" kile kwa uwezo aliopewa na "Muumba wetu".

Arsis ni wa kufirika kama lilivyo jina "Khidr" ni la kufirika. Na lingine la "Asfi bin Barkhiya bin Mahalhal" (nimelipata humu kwenye huu zi kutoka kwa Arsis, nalo kufikirika pia. lakini siyo ya kukisia.

Nimesema "nawaza" sijasema ni Khdr, kuwaza ni swali la kujiuliza na pia kuliweka hapa jukwaani linataka majibu, nimewaza hivyo kwa sababu hata jina "khidr" ni la kusadikika, halipo ndani ya Qur'an, au labda mimi sijaliona, mwenzetu umeliona? Nnafahamu kuna kisa cha mjamwema aliyepewa Ilm na Allah, alikutana na Mtume Musa. Nisome tena. hata hilo jina "Khidr" au ulivyomwita wewe "Hidhr" sina uhakika kama lipo kwenye Qur'an. Sijaliona.

Unaongelea "Khidr kuwa ni "Nabii" ska sifa zake au lugha? au kisio la watu waliotafsiri Qur'an wamekisia?Maana sijaona hilo jina kuwa katajwa kama Nabii ndani ya Qur'an.Labda lipo, Qur'an ni bahari kubwa sana, unawza kukisoma kitu kila siku usikielewe, ukaja kufunuliwa baadae sana. Imo hiyo.

Shusha ilm.

Hilo swali natamani na Arsis alijibu kama yeye kwa fikra zake.
 
Kuna kipindi sababu ya udadisi nikaanza kuchimbua elim kujua uharisia wa mambo...

Nikaingia kweny group la MAGICAL NAMES AND SPELL.... (Huko wanadai wanaweza kuzungumza mpk na malaika na wanamafunzo yao n.k

nikaingia kweny watu wa KUNDALIN AWAKENING... (Nilienda kwa lengo la kujifunza tu, ila imani ilitaka kunidondoka wallah)

Elim inaokoa lakin pia inapotoa,,,, usiweke divai mpya kwenye viliba au chombo cha zamani (yasema hvyo Bible)

Kuna elim ukisema uzifate Kama huna misingi badala ya kupata maarifa unaenda kupotea🤝🤝

Kuna mambo ya Lucid dreaming na Astro projection (watu wanakufundisha namna ya kutenganisha nafsi nje ya mwili.... Na ni really maana nilishajaribu ingawa niliishia njian


Kwahyo elim zipo nyingi ila ukizifata kichwakichwa wallah kesho tu unakuwa bonge la mchawi

Kwenye mambo ya kiroho kabla hajaja Mungu hutangulia shetwan kwanza,,, Yan nashindwa niweke vipi hii kitu, au ngoja niishie hapa😥😥

Ila hizi elim ni mbaya sana.... Ili zisikutawale inabidi uwe na elim ya Allah pamoja na nguvu zake hapo ndo utaweza kubeba hzo elim zingine maana kwako zitakuwa ziada tu🤝🤝

Ukiwa karibu na Allah hata kina Arsis na Ramadyn wote waje hawafui dafu.... 🚶🚶
Binafsi napenda sana kujisomea, ilm ya dini na chochote kile kinachonipitikia kukisoma au kukisomea. Mradi muongozo wangu mkuu ni Qur'an huwa sina shaka wala wasi wasi wa kusoma, nafahamu kuwa mipaka yangu imo kwenye Qur'an, najilinda nayo.
 
Kuna kitu kimoja huwa nakisema mara nyingi sana hapa JF, "huwa sikisii", hata kuliwaza hilo la "khidr" sijakisia, linatokana na majibu ya Arsis kusema kuwa yeye anaweza kuwa "chochote" kile kwa uwezo aliopewa na "Muumba wetu".

Arsis ni wa kufirika kama lilivyo jina "Khidr" ni la kufirika. Na lingine la "Asfi bin Barkhiya bin Mahalhal" (nimelipata humu kwenye huu zi kutoka kwa Arsis, nalo kufikirika pia. lakini siyo ya kukisia.

Nimesema "nawaza" sijasema ni Khdr, kuwaza ni swali la kujiuliza na pia kuliweka hapa jukwaani linataka majibu, nimewaza hivyo kwa sababu hata jina "khidr" ni la kusadikika, halipo ndani ya Qur'an, au labda mimi sijaliona, mwenzetu umeliona? Nnafahamu kuna kisa cha mjamwema aliyepewa Ilm na Allah, alikutana na Mtume Musa. Nisome tena. hata hilo jina "Khidr" au ulivyomwita wewe "Hidhr" sina uhakika kama lipo kwenye Qur'an. Sijaliona.

Unaongelea "Khidr kuwa ni "Nabii" ska sifa zake au lugha? au kisio la watu waliotafsiri Qur'an wamekisia?Maana sijaona hilo jina kuwa katajwa kama Nabii ndani ya Qur'an.Labda lipo, Qur'an ni bahari kubwa sana, unawza kukisoma kitu kila siku usikielewe, ukaja kufunuliwa baadae sana. Imo hiyo.

Shusha ilm.

Hilo swali natamani na Arsis alijibu kama yeye kwa fikra zake.
Qur'an imetaja visa vya manabii wachache tu... Na yenyewe pia imeeleza hvyo

Kuna manabii zaidi ya laki moja... Pia haya mambo tunayaona mapya kwasababu elim hii imewekwa pazia

(Kuna sehem katika Qur'an Mwenyezi Mungu anamwambia mtume wake.... Kwamba na wakikuuliza kuhusu maswala ya ROHO waambie hawakupewa elim ila kidogo kuhusu mambo hayo


Tafsiri yake wanaadam elim ya kiroho hatukupewa, mengi tumewekwa gizan
(Ndio sababu Arsis akijaribu kieleza kidogo tu uharisia ulivyo tunamuona muongo Kama yeye hajawah tokea, n kwasababu hatuna elim na mambo hayo na hatujawah yasikia wala kuyafikiria🤝🤝🤝


Hidhr n nabii kutokana na sifa alizoelezwa nazo... (Hakuelezewa Sana nadhan sabb n kuwa yupo kiroho zaidi kuliko kimwili, mwalim wangu aliwah niambia hidhr mpk leo hii yupo hapa Duniani)

Hzo n siri za Allah!!!!
Kweny Surat Mulk,,, Allah aliposema kaumba mbingu saba kwa matabaka hapo nadhan ndo zinazungumziwa hizi Dunia anazotaj Arsis... Ila sisi hatukugusiwa zaidi sabb n mambo yaliyo juu ya upeo wetu🤝

Dah yan nshachanganyikiwa hat sijui naongea nini..... Ila kweli huu uzi unamengi Sana🚶🚶🚶😥😥
 
Ahsante mkuu Faiza.
But...
Msingi wa imani yetu ya kikristo ni Kristo (Yesu) mwenyewe. Na imani hii chanzo au msingi wake ni Neno la Kristo au maandiko ya Biblia.

Na Biblia yenyewe inakiri wazi kuwa kuna mambo meengi sana ambayo hayakuwekwe kwenye Bible maana isingelitosha. Ni mengi mnoo. Probably ndio hayo maandiko na vijitabu vingine mnavyohangaika kusoma na kutafuta tafuta elimu kuvihusu.

But as a matter of fact kwamba Bible was written under INSPIRATION of God (kama ambavyo inasemekana kuwa Q'uran ilishushwa), tuna kila sababu ya kuwa na uhakika kwamba yale yaliowekwa ndani yake (Bible) ndio hasa yalikusudiwa kama Fundisho Mungu alilenga kusema nasi (tunaomuamini kupitia Kristo Yesu).

NA kwasababu hii (hapo jjuu), katika theology (right one) , tuna jenga doctrine upon what was WRITTEN of the old and new testament alone na si nje ya hapo. Doctrine yetu haijengwi juu ya kile ambacho biblia haisemi /haijakijumuisha kwenye vitabu vyake..

Kwahiyo bas, maadam, Biblia imetamka Jina Yesu, ina maana jina lake ni Yesu.

Habar za translation hizo ni vitu obvious kabisaa.

Unapozungumzia kigiriki ,ni kwasababu hii.

Biblia iliandika katika lugha 3 lakin lugha 2 kubwa zaid ndio zime dominate.
Agano la kale limetumia Kiebrania na hiyo ulioitaja wewe kwa kiasi.

Wakat agano jipya limeandikwa kwa Kigiriki kama oringinal language..

All other translation kuja kingereza mpaka kiswahili, tafsiri yake inatoka kwenye original manual script ya lugha hizo 3 hasa kiebrania na kigiriki.

Kwahiyo Yesu ni tranlation ya jina toka huko whatevet was used to Address Jesus, He still is the same and the name is just the same Powerful name.
Nimefurahishwa na ujibuji wako wa maswali.
Una utulivu mkubwa bila panic yeyote. Hongera.
Lkn kingne alichosahua ni kuwa ata huyu muhusika mkuu wa hii stori anakiri mwenyewe kuwa binadamu ndio kiumbe chenye akili zidi yake yeye mwenyewe na hao wengne.
Najivunia ili KWa kuwa binadamu.

Kuhusu kutafuta neno yesu na kutolipata asikate tamaa aendelee atalikuta binadamu wenzake faiza mbweha wenye akili kukuzidi ww mbweha huenda wameficha hayo maarifa endelea kujifunza.
Ahsante
 
Tatizo naliona Baadhi ya wachangiaji Waislamu wanaanza kutumia hii simulizi kuukashifu Ukristo.
Wameanza kumwona Arsis kama Mungu wao na anachosema ndio kweli.
Nawashauli waanze kumwuliza huyo Arsis habari za Uislamu kwanza kabla ya kurukia Imani nyingine.
Binafsi naipenda hii simulizi kama ya kujifunza maarifa mapya, na sio kuyaona kuwa ndio maarifa sahihi
Uislamu ndio hakuna kitu kabisa.
Wao hawawezi kutenda bila kushirikiana na majini.

Wakristo tunatumia jina tuh, Jesus au yesu linatosha kununua kila kitu apa duniani,

Jina yesu linao uwezo wa kununua nafsi, inanunua uzima, n.k.
Ndio kitu pekee chenye thamani kubwa apa duniani, jina la yesu kristo,

Muulize kwann hao majini wanaogopa jina la yesu kristo na kwamba wakitajiwa na mtu mwenye iman sawa sawa wanakimbia au wanateketea kabsa.

Kwann hatutumii jina la muhammad kwenye manunua yeyote yale apa duniani mfano kununua afya ya mtu, n.k

Hii inaonesha kuwa muhammad was nothing
 
Uislamu ndio hakuna kitu kabisa.
Wao hawawezi kutenda bila kushirikiana na majini.

Wakristo tunatumia jina tuh, Jesus au yesu linatosha kununua kila kitu apa duniani,

Jina yesu linao uwezo wa kununua nafsi, inanunua uzima, n.k.
Ndio kitu pekee chenye thamani kubwa apa duniani, jina la yesu kristo,

Muulize kwann hao majini wanaogopa jina la yesu kristo na kwamba wakitajiwa na mtu mwenye iman sawa sawa wanakimbia au wanateketea kabsa.

Kwann hatutumii jina la muhammad kwenye manunua yeyote yale apa duniani mfano kununua afya ya mtu, n.k

Hii inaonesha kuwa muhammad was nothing
Nyie wakristo kweny maswala ya elim ndio sifuri kabisa.... Bible yenyew inawaambia mnaangamia kwa kukosa maarifa

Chukua hii ikushughulishe kidogo kufikiri out of box:
Kasome kitabu cha agano la kale chenye kisa cha Mfalme Daudi na Mfalme Sauli na nabii Samweli
(Kama sijakosea n kitabu cha Wafalme au waamuzi)
Baada ya Mungu kumkasirikia Sauli na kumpa habari za kumnyanga'anya ufalme kupitia kinywa cha nabii Samweli..... Ikapita muda kidogo Samweli akafariki hvyo Sauli akawa hana mtu wa kumpa utabiri na kuibashiri kesho yake🤝

Sasa Sauli akaenda kwa muonaji (yaan mpiga bao au mganga)
Alivyofika kule akamwambia aiite nafsi ya Samweli kutoka kwenye ulimwengu wa wafu aje ili wazungumze nae amuulize alichotaka kumuuliza (kuwa makini twende pamoja)

Na yule muonaji akafanya hivyo akamuita Samweli na kweli nafsi yake ikaja....... Baada ya kuja nabii Samweli akalalamika wamemsumbua yeye alikuwa kishajipumzikia zake kaburini😂😂

(Haya ninayozungumza n Bible ukitaka kasome mwenyewe🤝)
Baada ya happy akazungumza na Sauli Kisha akaondoka zake

Sasa jiulize kitu.... Nafsi ya Nabii Samweli ilivyoitwa kwa mganga na ikaja, ilikuja kama nn (mzimu, jinn, roho mtakatifu au vp😁)

Maana nyie mnaamini kila kiumbe cha kiroho n shetani,,,,, (najua unawaza alikuja Kama roho mtakatifu👉haya niambie toka lini roho mtakatifu akaitwa na mganga kweny kilinge na akaja



Kwahyo usiongee vitu usivyo na elim navyo,,,,,, ukitaja majinn uwe na adabu maana pia n viumbe wa Mungu 🚶🚶

Hivi we unajua uharisia wa Yesu ni kiumbe gani.... (Yule sio pure human na sio God wala sio malaika...🤝

Hapo ndo utajua Mungu ni fundi... Ila hayo hamjui sabb kitabu chenu hakifundishi
 
Hakuna cha ligi wala nini.

Sisi Wakristo tunatambua kuwa hakuna Majini Wakristo.
Na Kuna Aya nyingi sana zinazo tueleza kuwa Majini ni pepo wachafu fullstop.

Na sijui ni kwa nini baadhi ya Waislamu wanashinikiza kwa nguvu zote kuwa kuna Majini Wakristo.

Kwani Majini wakiamua wenyewe kumwabudu Mungu wao kupitia Dini ya Kiislamu kuna shida gani ?

Nasema tena Wakristo wote kupitia mafundisho ya Manabii wao wanafundishwa kuwa Majini yote ni maovu.

Kama Majini waliamua kutubu na kuwa Waislamu sisi Wakristo hatuna shida na Hilo.

Ila kauli ya baadhi ya Waislamu kuwa kuna Majini Wakristo bila kuleta ushahidi wowote wa kimaandiko tunaiona ni kauli ya kupuuzwa tu.

Narudia tena, hakuna Mkristo anaye amini kuwa kuna Majini Wakristo. Ndivyo tulivyo fundishwa na Manabii wetu.

Mambo ya Walawi (Lev) 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

Huu ndi msimamo wa Wakristo wote.
Naomba ieleweke hivyo.

Majini ni Waislamu na Aya Zipo nyingi tu.
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا

(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.

NB:
Kama Kuna kauli tofauti tunaomba ushahidi wa Kimaandiko na sio kuongea hewani tu.
Kifungu hapo kimesema wala hawatatoa sadaka tena kwa wale majini wanaofanya uesharati nao.

Kwahiyo hapo andiko limetambua hao majini ambao ni waovu,si ndio au naongopa?

Ndio tunakuja pale pale majini ambao wanaacha maisha yao halisi na kuchangamana na wanadamu ndio hao waovu,wanajulikana kama mapepo na mashetani.

Naomba ujue kitu kimoja ,majini kuwa wakristo au kutokuwa wakristo hakunipunguzii mm imani yangu au kuipandisha,wala uislamu wangu hauathiriki kabisa

Tupo hapa kuweka ukweli wa mambo,na ukweli utabakia ukweli siku zote,,kutojua jambo au kukataa jambo kwa kuamini kibubusa hakufanyi ukweli usisimame

Asante
 
Ahsante mkuu Faiza.
But...
Msingi wa imani yetu ya kikristo ni Kristo (Yesu) mwenyewe. Na imani hii chanzo au msingi wake ni Neno la Kristo au maandiko ya Biblia.

Na Biblia yenyewe inakiri wazi kuwa kuna mambo meengi sana ambayo hayakuwekwe kwenye Bible maana isingelitosha. Ni mengi mnoo. Probably ndio hayo maandiko na vijitabu vingine mnavyohangaika kusoma na kutafuta tafuta elimu kuvihusu.

But as a matter of fact kwamba Bible was written under INSPIRATION of God (kama ambavyo inasemekana kuwa Q'uran ilishushwa), tuna kila sababu ya kuwa na uhakika kwamba yale yaliowekwa ndani yake (Bible) ndio hasa yalikusudiwa kama Fundisho Mungu alilenga kusema nasi (tunaomuamini kupitia Kristo Yesu).

NA kwasababu hii (hapo jjuu), katika theology (right one) , tuna jenga doctrine upon what was WRITTEN of the old and new testament alone na si nje ya hapo. Doctrine yetu haijengwi juu ya kile ambacho biblia haisemi /haijakijumuisha kwenye vitabu vyake..

Kwahiyo bas, maadam, Biblia imetamka Jina Yesu, ina maana jina lake ni Yesu.

Habar za translation hizo ni vitu obvious kabisaa.

Unapozungumzia kigiriki ,ni kwasababu hii.

Biblia iliandika katika lugha 3 lakin lugha 2 kubwa zaid ndio zime dominate.
Agano la kale limetumia Kiebrania na hiyo ulioitaja wewe kwa kiasi.

Wakat agano jipya limeandikwa kwa Kigiriki kama oringinal language..

All other translation kuja kingereza mpaka kiswahili, tafsiri yake inatoka kwenye original manual script ya lugha hizo 3 hasa kiebrania na kigiriki.

Kwahiyo Yesu ni tranlation ya jina toka huko whatevet was used to Address Jesus, He still is the same and the name is just the same Powerful name.
Nimekuelewa, sana, Waislam pia tunaamini Issa (Yesu) ni Kristo, hilo neno Kristo Kiarabu chake ni "Masih", mdiyo maana sisi tunamwita Masih, unafahamu kwanini ni "Kristo", Kristo ni neno la Kigiriki, kama ambavyo hajawahi kusikia neno "Yesu" akiitwa "Meshikha" alipokuwa duniani na ndivyo hajawahi kusikia neno "Kristo. Kiarami (Aramaic ambayo ndiyo lugha ya mama'ke Issa. Kiarabu na Masih na Kiswahili ni Masihi.

Kuhusu kuwa Qur'an ni maneno ya Allah hilo sina shaka nalo na upo sahihi. Qur'an yenyewe inasema": 4:82. Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu (contradictions) nyingi 82.

Utaona Qur'an yenyewe licha ya vingine, imejiwekea kigezo kizito sana cha khitilafu "contradictions".

Vipi Biblia, imejiwekea kigezo hicho au kingine chochote?
 
Ahsante mkuu Faiza.
But...
Msingi wa imani yetu ya kikristo ni Kristo (Yesu) mwenyewe. Na imani hii chanzo au msingi wake ni Neno la Kristo au maandiko ya Biblia.

Na Biblia yenyewe inakiri wazi kuwa kuna mambo meengi sana ambayo hayakuwekwe kwenye Bible maana isingelitosha. Ni mengi mnoo. Probably ndio hayo maandiko na vijitabu vingine mnavyohangaika kusoma na kutafuta tafuta elimu kuvihusu.

But as a matter of fact kwamba Bible was written under INSPIRATION of God (kama ambavyo inasemekana kuwa Q'uran ilishushwa), tuna kila sababu ya kuwa na uhakika kwamba yale yaliowekwa ndani yake (Bible) ndio hasa yalikusudiwa kama Fundisho Mungu alilenga kusema nasi (tunaomuamini kupitia Kristo Yesu).

NA kwasababu hii (hapo jjuu), katika theology (right one) , tuna jenga doctrine upon what was WRITTEN of the old and new testament alone na si nje ya hapo. Doctrine yetu haijengwi juu ya kile ambacho biblia haisemi /haijakijumuisha kwenye vitabu vyake..

Kwahiyo bas, maadam, Biblia imetamka Jina Yesu, ina maana jina lake ni Yesu.

Habar za translation hizo ni vitu obvious kabisaa.

Unapozungumzia kigiriki ,ni kwasababu hii.

Biblia iliandika katika lugha 3 lakin lugha 2 kubwa zaid ndio zime dominate.
Agano la kale limetumia Kiebrania na hiyo ulioitaja wewe kwa kiasi.

Wakat agano jipya limeandikwa kwa Kigiriki kama oringinal language..

All other translation kuja kingereza mpaka kiswahili, tafsiri yake inatoka kwenye original manual script ya lugha hizo 3 hasa kiebrania na kigiriki.

Kwahiyo Yesu ni tranlation ya jina toka huko whatevet was used to Address Jesus, He still is the same and the name is just the same Powerful name.
Nimekuelewa, sana, Waislam pia tunaamini Issa (Yesu) ni Kristo, hilo neno Kristo Kiarabu chake ni "Masih", mdiyo maana sisi tunamwita Masih, unafahamu kwanini ni "Kristo", Kristo ni neno la Kigiriki, kama ambavyo hajawahi kusikia neno "Yesu" akiitwa "Meshikha" alipokuwa duniani na ndivyo hajawahi kusikia neno "Kristo. Kiarami (Aramaic ambayo ndiyo lugha ya mama'ke Issa. Kiarabu na Masih na Kiswahili ni Masihi.

Kuhusu kuwa Qur'an ni maneno ya Allah hilo sina shaka nalo na upo sahihi. Qur'an yenyewe inasema": 4:82. Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu (contradictions) nyingi 82.

Utaona Qur'an yenyewe licha ya vingine, imejiwekea kigezo kizito sana cha khitilafu "contradictions".

Vipi Biblia, imejiwekea kigezo hicho au kingine chochote?
 
Ahsante mkuu Faiza.
But...
Msingi wa imani yetu ya kikristo ni Kristo (Yesu) mwenyewe. Na imani hii chanzo au msingi wake ni Neno la Kristo au maandiko ya Biblia.

Na Biblia yenyewe inakiri wazi kuwa kuna mambo meengi sana ambayo hayakuwekwe kwenye Bible maana isingelitosha. Ni mengi mnoo. Probably ndio hayo maandiko na vijitabu vingine mnavyohangaika kusoma na kutafuta tafuta elimu kuvihusu.

But as a matter of fact kwamba Bible was written under INSPIRATION of God (kama ambavyo inasemekana kuwa Q'uran ilishushwa), tuna kila sababu ya kuwa na uhakika kwamba yale yaliowekwa ndani yake (Bible) ndio hasa yalikusudiwa kama Fundisho Mungu alilenga kusema nasi (tunaomuamini kupitia Kristo Yesu).

NA kwasababu hii (hapo jjuu), katika theology (right one) , tuna jenga doctrine upon what was WRITTEN of the old and new testament alone na si nje ya hapo. Doctrine yetu haijengwi juu ya kile ambacho biblia haisemi /haijakijumuisha kwenye vitabu vyake..

Kwahiyo bas, maadam, Biblia imetamka Jina Yesu, ina maana jina lake ni Yesu.

Habar za translation hizo ni vitu obvious kabisaa.

Unapozungumzia kigiriki ,ni kwasababu hii.

Biblia iliandika katika lugha 3 lakin lugha 2 kubwa zaid ndio zime dominate.
Agano la kale limetumia Kiebrania na hiyo ulioitaja wewe kwa kiasi.

Wakat agano jipya limeandikwa kwa Kigiriki kama oringinal language..

All other translation kuja kingereza mpaka kiswahili, tafsiri yake inatoka kwenye original manual script ya lugha hizo 3 hasa kiebrania na kigiriki.

Kwahiyo Yesu ni tranlation ya jina toka huko whatevet was used to Address Jesus, He still is the same and the name is just the same Powerful name.
Nimekuelewa, sana, Waislam pia tunaamini Issa (Yesu) ni Kristo, hilo neno Kristo Kiarabu chake ni "Masih", mdiyo maana sisi tunamwita Masih, unafahamu kwanini ni "Kristo", Kristo ni neno la Kigiriki, kama ambavyo hajawahi kusikia neno "Yesu" akiitwa "Meshikha" alipokuwa duniani na ndivyo hajawahi kusikia neno "Kristo. Kiarami (Aramaic ambayo ndiyo lugha ya mama'ke Issa. Kiarabu na Masih na Kiswahili ni Masihi.

Kuhusu kuwa Qur'an ni maneno ya Allah hilo sina shaka nalo na upo sahihi. Qur'an yenyewe inasema": 4:82. Hebu hawaizingatii hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu (contradictions) nyingi 82.

Utaona Qur'an yenyewe licha ya vingine, imejiwekea kigezo kizito sana cha khitilafu "contradictions".

Vipi Biblia, imejiwekea kigezo hicho au kingine chochote?
 
Ilikuwa ni siku chache kabla sijatimiza miaka 18. Nilipelekwa Tanga, kijiji kimoja kipo karibu sana na mpaka wa kwenda Kenya. Kabla ya kuingia huko kijijini ndani kuna ki mji kinaitwa Duga. Ilikua sio mara yangu ya kwanza kupelekwa huko kwa mambo ya kimila na jadi.

Lakini hii ya safari hii ilikua kidogo yakutisha. Kijiji chenyewe kipo ufukweni kabisa na kina mito miwili inapita, mmoja Kaskazini mashariki ya kijiji, huu mkubwa kiasi na mmoja mdogo unapita kusinii ya kijiji. Kwa hio kijiji ni kama kimezungukwa na maji, maana mashariki yake ni bahari ya hindi, Kaskazini mto na kusini mto. Magharibi tu ndio kuna njia ya kwenda mpaka barabara kubwa ya lami, ambayo ipo kama kilomita 3 au 4 kutokea hapo kijijini.

Safari hii ilikua ni nzito kidogo kwa sababu niliambiwa unaweza kukaa kijijini huko wiki moja au mbili, itategemea na "babu" huko ataamua kama mambo yako tayari au bado.

Nilifatana na Baba na Mama yangu kwenye gari la nyumbani mpaka hapo barabara kuu kutokea Tanga, hapo nikakuta vijana wawili wakubwa kwangu, wananingoja na baiskeli mbili, moja ya kunipakia mimi na moja ya kupakia mizigo yangu.

Mizigo yangu kweli ilikua mingi, yangu binafsi lilikua ni begi kubwa na racksack ya mgongoni, lakini kuna maboksi kama matatu makubwa yalikua ya mama akanambia haya yote mkabidhi babu yako mkifika.

Basi tukaagana pale, wao wakanambia ukimaliza kazi yako watakuleta hapa barabarani utapanda gari za kuja Tanga, sisi utatukuta Tanga, tutakuja baada ya wiki mbili, kama utakua umemaliza kabla ya wiki mbili ukifika Tanga tusubiri. Wakaondoka zao, na mimi nikapakiwa kwenye baiskeli kama abiria, na nyingine ikafungashwa ile mizigo yetu yote, ikatangulia.

Hatukuchukua muda sana, tukafika kijijini, moja kwa moja mpaka kwa babu yangu. Babu yangu tunajuana sana, na alikua ni sahiba yangu sana, ni mtu ma story ya kizamani na mimi nilikua mdadisi sana. uzuri wa babu alikua hakwepi swali lolote utalomuuliza na alikua hamumunyi maneno, anakujibu mpaka likuingie. Nilikua namshangaa sana, kwani hakuna swali lilililokua gumu kwake.

Hata niwe na swali, mwenyewe naliona gumu kweli, nikimuuliza babu ananijibu huku ananisifia "swali zuri sana hilo", ananijibu kiurahisi kabisa, mengine huwa anachukua muda kuyajibu, mtindo wake wa kuibu ulikua kama anakusimulia hadithi, anaweza akatoka kabisa nje ya swali ulilomuuliza lakini atakuhadithia mpaka utalipata jibu. Mara nyingi akikujibu basi lazima utakua na maswali mengine mawili matatu ya kuuliza. Kwa ufupi alikua anaelewa kufungua "kichwa" kwa mujibu baba yangu.

Tutaendelea baadae.
Duga ipi ambayo ipo km 4 hadi 5 kutoka Lami?? Mbona Duga zote mbili (Duga Maforoni na Duga Sigaya) zipo kwenye Lami. Sema kwa uwazu wewe ulienda kijiji gani. Usitufichefiche hamna atakayeenda kumloga mganga wako.
 
Back
Top Bottom