Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hapa mimi iutabidi unielimishga zaidi. Mimi ni Nyislam, Sufism shirk yake ni ipi wakati jina "sufi" linaashiria wepesi na usagfi wa kuwa karibu na Allah.

Tupe ilm na ushahidi siyo kurusha tuhuma.

Mimi ni Muislam nisiyekuwa na dhehebu isipokuwa Uislam tu, naamini sufism" siyo dhehebu bali ni lugha tu ikimaanisha njia za wenye kuabudu(tariqa t ibadi). Madhehebu ni yale yenye kufata majina ya watu kama Ukristo.

Mtazamo wangu huo.
Imam shafii ameshawasema masufi miaka mingi sana ilopita katizame kitabu cha manaqibu shafii cha imamulbayhqi utaona jinsi imam shafii alivowaita masufi ni wapumbavu
 
Uislamu ndio hakuna kitu kabisa.
Wao hawawezi kutenda bila kushirikiana na majini.

Wakristo tunatumia jina tuh, Jesus au yesu linatosha kununua kila kitu apa duniani,

Jina yesu linao uwezo wa kununua nafsi, inanunua uzima, n.k.
Ndio kitu pekee chenye thamani kubwa apa duniani, jina la yesu kristo,

Muulize kwann hao majini wanaogopa jina la yesu kristo na kwamba wakitajiwa na mtu mwenye iman sawa sawa wanakimbia au wanateketea kabsa.

Kwann hatutumii jina la muhammad kwenye manunua yeyote yale apa duniani mfano kununua afya ya mtu, n.k

Hii inaonesha kuwa muhammad was nothing
Uwe na staha.
 
Habari za saa hizi wana ukumbi wote.

naomba mfahamu hii ID ya Arsis ndio mwanzo ilikua corazon Espinado nimeomba moderators waibadili.

Kwa kuwa tumeingia kwenye" vionjo vya Arsis" nikaona niitumie ID yake. Mtanisamehe sana kama italeta mkanganyiko wa hapa na pale mnisamehe sana. Pia naomba mfahamu nina ruksa ya kutumia ID kutoka kwa Arsis mwenyewe.

Nipo msibani Bagamoyo, nategemea kuondoka kesho kurudi kwangu. Binafsi nimeamua nichukue room Hotel nipumzike, kwa hio nitapata muda wa kupitia posts na kuzitolea majibu au ufafanuzi wangu au wa Arsis mwenyewe.
 
Habari za saa hizi wana ukumbi wote.

naomba mfahamu hii ID ya Arsis ndio mwanzo ilikua corazon Espinado nimeomba moderators waibadili.

Kwa kuwa tumeingia kwenye" vionjo vya Arsis" nikaona niitumie ID yake. Mtanisamehe sana kama italeta mkanganyiko wa hapa na pale mnisamehe sana. Pia naomba mfahamu nina ruksa ya kutumia ID kutoka kwa Arsis mwenyewe.

Nipo msibani Bagamoyo, nategemea kuondoka kesho kurudi kwangu. Binafsi nimeamua nichukue room Hotel nipumzike, kwa hio nitapata muda wa kupitia posts na kuzitolea majibu au ufafanuzi wangu au wa Arsis mwenyewe.
Tupe muendelezo mkuu
 
Kum
Habari za saa hizi wana ukumbi wote.

naomba mfahamu hii ID ya Arsis ndio mwanzo ilikua corazon Espinado nimeomba moderators waibadili.

Kwa kuwa tumeingia kwenye" vionjo vya Arsis" nikaona niitumie ID yake. Mtanisamehe sana kama italeta mkanganyiko wa hapa na pale mnisamehe sana. Pia naomba mfahamu nina ruksa ya kutumia ID kutoka kwa Arsis mwenyewe.

Nipo msibani Bagamoyo, nategemea kuondoka kesho kurudi kwangu. Binafsi nimeamua nichukue room Hotel nipumzike, kwa hio nitapata muda wa kupitia posts na kuzitolea majibu au ufafanuzi wangu au wa Arsis mwenyewe.
Kumbe Arsis mwenyewe yupo hapa.
Jitambulishe kwanza, kabla hatuja kusulubu
 
1.Naomba niulizie kwa Arsis kama kuna viumbe vinaitwa Phoenex...vinacontroll Jua
2.Muulize pia Kiumbe kinaitwa Behemoth
3.Niulizie kiumbe kinaitwa orphanim..
4.Na Metatron...Huyu Inaandikwa ni angel mgeni ndio alikua Enoch Mwenyewe

Hao hamdyin nafikiri kule wanaitwa Gregorian Angels na wako mbingu ya Tano
Credit: Enoch..book 1
Hili corazon kapita bila kutia neno
 
Hizi mambo aisee...

Nina maswali kadhaa hapa kama kuna wajuzi wanijuze ama huyo Arsis kwa njia ya mleta uzi mwenyewe...

1. Inasemekana binadamu ni kiumbe special, kiumbe unique, kiumbe mwenye nguvu etc, inakuaje huyu kiumbe akaingiwa na jini, kiumbe ambae ni dhaifu kwake, kiumbe wa chini yake.??

2. Jini kiumbe alie chini ya binadamu inakuaje anafanya mambo ambayo binadamu anafight kuyafanya for almost the rest of his/her life mfano; inasemekana jini anauwezo wa kusafiri umbali mrefu kwa muda mfupi kitu ambacho binadamu hawezi mpaka awe na elimu fiche juu ya hayo mambo na si ajabu akawa wa ajabu kwa binadamu wenzake wakati kwa jini wala sio kitu cha ajabu, na anaweza kasafiri hata kwa chini ya dakika 3 kwa umbali wowote duniani(kwa mujibu wa mleta uzi).

3. Jini anaweza kutoa uhai au kumuumbua binadamu au jini mwenzie wa chini yake(kwa mujibu wa mleta uzi) lakini binadamu hawezi kutoa uhai/kumuumbua jini au binadamu bila kutumia matungili, na kufukiza makitu mengi sana mpaka kupasua nazi, kuchinja wanyama na kafara za namna hiyo.

4. Mwisho ningependa kumuuliza mleta uzi, yeye anaamini Arsisi ni nani?? Sio binadamu, sio jini , sio shetani, sio Mungu ni nani hasa??
Anamuamini? Kama ndio/sio kwanini??
 
Duga ipi ambayo ipo km 4 hadi 5 kutoka Lami?? Mbona Duga zote mbili (Duga Maforoni na Duga Sigaya) zipo kwenye Lami. Sema kwa uwazu wewe ulienda kijiji gani. Usitufichefiche hamna atakayeenda kumloga mganga wako.
mkuu tatizo ww unaisoma simulizi kwa mazingira ya leo sio ya juzi haya ila msimuliaji kasema hii story kwa haya anayosimulia imeanzia mwaka 1998 ila kwa sasahivi mji uko ushabadilika sana..acha papara soma kwa kituo!
 
Duga ipi ambayo ipo km 4 hadi 5 kutoka Lami?? Mbona Duga zote mbili (Duga Maforoni na Duga Sigaya) zipo kwenye Lami. Sema kwa uwazu wewe ulienda kijiji gani. Usitufichefiche hamna atakayeenda kumloga mganga wako.
Hapa hata mimi namtetea nLeta mada, jasema kutoka hapo barabarani Duga unakwenda a kilomita 4 ndio u akwenda huko kwa babu yake.

Mbele huko ukimsoma kataja mpaka hapo Duga Maforoni babu yake alikua wapi na huko shamba kataja jina.

Wacha kukurupuka, soma kwanza.
 
Nenda kasome kwenye Surat maryam mazungumzo baina ya Jibreel (A.S) na Maryam...... Kuna sehemu Maryam anamuuliza Jibreel, vipi ntapata mwana ikiwa mwanaadam hajawahi nigusa??
Malaika akamwambia .... Hayo ni mepesi kwa Mungu


Pia kunasehemu kwenye Qur'an Mwenyezi Mungu anamtolea mfano nabii Issa kuwa n mfano wa nabii Adam (Yani wote hawakutoka kwenye jitihada za mwanaume 🤝)

Kwahyo hilo la Maryam kuwa bikra imethibitika ktk Qur'an hatujawaiga wakristo kumuita hvyo
Hatwendi hivyo kielimu, nipe aya, siyo eti "kuna sehemu".

Mimi nna uzi mzima wa hilo, tena siyo wa leo au jana. Pitia...

 
Qur'an imetaja visa vya manabii wachache tu... Na yenyewe pia imeeleza hvyo

Kuna manabii zaidi ya laki moja... Pia haya mambo tunayaona mapya kwasababu elim hii imewekwa pazia

(Kuna sehem katika Qur'an Mwenyezi Mungu anamwambia mtume wake.... Kwamba na wakikuuliza kuhusu maswala ya ROHO waambie hawakupewa elim ila kidogo kuhusu mambo hayo


Tafsiri yake wanaadam elim ya kiroho hatukupewa, mengi tumewekwa gizan
(Ndio sababu Arsis akijaribu kieleza kidogo tu uharisia ulivyo tunamuona muongo Kama yeye hajawah tokea, n kwasababu hatuna elim na mambo hayo na hatujawah yasikia wala kuyafikiria🤝🤝🤝


Hidhr n nabii kutokana na sifa alizoelezwa nazo... (Hakuelezewa Sana nadhan sabb n kuwa yupo kiroho zaidi kuliko kimwili, mwalim wangu aliwah niambia hidhr mpk leo hii yupo hapa Duniani)

Hzo n siri za Allah!!!!
Kweny Surat Mulk,,, Allah aliposema kaumba mbingu saba kwa matabaka hapo nadhan ndo zinazungumziwa hizi Dunia anazotaj Arsis... Ila sisi hatukugusiwa zaidi sabb n mambo yaliyo juu ya upeo wetu🤝

Dah yan nshachanganyikiwa hat sijui naongea nini..... Ila kweli huu uzi unamengi Sana🚶🚶🚶😥😥
Bado hujajibu, kanisome tena kwa utulivu.

Huwa sikisii.
 
Mwambie
Ndio mwambie Mtoa mada aulize maswala ya Dini yako ili upate majibu ambayo Mashehe wako hawaja wahi kukufundisha.
Mwulize kwanza uhalali wa jina la Isa badala ya kuanza kulopoka lopoka Jina la Yesu.
Wewe nakujuwa kwa u poyoyo hapa JF.

. Hilo la "kwa jina la Yesu" kishaulizwa na Arsis kajibu, hujasoma kajibu nini?
 
Kama Qurani inawatambua baadhi yao kuwa ni wema basi ni kwa mujibu wa Qurani na sio Biblia na Ukristo.

Hivyo tubaki kuamini hivyo.

Ukristo unawatambua Majini ni viumbe vilivyo katika utawala wa giza chini ya Kiongozi wao Ibirisi Mkuu Lucifer.
Kumbuka hata Ibirisi aliumbwa ili kumwabudu Mungu, na sina taarifa kama naye ana dini kwa sasa.

Nadhani umeelewa hapo.
Nakazia hapo nilipobold. Je Lucifer ana dini?🤔
 
Hao RAMADIYIN
Ooh, nimekuelewa, imetajwa sehemu kwa hilo jina Ramadiyi au umefikiria hivyo baada ya kusoma ?
. Nakuuliza hivyo kwa sababu mimi nimetengua jina kama alivyoelekeza Arsis nimepata kitu kama hivyo katika maandiko aliyoelekeza Arsis, tena huko nimekuta mengine mapya kabisa. Kumbe neno "vedic" alilotowa Arsis ni katika vitabu vya kale kabla hata ya biblia vya ki hindu, vimetafsiriwa kutoka lugha ya sanskrit. Pia nimepata jina Rama ni aina ya kiumbe katika hao "alliens". Bado napekua neno "dana".
 
Hakuna cha ligi wala nini.

Sisi Wakristo tunatambua kuwa hakuna Majini Wakristo.
Na Kuna Aya nyingi sana zinazo tueleza kuwa Majini ni pepo wachafu fullstop.

Na sijui ni kwa nini baadhi ya Waislamu wanashinikiza kwa nguvu zote kuwa kuna Majini Wakristo.

Kwani Majini wakiamua wenyewe kumwabudu Mungu wao kupitia Dini ya Kiislamu kuna shida gani ?

Nasema tena Wakristo wote kupitia mafundisho ya Manabii wao wanafundishwa kuwa Majini yote ni maovu.

Kama Majini waliamua kutubu na kuwa Waislamu sisi Wakristo hatuna shida na Hilo.

Ila kauli ya baadhi ya Waislamu kuwa kuna Majini Wakristo bila kuleta ushahidi wowote wa kimaandiko tunaiona ni kauli ya kupuuzwa tu.

Narudia tena, hakuna Mkristo anaye amini kuwa kuna Majini Wakristo. Ndivyo tulivyo fundishwa na Manabii wetu.

Mambo ya Walawi (Lev) 17:7 Wala hawatatoa tena sadaka zao kwa wale majini, ambao huwafuata ili wafanye uasherati nao. Sheria hii itakuwa sheria ya milele kwao, kizazi baada ya kizazi.

Huu ndi msimamo wa Wakristo wote.
Naomba ieleweke hivyo.

Majini ni Waislamu na Aya Zipo nyingi tu.
وَأَنَّا مِنَّا الْمُسْلِمُونَ وَمِنَّا الْقَاسِطُونَ ۖ فَمَنْ أَسْلَمَ فَأُولَـٰئِكَ تَحَرَّوْا رَشَدًا

(AL - JINN - 14)
Na hakika wamo katika sisi Waislamu, na wamo kati yetu wanao acha haki. Basi walio silimu, hao ndio walio tafuta uwongofu.

NB:
Kama Kuna kauli tofauti tunaomba ushahidi wa Kimaandiko na sio kuongea hewani tu.

Wacha kukwepa, nyinyi mnaita "madhabihu" tena ni nyama na damu ya watu mnawalisha watu makanisani.

Kama unabisha tuelezee ekarista "eucharist" ni nini?

Cc: Etugrul Bey
 
Back
Top Bottom