Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Baada ya dhuhur uje muulize bro je majina ya BARHATIYAH ni shirki?
Hili swali nilimuuliza pia Arsis na subira majibu natanguliza shukurani Nourhan
ni shirki

alafu ujue kuna madhehebu mengi sana utambue hilo mfano sunni wao hawataki ujinga huo wa majini ila wanatambua kuwa yapo but hawana time nayo coz imeelezwa katika surat baqarah aya 102,ila kuna watu mfano wa shia,bakwata wale hawana dhehebu ila ni watu ambao kwa ujumla wao wote ni waganga hivyo ukiwauliza lolote kuhusu majini watasema ni sahihi.

itafute ayah hiyo niliyokwambia

mungu anawaambia watu babeli kuwa wamepata uchawi kwa malaika 2 ambao ni haruti na mwenzake,ambao walifundisha uchawi wa kufarakanisha ndugu pamoja mke na mume,zaidi walimzushia mengi kuhusu suleimani(hapa masheikh wa majini ndiyo wamejimwaya kwamba suleimani kaanza haya mambo ila ni uongo na amezushiwa) hivyo mungu anasema kuwa wamekufuru na hata hao majini wakiwafundisha watu uchawi wakati huwa wanaambia kabisa kwamba sisi ni mtihihani(sasa hivi jini atamwambia binadamu kwamba majini wengi ni waongo ila ukweli nae ni muongo).

mwisho mun gu anasema hao majini hawana uwezo ila mtu atadhurika kwa idhini ya mungu mwenyewe na siyo yeye,ndiyo maana neno qadar ni pana sana,mnaweza kutegewa uchawi na usikupata ila mungu akitaka utakupata.

narudi kwenu wakristo sisi waislamu siyo kwamba tunakombatia majini ila tu,tunatambua uwepo wao na athari zao,ila kuna kitu kinaitwa amdhehebu ndiyo kinachoifanya dini ya kiislamu kuchafuliwa kitu ambacho kinatokana na utofauti wa elimu ila quran haijaacha kitu but kuna utashi wa binadamu tu ndiyo inaichafua dini.
 
ni shirki

alafu ujue kuna madhehebu mengi sana utambue hilo mfano sunni wao hawataki ujinga huo wa majini ila wanatambua kuwa yapo but hawana time nayo coz imeelezwa katika surat baqarah aya 102,ila kuna watu mfano wa shia,bakwata wale hawana dhehebu ila ni watu ambao kwa ujumla wao wote ni waganga hivyo ukiwauliza lolote kuhusu majini watasema ni sahihi.

itafute ayah hiyo niliyokwambia

mungu anawaambia watu babeli kuwa wamepata uchawi kwa malaika 2 ambao ni haruti na mwenzake,ambao walifundisha uchawi wa kufarakanisha ndugu pamoja mke na mume,zaidi walimzushia mengi kuhusu suleimani(hapa masheikh wa majini ndiyo wamejimwaya kwamba suleimani kaanza haya mambo ila ni uongo na amezushiwa) hivyo mungu anasema kuwa wamekufuru na hata hao majini wakiwafundisha watu uchawi wakati huwa wanaambia kabisa kwamba sisi ni mtihihani(sasa hivi jini atamwambia binadamu kwamba majini wengi ni waongo ila ukweli nae ni muongo).

mwisho mun gu anasema hao majini hawana uwezo ila mtu atadhurika kwa idhini ya mungu mwenyewe na siyo yeye,ndiyo maana neno qadar ni pana sana,mnaweza kutegewa uchawi na usikupata ila mungu akitaka utakupata.

narudi kwenu wakristo sisi waislamu siyo kwamba tunakombatia majini ila tu,tunatambua uwepo wao na athari zao,ila kuna kitu kinaitwa amdhehebu ndiyo kinachoifanya dini ya kiislamu kuchafuliwa kitu ambacho kinatokana na utofauti wa elimu ila quran haijaacha kitu but kuna utashi wa binadamu tu ndiyo inaichafua dini.
Aya ya 102 katika sura baqarah inaeleza juu ya asili ya uchawi na inakanusha kuwa sulyman hakukufuru ila shayatwin ndio kakufuru kwa kuwafundisha watu uchawi na mwisho inafunga kwakusema halitampata mtu dhara lolote ila kwa idhini ya ALLAH.
By the way, This is one of my favorite verse in Qur an
 
Ngoja nimpigie kama hatokuwa na wagonjwa japo hapendi sana kuongelea mpaka siku afurahi atatoa elimu mpaka mtu una furahi nimejifunza kwake kwa kiasi tena ukimuona unamdharau maana ana miaka 30+ elimu imelala hapo sijui ya majini sijui nyota ana mavitabu ya kihindi mengine hata huwa siyaelewi sijui ya kichawi ya kizungu a najua mwenyewe😁.
Sawa usisahau
 
Wakristo mnachanganya sana jinni na shetani. Hamwijuwi tofauti yake kwa sababu hamna ilm. Pigeni goti Waislam tuwaelimishe.
Majini (marine spirits hii ni falme kamili na ina ranks zake ). Jini lina simama kwa umoja na nature yake ni kutoka katika bahari (deep sea ), linaweza tambulikana kwa jina lake kama Oshuna.

Shetani ni ulimwengu wa kimamlaka anao ukalia au anaekaa (roho hasi zilizo muasi Munyaizi Mungu ) hapa kuna Azazel ame qualify to that position, kuna Lucifer na baadhi ya viumbe waasi sio wote ni kama kina Samiaza hao wame qualify kuwa mashetani.. kuna evil spirits, kuna demons, kuna wicked spirits, kuna unclean spirits.. sema tena bibi Simba
 
Aya ya 102 katika sura baqarah inaeleza juu ya asili ya uchawi na inakanusha kuwa sulyman hakukufuru ila shayatwin ndio kakufuru kwa kuwafundisha watu uchawi na mwisho inafunga kwakusema halitampata mtu dhara lolote ila kwa idhini ya ALLAH.
By the way, This is one of my favorite verse in Qur an
Naam na kwa kuongezea kama kumbukumbu ziko sawa,wale Malaika wawili maruti na haruti kitu kama hicho,walifundisha watu uchawi kama ni mtihani kwao na kuambiwa atakaye kubali amekufuru na kufuru mwisho wake motoni,kwahiyo members kama kuna mchawi humu aisee wewe ni motoni tu

Lakini pili lengo lilikuwa kutofautisha miujiza na uchawi,jamii ile ilitopea sana katika uchawi kiasi kwamba watu hawakuona tofauti ya miujiza na uchawi,ndio hao Malaika wakaletwa kutofautisha uchawi na miujiza ya Allah mtukufu
 
Clip ya dada yetu Nourhan kuna sehemu ilisemwa Malaika hawana ombile maalumu,kama ntakuwa nimesikia vizur,ni kwamba Malaika wameumbwa kwa mbawa kwa mujibu wa qur'an tukufu,tena ikasemwa wengine wana mbawa mbili na wengi tatu na wengine zaidi,mfano huyo malaika mkuu gabriel/jibril ana mbawa mpaka mia sita (600)

Kwahiyo hapa source ya uwakika ni qur'an kwasababu hakuna jini ambaye anaweza kumuona malaika,kama ambavyo binadamu hawezi kumwona jini.katika umbo lake halisi
 
Yesu ni cheo sio jina la mtu, Sikumbuki ni kitabu gani katika biblia kinamzungumzia Yesu mwingine aliyekua Ngariba.. nautafuta huo mstari nitarudi
Wetu sisi ni Yesu Kristo (masihi) maana hata enzi za Yesu katika bible walukuepo akina yesu wengine mfano baar-yesu.
Ila aliye pekee mwana wa Mungu aliye hai anaitwa Yesu Kristo
 
images
Mambo ya Pete
Ni kweli ama story tu?
 
Clip ya dada yetu Nourhan kuna sehemu ilisemwa Malaika hawana ombile maalumu,kama ntakuwa nimesikia vizur,ni kwamba Malaika wameumbwa kwa mbawa kwa mujibu wa qur'an tukufu,tena ikasemwa wengine wana mbawa mbili na wengi tatu na wengine zaidi,mfano huyo malaika mkuu gabriel/jibril ana mbawa mpaka mia sita (600)

Kwahiyo hapa source ya uwakika ni qur'an kwasababu hakuna jini ambaye anaweza kumuona malaika,kama ambavyo binadamu hawezi kumwona jini.katika umbo lake halisi
Kwenye Theology, kuna doctrine inayo husu mambo haya. Inafahamika kama ANGELOLOGY AND DEMONOLOGY.
katika imani ya kikristo tuna uwanda mpana sana wa elimu zema tu ndio vile haya mambo huwez kuta wanafunzwa waumini makanisani. Na hii ni kwakua wachungaji wengi hawajakwiva katika Theology makini wengi wanaishia kukwepa mambo magumu kama haya
 
Wana ukumbi, kwanza inabidi nicheke maana Arsis kanipa ujumbe baada ya mimi kuanza kusoma posts. Ninacheka kwa sababu Arsis leo kanipa ujumbe kwa Kingereza, niwaambie wana ukumbi "they've opened the can of worms".

Akanipa maagizo nisijibu mtu leo mpaka baadae, mimi niendelee na kisanilioanza kukiandika jana lakini niwe mwangalifu "dont spill it, spell it".

Wana ukumbi nisaidieni kamaanisha nini, ujumbe wa kwanza wenu wa pili wangu. Leo Arsis anapiga "ngeli" tu.
 
Kwenye Theology, kuna doctrine inayo husu mambo haya. Inafahamika kama ANGELOLOGY AND DEMONOLOGY.
katika imani ya kikristo tuna uwanda mpana sana wa elimu zema tu ndio vile haya mambo huwez kuta wanafunzwa waumini makanisani. Na hii ni kwakua wachungaji wengi hawajakwiva katika Theology makini wengi wanaishia kukwepa mambo magumu kama haya
Asante kwa kushare
 
Wana ukumbi, kwanza inabidi nicheke maana Arsis kanipa ujumbe baada ya mimi kuanza kusoma posts. Ninacheka kwa sababu Arsis leo kanipa ujumbe kwa Kingereza, niwaambie wana ukumbi "they've opened the can of worms".

Akanipa maagizo nisijibu mtu leo mpaka baadae, mimi niendelee na kisanilioanza kukiandika jana lakini niwe mwangalifu "dont spill it, spell it".

Wana ukumbi nisaidieni kamaanisha nini, ujumbe wa kwanza wenu wa pili wangu. Leo Arsis anapiga "ngeli" tu.
Cc FaizaFoxy
 
Wana ukumbi, kwanza inabidi nicheke maana Arsis kanipa ujumbe baada ya mimi kuanza kusoma posts. Ninacheka kwa sababu Arsis leo kanipa ujumbe kwa Kingereza, niwaambie wana ukumbi "they've opened the can of worms".

Akanipa maagizo nisijibu mtu leo mpaka baadae, mimi niendelee na kisanilioanza kukiandika jana lakini niwe mwangalifu "dont spill it, spell it".

Wana ukumbi nisaidieni kamaanisha nini, ujumbe wa kwanza wenu wa pili wangu. Leo Arsis anapiga "ngeli" tu.
Endelea na kisa,,utapata majibu,ubongo una load
 
Ujumbe mwingine wa Arsis nimeupata sasa hivi wakati naanza kuandika. Usijibu mtu "private, this is an educative thread, simba, you are not mganga or mchawi" akaongea Kiswahili, kua yeye Arsis atajibu linaloulizwa hapa, private ni baina yangu na anaeuliza, yeye hahusiki.

Kwa hio mnaokuja private msitegemee kujibiwa na Arsis maswali yenu ya Private, anasema anaeta yeye ili ajibu muulize hapa wazi, watu wengi wapate faida, kwa sababu tatizo la mtu mmoja wanalo watu millioni moja wengine. Anassema wabadilishe jina kama hawataki kujulikana halafu waulizze. Anataka kutoa elimu yake kwa watu wengi.

Du, leo tumemkorofisha nini Arsis?
 
Back
Top Bottom