Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Hakuna tabu kabisa, unaonesha posts unaziruka, kasome hii, binya link: Umeziona aya za Qur'an?

Msiwe na haraka, elimu kubwa haitaki haraka. Someni kwa umakini tu. Huu sio uzi wa kuufanyia haraka.
Simba.
Ili twende sawa aya unaweza ukasoma na usielewe vizuri sidhani kama Quran inakataza kumpa mtu ufafanuzi.

Hiyo aya iko wazi mashetani yamtumikie mtume, vipi kwa waislamu?
 
Arsis,

Nimeyakuta haya kwenye uzi huko jukwaa lingine, tupe ujuzi wako kuhusu haya mambo👇🏾

AINA TISA (09) ZA LIMBWATA ANALOTUMIA MWANAMKE KUMLOGA MWANAUME

Mwanamke ndio binadamu wa kwanza kabisa kuongea na Shetani face to face na hatujui waliongea mambo gani mengine tofauti na ile ishu ya tunda la mti wa katikati ya bustani. Hadi leo hii mwanamke bado ana urafiki wa karibu zaidi na Shetani kuliko hata mwanaume. Sasa mganga wenu amenambia njia 8 mnazopenda kutumia ili kutuloga, na amenipa kinga na maarifa ya kuwakwepa;

1. SHAHAWA/MBEGU ZA KIUME:

Mwanamke anatakiwa apeleke shahawa/mbegu za kiume kwa mtaalamu wake ili shahawa/manii hizo zifanyiwe dawa ya kumshika mwanaume kisawasawa. Njia rahisi anayotumia kuzipeleka shahawa/manii hizo ni kupitia kitambaa au nguo ya ndani itakayotumika kufutia shahawa wakati wa tendo la ngono. Kitambaa hicho kilichotumika kufutia shahawa/manii ndio kitatengeneza password za kumtia Lock mwanaume ili awe vile mwanamke anavyotaka.

2. KINYAMA:

Katika hili, kipande kidogo cha nyama yeyote ile ya Size ya “mshikaki” huwekwa ndani ya uke wa mwanamke kwa muda wa siku kadhaa kulingana na masharti ama maelekezo ya mtaalam husika. Baadae kinyama hiki hutolewa ukeni na kisha huchanganywa na dawa fulani na kisha hupikwa kwenye chakula. Chakula kitakachochanganywa na mnofu huu kinatakiwa kuliwa na mwanaume husika ili kumtoa password zake zote za ufahamu. Akila tu chakula hicho basi anapoteza akili zake za ubishi, kiburi, ubabe, ubahili na yale yote aliyoomba kwa mganga yamtokee mpenzi/mume wake.

3. MAJI YA MCHELE:

Maji ya kawaida hupelekwa kwa mtaalamu kwa ajili ya kuyatengeneza na kisha maji hayo hurudishwa nyumbani. Mwanamke muhusika huyatumia maji hayo ya dawa kuoshea uke wake na yale machafu yanayotiririka hukingwa na kisha hutumika kuoshea mchele ama hata kupikia kabisa! Chakula kilichopikiwa maji machafu yaliyouosha uke wake, naskia huwaga ni kitamu mno. Kama ni mama ntilie basi huwezi kuacha kula kwake hata mazingira ya biashara yawe machafu vipi. Aliekupikia chakula atatimiziwa mahitaji yake yote akiomba, maana kile chakula kinatoa password zote za ubishi, ubahili nk.

4. KISOMO:

Njia hii haisemwi sana, ni kama siri kubwa. Huwa haijulikani hasa ni aina gani ya “kisomo” hufanyika lakini wateja na wafuasi wa limbwata la aina hii wanakiri kuwa mwanaume aliesomewa kisomo huwa ni zaidi ya kondoo, kwa maana ya kuwa maisha yake yote yaliyobaki yanakuwa ni yale ya “ndio mke wangu” kwa mwanamke aliemtengeneza. Waliowahi kutumia njia hii wanasema sio nzuri sana kwa vile fundi mwingine yoyote anaweza akafanya kisomo kinyume ili kutoa password za ubishi, ubahili nk kwa mwanaume.

5. KIFARANGA:

Hapa mwanamke mhitaji huagizwa na fundi kupeleka kifaranga, na mara nyingi huwa ni kifaranga cha kuku. Fundi humfanyia madawa kifaranga huyo katika karakana yake na kisha huihamishia nafsi ya mlengwa (mwanaume) kwenye kifaranga hicho. Kifaranga hubaki kwa mganga maisha yake yote. Mateso atakayopewa kifaranga huyo ndio ambavyo mwanaume atajihisi huko aliko. Namna fundi anavyodili na kifaranga hicho ndivyo maisha ya mwanaume yatakavyokuwa. Njia hii haipendwi sana na wanawake wenye chembe za huruma kwa kuwa ina changamoto moja kubwa; usalama na uhai wa kifaranga hicho huwa ni tatizo. Kifaranga kikiumia, kikikonda, kikifa basi huwa hivyohivyo kwa mwanaume muhusika.

6. JINA KUNING’INIZWA JUU YA MTI:

Njia hii inafanana na kisomo, tofauti ni kwamba majina halisi ya mwanaume huandikwa kwenye karatasi na kisha fundi hunuia maneno fulani na kisha karatasi iliyoandikwa majina ya mwanaume mlengwa huenda kuning’inizwa kwa kufungwa katika moja ya miti mirefu ili karatasi iwe inapepea kama bendera. Sharti kuu; mti huo uwe mbali na wanapoishi wapenzi hao ama wanandoa hao, wakati mwingine inahusisha mkoa mmoja hadi mwingine!
Wanasema kuwa kama hakuna upepo, mwanaume huwa kawaida, yaani huwa kwenye akili yake ya kawaida. Upepo ukivuma kidogo tu, mwanaume huyu akili yake huruka ghafla na huanza kumuwaza mwanamke aliemtengeneza! Ili mwanaume apone kutoka katika limbwata hili, lazima huu mti utafutwe au kikaratasi kichanwe, hiyo ndio pona ya mwanamme!

7. KABURI LA MTOTO:

Mwanamke hupeleka majina halisi ya mwanaume kwa fundi wake. Fundi huandika majina hayo kwenye karatasi na kisha hunuia maneno fulani na kisha huiwekea madawa fulani karatasi hiyo. Mwanamke anatakiwa akaifukie karatasi na madawa hayo kwenye kaburi la mtoto mchanga. Vikifukiwa tu, password za ubishi wa mwanaume, ubahili na kiburi huachia. Sharti kuu ni kwamba kaburi lililotumika kumtengeneza mwanaume liwe maeneo ya mbali sana. Hapa mwanaume mwenzangu huponi mpaka kaburi lipatikane na kazi ya kukufungua katika kifungo hiki ifanyikie hapo kaburini!

8. UNYAYO, KUCHA AMA NYWELE:

Mchanga wa unyayo, nywele za sehemu za siri, nguo (hasa nguo za ndani) na kucha za mwanaume huweza kutumika vizuri sana kumloga mlengwa ili awe vile mwanamke anataka awe. Changamoto kubwa ni kwamba mganga yeyote yule anaweza kutoa Lock aliyowekewa mwanaume husika bila kutumia nguvu nyingi.

9. KUTUMIA NGUO YA NDANI KAMA KICHUJIO

Hii pia ni njia mojawapo ya limbwata inayotumiwa na baadhi ya wanawake. Njia hii humfanya mwanamke kutumia nguo yake ya ndani (chupi) kama KICHUJIO cha kuchuja kinywaji anachotaka kumpa mumewe. Mwanamke huvua nguo yake hiyo hadi katikati ya miguu yake chini ya magoti, kisha anaweka dawa aliyopewa na mganga wake juu ya hiyo nguo (chupi) kisha huweka kikombe au glasi chini yake na kumimina kinywa kupitia juu ya nguo na kufika kwenye kikombe au glasi.

WANAUME WENZANGU, NAOMBA TUWE MAKINI SANA

View attachment 1140025
 
usishau tu kua Mtume Muhammad alikua ni Mtume kwa majini pia. Ai sivyo?

Pia katika moja ya swali langu nilikuuliza kuhusu Sulaiman, unakumbuka?

Kama ulikua hujafahamu kwanini nilikuuliza kisa cha Nabii Sulaimna, soma mistari hii chini ya mwongozo wetu, Qur'an, aliopewa Mtume Muhammad (SAW) atufikishie;

Q:38:35. Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji. 36. Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika. 37. Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi. 38. Na wengine wafungwao kwa minyororo. 39. Hichi ndicho kipawa chetu.

Natumai umeielewa hio mistari.

Napenda kukufahamisha, kua tusifikie kuhukumu watu kwa elimu chache tulio nayo.
Simba.
usishau tu kua Mtume Muhammad alikua ni Mtume kwa majini pia. Ai sivyo?
Ni kweli , swali langu linarudi kwako.. je aliwatumia kuagua watu, aliwafuga ? alikuwa na rafiki ambaye ni jini? aliwahi kukaa kumuita jini amtume mahali ? je hao wanaofanya hivyo na kuhusisha na uislam wameyatoa wapi hayo ?

Q:38:35. Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji. 36. Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika. 37. Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi. 38. Na wengine wafungwao kwa minyororo. 39. Hichi ndicho kipawa chetu.
Hoja hii nilishajibu hapo Juu huo ni uwezo alipewa suleiman tu, na kumbuka ombi lake kwa Allah unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu Je wewe ni nani ujimilikishe majini na kuyatuma au kuagua watu Ndio maana Mtume hakuvuka huo mstari sio kwamba hawezi alikuwa na uwezo wa kuyafanya lakini hakuyafanya na hakuwahi wafundisha maswahaba zake kuyafanya hayo...

Napenda kukufahamisha, kua tusifikie kuhukumu watu kwa elimu chache tulio nayo.
Haki lazima isemwe na Batili lazima ikemewe , na uzushi katika dini lazima upingwe VITA , tusipofanya hivyo hawa wachawi wanaovaa mapete ya rangi za kila aina , wasoma nyota , wafuga majini ndio wataonekana mashekh mwisho wa siku watakuwa watoaji fatwa katika jamii ya kiislam na kuzidi kuwapoteza ...

Uislam ni Rahisi sana Kufuata mafundisho ya Mtume pamoja na matendo yake na matendo ya wajawema waliotangulia katika zile karne tatu .. kabla hujafanya jambo jiulize JE MTUME ALIFANYA KAMA HAJAFANYA NI BIDAA NA KILA BIDAA NI UZUSHI NA KILA MZUSHI KATIKA DINI ATAINGIA MOTONI...

RASOOL ALLAH S.W.A ALIWAHI FUGA MAJINI, AU KUWATUMIA MAJINI KATIKA KUSAMBAZA UISLAM AU TIBA ..? SIMPLY HAPANA NA ,KILA MWENYE KUYAFANYA HAYO NI MCHAWI
 
Ni kweli , swali langu linarudi kwako.. je aliwatumia kuagua watu, aliwafuga ? alikuwa na rafiki ambaye ni jini? aliwahi kukaa kumuita jini amtume mahali ? je hao wanaofanya hivyo na kuhusisha na uislam wameyatoa wapi hayo ?


Hoja hii nilishajibu hapo Juu huo ni uwezo alipewa suleiman tu, na kumbuka ombi lake kwa Allah unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu Je wewe ni nani ujimilikishe majini na kuyatuma au kuagua watu Ndio maana Mtume hakuvuka huo mstari sio kwamba hawezi alikuwa na uwezo wa kuyafanya lakini hakuyafanya na hakuwahi wafundisha maswahaba zake kuyafanya hayo...


Haki lazima isemwe na Batili lazima ikemewe , na uzushi katika dini lazima upingwe VITA , tusipofanya hivyo hawa wachawi wanaovaa mapete ya rangi za kila aina , wasoma nyota , wafuga majini ndio wataonekana mashekh mwisho wa siku watakuwa watoaji fatwa katika jamii ya kiislam na kuzidi kuwapoteza ...

Uislam ni Rahisi sana Kufuata mafundisho ya Mtume pamoja na matendo yake na matendo ya wajawema waliotangulia katika zile karne tatu .. kabla hujafanya jambo jiulize JE MTUME ALIFANYA KAMA HAJAFANYA NI BIDAA NA KILA BIDAA NI UZUSHI NA KILA MZUSHI KATIKA DINI ATAINGIA MOTONI...

RASOOL ALLAH S.W.A ALIWAHI FUGA MAJINI, AU KUWATUMIA MAJINI KATIKA KUSAMBAZA UISLAM AU TIBA ..? SIMPLY HAPANA NA ,KILA MWENYE KUYAFANYA HAYO NI MCHAWI

Uchawi umekatazwa kwa Waislam na viumbe wote.

Mtume Muhammad katuletea Qur'an ambayo ni mwongozo wetu.

Unafahamu maaana ya jini?

Mimi nakushauri, kama nilivyoandika nyuma huko, wakati tunaendelea na kisa cha Adam tutaleta habari za majini kutokea kwenye Qur'an, kama hujui majini ni nini nakushauri uwe na subira, una mengi sana ya kufaidika nayo.

Maswali ya kielimu hayawi kama utakavyo wewe, labda uwe unajua unachokiuliza ni nini na una ushahidi nacho. mfano unauliza kuhusu kufuga majini, wewe uliona au ulisoma wapi majini yanafugwa? Au ndio kinachoitwa "heresy" Kingereza?
Simba.
 
Uchawi umekatazwa kwa Waislam na viumbe wote.

Mtume Muhammad katuletea Qur'an ambayo ni mwongozo wetu.

Unafahamu maaana ya jini?

Mimi nakushauri, kama nilivyoandika nyuma huko, wakati tunaendelea na kisa cha Adam tutaleta habari za majini kutokea kwenye Qur'an, kama hujui majini ni nini nakushauri uwe na subira, una mengi sna ya kufaidika nayo.

Maswali ya kielimu hayawi kama utakavyo wewe, labda uwe unajua unachokuliz ni nini na ushahidi nacho, mfanoi unauliza kuhusu kufuga majini, wewe uliona au ulisoma wapi majini yanafugwa? Au ndio kinachoitwa "heresy" Kingereza?
Simba.
Maswali yako yamenikumbusha, niliwahi kuuliza haya kwenye post aliyoileta Lidafo, nikaomba yeyote anayeweza kujibu ajibu👇🏾
ASILI YA MAJINI -- 1
Katika mada hii tutaanza kuangalia asili ya hawa viumbe kwa mujibu wa Quran na hadithi.
Majini ni Viumbe walioumbwa na ALLAH, Viumbe hivyo vimeumbwa kwa mwale wa moto kama quran inavyosema katika Sura Al-Hijr (15:27)

وَالْجَانَّ خَلَقْنَاهُ مِن قَبْلُ مِن نَّارِ السَّمُومِ - "And the jinn we created before from smokeless fire"
Tafsiri '' Na majini tuliwaumba kabla kutokana na moto''
Aya hii inaonesha kuwa majini wameumbwa kutokana na moto na hapa nikuelezee kidogo ikiwa majini wameumbwa kutokana na moto na tunajua kuwa moto unatoa joto ambalo ni form of energy ukirudi katika sayansi utaona kuwa Energy can be transform from one form to another kama ilivyo katika law of conversation of energy ilivyo elezwa na Robert mayor mwaka 1842 hivyo basi ikiwa jini kaumbwa na moto na moto unatupa form of energy ambayo ni Thermal energy na energy hii inaweza kubadilika kutoka form moja kwenda nyingine ndio maana Majini wanaweza kubadilika katika namna tofauti.
Lakini pia aya hii inatupa jibu kuwa ndio maana hatuwezi kuwaona majini katika umbo lao kwani wakiwa katika umbo lao wanakuwa kama form of energy ambao huwezi kuwagusa au kuwaona bali unaweza kuhisi uwepo wao kama vile ambavyo huwezi kuligusa joto ila unaweza kujua hapa kuna joto kupitia ngozi yako either utaungua au jasho litakutoka au mfano mwingine huwezi kugusa mwanga ambao tunasema ni light energy ila unaweza kuhisi mwanga kwa giza kuondoka au mwangaza kuongezeka.
Sasa swali linakuja ikiwa hatuwezi kuwagusa au kuwaona vipi baadhi ya watu wanasema mameona majini au wametokew na majini? Hapa jibu ni kuwa wamewaona katika umbo ambalo sio asili yao yaani jini amekuja katika form ya mwanadamu au mnyama au akajidhihisha kwa sauti tu.
Tuje katika hadithi Je hadithi za bwana mtume zinasemaje juu ya asili ya viumbe hivi. Nitarudi kuhusu hadithi za mtume
Binafsi naona suala la Majinni linaenda sambamba na suala la Adam.

Kwa mtazamo wangu zote ni lebo tu.

Naomba kuuliza swali, kwako au yeyote yule anaeweza kujibu, ikiwemo Arsis.

Hivi ni nini tofauti ya Iblis, afrit, jinni, jaan, insan, bashar, shetan, adam, Khalifa, malaika, ruh, nafs qareen, nabii, rasul?

Yote hayo yapo kwenye Qur'an.
 
Uchawi umekatazwa kwa Waislam na viumbe wote.

Mtume Muhammad katuletea Qur'an ambayo ni mwongozo wetu.

Unafahamu maaana ya jini?

Mimi nakushauri, kama nilivyoandika nyuma huko, wakati tunaendelea na kisa cha Adam tutaleta habari za majini kutokea kwenye Qur'an, kama hujui majini ni nini nakushauri uwe na subira, una mengi sna ya kufaidika nayo.

Maswali ya kielimu hayawi kama utakavyo wewe, labda uwe unajua unachokuliz ni nini na ushahidi nacho, mfanoi unauliza kuhusu kufuga majini, wewe uliona au ulisoma wapi majini yanafugwa? Au ndio kinachoitwa "heresy" Kingereza?
Simba.

Bwana Simba ... Rasool Allah ameshushiwa quran na kutuachia kama muongozo nakubali kabisa. Hakuna muislam asiyejua tofauti ya majini na mashetani.. Ulimwengu wa majini ni moja ya aina ya ulimwengu ambao unaozungukwa na uwezo wa Allah, na kuamini kwake ni sehemu ya imani ya ghaibu.. Majini ni viumbe kama walivyo viumbe wengine wa Allah ,wapo waliowema ambao hawajihusishi kabisa na maisha ya wanadamu wana maisha yao kadri Allah alivyowakadiria na shetani ni sifa anaweza akawa nayo binadamu au Jini ..
Majini wana majukumu kama wanadamu na wataulizwa juu ya matendo yao, kama watakavyoulizwa wanadamu, kama ilivyoelezwa katika Qur'an katika aya hizi: {Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii.} [Al-Anaam: 130], nakatika aya nyingine Mwenyezi Mungu anasema: {Tutakuhisabuni enyi makundi mawili} [AR-RAHMAAN: 31].
Mwenyezi Mungu alisema katika Quraani kwamba majini wanasema: {Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.} [AL-JINN: 11].
Na jini lolote linaloingia mwilini mwa binadamu basi hilo lishakua ni adui wa Allah na usitarajie mazuri toka kwake zaidi ya kuzidi kukupoteza...

Tatizo unarukaruka yote hii kutaka kunasabisha utumikishaji wa majini na uislamu ukishavuka huo mpaka Hui tena muislam bali ni mshirikina .. na ni mchawi

Haqi itabaki kubwa haqi na batili itabaki kuwa batili ..
 
Ni kweli , swali langu linarudi kwako.. je aliwatumia kuagua watu, aliwafuga ?
Kwanza kabla sijakupa jibu, nikupe elimu ndogo tu. Ngoja nikukate maswali yako niwache swali moja tiulijadili, tukimaliza tutaenda lingine. Hatuna haraka wala "time limit". Uzi upo hapa na posts zipo hapa.

Nilikujibu juu kidogo hapo lakini naona hukuelewa. Maana unachanganya mambo ya uzushi (heresy) mengi mengi kwa pamoja.

Usidhani kuuliza maswali mengi ya kuzusha ndio kuelewa au kujuwa sana. Hiyo kingereza inaitwa "ignorance fallacy" Kiswahili chake ni uongo wa ujinga.

Ili kukuonesha kua huo wako ni "uongo wa ujinga", inatakiwa kwanza utueleze na ijulikane umelitoa wapi hilo swali kielimu; Nani "aliwafuga" na "waliofugwa" ni nani?

Raha ya elimu ya Uislam, ni lazima kipatikane chanzo (source), kama hauna chanzo inabaki kua ni uzushi wako b9nafsi.
Simba.
 
Nimekupata, ndiyo ile "iliterate people of the 21st century are not those who can't read or write. illiterate people of the 21st century are those who learn but can't unlearn and relearn".
Kabisa, umeiweka vizuri kabisa kuliko ninavoiweka mimi Kiswahili.

Naamini hata njiwa ameelewa maana yake.
Simba.
 
Maswali yako yamenikumbusha, niliwahi kuuliza haya kwenye post aliyoileta Lidafo, nikaomba yeyote anayeweza kujibu ajibu👇🏾

Binafsi naona suala la Majinni linaenda sambamba na suala la Adam.

Kwa mtazamo wangu zote ni lebo tu.

Naomba kuuliza swali, kwako au yeyote yule anaeweza kujibu, ikiwemo Arsis.

Hivi ni nini tofauti ya Iblis, afrit, jinni, jaan, insan, bashar, shetan, adam, Khalifa, malaika, ruh, nafs qareen, nabii, rasul?

Yote hayo yapo kwenye Qur'an.
Nakumbuka kama nilikwambia usubiri, naendelea kukwambia usubiri. Kuna mada yake inakuja kama ulivosema wewe, inaenda sambamba na ya adam, kwani kwenye kisa cha adam baadhi ya hayo yametajwa.

Kuwa na subira, mambo mazuri hayataki haraka,
Simba.
 
Bwana Simba ... Rasool Allah ameshushiwa quran na kutuachia kama muongozo nakubali kabisa. Hakuna muislam asiyejua tofauti ya majini na mashetani.. Ulimwengu wa majini ni moja ya aina ya ulimwengu ambao unaozungukwa na uwezo wa Allah, na kuamini kwake ni sehemu ya imani ya ghaibu.. Majini ni viumbe kama walivyo viumbe wengine wa Allah ,wapo waliowema ambao hawajihusishi kabisa na maisha ya wanadamu wana maisha yao kadri Allah alivyowakadiria na shetani ni sifa anaweza akawa nayo binadamu au Jini ..
Majini wana majukumu kama wanadamu na wataulizwa juu ya matendo yao, kama watakavyoulizwa wanadamu, kama ilivyoelezwa katika Qur'an katika aya hizi: {Enyi makundi ya majini na watu! Je, hawakukujieni Mitume kutokana na nyinyi wenyewe wakikubainishieni Aya zangu, na wakikuonyeni mkutano wa Siku yenu hii.} [Al-Anaam: 130], nakatika aya nyingine Mwenyezi Mungu anasema: {Tutakuhisabuni enyi makundi mawili} [AR-RAHMAAN: 31].
Mwenyezi Mungu alisema katika Quraani kwamba majini wanasema: {Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa njia mbali mbali.} [AL-JINN: 11].
Na jini lolote linaloingia mwilini mwa binadamu basi hilo lishakua ni adui wa Allah na usitarajie mazuri toka kwake zaidi ya kuzidi kukupoteza...

Tatizo unarukaruka yote hii kutaka kunasabisha utumikishaji wa majini na uislamu ukishavuka huo mpaka Hui tena muislam bali ni mshirikina .. na ni mchawi

Haqi itabaki kubwa haqi na batili itabaki kuwa batili ..

Umejitahidi lakini bahati mbaya unajichanganya sana na badot unahitaji elimu zaidi.

Ili kuendelea kuelimishana; Umeelewa maana ya Qareen na walivoielezea waliojibu wawili ulipokua bado hujaielewa? kutoka watafsiri wa Qur'an, wengne wamesema "Jini", wengine "Malaika", wengine "shetani". Au sivyo?

Wewe umeelewa vipi mpaka sasa kuhusu Qareen?
Simba.
 
Umejitahidi lakini bahati mbaya unajichanganya sana na badot unahitaji elimu zaidi.

Ili kuendelea kuelimishana; Umeelewa maana ya Qareen na walivoielezea waliojibu wawili ulipokua bado hujaielewa? kutoka watafsiri wa Qur'an, wengne wamesema "Jini", wengine "Malaika", wengine "shetani". Au sivyo?

Wewe umeelewa vipi mpaka sasa kuhusu Qareen?
Simba.

Simba unazunguka sana haya kutokana na tafsiri za watu tofauti Quran ina jibu moja tu kwa waumini Surat Baqara aya ya pili simply ni ghaibu " the unseen " nimescreen shot Aya ya pili ... Basi mimi ni miongoni mwao hilo kundi .. naamini Ghaibu lakini sipetuki mipaka inatosha kwa muumini kuamini na hakuna muislamu asiyeamini katika ghaibu so simply kwangu mimi qareen naiweka katika kundi la ghaibu ..

Narudia tena hauna elimu mpya itakayotoa RasoolAllah amemaliza kila kitu na yeye ndio kiigizo chetu .. unless ukatae kwako wewe si kiigizo ... mipaka yake katika viumbe hao wengine inajulikana na hakuwa na rafiki upande wa majini wala kuwatumikisha vyovyote vile ... Kwani kufanya hivyo ni kupetuka mipaka ...
 

Attachments

  • Screenshot_20240922-223729_Quran - Swahili Translation.jpg
    Screenshot_20240922-223729_Quran - Swahili Translation.jpg
    218.8 KB · Views: 7
Kwanza kabla sijakupa jibiu, nikupe elimu ndogo tu. Ngoja nikukate maswali yako niwache swali moja tiulijadili, tukimaliza tutaenda lingine. Hatuna haraka wala "time limit". Uzi upo hapa na posts zipo hapa.

Nilikujibu juu kidogo hapo lakini naona hukuelewa. Maana unachanganya mambo ya uzushi (heresy) mengi mengi kwa pamoja.

Usidhani kuuliza maswali mengi ya kuzusha ndio kuelewa au kujuwa sana. Hiyo kingereza inaitwa "ignorance fallacy" Kiswahili chake ni uongo wa ujinga.

Ili kukuonesha kua huo wako ni "uongo wa ujinga", inatakiwa kwanza utueleze na ijulikane umelitoa wapi hilo swali kielimu; Nani "aliwafuga" na "waliofugwa" ni nani?

Raha ya elimu ya Uislam, ni lazima kipatikane chanzo (source), kama hauna chanzo inabaki kua ni uzushi wako b9nafsi.
Simba.

Salaala , umeng'ang'ana kufuga .. bahati nzuri mimi ni mwenyeji na mzaliwa wahukuhuko ulipokwenda kulazwa pangoni na babu yako ..... Nadhani pia uliongea jambo kwamba sijui ulikuta pete chini ya mto na hiyo pete ili isiibiwe unaweka kwenye kasha fulani ... Ndio mifugo wako huo ....

Simba Basi achana na maswali yooote naomba ujibu hili nipe dalili katika Quran na Sunna Mtume Mohamad SAW kuwa aliwahi kuwatumia au kutumikisha Majini ?! Nielimishe mwalimu..
 
Salaala , umeng'ang'ana kufuga .. bahati nzuri mimi ni mwenyeji na mzaliwa wahukuhuko ulipokwenda kulazwa pangoni na babu yako ..... Nadhani pia uliongea jambo kwamba sijui ulikuta pete chini ya mto na hiyo pete ili isiibiwe unaweka kwenye kasha fulani ... Ndio mifugo wako huo ....

Simba Basi achana na maswali yooote naomba ujibu hili nipe dalili katika Quran na Sunna Mtume Mohamad SAW kuwa aliwahi kuwatumia au kutumikisha Majini ?! Nielimishe mwalimu..
Naona umerudia tena "ignorance fallacy".

Hayo yote unaoyasema hayajajibu swali langu. Au huelewi unachokisoma hata nilipoacha swali moja tu? Rudia;

Kwanza kabla sijakupa jibu, nikupe elimu ndogo tu. Ngoja nikukate maswali yako niwache swali moja tiulijadili, tukimaliza tutaenda lingine. Hatuna haraka wala "time limit". Uzi upo hapa na posts zipo hapa.

Nilikujibu juu kidogo hapo lakini naona hukuelewa. Maana unachanganya mambo ya uzushi (heresy) mengi mengi kwa pamoja.

Usidhani kuuliza maswali mengi ya kuzusha ndio kuelewa au kujuwa sana. Hiyo kingereza inaitwa "ignorance fallacy" Kiswahili chake ni uongo wa ujinga.

Ili kukuonesha kua huo wako ni "uongo wa ujinga", inatakiwa kwanza utueleze na ijulikane umelitoa wapi hilo swali kielimu; Nani "aliwafuga" na "waliofugwa" ni nani?

Raha ya elimu ya Uislam, ni lazima kipatikane chanzo (source), kama hauna chanzo inabaki kua ni uzushi wako binafsi.
 
Sijakuelewa wewe kama nani?
Simba unazunguka sana haya kutokana na tafsiri za watu tofauti Quran ina jibu moja tu kwa waumini Surat Baqara aya ya pili simply ni ghaibu " the unseen " nimescreen shot Aya ya pili ... Basi mimi ni miongoni mwao hilo kundi .. naamini Ghaibu lakini sipetuki mipaka inatosha kwa muumini kuamini na hakuna muislamu asiyeamini katika ghaibu so simply kwangu mimi qareen naiweka katika kundi la ghaibu ..

Narudia tena hauna elimu mpya itakayotoa RasoolAllah amemaliza kila kitu na yeye ndio kiigizo chetu .. unless ukatae kwako wewe si kiigizo ... mipaka yake katika viumbe hao wengine inajulikana na hakuwa na rafiki upande wa majini wala kuwatumikisha vyovyote vile ... Kwani kufanya hivyo ni kupetuka mipaka ...

njiwa
Sielewi mwenzetu kama nani ki ilm mpaka uamue "unaiweka... "?

Kwa ilm ipi ulionayo mpaka ukafikia kufanya hivyo?

Isijekuwa tuna Alim wa kiwango cha kutowa fatwa hatukuelewi?
 
8...
Katika tafsil ya aya 27 na 28 nimewapa vifungu muhimu tu, kama utangulizi wa Kisa cha Adam. Lakini aya hizo tunaweza kuzifanyia tafsil ya kina ya neno kwa neno, watu wakapata kuelewa jinsi tunavyofanya tafsil na kutumia mbinu zingine tunazofundoishwa na Qur'an yenyewe kuielewa Qur'an.

Nimeona kila itapobidi tutafanya hivyo lakini post hii tujikumbushe mbinu zinazotumika na zilizopo ndani ya Qur'an ili twende huku tunayo post ya rejea.

Tutaelezea baadhi ya mbinu na maneno tuliyoyapata maana yake nyingine baada ya kutumia mbinu za Qur'an.

1) Tafsil; kwa ufupi ni uchambuzi kwa kufafanua, na kuna sura ya Q 41 Fussilat inatufundisha hilo.

2) Ndimi (lisan) ya Ibrahim (Abrahamic locution), hii nayo tunaipatakila tunapoitaja "Milat Ibrahim".

3) Kiota (nested); Hii ni mbunu na muujiza wa Qur'an kua maneno na mpoaka herufi zake zimeungana na hakuna isiokua na maana yake au iliozidi bila kua na kazi yake.

4) Ardh; Sehemu nyingi kwenye Quran haimaanishi ardhi (earth) bali humaanisha ni maandiko (scripture).

Tutakua tunaijazilia post hii maa kwa mara na tutazielezea kwa kina kila tunavyoendelea. Hapa naonesha tu istilahi (terminologies) za mbinu tunazotumia kupata maana sahihi iliokusudiwa zaaidi ya tarjama za neno kwa neno au tafsiri zilizotumia vitabu vingine kuitafsiri Qur'an.

Tunatumia Qur'an yenyewe kama msingi wa ushahidi (primary source), kikitajwa kitabu cha nje ya Qur'an kama ni hadith au cha lugha, au tafsiri, itakua ni msisitizo wa kukazia tu hoja lakini sio kama ushahidi wa msingi wa hii tafsil tuifanyayo. Usichanganye neno "tafsil" na "tasir" ni maneno mawili tofauti..

Kama hujaelewa kitu uliza au kama una maoni au tunachohitilafiana kilete na ushahidi wako sio mano yako tu, tukijadili.
Simba.

Kisa cha Adam 1.

Salamoun Alaykum!

Leo katika muendelezo wetu wa Kisa cha Adam nitaanza na mada ambayo nilisita sana kuiwasilisha jukwaani kwa sababu mbili kuu.

Sababu ya kwanza; ni kua mada hii ni ndefu na inabidi mnivumilie kwani inabidi tuifanyie tafsil kwa kina bila kuacha kitu kikielea (hangig). Tutaitumia sana mbinu ya kiota, kufata na kuonesha maana kusudiwa katika aya zingine au lilipotumika neno kama tunalolifanyia ‘tafsil”.

Sababu ya pili hii mada itakua na mshtuko (shocker) utaotutikisa kidogo uelewawetu, hususan kwa wale wote ambao hawapendi kuisoma Qur’an kama ilivyo na hupenda kuongezea maneno ya watafsiri hata kama hayamo kwenye Qur’an.

Mtikisoko utakua wa ziadsia kua kwa miaka mingi tumefata na kuamini mambo kwa kufata watu ambao wamefanya makosa kataika tafsser zao au wamefata vitabu vingine ambayo visa au mafundisho yake ni ya kibinadam tu, hayana hata chembe na uhusiano na Qur’an.

Nawaasa wote tustahamili kuisoma hii elimu kidogo kidogo, kwani ina mengi ambayo tutayaleta kidogo kidogo ili yatuingie kwa mitindo (methods) ambayo inatokana na Qur’an yenyewe na wala sio ubunifu wa mtu.

Msiniulize mtayoyasoma hapa kwanini wengi wetu hatujayaona kabla na au kwanini “Maulamaa wetu hawajayaona kabla?”. Tustahamili kuuliza hayo kwani naamini kila tutavyoendelea Qur’an yenyewe itatupa majibu,


Tunakusudia kuanza kuifanyia tafsil aya ya 30 na kuendelea, lakini kabla hatujaingia kwenye aya ya 30 itabidi tupitie aya ya 28 na 29.

Ni muhimu sana tujifunze mbinu mbili tofauti za kutusaidia ufahamu wa Qur’an kutokana na Qur’an yenyewe.

Alhamdulillahi, Mwenyezi Mungu ametujaalia kutupa elimu na mwongozo ulio bora kabisa kuliko wowote ule na usio na shaka ndani yake, Qur’an.

Hatuna budi tufanye hima tujikite kwenye Qur’an kama msingi wetu mkuu wa kuielewa Qur’an yenyewe. Maneno ya watu binafsi tuliofundishwa, haijalishi yanatokea kwa mwenye jina kubwa vipi, kama katumia yake binafsi kuongezea ambayo hayamo kwenye Qur’an au kutumia akili yake, ambayo haiwezi kua na ujuzi wa kumpita Allah kwa lolote li;e, tuyapuuze.

Ikiwa kuna Alim au mwanazuoni yeyote yule, kupunguza kitu au kusema kua hiki hakina maana kilizidi tu, kwa sababu yoyote atakayoitoa, huyo au hao tuwatazame mara mbili mbili, kwani naamini hakuna neno au herufi itokayo kwa Muumba wetu isiyo na kazi yake au maana yake kuwepo kwenye Qur’an.

...2
 
Simba unazunguka sana haya kutokana na tafsiri za watu tofauti Quran ina jibu moja tu kwa waumini Surat Baqara aya ya pili simply ni ghaibu " the unseen " nimescreen shot Aya ya pili ... Basi mimi ni miongoni mwao hilo kundi .. naamini Ghaibu lakini sipetuki mipaka inatosha kwa muumini kuamini na hakuna muislamu asiyeamini katika ghaibu so simply kwangu mimi qareen naiweka katika kundi la ghaibu ..

Narudia tena hauna elimu mpya itakayotoa RasoolAllah amemaliza kila kitu na yeye ndio kiigizo chetu .. unless ukatae kwako wewe si kiigizo ... mipaka yake katika viumbe hao wengine inajulikana na hakuwa na rafiki upande wa majini wala kuwatumikisha vyovyote vile ... Kwani kufanya hivyo ni kupetuka mipaka ...

Kwa jibu lako hilo una maana hujaridhika na majibu ya wote waliojibu kwa kutumia Qur'an na watafsiri na hadeeth, kwa kua kwako ni ghaib na huielewi ghaib au sivyo?

Ni suala ambalo badala ya kuzunguka sanq, ningekuelewa ungesema kua kwako hilo ni jipya na hauna ujuzi nalo zaidi.
Simba.
 
Sijakuelewa wewe kama nani?


njiwa
Sielewi mwenzetu kama nani ki ilm mpaka uamue "unaiweka... "?

Kwa ilm ipi ulionayo mpaka ukafikia kufanya hivyo?

Isijekuwa tuna Alim wa kiwango cha kutowa fatwa hatukuelewi?

Faiza mimi ni mwanafunzi , sijafika kiwango cha kutoa fatwa .... nilichosema haki katika dini inajulikana na batili inajulikana hayo mambo yalishawekwa wazi kitambo sana katika quran na Sunna
 

Raha ya elimu ya Uislam, ni lazima kipatikane chanzo (source), kama hauna chanzo inabaki kua ni uzushi wako binafsi.
Ni kweli kabisa ... Nipe chanzo au source kutoka kwenya mafunzo ya Mtume ya kuunasibisha uislam na kutumia majini kwenye TIBA au kutaka usaidizi wa majini ..
 
Back
Top Bottom