Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

This is very educative
Nilivyoelewa kwa kifupi ni kuwa, Katika hatua hii ya kwanza ya ukuaji kiroho "Root chakrah" kwanza mpaka inafunguka unapitia up - down nyingi sana na ikisha funguka unakuwa na uelewa wa mambo ambao watu wengi hawana wakiwemo viongozi wa dini, Hali hii hupelekea kuanza kuwa na dharau kwa wengine.
Ukishindwa kutubu na kuwa na upendo kwa wengine mlango huu utajifunga na utaangukia kuwa Atheist, kinyume chake ni kuwa ukifanikiwa kutubu na kuheshimu watu wote utafungua mlango wa pili.
Mpaka hapa nina swali moja tu, Je ni Katika hatua hii tu ndio mtu akianguka anaweza kuwa Atheist au hata Katika hatua nyingine ukianguka unakuwa Atheist ?
Kwa Hatua Nyingine Haiwezekani..
KWa sababu utakuwa Umepitia Mengi na Makubwa Ambayo lazima Utakuwa na Majibu mengi sana Kuhusu Ulimwengu hivyo ni vigumu sana..

Lets Assume ni kama Elimu ya Shule..
Umeanza Kusoma Kuanzia Darasa La Kwanza La Pili mpaka Darasa la 7..

Kumbuka Ukifail darasa la Kwanza Utarudia darasa la kwanza mpaka Ambapo utakapofaulu na Kwenda Darasa la pili..
Ikitokea Ukaona Hakuna Faida ya Kusoma kwa sababu kila mara Unafeli utachukia Shule na Kuona Ni kupoteza Muda na Kwakuwa umeshuhudia baadhi ya Siri za kusoma Utaona Pia usomi ni Ujinga kwa Sababu wanatumia Nguvu nyingi wakati unaweza ukapita Shortcut na Ukapata Mapesa..

Imagine Umekwisha Pita Darasa la kwanza Na la pili na La tatu na Unajua Kuandika na kusoma Vizuri vipi unaweza hata Ukiacha Shule bado utakuwa unajua Umuhimu wa Shule kwani Tayari Unajua Kusoma Na kuandika kwahyo huwezi kutukana shule ila Utaona Umuhimu wa Shule na Utajilaumu kwa Kushindwa Kufatilia shule..

Nadhani kwa mfano huo Umenielewa??
 
Sasa Nachotaka Ufute mawazo yote uliyowahi Kuambiwa na Dini Kuhusu Haya makanisa..

Kila Siku huwa Namwambia hata Mchungaji wa Jf Rabboni Kuwa biblia Imesukwa na Kuandikwa Kwa Codes nyingi sana..

Nitaanza Kanisa Moja Moja Mpaka Mwisho..

Tuanze na Kanisa La Efeso UFUNUO 2:1:-

Cha Kwanza Kabisa Ujumbe Huu wengi wanaamini kabisa Uliandikwa Kwa Malaika Wa makanisa fulani kama Efeso na Mengineyo..

Lakini hebu Tuangalie Maana Ya maneno Yaliyotumika..
Kwakuwa Mwandishi wa Ufunuo Kiasili aliandika kwa Lugha ya Kiyunani(kigiriki) tutaanza kwa Kucheza Humo Ili Tulainishe maana Kabla ya Kuanza Kuichambua Vizuri..

Ufunuo 2:1..

Τῷ ἀγγέλῳ τῆς ἐκκλησίας ἐν Ἐφέσῳ γράψον· Τάδε λέγει ὁ κρατῶν τοὺς ἑπτὰ ἀστέρας ἐν τῇ δεξιᾷ αὐτοῦ, ὁ περιπατῶν ἐν μέσῳ τῶν ἑπτὰ λυχνιῶν τῶν χρυσῶν·

WAnaitamka Hivi...

angélōs tēs ekklēsí en Ephesō grápson: Tade légei ho kratōn tous heptá astéras en tē dexiá autou, ho peripatōn en mésō tōn heptá lychniōn tōn chrysōn.

Tafsiri yake kwa Lugha ya Malkia (lugha ya mayai):

"To the angel of the church in Ephesus write: 'These are the words of Him who holds the seven stars in His right hand and walks among the seven golden lampstands

Neno ἀγγέλῳ (Angelos) kwa Kigiriki lilitafasiriwa Kama Mjumbe Mpaka ilipofika karne ya 4 Baada ya Kuenea Kwa Ukristo walipoamua Kuwa Litafasiriwe kama malaika kwa sababu nao ni Wajumbe wa Mungu..


Ila Neno Hilo Asili yake ni Mjumbe So Badilisha Hiyo neno Malaika Weka Neno Mjumbe au Mpeleka Taarifa..

Neno ἐκκλησίας (ekklēsías) ambalo limetafasiriwa kama Kanisa ni neno la Kigiriki ambalo Linamaanisha Mkusanyo au Mkusanyiko au Mjumuisho au Kutaniko.. na Wala si lazima Liwe katika Muktadha wa Dini...

(Unaweza Ukayahakiki maneno kwa Sehemu Yoyote Ukitaka.)

Sasa Tufanye Mabadilko Kwenye Neno Kanisa Tuweke Mjumuiko au Mkutano au Kutaniko na kwenye Malaika tuweke Mjumbe..

Ufunuo wa Yohana 2:1


"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

Na hiyo Ndiyo Ilipaswa Kusomeka Hivyo kwa Kiswahili..

Kufika Hapo Nadhani Umenielewa Sasa Twende kwe ye Nyota saba na Vinara saba..

Unafahamu Chochote Kuhusu Menorah?
Iliyokuwa Inakaa Kwenye Hekalu la Mungu Yerusalem na Kwenye Tabernacle ?
Ilikuwaje?

Hii Hapa Chini..
View attachment 3169285

Sasa Biblia inapozungumzia Vinara vya dhahabu inamaanisha Menorah nadhani umeshawahi kuiona Sana hii..

Chimbuko Lake..

Kutoka 25:37-38

"Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi."

Kwenye Quran Pia Unaweza Ukasoma Kwenye

Surah An-Naba aya 12

وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًۭا شِدَادًۭا
وَجَعَلْنَا سِرَاجًۭا وَهَّاجًۭا

Inatamkwa Hivi..

Wabanayna fawqakum sabAAan shidadan
WajaAAalna sirajan wahhajan

Maana Yake..

Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?

Na tukajalia kati yake Mianga

Umeona hata kwenye Quran?

Kwahyo Kumbe Kwenye Hivyo vinara Vilivyojengwa Kuna Mianga 7...

Sasa Lets see What is These 7 lamp au Menorah?

Unafahamu Chochote Kuhusu Chakrah 7 za Mwili wa Binadamu kiroho?

Ziko Chakra 7 Ambazo ndo Muongozo wa Ukuaji Kiroho kuanzia Chakra ya Chini kabisa Root chakra mpaka Chakra ya Juu Crown chakra..

Crown chakra Au Chakra ya Taji ni chakra ambayo humuunganisha Moja kwa Moja Muhusika na Nguvu ya Juu sana ya Kiroho unaweza Ukaita Mungu au Vyovyote utakavyoita..

Hujawahi Kusikia Watu wakiimba..

🎶Tukimaliza Kazi tutavalishwa Taji🎵

Wengi Huwa wanaimba wakifikiri kuna Siku watakuja Kuvalishwa Taji kama Ya Kifalme..
Hiyo inamaanisha Ukivumilia Katika Kiroho mpaka Mwisho utafika Kwenye Crown Chakra..

Sasa twendelee..

View attachment 3169340

Sasa Upi Uhusiano Huu na Fungu la Ufunuo 2 mpaka 3..
Au Makanisa hayo..

Tuanze na Tabia za Mtu aliyefungua Chakra ya kwanza au root chakra..
Tuanze na maana Yake kama Ilivyoandikwa Hapo "I AM"
Moja..

Sasa Mara Nyingi Mtu anapofungua ama Kuanza kupata Uelewa Kuhusu Mambo ya Kiroho na akaanza Kupractise..
Hufungua kwanza Root chakra (mlango wa Elimu na Maarifa)..

Na baadhi Huishia Kwenye Imbalance Power of The Chakrah..
Wanajikuta Chakra haijabalance..

Na Imbalance Root chakra husababisha..

Insecurity feelings, anxiety, fear, lack of trust. Trouble concentrating and deciding, being isolated from one's self as well as others..

sasa Hii ndo sababu Ikaja Maelezo ya Kuhusu Makutano au Majumuiko yote ya Watu wa Root chakra Yaani mtoa taatifa kuwaeleza Kitakachowakuta na maelezo yao..

turejee Maana Yetu sasa ya Kutoka kwenye Ufunuo tulivyoiweka Vizuri..


Ufunuo wa Yohana 2:1

"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

sasa Naona baada ya Kukuelezea Hapo Umeweza Kuona utofauti wa fungu Hilo kabla ya Kueleza Na baada ya Kueleza..

View attachment 3169358

Sasa Twende Ndani..
Mpaka Ufike Kufungua Root chakra huwa Ni strugle na uvumilivu wa Kutosha na Ukiifungua Utapata elimu na Maarifa na Unaweza Kupewa Gift ya Utambuzi..

Na ndo maana Ya verse ya Pili na kama Umeona Hiyo ndo Imbalance ya Toot chakra kama Nilivyokuelezea Kabla..

Sasa onyo umeliona?
"Umeuacha Upendo wako wa Kwanza"

Unajua maana Yake ni Kila mtu anayefungua Root chakra Ugundua kuwa Mafundisho ya Kidini yanafundishwa Tofauti na jinsi anavyoyachambua Yeye na Hugundua Uongo mwingi wa Wachungaji na hao wanaojiita Watu wa Mungu.

Shida Inakuja wanaofungua Wao Kujiona ni bora Kuliko wote na ndo maana Ya rootchakra Umeona Imeandikwa "I AM"..

Kwahyo Baada ya Kujua Ukweli na Kuingia Ulimwengu wa Kiroho Hujiona Ni bora na Huanza Kuwasema Vbaya wale wasioweza Kuwa ndani ya Ukweli alionao..

Na Huanza kujenga Chuki Kwa watu ambao Zamani aliwaheshimu na Kuwajali kama wachungaji na Masheikh Na hata wafia Dini wengine..

Na ndo maana Ukienda Fungu la Tano la Sura hiyo hiyo Anaamrishwa Kurudia matendo ya kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:5..

"Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu."

maana Yake Yale matendo yake anayofanya Hayafai anatakuwa abalance Kuujua Ukweli sio chanzo cha kuwaona wasio Jua hawana maana..Na ndo maana Anasema naja kwako na Nitakiondoa Kinara chako..

Na watu wasiotii kurudi kwenye Upendo wa Awali kuwaona walio Katika Imani zingine hawako sawa na wao na Kuendeleza Umimi Au ego!

Hunyang'anywa Uwezo w Kiroho na Maarifa hivyo huelekea Katika Kutokuwa na Imani kabisa..

Na hao ndo Huwa Wanakuwa wapinga Mungu (Atheists)
Kwa sababu ya Kungolewa Vinara vyao...

Sasa sijui kama Umenielewa?

Kama Una swali Kuhusu Kanisa La.kwanza Uliza
Duuh thanks so much mkuu, very thankful tunajifunza mapya kupitia wewe


God bless you sir!
 
Kwa Hatua Nyingine Haiwezekani..
KWa sababu utakuwa Umepitia Mengi na Makubwa Ambayo lazima Utakuwa na Majibu mengi sana Kuhusu Ulimwengu hivyo ni vigumu sana..

Lets Assume ni kama Elimu ya Shule..
Umeanza Kusoma Kuanzia Darasa La Kwanza La Pili mpaka Darasa la 7..

Kumbuka Ukifail darasa la Kwanza Utarudia darasa la kwanza mpaka Ambapo utakapofaulu na Kwenda Darasa la pili..
Ikitokea Ukaona Hakuna Faida ya Kusoma kwa sababu kila mara Unafeli utachukia Shule na Kuona Ni kupoteza Muda na Kwakuwa umeshuhudia baadhi ya Siri za kusoma Utaona Pia usomi ni Ujinga kwa Sababu wanatumia Nguvu nyingi wakati unaweza ukapita Shortcut na Ukapata Mapesa..

Imagine Umekwisha Pita Darasa la kwanza Na la pili na La tatu na Unajua Kuandika na kusoma Vizuri vipi unaweza hata Ukiacha Shule bado utakuwa unajua Umuhimu wa Shule kwani Tayari Unajua Kusoma Na kuandika kwahyo huwezi kutukana shule ila Utaona Umuhimu wa Shule na Utajilaumu kwa Kushindwa Kufatilia shule..

Nadhani kwa mfano huo Umenielewa??
Sawa.
Tuendelee na kanisa la pili.
 
Sasa Nachotaka Ufute mawazo yote uliyowahi Kuambiwa na Dini Kuhusu Haya makanisa..

Kila Siku huwa Namwambia hata Mchungaji wa Jf Rabboni Kuwa biblia Imesukwa na Kuandikwa Kwa Codes nyingi sana..

Nitaanza Kanisa Moja Moja Mpaka Mwisho..

Tuanze na Kanisa La Efeso UFUNUO 2:1:-

Cha Kwanza Kabisa Ujumbe Huu wengi wanaamini kabisa Uliandikwa Kwa Malaika Wa makanisa fulani kama Efeso na Mengineyo..

Lakini hebu Tuangalie Maana Ya maneno Yaliyotumika..
Kwakuwa Mwandishi wa Ufunuo Kiasili aliandika kwa Lugha ya Kiyunani(kigiriki) tutaanza kwa Kucheza Humo Ili Tulainishe maana Kabla ya Kuanza Kuichambua Vizuri..

Ufunuo 2:1..

Τῷ ἀγγέλῳ τῆς ἐκκλησίας ἐν Ἐφέσῳ γράψον· Τάδε λέγει ὁ κρατῶν τοὺς ἑπτὰ ἀστέρας ἐν τῇ δεξιᾷ αὐτοῦ, ὁ περιπατῶν ἐν μέσῳ τῶν ἑπτὰ λυχνιῶν τῶν χρυσῶν·

WAnaitamka Hivi...

angélōs tēs ekklēsí en Ephesō grápson: Tade légei ho kratōn tous heptá astéras en tē dexiá autou, ho peripatōn en mésō tōn heptá lychniōn tōn chrysōn.

Tafsiri yake kwa Lugha ya Malkia (lugha ya mayai):

"To the angel of the church in Ephesus write: 'These are the words of Him who holds the seven stars in His right hand and walks among the seven golden lampstands

Neno ἀγγέλῳ (Angelos) kwa Kigiriki lilitafasiriwa Kama Mjumbe Mpaka ilipofika karne ya 4 Baada ya Kuenea Kwa Ukristo walipoamua Kuwa Litafasiriwe kama malaika kwa sababu nao ni Wajumbe wa Mungu..


Ila Neno Hilo Asili yake ni Mjumbe So Badilisha Hiyo neno Malaika Weka Neno Mjumbe au Mpeleka Taarifa..

Neno ἐκκλησίας (ekklēsías) ambalo limetafasiriwa kama Kanisa ni neno la Kigiriki ambalo Linamaanisha Mkusanyo au Mkusanyiko au Mjumuisho au Kutaniko.. na Wala si lazima Liwe katika Muktadha wa Dini...

(Unaweza Ukayahakiki maneno kwa Sehemu Yoyote Ukitaka.)

Sasa Tufanye Mabadilko Kwenye Neno Kanisa Tuweke Mjumuiko au Mkutano au Kutaniko na kwenye Malaika tuweke Mjumbe..

Ufunuo wa Yohana 2:1


"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

Na hiyo Ndiyo Ilipaswa Kusomeka Hivyo kwa Kiswahili..

Kufika Hapo Nadhani Umenielewa Sasa Twende kwe ye Nyota saba na Vinara saba..

Unafahamu Chochote Kuhusu Menorah?
Iliyokuwa Inakaa Kwenye Hekalu la Mungu Yerusalem na Kwenye Tabernacle ?
Ilikuwaje?

Hii Hapa Chini..
View attachment 3169285

Sasa Biblia inapozungumzia Vinara vya dhahabu inamaanisha Menorah nadhani umeshawahi kuiona Sana hii..

Chimbuko Lake..

Kutoka 25:37-38

"Nawe zifanye taa zake saba; nao wataziwasha hizo taa zake, zitoe nuru mbele yake.
Na makoleo yake, na visahani vyake, vyote vitakuwa vya dhahabu safi."

Kwenye Quran Pia Unaweza Ukasoma Kwenye

Surah An-Naba aya 12

وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًۭا شِدَادًۭا
وَجَعَلْنَا سِرَاجًۭا وَهَّاجًۭا

Inatamkwa Hivi..

Wabanayna fawqakum sabAAan shidadan
WajaAAalna sirajan wahhajan

Maana Yake..

Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?

Na tukajalia kati yake Mianga

Umeona hata kwenye Quran?

Kwahyo Kumbe Kwenye Hivyo vinara Vilivyojengwa Kuna Mianga 7...

Sasa Lets see What is These 7 lamp au Menorah?

Unafahamu Chochote Kuhusu Chakrah 7 za Mwili wa Binadamu kiroho?

Ziko Chakra 7 Ambazo ndo Muongozo wa Ukuaji Kiroho kuanzia Chakra ya Chini kabisa Root chakra mpaka Chakra ya Juu Crown chakra..

Crown chakra Au Chakra ya Taji ni chakra ambayo humuunganisha Moja kwa Moja Muhusika na Nguvu ya Juu sana ya Kiroho unaweza Ukaita Mungu au Vyovyote utakavyoita..

Hujawahi Kusikia Watu wakiimba..

🎶Tukimaliza Kazi tutavalishwa Taji🎵

Wengi Huwa wanaimba wakifikiri kuna Siku watakuja Kuvalishwa Taji kama Ya Kifalme..
Hiyo inamaanisha Ukivumilia Katika Kiroho mpaka Mwisho utafika Kwenye Crown Chakra..

Sasa twendelee..

View attachment 3169340

Sasa Upi Uhusiano Huu na Fungu la Ufunuo 2 mpaka 3..
Au Makanisa hayo..

Tuanze na Tabia za Mtu aliyefungua Chakra ya kwanza au root chakra..
Tuanze na maana Yake kama Ilivyoandikwa Hapo "I AM"
Moja..

Sasa Mara Nyingi Mtu anapofungua ama Kuanza kupata Uelewa Kuhusu Mambo ya Kiroho na akaanza Kupractise..
Hufungua kwanza Root chakra (mlango wa Elimu na Maarifa)..

Na baadhi Huishia Kwenye Imbalance Power of The Chakrah..
Wanajikuta Chakra haijabalance..

Na Imbalance Root chakra husababisha..

Insecurity feelings, anxiety, fear, lack of trust. Trouble concentrating and deciding, being isolated from one's self as well as others..

sasa Hii ndo sababu Ikaja Maelezo ya Kuhusu Makutano au Majumuiko yote ya Watu wa Root chakra Yaani mtoa taatifa kuwaeleza Kitakachowakuta na maelezo yao..

turejee Maana Yetu sasa ya Kutoka kwenye Ufunuo tulivyoiweka Vizuri..


Ufunuo wa Yohana 2:1

"Kwa mjumbe (Mtoa taarifa) wa Kutaniko (Jumuiko) la Efeso andika; Haya ndiyo anenayo yeye azishikaye hizo nyota saba katika mkono wake wa kuume, yeye aendaye katikati ya vile vinara saba vya dhahabu."

sasa Naona baada ya Kukuelezea Hapo Umeweza Kuona utofauti wa fungu Hilo kabla ya Kueleza Na baada ya Kueleza..

View attachment 3169358

Sasa Twende Ndani..
Mpaka Ufike Kufungua Root chakra huwa Ni strugle na uvumilivu wa Kutosha na Ukiifungua Utapata elimu na Maarifa na Unaweza Kupewa Gift ya Utambuzi..

Na ndo maana Ya verse ya Pili na kama Umeona Hiyo ndo Imbalance ya Toot chakra kama Nilivyokuelezea Kabla..

Sasa onyo umeliona?
"Umeuacha Upendo wako wa Kwanza"

Unajua maana Yake ni Kila mtu anayefungua Root chakra Ugundua kuwa Mafundisho ya Kidini yanafundishwa Tofauti na jinsi anavyoyachambua Yeye na Hugundua Uongo mwingi wa Wachungaji na hao wanaojiita Watu wa Mungu.

Shida Inakuja wanaofungua Wao Kujiona ni bora Kuliko wote na ndo maana Ya rootchakra Umeona Imeandikwa "I AM"..

Kwahyo Baada ya Kujua Ukweli na Kuingia Ulimwengu wa Kiroho Hujiona Ni bora na Huanza Kuwasema Vbaya wale wasioweza Kuwa ndani ya Ukweli alionao..

Na Huanza kujenga Chuki Kwa watu ambao Zamani aliwaheshimu na Kuwajali kama wachungaji na Masheikh Na hata wafia Dini wengine..

Na ndo maana Ukienda Fungu la Tano la Sura hiyo hiyo Anaamrishwa Kurudia matendo ya kwanza..

Ufunuo wa Yohana 2:5..

"Basi, kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu, ukayafanye matendo ya kwanza. Lakini, usipofanya hivyo, naja kwako, nami nitakiondoa kinara chako katika mahali pake, usipotubu."

maana Yake Yale matendo yake anayofanya Hayafai anatakuwa abalance Kuujua Ukweli sio chanzo cha kuwaona wasio Jua hawana maana..Na ndo maana Anasema naja kwako na Nitakiondoa Kinara chako..

Na watu wasiotii kurudi kwenye Upendo wa Awali kuwaona walio Katika Imani zingine hawako sawa na wao na Kuendeleza Umimi Au ego!

Hunyang'anywa Uwezo w Kiroho na Maarifa hivyo huelekea Katika Kutokuwa na Imani kabisa..

Na hao ndo Huwa Wanakuwa wapinga Mungu (Atheists)
Kwa sababu ya Kungolewa Vinara vyao...

Sasa sijui kama Umenielewa?

Kama Una swali Kuhusu Kanisa La.kwanza Uliza
Kaka una nondo kuliko arsis
Unafundisha vizur ila ingekua arsis angeruruka tu wala haeleweki
 
HUYU MTU KADRI NILIVYOKUWA NAMSOMA NIKAJUA NI MTU SIO NI MPOTOSHAJI KUWENI MAKINI SANA NIMEPITIA UZI ZAKE NIMEOGOPA HUYU MTU APIGWE SPANA AENDELEE HUKO KWENYE KOO ZAO ZA KISIMBA WACHAFU WANA LAANA HATA WANYAMA MAHAYAWANI HAWANA UCHAFU HUKO.
Aaaah kwsha kaz ndio mana anaongea ujinga kumbe yanakulana uskute hata sio arsis n wenge tuh analo kam hz ndio tabia zake
 
Kwa Hatua Nyingine Haiwezekani..
KWa sababu utakuwa Umepitia Mengi na Makubwa Ambayo lazima Utakuwa na Majibu mengi sana Kuhusu Ulimwengu hivyo ni vigumu sana..

Lets Assume ni kama Elimu ya Shule..
Umeanza Kusoma Kuanzia Darasa La Kwanza La Pili mpaka Darasa la 7..

Kumbuka Ukifail darasa la Kwanza Utarudia darasa la kwanza mpaka Ambapo utakapofaulu na Kwenda Darasa la pili..
Ikitokea Ukaona Hakuna Faida ya Kusoma kwa sababu kila mara Unafeli utachukia Shule na Kuona Ni kupoteza Muda na Kwakuwa umeshuhudia baadhi ya Siri za kusoma Utaona Pia usomi ni Ujinga kwa Sababu wanatumia Nguvu nyingi wakati unaweza ukapita Shortcut na Ukapata Mapesa..

Imagine Umekwisha Pita Darasa la kwanza Na la pili na La tatu na Unajua Kuandika na kusoma Vizuri vipi unaweza hata Ukiacha Shule bado utakuwa unajua Umuhimu wa Shule kwani Tayari Unajua Kusoma Na kuandika kwahyo huwezi kutukana shule ila Utaona Umuhimu wa Shule na Utajilaumu kwa Kushindwa Kufatilia shule..

Nadhani kwa mfano huo Umenielewa??
Mkuu DR Mambo Jambo nakukumbusha muendelezo wa chakrah # 2
 
Kwa Hatua Nyingine Haiwezekani..
KWa sababu utakuwa Umepitia Mengi na Makubwa Ambayo lazima Utakuwa na Majibu mengi sana Kuhusu Ulimwengu hivyo ni vigumu sana..

Lets Assume ni kama Elimu ya Shule..
Umeanza Kusoma Kuanzia Darasa La Kwanza La Pili mpaka Darasa la 7..

Kumbuka Ukifail darasa la Kwanza Utarudia darasa la kwanza mpaka Ambapo utakapofaulu na Kwenda Darasa la pili..
Ikitokea Ukaona Hakuna Faida ya Kusoma kwa sababu kila mara Unafeli utachukia Shule na Kuona Ni kupoteza Muda na Kwakuwa umeshuhudia baadhi ya Siri za kusoma Utaona Pia usomi ni Ujinga kwa Sababu wanatumia Nguvu nyingi wakati unaweza ukapita Shortcut na Ukapata Mapesa..

Imagine Umekwisha Pita Darasa la kwanza Na la pili na La tatu na Unajua Kuandika na kusoma Vizuri vipi unaweza hata Ukiacha Shule bado utakuwa unajua Umuhimu wa Shule kwani Tayari Unajua Kusoma Na kuandika kwahyo huwezi kutukana shule ila Utaona Umuhimu wa Shule na Utajilaumu kwa Kushindwa Kufatilia shule..

Nadhani kwa mfano huo Umenielewa??
Mkuu ukuanza uzi wako please nitag huyu simba keshazngua nmeishia pg 92
 
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 1

Ilikuwa ni siku chache kabla sijatimiza miaka 18. Nilipelekwa Tanga, kijiji kimoja kipo karibu sana na mpaka wa kwenda Kenya. Kabla ya kuingia huko kijijini ndani kuna ki mji kinaitwa Duga. Ilikua sio mara yangu ya kwanza kupelekwa huko kwa mambo ya kimila na jadi.

Lakini hii ya safari hii ilikua kidogo yakutisha. Kijiji chenyewe kipo ufukweni kabisa na kina mito miwili inapita, mmoja Kaskazini mashariki ya kijiji, huu mkubwa kiasi na mmoja mdogo unapita kusinii ya kijiji. Kwa hio kijiji ni kama kimezungukwa na maji, maana mashariki yake ni bahari ya hindi, Kaskazini mto na kusini mto. Magharibi tu ndio kuna njia ya kwenda mpaka barabara kubwa ya lami, ambayo ipo kama kilomita 3 au 4 kutokea hapo kijijini.

Safari hii ilikua ni nzito kidogo kwa sababu niliambiwa unaweza kukaa kijijini huko wiki moja au mbili, itategemea na "babu" huko ataamua kama mambo yako tayari au bado.

Nilifatana na Baba na Mama yangu kwenye gari la nyumbani mpaka hapo barabara kuu kutokea Tanga, hapo nikakuta vijana wawili wakubwa kwangu, wananingoja na baiskeli mbili, moja ya kunipakia mimi na moja ya kupakia mizigo yangu.

Mizigo yangu kweli ilikua mingi, yangu binafsi lilikua ni begi kubwa na racksack ya mgongoni, lakini kuna maboksi kama matatu makubwa yalikua ya mama akanambia haya yote mkabidhi babu yako mkifika.

Basi tukaagana pale, wao wakanambia ukimaliza kazi yako watakuleta hapa barabarani utapanda gari za kuja Tanga, sisi utatukuta Tanga, tutakuja baada ya wiki mbili, kama utakua umemaliza kabla ya wiki mbili ukifika Tanga tusubiri. Wakaondoka zao, na mimi nikapakiwa kwenye baiskeli kama abiria, na nyingine ikafungashwa ile mizigo yetu yote, ikatangulia.

Hatukuchukua muda sana, tukafika kijijini, moja kwa moja mpaka kwa babu yangu. Babu yangu tunajuana sana, na alikua ni sahiba yangu sana, ni mtu ma story ya kizamani na mimi nilikua mdadisi sana. uzuri wa babu alikua hakwepi swali lolote utalomuuliza na alikua hamumunyi maneno, anakujibu mpaka likuingie. Nilikua namshangaa sana, kwani hakuna swali lilililokua gumu kwake.

Hata niwe na swali, mwenyewe naliona gumu kweli, nikimuuliza babu ananijibu huku ananisifia "swali zuri sana hilo", ananijibu kiurahisi kabisa, mengine huwa anachukua muda kuyajibu, mtindo wake wa kuibu ulikua kama anakusimulia hadithi, anaweza akatoka kabisa nje ya swali ulilomuuliza lakini atakuhadithia mpaka utalipata jibu. Mara nyingi akikujibu basi lazima utakua na maswali mengine mawili matatu ya kuuliza. Kwa ufupi alikua anaelewa kufungua "kichwa" kwa mujibu baba yangu.

Links za muendelezo zipo chini hapo (bofya maandishi ya buluu).

Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 2
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 3
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 4
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 5
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 6
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 7
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 8
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 9
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 10
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 11
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 12
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 13
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 14
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 15
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 16
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 17

Episode 2 Nilioyaona Dar.

Nilioyaona nilipoingia Dar. 1
Nilioyaona nilipoingia Dar. 2
Nilioyaona nilipoingia Dar. 3
Nilioyaona nilipoingia Dar. 4
Nilioyaona nilipoingia Dar. 5

Episode 3 Safari ya Shinyanga.

Safari yangu ya Shinyanga. 1
Safari yangu ya Shinyanga. 2
Safari yangu ya Shinyanga. 3
Safari yangu ya Shinyanga. 4
Safari yangu ya Shinyanga. 5
Safari yangu ya Shinyanga. 6
Safari yangu ya Shinyanga. 7.

Kisa Cha Adam.

Kisa cha Adam. Utangulizi 1
Kisa cha Adam. Utangulizi 2
Kisa cha Adam. Utangulizi 3

Rejea ya baadhi ya istilahi (terminologies) 1
Kisa cha Adam 1
Kisa cha Adam 2
Kisa cha Adam 2.1
Kisa cha Adam 2.2
Kisa cha Adam 2.3
Kisa cha Adam 2.4
Kisa cha Adam 2.5
Kisa cha Adam 2.6
Naweka maguu
 
Watu wengi sana humu huwa hawamalizi visa vyao humu
Tqtz kama n kwer bas miti imeota sehem hmna wajenz angemoata mwenye akio timanu bas angetusaidia sana tatz hao wanakulana ndio maana laana hata kichwa ake haiko vzur ukchek kaongeq upuuz tuh na maswar yakijinga ndio anajibu yamsingi anazurura tuh kama ushuz wa maharagwe
 
Back
Top Bottom