Nimeacha kazi: Nianzie wapi kwenye biashara?

Nimeacha kazi: Nianzie wapi kwenye biashara?

Maisha sio kuajiriwa tu. labda riziki yake haiko huko kwenye kuajiriwa na Mungu alimpangia apewe mshahara mdogo ili aondoke huko make maisha yake hayako huko bali yako kwenye kuajiri.

Hivyo si kwamba kuajiriwa ndo kila kitu mkuu kwenye Dunia hii ya leo na pia hayo ni maamuzi yake binafisi sasa unapo anza kumpinga kwa maamuzi yake binafisi inakuwa sio kabisa
Ungekuja kuomba ushauri kabla ya kuacha hiyo kazi, yaani kabla ya kumtunishia kifua huyo mwajiri wako; huenda ungepata mawazo mengi sana, yakiwemo hasi na chanya. Binafsi naona uliwahi sana kuacha hiyo kazi uliyokuwa ukiifanya. Ulitakiwa uvimilie miaka miwili au mitatu mbele kabla ya kuchukua uamuzi uliouchukua.

Siku zote wenzako tunaamini kwenye ile methali ya "mvumilivu hula mbivu" na pia ile ya "Haraka haraka haina mbaraka". Umeingiwa na wivu kumuona dereva analipwa mshahara mkubwa kuliko wewe! Unalipwa mshahara sawa na mtu wa level 2 huku ukiwa na stashahada na shahada juu!

Je, unafahamu amefanya kazi kwenye hiyo kampuni kwa muda gani? Unazifahamu changamoto alizopitia? Uvumilivu na uaminifu wake kwenye kampuni unaufahamu? Mahusiano yake na mwenye kampuni unayafahamu?

Mimi naona kiburi cha elimu kilikuponza na hivyo kuamua kuacha kazi eti ukajiajiri kwa kitu ambacho hata hukifahamu na kwa mtaji mdogo wa milioni 2 (Pesa hii ni nyingi kwa mjasiriamali aliyeanza na mtaji wa laki tano kushuka chini ila siyo kwa yule aliyekurupuka kama mtoa mada)

Ushauri wangu; Tafuta kazi nyingine ili urudi kwenye fani yako huku ukiendelea kujipanga kwa lengo la kuja kujiajiri siku za usoni.

Kwa sasa nadhani muda bado! Kama huamini, ingia kitaa halafu uone hiyo milioni mbili itakavyo pukutika ndani ya siku chache tu na kubakia huna kitu.
 
Huwezi Mshauri bila kutukana? Au bila kitukana huwezi jenga hoja?

Kwa hiyo wewe unaamini walio ajiriwa ndo wajanja na wasio kuwa na kazi ni mafala na wajinga.
Wewe ni boya! Kama ungekuwa so valuable sokoni, basi ungekuwa ushapata kazi kwenye kampuni nyingine. Kama kwa mwaka mmoja umeshindwa kupata kazi ingine ukiwa kazini tegemea kula jeuri yako kitaa.
 
Habari zenu wana jamvi,

Nimeacha ajira kwa hasira. Nimefanya maamuzi ya kipuuzi? sijui! Ngoja nianzie mbali kidogo kuwasimulia:

Nilihitimu Shahada yangu ya Uhandisi mwaka jana na baada ya kukaa mtaani kwa miezi mitatu tu nilifanikiwa kupata ajira. Nilipata ajira kama fundi mchundo (Technician) na sio Muhandisi kama nilivyotegemea. Kwa kweli nilivunjika moyo kwa hilo kwa kuwa wakati huo naingia kazini niliingia na jamaa mmoja naye akaajiriwa kama Technician ila yeye amesoma Veta Level 2.

Kilichoniuma mimi ni kwamba nina Stashahada Ya Uhandisi Pamoja na Shahada ya Uhandisi alafu bado nalipwa sawa sawa na mtu mwenye cheti cha Veta, tena kiuhalisia yeye analipwa kiasi kikubwa kwa kuwa yeye hana makato ya Bodi ya Mkopo ila mimi bodi wananinyoosha.

Wakati naanza kazi nilimuuliza bosi wangu kwa nini naajiriwa kama Technician na sio Engineer, akanijibu kwamba nitaweza kupandishwa huko mbeleni kulingana na utendaji. Basi mimi nikaanza kazi.

Kwa kweli kazi ilikuwa na changamoto kwa sababu nilikuwa na majukumu mengi. Nikiwa ofisini nilikuwa nikihusika katika usanifu na kuandaa mpango kazi na nikiienda site nilikuwa napigika zaidi maana nilikuwa nahusika kwenye kusimamia kazi, ununuzi wa materials, na pia nilikuwa nikihusika katika kazi za kufanya kwa mikono.

Yaani kwa ufupi nilikuwa nikifanya kazi za fundi mpaka za muhandisi mimi mwenyewe. Katika mradi wangu wa kwanza nikagundua hata dereva analipwa pesa nyingi kuliko mimi, nikazidi kuumia.

Sasa bwana mwezi uliopita, mwisho wa mkataba wangu ukafika, bosi akaniita akanikabidhi mkataba mpya, lakini baada ya kuupitia nikagundua mshahara ni ule ule na cheo ni kile kile. Basi mimi nikamuomba bosi anipe siku moja nikafikirie alafu nitakuja kusaini au la. Baada ya siku moja nilirudi na nikaamua kuweka dau la mshahara ninaloona mimi ni sahihi. Kwa kifupi bosi alikataa na mimi nilikataa na mimi nikaishia hapo kufanya kazi.

Sasa turudi kwenye kichwa cha uzi huu. Naomba mnishauri niazie wapi maisha ya biashara maana kazi nimeshaacha (na sijui kama lilikuwa wazo la busara), hapa nina 2 million ambayo nilifanikiwa kuikusanya kwa mwaka huo mmoja niliokuwa nikifanya kazi.

Sijawaambia wazazi wangu wala watu wangu wa karibu kwamba nimeacha kazi na ninafikiria kwenda mkoa ambao nitakuwa mbali nao nikaaendelee kujifunza maisha huko.

Nipo tayari kufanya biashara ya hali yoyote, nakaribisha ushauri.

Asanteni.
Pamoja na pongezi zote unazopata ..
Ulikosea kuacha kazi na kuanza upya maisha mengine , Ni makosa makubwa mno
Acha kazi ukijua unaenda kuendeleza kitu na sio kuanza upya .
Nakupa Pole ila nakuombea kuelekea safari mpya ulioamua kuanza , japo haitakuwa rahisi hvyo
 
Habari zenu wana jamvi,

Nimeacha ajira kwa hasira. Nimefanya maamuzi ya kipuuzi? sijui! Ngoja nianzie mbali kidogo kuwasimulia:

Nilihitimu Shahada yangu ya Uhandisi mwaka jana na baada ya kukaa mtaani kwa miezi mitatu tu nilifanikiwa kupata ajira. Nilipata ajira kama fundi mchundo (Technician) na sio Muhandisi kama nilivyotegemea. Kwa kweli nilivunjika moyo kwa hilo kwa kuwa wakati huo naingia kazini niliingia na jamaa mmoja naye akaajiriwa kama Technician ila yeye amesoma Veta Level 2.

Kilichoniuma mimi ni kwamba nina Stashahada Ya Uhandisi Pamoja na Shahada ya Uhandisi alafu bado nalipwa sawa sawa na mtu mwenye cheti cha Veta, tena kiuhalisia yeye analipwa kiasi kikubwa kwa kuwa yeye hana makato ya Bodi ya Mkopo ila mimi bodi wananinyoosha.

Wakati naanza kazi nilimuuliza bosi wangu kwa nini naajiriwa kama Technician na sio Engineer, akanijibu kwamba nitaweza kupandishwa huko mbeleni kulingana na utendaji. Basi mimi nikaanza kazi.

Kwa kweli kazi ilikuwa na changamoto kwa sababu nilikuwa na majukumu mengi. Nikiwa ofisini nilikuwa nikihusika katika usanifu na kuandaa mpango kazi na nikiienda site nilikuwa napigika zaidi maana nilikuwa nahusika kwenye kusimamia kazi, ununuzi wa materials, na pia nilikuwa nikihusika katika kazi za kufanya kwa mikono.

Yaani kwa ufupi nilikuwa nikifanya kazi za fundi mpaka za muhandisi mimi mwenyewe. Katika mradi wangu wa kwanza nikagundua hata dereva analipwa pesa nyingi kuliko mimi, nikazidi kuumia.

Sasa bwana mwezi uliopita, mwisho wa mkataba wangu ukafika, bosi akaniita akanikabidhi mkataba mpya, lakini baada ya kuupitia nikagundua mshahara ni ule ule na cheo ni kile kile. Basi mimi nikamuomba bosi anipe siku moja nikafikirie alafu nitakuja kusaini au la. Baada ya siku moja nilirudi na nikaamua kuweka dau la mshahara ninaloona mimi ni sahihi. Kwa kifupi bosi alikataa na mimi nilikataa na mimi nikaishia hapo kufanya kazi.

Sasa turudi kwenye kichwa cha uzi huu. Naomba mnishauri niazie wapi maisha ya biashara maana kazi nimeshaacha (na sijui kama lilikuwa wazo la busara), hapa nina 2 million ambayo nilifanikiwa kuikusanya kwa mwaka huo mmoja niliokuwa nikifanya kazi.

Sijawaambia wazazi wangu wala watu wangu wa karibu kwamba nimeacha kazi na ninafikiria kwenda mkoa ambao nitakuwa mbali nao nikaaendelee kujifunza maisha huko.

Nipo tayari kufanya biashara ya hali yoyote, nakaribisha ushauri.

Asanteni.

Kiongozii me naona bado mapema sana kwa career yako ulioitafuta kwa miaka kama 7 afu kuitosa kwa ajili ya mshahara mdogo sidhan bado kuna firm nyingi hata kama unataka kujiajirii angalia wazo ambalo utaweza kuliendesha hata ukipata chance nyingine ya kazi...iyo 2milions wekeza ila bado pigania career yako una kitu kikubwa sana nasema hiv kwa sababu tayar una uzoefu na pia. Juu hapo kuna mahalii unasema huna uhakika kama kuacha kazi lilikua wazo sahihi...hayo tuu mkuu
 
Pole sana mkuu, nipo kwenye hiyo field mwaka wa 5 huu na kampuni binafsi, utofauti wa mshahara kwa kampuni binafsi ni jambo la kawaida sana na mara nyingi hua inategemea uliingia vipi mara ya kwanza...
Natamani kuandika mengi hapa ila usikate tamaa na nafasi mbele unayo tena kubwa tuu
 
hujaonesh achochote kuonesha kama wewe ni engineer unataka ulipwe kama engineer. umeona wapi ukiacha serikalini
 
Ushauri wangu chezea kuwekeza kwenye mambo ya taaluma yako mkuu hapo hutajuta.
Sababu tayar umeshafanya kazi na pia umesomea hiyo huo ndo mtaji wako mkubwa.
 
Habari zenu wana jamvi,

Nimeacha ajira kwa hasira. Nimefanya maamuzi ya kipuuzi? sijui! Ngoja nianzie mbali kidogo kuwasimulia:

Nilihitimu Shahada yangu ya Uhandisi mwaka jana na baada ya kukaa mtaani kwa miezi mitatu tu nilifanikiwa kupata ajira. Nilipata ajira kama fundi mchundo (Technician) na sio Muhandisi kama nilivyotegemea. Kwa kweli nilivunjika moyo kwa hilo kwa kuwa wakati huo naingia kazini niliingia na jamaa mmoja naye akaajiriwa kama Technician ila yeye amesoma Veta Level 2.

Kilichoniuma mimi ni kwamba nina Stashahada Ya Uhandisi Pamoja na Shahada ya Uhandisi alafu bado nalipwa sawa sawa na mtu mwenye cheti cha Veta, tena kiuhalisia yeye analipwa kiasi kikubwa kwa kuwa yeye hana makato ya Bodi ya Mkopo ila mimi bodi wananinyoosha.

Wakati naanza kazi nilimuuliza bosi wangu kwa nini naajiriwa kama Technician na sio Engineer, akanijibu kwamba nitaweza kupandishwa huko mbeleni kulingana na utendaji. Basi mimi nikaanza kazi.

Kwa kweli kazi ilikuwa na changamoto kwa sababu nilikuwa na majukumu mengi. Nikiwa ofisini nilikuwa nikihusika katika usanifu na kuandaa mpango kazi na nikiienda site nilikuwa napigika zaidi maana nilikuwa nahusika kwenye kusimamia kazi, ununuzi wa materials, na pia nilikuwa nikihusika katika kazi za kufanya kwa mikono.

Yaani kwa ufupi nilikuwa nikifanya kazi za fundi mpaka za muhandisi mimi mwenyewe. Katika mradi wangu wa kwanza nikagundua hata dereva analipwa pesa nyingi kuliko mimi, nikazidi kuumia.

Sasa bwana mwezi uliopita, mwisho wa mkataba wangu ukafika, bosi akaniita akanikabidhi mkataba mpya, lakini baada ya kuupitia nikagundua mshahara ni ule ule na cheo ni kile kile. Basi mimi nikamuomba bosi anipe siku moja nikafikirie alafu nitakuja kusaini au la. Baada ya siku moja nilirudi na nikaamua kuweka dau la mshahara ninaloona mimi ni sahihi. Kwa kifupi bosi alikataa na mimi nilikataa na mimi nikaishia hapo kufanya kazi.

Sasa turudi kwenye kichwa cha uzi huu. Naomba mnishauri niazie wapi maisha ya biashara maana kazi nimeshaacha (na sijui kama lilikuwa wazo la busara), hapa nina 2 million ambayo nilifanikiwa kuikusanya kwa mwaka huo mmoja niliokuwa nikifanya kazi.

Sijawaambia wazazi wangu wala watu wangu wa karibu kwamba nimeacha kazi na ninafikiria kwenda mkoa ambao nitakuwa mbali nao nikaaendelee kujifunza maisha huko.

Nipo tayari kufanya biashara ya hali yoyote, nakaribisha ushauri.

Asanteni.
FANYA PROFFESSIONAL ENTREPRENEURSHIP,ZA UJUZI KOSA KUBWA ULILOFANYA NI KUTOFANYA SOCIAL CAPITALIZATION KWA WATU ULIOWAPA HUDUMA KULE SAITI,WALE NDIO WATEJA WAKO WA KUANZIA AMBAO WANGEKUPA CONNECTION YA KAZI,HIVYO YOU HAVE TO USE MORE SKILLL OF HOW TO SELL YOUR SELF,B'SE YOOU ARE THE PRODUCT YOUSELF.WEWE NI UJUZI NA UJUZI NI BIDHAA,INGIA SOKONI,NAJUA WEWE KAMA ENGINEER UMEFUNDISHWA SOMO LA MARKERTING NI AIUBU KWA INJINIA WA MAJENGO KULIA MITANDAONI WAKATI KUNA DRS LA PILI WANAPATA TENDA ZA KUJENGA.
ANZA KUJIUZA HAPA HAPA JF,WASAP,FACEBOOK NA MARAFIKI ZAKO WOTE ULIOSOMA NAO NA WA MTAANI WAJULISHE KUWA SASA UNATOA HUDUMA YA KUJENGA NYUMBA,KUSIMAMIA NK.
FUNGUA KAOFISI MSHENZI KAMA HAPO KASULU WANAJENGA KWA KASI KAMA SIO HAMA NENDA MWANZA DAR DOM HUKO KUNAJENGWA KWA KASI.
KUUZA UJUZI NI RAISI ZAIDI KULIKO BIDHAA,ILA USHINDANI NI MKUBWA NA KUJUANA KWINGI ILA WAPO WANAOTAKA UBORA NA WANAPESA.
 
Dah....una 2m...Dah...umewahi kubeti?[emoji2960]
 
Well, wewe ni fundi wa nini? Kama fundi wa ujenzi, tumia akaunti zako za mtandaoni kujitangaza kwamba unajenga kwa ubora, uaminifu na bei nafuu.

Ukipewa kazi ya kujenga kuwa muaminifu kweli na fanya kazi nzuri. Utapata kazi hadi zitakushinda. Tatizo kubwa tulilonalo Tanzania ni mafundi wasio waaminifu. Ukiwa mwaminifu utakuwa tajiri ndani ya miaka mitano.

Huyo million 2 iweke vizuri, ili ukishafanikiwa utanipa kama malipo ya ushauri huu.
Mkuu umemaliza kila kitu
 
Hali ya uchumi kwenye sekta binafsi imekuwa ngumu sana, sekta nyingi binafsi zinayumba ndiyo maana mwajiri wako alikataa kukuongeza, naamini wewe bado ni kijana mdogo unazo nguvu nyingi na unazo fursa nyingi za kufanya maishani huku ukiendelea kujifunza maisha.

Ushauri wangu ni huu, Fanya Kazi kwa bidii lakini usije ukavutwa na akili ya kutaka mafanikio ya haraka, maisha hayapo hivyo kama vijana wengi tunavyofikiria. Pia jitahidi usiwe na tabia ya kujilinganisha na mwingine itakukatisha tamaa
Kama kijana ninaetafuta life huu ujumbe nimeusoma kwa dhati kwakua unanigusa,muda mwingine unajifananisha na wengine inakuumiza sana moyo unaona unachelewa hivi.asante mkuu
 
Kwangu Kwa hiyo million mbili ni nyingi Sana na nitakushauri ifuatavyo Ila kabla ya yote pesa tamu huja Kwa maumivu na kudhalilika. Kuna tuliomaliza hizo degree tukadharaurika nyumban mpaka kuondoka Kwa hasira pasipokujua na plan.
Kwa kigoma fursa nitakupa fursa mbili.
Ya Kwanza hiii inapendeza hasa kipindi kuanzia mwezi wa tano kuelekea wa tisa.
Utengenezaji wa tofali za kuchoma kibiashara tena za quality nzuri.
Kwa ujumla kama umefanya KAZI kwenye ishu za ujenz utakuwa unajua jinsi tofali zinavosumbua hasa kipindi cha ujenz Sana Sana kigoma mjini. Na challenge kubwa inatokana na uhaba wa miti ya kuchomea na wengi wanaoifanya hiyo KAZI hawana Ile munkari ya kupata pesa ya kufa mtu.
Mfano ukiwa kigoma mjini vile vitofali vidogo saiz ya tako vinaenda Kwa bei ya 100 mpaka hamsini. Lakini kuna wanaotengeza kubwa kidogo wanauza mpaka 250.
Kukodi lorry mfano toka kidahwe mpaka kigoma mjini la tofali1000 ni kama 80000.
SASA wewe unaweza amua tafuta site nzuri yenye upatikanaji wa maji na udongo wa mfinyanzi mzuri unatafuta vijana wako hata watano na ukapiga hesabu zako labda wafyatue hata tofali 100000 huku wewe ukiwa unahudumia chakula na malazi . Pia kuhangaikia kuni za kuja chomea.zaid ya hapo ukadili pia kutafuta wateja wa kuwauzia kusud utapoivisha tanuri lako uuze na kuwalipa wafanyakazi wako. Ukifanikiwa fyatua tofali hata 100000 nzuri zile kubwa kubwa unauza hata Kwa bei ya 200 huwez kosa pesa.
Mradi wa pili huu ni mgumu sana nao ni kuingia vijijin ukawa unatafuta Mise ya hasa vijijin vya mwambao MWA ziwa Tanganyika ukipata unabangulisha kabisa unasafirisha kuleta kigoma mjini. Ukifika unakamulisha na kuuza mafuta na mashudu
Nmependa koment yako, hasa ya kwanza ambayo itamfungulia fursa ya kupata tenda za kujenga,anatakiwa ajikite zaidi ktk ujuzi aliosomea ambao kuna makanjanja wengi wanapiga hela hivyo asilaze damu.
Fursa ya pili hapo kigoma ni ya kuuza mafuta ya mawese kwa watengeneza sabuni viwandani,sabuni ni big sekta kwa sasa hivyo aichunguze vizuri halafu si bidhaa kuoza changamoto ni kuingia sokoni ambapo kuna wajasiliamali wengi.
Fursa ya tatu hapo KGMA ni ya ufugaji samaki,watu wa kigoma hawajachangamkia kufuga samaki hali kuna maeneo mengi yanatuama maji (swamps) yeye ni kutafuta aneo la kukodi aanze kazi,mashudu,dagaa wabovu,,migebuka wabovu wamejaa tele.For sure siku nikirudi kigoma miaka yangu miwili tu inatosha kuitwa mfalme.
Fursa nyingine kama hio hela inatosha nunua mtambo wa kukamulia mawese nenda vijiji ambavyo mitambo ni adimu,maganda ya mise nayo ni fursa ya kutengenezea mkaa,Ukiingia ktk kazi ya mawese na mise kuna kazi muambatano mfano unaweza anzisha ufugaji wa kuku kwa kuwa utakuwa na mashudu mengi.
 
Ungekuja kuomba ushauri kabla ya kuacha hiyo kazi, yaani kabla ya kumtunishia kifua huyo mwajiri wako; huenda ungepata mawazo mengi sana, yakiwemo hasi na chanya. Binafsi naona uliwahi sana kuacha hiyo kazi uliyokuwa ukiifanya. Ulitakiwa uvimilie miaka miwili au mitatu mbele kabla ya kuchukua uamuzi uliouchukua.

Siku zote wenzako tunaamini kwenye ile methali ya "mvumilivu hula mbivu" na pia ile ya "Haraka haraka haina mbaraka". Umeingiwa na wivu kumuona dereva analipwa mshahara mkubwa kuliko wewe! Unalipwa mshahara sawa na mtu wa level 2 huku ukiwa na stashahada na shahada juu!

Je, unafahamu amefanya kazi kwenye hiyo kampuni kwa muda gani? Unazifahamu changamoto alizopitia? Uvumilivu na uaminifu wake kwenye kampuni unaufahamu? Mahusiano yake na mwenye kampuni unayafahamu?

Mimi naona kiburi cha elimu kilikuponza na hivyo kuamua kuacha kazi eti ukajiajiri kwa kitu ambacho hata hukifahamu na kwa mtaji mdogo wa milioni 2 (Pesa hii ni nyingi kwa mjasiriamali aliyeanza na mtaji wa laki tano kushuka chini ila siyo kwa yule aliyekurupuka kama mtoa mada)

Ushauri wangu; Tafuta kazi nyingine ili urudi kwenye fani yako huku ukiendelea kujipanga kwa lengo la kuja kujiajiri siku za usoni.

Kwa sasa nadhani muda bado! Kama huamini, ingia kitaa halafu uone hiyo milioni mbili itakavyo pukutika ndani ya siku chache tu na kubakia huna kitu.
Ukimsoma Robert Kiwasoki anasema hakuna mda mzuri wa kuacha kazi vinginevyo kila siku utasubiri labda mwakani mpaka unazeeka.Waajiriwa wengi ni waoga kuacha kazi,.Mwanzo mgumu ila atashinda tu.
 
FANYA PROFFESSIONAL ENTREPRENEURSHIP,ZA UJUZI KOSA KUBWA ULILOFANYA NI KUTOFANYA SOCIAL CAPITALIZATION KWA WATU ULIOWAPA HUDUMA KULE SAITI,WALE NDIO WATEJA WAKO WA KUANZIA AMBAO WANGEKUPA CONNECTION YA KAZI,HIVYO YOU HAVE TO USE MORE SKILLL OF HOW TO SELL YOUR SELF,B'SE YOOU ARE THE PRODUCT YOUSELF.WEWE NI UJUZI NA UJUZI NI BIDHAA,INGIA SOKONI,NAJUA WEWE KAMA ENGINEER UMEFUNDISHWA SOMO LA MARKERTING NI AIUBU KWA INJINIA WA MAJENGO KULIA MITANDAONI WAKATI KUNA DRS LA PILI WANAPATA TENDA ZA KUJENGA.
ANZA KUJIUZA HAPA HAPA JF,WASAP,FACEBOOK NA MARAFIKI ZAKO WOTE ULIOSOMA NAO NA WA MTAANI WAJULISHE KUWA SASA UNATOA HUDUMA YA KUJENGA NYUMBA,KUSIMAMIA NK.
FUNGUA KAOFISI MSHENZI KAMA HAPO KASULU WANAJENGA KWA KASI KAMA SIO HAMA NENDA MWANZA DAR DOM HUKO KUNAJENGWA KWA KASI.
KUUZA UJUZI NI RAISI ZAIDI KULIKO BIDHAA,ILA USHINDANI NI MKUBWA NA KUJUANA KWINGI ILA WAPO WANAOTAKA UBORA NA WANAPESA.
Asante sana mkuu kwa ushauri
 
Afuge samaki Gani? Pia jua Consumption power ya watu wa Kigoma iko Chini sana
Nmependa koment yako, hasa ya kwanza ambayo itamfungulia fursa ya kupata tenda za kujenga,anatakiwa ajikite zaidi ktk ujuzi aliosomea ambao kuna makanjanja wengi wanapiga hela hivyo asilaze damu.
Fursa ya pili hapo kigoma ni ya kuuza mafuta ya mawese kwa watengeneza sabuni viwandani,sabuni ni big sekta kwa sasa hivyo aichunguze vizuri halafu si bidhaa kuoza changamoto ni kuingia sokoni ambapo kuna wajasiliamali wengi.
Fursa ya tatu hapo KGMA ni ya ufugaji samaki,watu wa kigoma hawajachangamkia kufuga samaki hali kuna maeneo mengi yanatuama maji (swamps) yeye ni kutafuta aneo la kukodi aanze kazi,mashudu,dagaa wabovu,,migebuka wabovu wamejaa tele.For sure siku nikirudi kigoma miaka yangu miwili tu inatosha kuitwa mfalme.
Fursa nyingine kama hio hela inatosha nunua mtambo wa kukamulia mawese nenda vijiji ambavyo mitambo ni adimu,maganda ya mise nayo ni fursa ya kutengenezea mkaa,Ukiingia ktk kazi ya mawese na mise kuna kazi muambatano mfano unaweza anzisha ufugaji wa kuku kwa kuwa utakuwa na mashudu mengi.
 
Afuge samaki Gani? Pia jua Consumption power ya watu wa Kigoma iko Chini sana
Naomba data ya consumption ya watu wa kigoma.Kwa hio samaki wanaovuliwa kigoma huoza maana hakuna wa kuwanunua? Acha kupotosha,Hivi viazi wanavyolima mbeya vinaliwa na watu wa mbeya? Mahindi yanayolimwa songea yanaliwa na watu wa songea.Hoja yako ni dhaifu sana.
 
Back
Top Bottom