Nimeacha kazi: Nianzie wapi kwenye biashara?

Nimeacha kazi: Nianzie wapi kwenye biashara?

sijaona aliyekupa wazo ZURI zaidi ya kukupongeza kuacha kazi .
Hata mimi nakupongeza kwa kuacha kazi.
 
Well, wewe ni fundi wa nini? Kama fundi wa ujenzi, tumia akaunti zako za mtandaoni kujitangaza kwamba unajenga kwa ubora, uaminifu na bei nafuu.

Ukipewa kazi ya kujenga kuwa muaminifu kweli na fanya kazi nzuri. Utapata kazi hadi zitakushinda. Tatizo kubwa tulilonalo Tanzania ni mafundi wasio waaminifu. Ukiwa mwaminifu utakuwa tajiri ndani ya miaka mitano.

Huyo million 2 iweke vizuri, ili ukishafanikiwa utanipa kama malipo ya ushauri huu.
😆😆😆😆
 
Mkuu naona maamuzi yako hayakuwa sahihi, kwasababu hata wewe hilo umeshalitambua. Milioni mbili nipesa nyingi endapo wakati unaacha kazi ungejua unaenda kufanya nini, vilevile nindogo sana sanaaaa tena sanaaaa kwasababu bado ujajua utaifanyia nini ili iongezeke huku nawewe ukila, ukivaa, nakulala.

Milioni mbili uliyoipata ndani yamwaka mmoja haikuwa ndogo kwasababu ndio ilikuwa kazi yako yakwanza toka umalize chuo. Vilevile umeweza kuweka akiba hiyo yamilion mbili hali yakuwa ulishakula, ukalipia room, ukavaa, umeonga, navitu vingine vidogovidogo umeshavifanya.

Hali yamaisha kwasasa ningumu sana na biashara ningumu sana mtu asikudanganye nasio kama nakukatisha tamaa ila ndio ukweli huo. Kwamazingira yaTZ mtu aliyetoka familia yahali yachini ukimkuta kajiajiri ujue kuna mawili hana elimu/vigezo vyakuajiriwa au kakosa ajira kabisa. Ila sikufichi ndoto zawengi nikuajiriwa nahuo ndio ukweli nayote hiyo nikutokana namazingira magumu yaupatikanaji mitaji namazingira magumu ya kibiashara.

Ndani yamwaka mmoja umeweza kumake milioni mbili inamaana ndani yamiaka mitano kazi hiyo hiyo ungeifanya vizuri bila kuongeza majukumu basi ungekuwa namilioni kumi!!! Miaka mitano unaweza kuiona mingi namilioni kumi unaweza kuiona ndogo kwakuipata ndani yamiaka hiyo mitano ila amini nakwambia miaka mitano inaweza kufika usiwe nahiyo milioni 10 ukawa hivyo hivyo ulivyo sana sana ukawa umenunua vitu vyandani tu ambavyo thamani yake isizidi milioni 1.5

Naamini kama umeacha kazi ukiwa namilioni mbili hiyo hiyo basi naamini tayari imeshapungua sio tena milioni mbili nakama ujaipunguza hiyo Milion mbili yako basi tayari umeshapunguza pocket money yako bila kuingiza kitu so namilioni mbili yako soon utaichokonoa2.

USHAURI: biashara ndio kama unaianza nakama ujawahi kufanya biashara naumetokea familia zetu hizi zakajamba nani, mara nyingi tunachoangalia katika hatua zamwanzo wabiashara ikuingizie faida yakula, kulipia room, na mengine mambo madogomadogo. Biashara ikishakuwezesha hayo hapo juu ndio utapata matamanio yakuiwezesha ili ikupatie pesa nyingi kwaajili ya maendeleo yako mwenyewe najamii nzima iliyokuzunguka yaani ndugu zako.

So angalia katika mazingira hayo uliyopo utafanya biashara gani unayoipenda nakuimudu kuifanya kwamoyo wako wote mpaka isimame ili iweze kukuletea maendeleo. Kisha wafate moja kwamoja wazoefu wahiyo biashara ili wakupe A-Z yahiyo biashara nawala usione aibu. Nahuo ndio ushauri wangu.

Poleni kwagazeti hili lanipashe.
Nimesoma mpaka mwisho mkuu.
Uchambuzi mkuu,uchambuzi yakinifu.
Hongera.
Mimi naongezea tu ,maji ukiyavulia nguo lazima uyaoge, maisha hayataki uoga japo unakini wa hali ya juu unahitajika kuyaendea.
 
Nimesoma mpaka mwisho mkuu.
Uchambuzi mkuu,uchambuzi yakinifu.
Hongera.
Mimi naongezea tu ,maji ukiyavulia nguo lazima uyaoge, maisha hayataki uoga japo unakini wa hali ya juu unahitajika kuyaendea.
Kabisa mkuu umakini muhimu maana ndio maisha yenyewe hayo
 
Huwa tunaacha kazi baada ya kupata kazi..Ulitakiwa kujipanga wakati upo kwenye Ajira. Hiyo pesa uliyonayo ukipita mwezi hujajua la kufanya utaisoma.
 
Wewe ndo wale Victim wa kuamini kwamba ukiacha kazi unakufa
Huwa tunaacha kazi baada ya kupata kazi..Ulitakiwa kujipanga wakati upo kwenye Ajira. Hiyo pesa uliyonayo ukipita mwezi hujajua la kufanya utaisoma.
 
- Tafuta frem anzisha kampuni yako ya ujenzi hasa ukilenga wateja wa kawaida wenye kazi na mahitaji ya ujenzi
- Buni ramani za nyumba za gharama nafuu ambazo watu wengi hujenga kisha uza hizo ramani kwa bei nafuu ambayo hata mwenye ndoto ya kutaka kujenga miaka 10 ijayo anaweza kushawishika kujenga.
- Anza kutengeneza connection na wadau wengi kwenye tasnia hiyo ya Ufundi ili ikitokea fursa inayohitaji huduma ya taaluma yako wakupe fursa.
- Fungua social media accounts kwa ajili ya hiyo taaluma na ofisi yako (niliyokushauri ufungue) Kisha uwe unatoa ushauri mbalimbali kuhusu mambo ya ujenzi, pia kwa watakaotaka ushauri zaidi waambie wakuone ofisini kwako na uwape ushauri BURE, ili uweze kupata connection na wateja hasa wanapovutiwa na ushauri mzuri uliowapa.
- tembelea maeneo ambayo yana miradi mingi ya ujenzi kama Dodoma, Kigamboni nk kutafuta fursa (mkaa bure sio sawa na mtembea bure).
- Tafuta location nzuri fungua duka la Hardware hata kama una 50,000 Nunua mfuko mmoja wa cement na misumari uza, kadiri siku zinavyoenda bidhaa kwa ajili ya kuuza zitaongezeka.
- Nunua vifaa muhimu vya ujenzi ambavyo mara nyingi watu hupenda kukodisha ili uwe unakodisha.
- Kifupi Fanya biashara zinazoendana na taaluma uliyosomea kwani ina wigo mpana sana na ina fursa nyingi.
- Kama kweli umeweza kupata uchungu kwa malipo hafifu ya kuajiriwa, basi jua kuwa una roho ya biashara tena yule mfanyabiashara mwenye mafanikio. Jiandae kwa changamoto lakini usikate tamaa wala kurudi nyuma.
WEWE LEO UMETOA USHAURI WA MAANA SANA TANGU UZALIWE!!!
 
Mkuu naona maamuzi yako hayakuwa sahihi, kwasababu hata wewe hilo umeshalitambua. Milioni mbili nipesa nyingi endapo wakati unaacha kazi ungejua unaenda kufanya nini, vilevile nindogo sana sanaaaa tena sanaaaa kwasababu bado ujajua utaifanyia nini ili iongezeke huku nawewe ukila, ukivaa, nakulala.

Milioni mbili uliyoipata ndani yamwaka mmoja haikuwa ndogo kwasababu ndio ilikuwa kazi yako yakwanza toka umalize chuo. Vilevile umeweza kuweka akiba hiyo yamilion mbili hali yakuwa ulishakula, ukalipia room, ukavaa, umeonga, navitu vingine vidogovidogo umeshavifanya.

Hali yamaisha kwasasa ningumu sana na biashara ningumu sana mtu asikudanganye nasio kama nakukatisha tamaa ila ndio ukweli huo. Kwamazingira yaTZ mtu aliyetoka familia yahali yachini ukimkuta kajiajiri ujue kuna mawili hana elimu/vigezo vyakuajiriwa au kakosa ajira kabisa. Ila sikufichi ndoto zawengi nikuajiriwa nahuo ndio ukweli nayote hiyo nikutokana namazingira magumu yaupatikanaji mitaji namazingira magumu ya kibiashara.

Ndani yamwaka mmoja umeweza kumake milioni mbili inamaana ndani yamiaka mitano kazi hiyo hiyo ungeifanya vizuri bila kuongeza majukumu basi ungekuwa namilioni kumi!!! Miaka mitano unaweza kuiona mingi namilioni kumi unaweza kuiona ndogo kwakuipata ndani yamiaka hiyo mitano ila amini nakwambia miaka mitano inaweza kufika usiwe nahiyo milioni 10 ukawa hivyo hivyo ulivyo sana sana ukawa umenunua vitu vyandani tu ambavyo thamani yake isizidi milioni 1.5

Naamini kama umeacha kazi ukiwa namilioni mbili hiyo hiyo basi naamini tayari imeshapungua sio tena milioni mbili nakama ujaipunguza hiyo Milion mbili yako basi tayari umeshapunguza pocket money yako bila kuingiza kitu so namilioni mbili yako soon utaichokonoa2.

USHAURI: biashara ndio kama unaianza nakama ujawahi kufanya biashara naumetokea familia zetu hizi zakajamba nani, mara nyingi tunachoangalia katika hatua zamwanzo wabiashara ikuingizie faida yakula, kulipia room, na mengine mambo madogomadogo. Biashara ikishakuwezesha hayo hapo juu ndio utapata matamanio yakuiwezesha ili ikupatie pesa nyingi kwaajili ya maendeleo yako mwenyewe najamii nzima iliyokuzunguka yaani ndugu zako.

So angalia katika mazingira hayo uliyopo utafanya biashara gani unayoipenda nakuimudu kuifanya kwamoyo wako wote mpaka isimame ili iweze kukuletea maendeleo. Kisha wafate moja kwamoja wazoefu wahiyo biashara ili wakupe A-Z yahiyo biashara nawala usione aibu. Nahuo ndio ushauri wangu.

Poleni kwagazeti hili lanipashe.
WEWE ACHA KUMPA LAWAMA,
MPE MWONGOZO!!!

EEEEBOH!!!
 
Rudi kwa boss omba kuendelea na kazi... Awamu ngumu hii, asikwambie mtu.. Sisi tunaofanya biashara tunatamani kupata ajira hata ya laki tatu
HILI WAZO NI LA KINDEZI,

NA KAMWE USIJARIBU KULIELEKEA-
KAMWE!!!
 
tena kiuhalisia yeye analipwa kiasi kikubwa kwa kuwa yeye hana makato ya Bodi ya Mkopo
Sawa, kumbe mlikuwa mnafanana mishahara ila wewe unadeni
Kilichoniuma mimi ni kwamba nina Stashahada Ya Uhandisi Pamoja na Shahada ya Uhandisi alafu bado nalipwa sawa sawa na mtu mwenye cheti cha Veta
Kwanza omba radhi kwa kuona mamlaka ya mafunzo ya ufundi stadi ni kitu cha kawaida sana kuliko hicho ki degree chako, wahitimu wengi wa shahada mnanjaa sana huko mitaani kwakua mnahusudu makaratasi mnayopewa kama vyeti wakati ujuzi wenu ni mdogo sana kuliko hata mhitimu wa grade one ya mechanics pale veta
nilikuwa napigika zaidi maana nilikuwa nahusika kwenye kusimamia kazi, ununuzi wa materials
nilimuuliza bosi wangu kwa nini naajiriwa kama Technician na sio Engineer
Engineer? 😀 umesajiliwa kwenye board ya wahandisi wewe?
bosi akaniita akanikabidhi mkataba mpya, lakini baada ya kuupitia nikagundua mshahara ni ule ule
Mawazo yako yalilenga kupanda kwa mshahara sio kujifunza vitu vipya ili upate maarifa mapya
 
Nimesoma mpaka mwisho mkuu.
Uchambuzi mkuu,uchambuzi yakinifu.
Hongera.
Mimi naongezea tu ,maji ukiyavulia nguo lazima uyaoge, maisha hayataki uoga japo unakini wa hali ya juu unahitajika kuyaendea.
Atawakumbuka sana! Huu ushauri
 
Ushauri wangu utakufaa zaidi endapo utahamia/ kuishi dar es salaam

Kuwa dalali wa kuwanunulia watu mizigo kariakoo na kuwatumia mikoani

Nilifanya wakati niko chuo kwakweli nilikuwa sikosi elfu 50 mpaka70 minimum mtu akiniagiza mzigo mkubwa.
Hiyo ni per day

Nilikuwa naweza kufunga mzigo mara mbili au tatu kwa wiki. Unaweza kufanya zaidi kutegemea na muda wako na Circle ya wafanyabiashara unaowafahamu/wanaokuamini mikoani.

Kwakuwa nilikuwa nasoma na sikuwa napata nafasi ya kuzunguka sana kkoo muda wote,
nafanya hivi

Mfano mteja ameniaza urembo, nakwenda duka la urembo kkoo nauliza bei ya bidhaa zote natembelea maduka kadhaa kulinganisha bei, baada ya hapo nampa bei mhusika anatuma pesa
Natengeneza mazoea na mfanyakazi wa duka moja nachukua namba za simu halafu narudi chuo

Baada ya muda wa kazi mampigia nampanga nampa hata elfu 25 kutegemea na ugumu wa mhusika, nambembeleeeza ananionyesha chimbo wanapochukua bidhaa wao (wakati huo maduka yamefungwa)

Akishanionyesha mimi keshoyake straight naenda kwenye hilo duka au stoo nanunua mzigo natuma kwa bei nzuri zaidi nabaki na faida nzuri na mwenye mzigo ananipa pesa kidogo ya usumbufu.
 
Asingejipanga maana yake hata hiyo milioni mbili asingekuwa nayo. Anachoomba hapa ni wazo la biashara kwa mtaji wa milion mbili.
nkwel hajajipanga, linatakiwa lianze wazo la biashara. Then ndo ujue initial capital ya kuanzia ni kiasi gani.
 
Back
Top Bottom