July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.
Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..
sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.
Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..
sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.
Kwa kweli, nilikua nadharau sana watu ambao hawasomi au hawajasoma UDSM ila ulikua ni utoto tu, sasa imetokea nimeenda kufanya field practical pale TRA makao makuu, ebana nimekutana na vijana wanasoma kachuo flani kadogo tu kanaitwa ITA {Institute of tax administration} hata cjui kako wapi kwa hapa Dar, vijana wako vizuri sana katika masuala ya kodi, na TRA wanaonekana kuwakubali sana, kuna vijana wana diploma tu lakini mkwanja wanaovuta ni balaa.
Ninachotaka kuwashauri wadogo zangu ni hvi,usikimbilie kusoma udsm au chuo kingne chenye jina hapa bongo likozi la ajabu ili tu nawe uonekane eti unasoma udsm au chuo flan maarufu.kozi za udsm ni zle zle kama zinazotolewa na vyuo vingne hvo ushndani ni mkubwa sana katka soko la ajira,angalieni kozi ambazo zina channel za moja kwa moja katika ajira..
sasa we kimbilia bcom,bba,baf na zingne za aina hyo then uje usugue soli mtaani mpaka ufurahi.
wanafunzi wengi(sio wote) wa udsm wanakariri tu vitini ili wafaulu mitihani yao ndio maana hawapo competent ukilinganisha na vyuo vingine tena vinavyochipukia. Mfano nilivyokuwa field mwaka wa pili kwenda wa tatu, nilipata field tanesco makao makuu kufanya field ya accounting. Sasa ndipo nilipogundua wanafunz wengi wa udsm ni shalloow. wao kaz yao ni kujisifu tu kuwa wamesoma udsm na zarau nyiingi. Ila kwenye kaz ni f na wavivu. Mkuu wa kitengo akiwauliza maswali ya kawaida tu ya accounts hawajui hata kidogo, wakibanwa sana wanasema eti hilo swal ni la koz ya mwaka wa kwanza so hawakumbuki, yaan ni full aibu. Ila wanafunz wa tia na ardhi wapo vizur aisee had raha ingawa mimi sijasoma ivyo vyuo.
Ahaha the Legendary Mpiga Msuli aka Advocate J. Furaha kuona umebadilika mkuu
Ahya mkuu lakini ukweli utasimama daima kuwa vyuo nchini ni UDSM MZUMBE SUA na ARDHI hivyo vingine vyote ni asante Jakaya.