Nimeacha kuishabikia Arsenal

Kwani ulivyoanza kuishabikia ulituambia
 
ndoa ya kikristo hiyo kaka -- kaza moyo !!
 
Wewe ni shabiki wa man u kwnye ubora wako,japo unashindwa kujionesha wazi direct sabab ya nafasi,muda ukifika utaenda ata ndanda
 
Game hii lazima tungepigwa hata kabla ya kuingia uwanjani...mtu mpuuzi sana huyu wenga ni mbwa
 
Kuna jamaa kaniambia hivi , ukipata demu ambaye ni shabiki wa Arsenal ni bora uoe kabisa , ni wavumilivu balaa !
 
Umelogwa wewe, sisi hatuondoki Arsenal mpaka Yesu atakaporudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…