Nimeacha kuishabikia Arsenal

Nimeacha kuishabikia Arsenal

Wakuu mtakufa kwa roho zenu mbaya subirini hadi mwezi 5 Man U itakuwa imekaa katika nafasi yake stahiki ha ha ha ha.Arsenal na Liverpool zimetangulia na baskeli ya mbao wakifika kwenye mlima.........

Unajiaandaa kurudi timu maana mpaka January man u wataijua epl WaPo Nafasi ya 12 kwa sasa..
 
Wakuu mtakufa kwa roho zenu mbaya subirini hadi mwezi 5 Man U itakuwa imekaa katika nafasi yake stahiki ha ha ha ha.Arsenal na Liverpool zimetangulia na baskeli ya mbao wakifika kwenye mlima.........

Hahaha mkuu utasubiri sana ..

Cc Mbu
 
Last edited by a moderator:
Duh wanazi wa Mr Bean kukaa hapo kileleni mnadhani ndiyo kuchukua kombe ha ha ha ha ha.
 
Wakuu mtakufa kwa roho zenu mbaya subirini hadi mwezi 5 Man U itakuwa imekaa katika nafasi yake stahiki ha ha ha ha.Arsenal na Liverpool zimetangulia na baskeli ya mbao wakifika kwenye mlima.........

..... ImageUploadedByJamiiForums1380530951.610662.jpg

Hehehehhe!
 
Nilifikiri unaizungumzia Arsenal, kumbe unaizungumzia Marefa United. Hata mimi najua ina mafanikio sana, ndio klabu pekee yenye kusajili wachezaji na marefa pia.

Kuhusu Arsenal kutochukua vikombe miaka mingi, utakuwa unaumwa wazimu.

Chelsea walisubiri miaka 40

Manchester City miaka 35

Je washabiki wao wamekufa na hayo magonjwa?
Je ni Arsenal peke yake ndio haichukui? Vipi kuhusu West Ham, Everton n.k?
Wanasajili mpaka marefa na bado Arsenal kwa ujinga wenu mnaangalia tu, kweli mtoa mada ana haki ya kuhama na kuhamia kwa wajanja.
 
Mkuu Ngongo mji uko kimyaaaaaaaaaaaaa heshima inaanza kurudi taratibu.

Mkuu siunajua tena watoto wa siku hizi wakiwa na sarafu za mia mia 3 basi mtaani watawakoma, wakati wazee wao wametulia kimyaa na milioni kadhaa mifukoni.

Watu hata kombe hawajachukua tayari mitaa haikaliki kisa Arsenal anaongoza ligi, je wangekuwa Man U ambao hata kabati la vikombe limejaa sijui wangesemaje.
 
Duh wanazi wa Mr Bean kukaa hapo kileleni mnadhani ndiyo kuchukua kombe ha ha ha ha ha.
Wasifurahie kwanini, unafikiri ni mchezo kukaa hapo wakati miaka yote 8 wanaopigania nafasi ya nne tu!
 
Mkuu Ngongo mji uko kimyaaaaaaaaaaaaa heshima inaanza kurudi taratibu.

mkuu , losing to a team fighting for 5th place? haimuzi kichwa It happens, we underperformed but swe're top and frankly we've got much bigger fish to fry than Moyes' mere mortal misfits....


 
Wewe ni "glory hunter". Na Watanzania wengi wako hivyo, mnashabikia timu inayofanya vizuri na si mapenzi ya timu kama timu. Unadhani watu wanotoka Highbury Street huko London wanaweza kushabikia timu tofauti??? Hamia Man U.

Btw: Mimi chama langu ni Norwich City tangu enzi hizo nchi hii hatujui TV ni nini! Kabla hujauliza niliwajulia wapi; Norwich City walitembelea Tanzania (but I don't remember the year) baba yangu alinipeleka kuwaona wakicheza na Yanga. I got hooked to them todate, washuke wapande nipo nao tu.

Mwambie huyu dogo. Hajui ushabiki una misingi kama ya dini. Huwezi kirahisi tu kusema leo nahama uislam na kuwa mkristo.
 
Watu tumeshabikia Wigan Arthletics tokea ligi daraja la kwanza ikapanda ligi kuu 2003-2004 ikiwika,tumewapika kina Heskey,Kamara,na kina Mosses kupatia majina kwetu kisha kwenda kupigwa benchi kwenye kubwa,Tumechukua FA msimu uliopita na kushuka daraja na bado nimeshuka daraja so far nashabikia ligi daraja la kwanza till ipande!

Wewe Arsenal inayumba kidogo tu ushatangaza njaa,ukiwa mwanaume na una hulka hiyo huchelewi kuwaomba marafiki zako watembee na mkeo kupima kama ana uwezo wa kuzaa simply kwa kuwa umekaa naye miaka kadhaa na hakuwahi kupata ujauzito! Watch out!
 
mkuu , losing to a team fighting for 5th place? haimuzi kichwa It happens, we underperformed but swe're top and frankly we've got much bigger fish to fry than Moyes' mere mortal misfits....



We are fighting for the 1st position as we always have been. Your team is securing a safe fourth position, i gues this time wamechoma kustruggle sana, kwaiyo wanataka waeke gap ya mtu wanne na watano ndo nafasi zenu. Kama mnaringia point zenu tano za kuongeza league mda umekwisha, be ready to take your position, the fourth one! Man utd wachezaji wake wawe wamekunuwa konyagi mia basi arsenal wakija wanatulizwa tu! Hamtutishi kabisaaaa
 
Back
Top Bottom