unataka sema hata mwaka jana kimataifa walikuwa na hofuUko sahihi kabisa. Niliwahi pia kusema hili nadhani msimu uliopita, ukiangalia mechi za Yanga unaweza kudhani wachezaji wa timu pinzani wamehongwa, yaani wanajichezea pasi zisizo na maana pale nyuma hadi wanafungwa magoli ya ajabu. Nikaja na uzi mmoja wa jinsi ya kuifunga Yanga ya Gamondi.
Kama unavyosema, inawezekana kabisa timu au wachezaji hawahongwi ila labda ni woga tu walionao kwa Yanga, wanacheza wakiwa na wenge. Ni ngumu kujua.
kamuulize dube na kiemba viongozi wa azam hawapendi kufungwa na yanga na ukiifunga simba wanachukiaKuna wachezaji hasa wazawa na viongozi wa hizi timu,wakicheza na Simba na Yanga...wanatamani wafungwe hata kwa kuforce! Yani Wana mapenzi nazo mno...
Tunazungumzia mechi za NBC. Kuhusu kama ni hofu, kuhongwa au sababu nyingine, hakuna anayejua....unataka sema hata mwaka jana kimataifa walikuwa na hofu
ama hii hofu ni mechi za ndani tu
nan mwaka jana ajafungwa na yanga
Aisee kama ni hivo,basi ni shida Sana!kamuulize dube na kiemba viongozi wa azam hawapendi kufungwa na yanga na ukiifunga simba wanachukia
Nimeamini kweli uelewa Tz umeshuka sana. Yaani hawa walopokaji wa timu akilopoka jambo hata liwe la kutunga tu kwa ufikiri wake tu lakini atapata kiwango kikubwa cha wafuasi wake kwa lugha zake tu. Hasa mashabiki wa mikia wanaamini sana kwa wasemaji wao.Happy Holiday! Natumaini mnaendelea vizuri wana-Jamiiforums. Msukumo wa kuandika andiko hili umetokana kuangalia mechi tatu, pale ambapo Yanga amekutana na Mashujaa, Tanzania Prisons na hii mechi yake ya mwisho dhidi ya Dodoma Jiji.
Nimekua shabiki kindaki ndaki wa mpira wa Tanzania, nimeudhuria mechi nyingi sana hasa za Yanga katika msimu uliopita. Nimefurahi sana kwa wakati ule, lakini wakati naandika andiko hili nikiri kusema sitakuja kutazama tena mechi za Yanga isipokuwa zile mechi za kimataifa, au watakapo kutana Yanga vs Simba/Azam.
Kupitia mechi hizo hapo juu, sijui niseme ni uwezo mkubwa wa Yanga, au uwezo mdogo wa timu pinzani au kuna sababu nje ya uwanja au vyote kwa pamoja . Ila hizo mechi zilikua kama futuhi, ni maigizo yaani ni kichekesho. Kuna wakati unajiuliza inakuwaje hizi timu zinashiriki ligi kuu. Wachezaji wa timu pinzani wanashindana kufanya makosa, wachezaji wanashindana kutoa zawadi, labda kwa kuwa ni msimu wa Christmas.
Sizungumzi haya sababu za kuwa Yanga hapaswi kushinda, Hapana. Ila nazungumzia ushindani umepotea kabisa. Tofauti na miaka ya nyuma. Hizi mechi zote tajwa Yanga ameshinda sio sababu ya ubora wake, ila sababu ya udhaifu wa mpinzani. Ni ushindi mwepesi sana.
Mechi zote Yanga angekua makini hata kidogo tu, alikuwa na uwezo wa kupata hata magoli zaidi ya 10 maana ilikuwa ni washindwe wao tu. Hapo hapo ukitazama timu hizo tajwa zinapokutana na vilabu vya Simba na Azam basi ushindani unakua ni mkubwa sana.
Kuokoa soka letu, tulitazame hili kwa undani, tupate tatuzi za kinadharia na kivitendo ndani na nje ya uwanja. Either kuna baadhi ya vilabu vina influence katika timu hizi ndogo au gap kati ya Yanga na hivi vilabu vingine ni kubwa sana kusema kwamba inawathiri wachezaji kisaikolojia hata kabla hawajakutana nao.
Natambua kuwa tuna tamani vilabu vyetu vishinde kwa namna yeyote, lakini katika hili haihitaji uwe shabiki wa Yanga au Simba au hata mpira kuliona hili. Athari yake ni kuwa hii ligi itaenda kuwa dhaifu au kwa lugha ya kisoka kujulikana kama Farmers League.
Mdau wa soka mtazamo wako ni upi?
Nimetazama mechi zoteNi changamoto kubwa sana kama watashindwa kutofautisha kati ya mapenzi na kazi. Hii inapelekea bias na kuua falsafa yetu ya fairness katika mchezo wetu pendwa.
Maybe ni quality, maybe not. Umeangalia vizuri mechi tajwa hapo juu?
tangu mwaka jana ni azam pekee aliye mfunga yangaTunazungumzia mechi za NBC. Kuhusu kama ni hofu, kuhongwa au sababu nyingine, hakuna anayejua....
Mbona unang'ang'ania kuhofia tu wakati nimetoa sababu za kufungwa zaidi ya hiyo? Mimi na nadhani na mleta mada hatujatoa jibu la moja kwa moja la kwa nini hizi timu zinafungwa na Yanga katika mazingira yanayoonekana ni ya kizembe.tangu mwaka jana ni azam pekee aliye mfunga yanga
maana yake timu 13 zina muhofia yanga
Mada umeiwasilisha kistaarabu kuwafumba watu kwamba hujasema Yanga inahonga direct ila ulicho andika kina maana hiyo. Ukisema unasubiri uangalie mechi kati ya Yanga na Simba au Azam maana yake hao ndio hawahongwi unaamini kuna usawa. Lakini hizo hizo timu zimefungwa mara ngapi na Yanga akiwa anasemwa anahonga.? Sawa tujadili polepole.Kuokoa soka letu, tulitazame hili kwa undani, tupate tatuzi za kinadharia na kivitendo ndani na nje ya uwanja. Either kuna baadhi ya vilabu vina influence katika timu hizi ndogo au gap kati ya Yanga na hivi vilabu vingine ni kubwa sana kusema kwamba inawathiri wachezaji kisaikolojia hata kabla hawajakutana nao.
Mkuu naona umejikita kwenye ushabiki zaidi na sio uhalisia....hapa Tanzania timu zilizofanya uwekezaji mkubwa ni pamoja na yanga,,,,,kwa ninavyoziona timu za zote ni simba na azam tu ndio zenye uwezo wa kufunguka na kuweza kupata matokeo mbele ya yanga....zilizobaki ni lazima plan yao ya kwanza iwe ni kuwazuia yanga na kufanya mashambulizi ya kushtukiza.Happy Holiday! Natumaini mnaendelea vizuri wana-Jamiiforums. Msukumo wa kuandika andiko hili umetokana kuangalia mechi tatu, pale ambapo Yanga amekutana na Mashujaa, Tanzania Prisons na hii mechi yake ya mwisho dhidi ya Dodoma Jiji.
Nimekua shabiki kindaki ndaki wa mpira wa Tanzania, nimeudhuria mechi nyingi sana hasa za Yanga katika msimu uliopita. Nimefurahi sana kwa wakati ule, lakini wakati naandika andiko hili nikiri kusema sitakuja kutazama tena mechi za Yanga isipokuwa zile mechi za kimataifa, au watakapo kutana Yanga vs Simba/Azam.
Kupitia mechi hizo hapo juu, sijui niseme ni uwezo mkubwa wa Yanga, au uwezo mdogo wa timu pinzani au kuna sababu nje ya uwanja au vyote kwa pamoja . Ila hizo mechi zilikua kama futuhi, ni maigizo yaani ni kichekesho. Kuna wakati unajiuliza inakuwaje hizi timu zinashiriki ligi kuu. Wachezaji wa timu pinzani wanashindana kufanya makosa, wachezaji wanashindana kutoa zawadi, labda kwa kuwa ni msimu wa Christmas.
Sizungumzi haya sababu za kuwa Yanga hapaswi kushinda, Hapana. Ila nazungumzia ushindani umepotea kabisa. Tofauti na miaka ya nyuma. Hizi mechi zote tajwa Yanga ameshinda sio sababu ya ubora wake, ila sababu ya udhaifu wa mpinzani. Ni ushindi mwepesi sana.
Mechi zote Yanga angekua makini hata kidogo tu, alikuwa na uwezo wa kupata hata magoli zaidi ya 10 maana ilikuwa ni washindwe wao tu. Hapo hapo ukitazama timu hizo tajwa zinapokutana na vilabu vya Simba na Azam basi ushindani unakua ni mkubwa sana.
Kuokoa soka letu, tulitazame hili kwa undani, tupate tatuzi za kinadharia na kivitendo ndani na nje ya uwanja. Either kuna baadhi ya vilabu vina influence katika timu hizi ndogo au gap kati ya Yanga na hivi vilabu vingine ni kubwa sana kusema kwamba inawathiri wachezaji kisaikolojia hata kabla hawajakutana nao.
Natambua kuwa tuna tamani vilabu vyetu vishinde kwa namna yeyote, lakini katika hili haihitaji uwe shabiki wa Yanga au Simba au hata mpira kuliona hili. Athari yake ni kuwa hii ligi itaenda kuwa dhaifu au kwa lugha ya kisoka kujulikana kama Farmers League.
Mdau wa soka mtazamo wako ni upi?
Chandimu soka mara magori yafungwe na vidole yaani taabu tu jamaa kasema!yaani upate mashaka na mechi za yanga uache kupata mashaka na mechi za simba
sema yanga akianza fanya vizuri maneno ya namna hii yanakuwa mengi mno
ukatizame mechi za yanga na simba, huyu huyu kachapwa mara 4 mfululizo
mechi ya yanga na azam huyu huyu alipigwa 4 kama dodoma jiji
we kuwa mkweli presha imekupanda baada ya yanga kuanza kushinda usijifiche kwenye kichaka cha mechi za yanga zikoje
wale wanawivu na kinachowatisha sasahivi walijua kushindwa zile mechi kadhaa basi tutapoteana!, mambo si yameanza kukaa sawa tena mapema mno basi wameanza kuchanganyikiwa!Unapataje mashaka na Yanga iliyo na quality kuzidi timu zote kwenye ligi
Yanga ni bingwa mara ya 3 mfululizo
Yanga amecheza final ya mashindano ya CAF
Yanga amecheza robo final na Mamelod
Yanga yupo CAFCL
Yanga amemfunga Simba mara nne mfululizo
Ni mwehu tu atapata mashaka juu ya ushindi wa Yanga
Mbumbumbu kazi mnayo, niliwai kusema mda si mrefu mtatoka kwenye mashimo yenu Mmoja baada ya mwingine,, wakati yanga anafungwa mechi tatu mfululizo ulikuwa unampenda kuziangalia hizo mechi lakini yanga karudi kwenye makali yake ghafla unatoa milio kwamba utaki kuwaangalia Tenaπ€π€π€Happy Holiday! Natumaini mnaendelea vizuri wana-Jamiiforums. Msukumo wa kuandika andiko hili umetokana kuangalia mechi tatu, pale ambapo Yanga amekutana na Mashujaa, Tanzania Prisons na hii mechi yake ya mwisho dhidi ya Dodoma Jiji.
Nimekua shabiki kindaki ndaki wa mpira wa Tanzania, nimeudhuria mechi nyingi sana hasa za Yanga katika msimu uliopita. Nimefurahi sana kwa wakati ule, lakini wakati naandika andiko hili nikiri kusema sitakuja kutazama tena mechi za Yanga isipokuwa zile mechi za kimataifa, au watakapo kutana Yanga vs Simba/Azam.
Kupitia mechi hizo hapo juu, sijui niseme ni uwezo mkubwa wa Yanga, au uwezo mdogo wa timu pinzani au kuna sababu nje ya uwanja au vyote kwa pamoja . Ila hizo mechi zilikua kama futuhi, ni maigizo yaani ni kichekesho. Kuna wakati unajiuliza inakuwaje hizi timu zinashiriki ligi kuu. Wachezaji wa timu pinzani wanashindana kufanya makosa, wachezaji wanashindana kutoa zawadi, labda kwa kuwa ni msimu wa Christmas.
Sizungumzi haya sababu za kuwa Yanga hapaswi kushinda, Hapana. Ila nazungumzia ushindani umepotea kabisa. Tofauti na miaka ya nyuma. Hizi mechi zote tajwa Yanga ameshinda sio sababu ya ubora wake, ila sababu ya udhaifu wa mpinzani. Ni ushindi mwepesi sana.
Mechi zote Yanga angekua makini hata kidogo tu, alikuwa na uwezo wa kupata hata magoli zaidi ya 10 maana ilikuwa ni washindwe wao tu. Hapo hapo ukitazama timu hizo tajwa zinapokutana na vilabu vya Simba na Azam basi ushindani unakua ni mkubwa sana.
Kuokoa soka letu, tulitazame hili kwa undani, tupate tatuzi za kinadharia na kivitendo ndani na nje ya uwanja. Either kuna baadhi ya vilabu vina influence katika timu hizi ndogo au gap kati ya Yanga na hivi vilabu vingine ni kubwa sana kusema kwamba inawathiri wachezaji kisaikolojia hata kabla hawajakutana nao.
Natambua kuwa tuna tamani vilabu vyetu vishinde kwa namna yeyote, lakini katika hili haihitaji uwe shabiki wa Yanga au Simba au hata mpira kuliona hili. Athari yake ni kuwa hii ligi itaenda kuwa dhaifu au kwa lugha ya kisoka kujulikana kama Farmers League.
Mdau wa soka mtazamo wako ni upi?
Mama gani? Huyu anaye-dedicatiwa kila kitu. Aiseee πUshindi wa yanga ni pongezi kwa mama yetu kipenzi , kama haujaelewa niulize tena π€
Uliona mbali Mkuu.Uko sahihi kabisa. Niliwahi pia kusema hili nadhani msimu uliopita, ukiangalia mechi za Yanga unaweza kudhani wachezaji wa timu pinzani wamehongwa, yaani wanajichezea pasi zisizo na maana pale nyuma hadi wanafungwa magoli ya ajabu. Nikaja na uzi mmoja wa jinsi ya kuifunga Yanga ya Gamondi.
Kama unavyosema, inawezekana kabisa timu au wachezaji hawahongwi ila labda ni woga tu walionao kwa Yanga, wanacheza wakiwa na wenge. Ni ngumu kujua.