Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

Nimeacha Rasmi Kutazama Mechi za Yanga NBC PL

Match Fixing wachezaji Hawasimami tu kama Milingoti au minara ya Simu Hivi kweli kichwani Wenyewe Wapo?
match fixing bongo zitakuwa zinafanywa na marefa

kama yule refa wa simba vs costal unioni alimaliza mpira baada ya kuona simba anaenda kufungwa

zile sasa ndo mechi matokeo yanapangwa
 
Jifunze kujibu hoja maana una maswali 100 katika mtihani wewe majibu yako ni matatu tu, "5imba" kufungwa mara nne mfululizo, "5imba" kufungwa goli 5 na "5imba" kucheza kombe la kina mama.
Hakuna hoja ya kujibu, ni kilio cha mbumbumbu tu
Yanga timu Bora imekufunga mara nne mfululizo, imefanya makubwa kimataifa, iweje ifanyie mechi fixing dhidi ya Mashujaa bro
Kuwa mwana michezo
 
Mada umeiwasilisha kistaarabu kuwafumba watu kwamba hujasema Yanga inahonga direct ila ulicho andika kina maana hiyo. Ukisema unasubiri uangalie mechi kati ya Yanga na Simba au Azam maana yake hao ndio hawahongwi unaamini kuna usawa. Lakini hizo hizo timu zimefungwa mara ngapi na Yanga akiwa anasemwa anahonga.? Sawa tujadili polepole.

Ubora huu wa Yanga sidhani kama unahitaji timu pinzani uanze kuihonga. Kama kweli ni shabiki wa mpira na unaangalia mpira bila fikra za kishabiki nikikuuliza kwanini hapa katikati Yanga alifungwa mechi mfululizo na hata alizoshinda alikua anashinda kwa mbinde sana lazima majibu yatakua fitness ilishuka hata kocha alilisema hili, wachezaji muhimu kupata majeraha na kadi nyekundu ya Bacca.

Kwasasa Yanga inavyocheza unaona kabisa fitness imerudi ari na morali ya wachezaji inarudi tofauti na hapo nyuma. Sasa Yanga kushinda kwa idadi hiyo inakushtua nini wewe kama sio chuki za kishabiki tu. Fikiria hili kwa kina usiruhusu moyo wako kukuendesha kwa kufuata hisia tu.
Bahati Mbaya Unashabikia Mchezo bila kuhufahamu Mchezo Wenyewe inaonekana hujawahi kucheza hata kidogo Utotoni mkiwa mnatazama mpila Muwe Ushabiki mnauacha majumbani mwenu.
 
Acha kwani kunguni moja usipoangalia utaleta shida gani?
 
Hakuna hoja ya kujibu, ni kilio cha mbumbumbu tu
Yanga timu Bora imekufunga mara nne mfululizo, imefanya makubwa kimataifa, iweje ifanyie mechi fixing dhidi ya Mashujaa bro
Kuwa mwana michezo
Yanga imeingia hatua ya makundi msimu jana baada ya miaka zaidi ya 25 na ikaishia robo fainali, makubwa yapi hayo imefanya?
 
Yanga imeingia hatua ya makundi msimu jana baada ya miaka zaidi ya 25 na ikaishia robo fainali, makubwa yapi hayo imefanya?
Kuifunga Simba mara nne mfululizo sio makubwa? Kikiwemo kipigo cha goli 5
Kuchukua NBC na FA sio makubwa?
Kumpigia Kaizer Chiefs goli 4 sio makubwa?
 
Mkuu naona umejikita kwenye ushabiki zaidi na sio uhalisia....hapa Tanzania timu zilizofanya uwekezaji mkubwa ni pamoja na yanga,,,,,kwa ninavyoziona timu za zote ni simba na azam tu ndio zenye uwezo wa kufunguka na kuweza kupata matokeo mbele ya yanga....zilizobaki ni lazima plan yao ya kwanza iwe ni kuwazuia yanga na kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Hiyo ni kwa mujibu wako Azam na Yanga azam alimweshimu yanga akapata Matokeo ya Ushindi Yanga na Tabora hali ndo hiyo hiyo kwa hiyo kukaa nyuma Hakuzui kucheza mpila na Kushinda mechi Haiwezekani Wachezaji wa Dodoma jiji Ghafla ionekane hawana viwango vya kupambana na Yanga Nilichogundua Ligi ya Tanzania kupanga Matokeo ni jambo Lahisi kuliko kunywa maji Marefa ,Viongozi Simba na Yanga Wachezaji Nao ndo Wale wale.
 
Kuifunga Simba mara nne mfululizo sio makubwa? Kikiwemo kipigo cha goli 5
Kuchukua NBC na FA sio makubwa?
Kumpigia Kaizer Chiefs goli 4 sio makubwa?
Hahah we jamaa. Kuna wakati wengine tunadhani majibu yako ni utani tu kumbe uko serious. Yaani unakuja kutamba kwa matokeo ya mechi ya kirafiki ya pre-season?

Umekariri majibu hadi umerudi kule kule kwa goli 5 kama nilivyotabiri.
 
Hiyo ni kwa mujibu wako Azam na Yanga azam alimweshimu yanga akapata Matokeo ya Ushindi Yanga na Tabora hali ndo hiyo hiyo kwa hiyo kukaa nyuma Hakuzui kucheza mpila na Kushinda mechi Haiwezekani Wachezaji wa Dodoma jiji Ghafla ionekane hawana viwango vya kupambana na Yanga Nilichogundua Ligi ya Tanzania kupanga Matokeo ni jambo Lahisi kuliko kunywa maji Marefa ,Viongozi Simba na Yanga Wachezaji Nao ndo Wale wale.
Elezea mchezo
Timu giant kwenye ligi zipo
Ukienda German Bayern anafunga goli za kutosha
Ahly huko Egypt
Liverpool England
 
Kama Yanga Kila mchezaji akiweza kutoa uwezo wake kwa 80% hakuna timu itakayo fungwa Chini ya Goli 5.

Yanga Wana kikosi chenye wachezaji wenye vipaji vya hali yajuu akitofautiana na timu Nyingi za Ligi kuu.
Na pia wana Wachezaji wenye Umri wa Hari ya juu kabisa.
 
Penati za so called ni mapungufu ya referee, ambayo hutokea sababu uwezo mdogo, makusudi ya referee na sio timu pinzania. Ila huu uzi umejikita katika timu pinzani na sio wasimamizi wa mchezo ambayo in issue nyingine kabisa.
Kwani si timu pinzani(wacheza)ndio wanatoa hizo penalt za mchogo au huangalii mechi za Simba?
 
Hahah we jamaa. Kuna wakati wengine tunadhani majibu yako ni utani tu kumbe uko serious. Yaani unakuja kutamba kwa matokeo ya mechi ya kirafiki ya pre-season?
Kwaiyo kuifunga Simba mara nne mfululizo ni utani?
Kuchukua NBC na FA ni utani?
Kumbe Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
 
Kwaiyo kuifunga Simba mara nne mfululizo ni utani?
Kuchukua NBC na FA ni utani?
Kumbe Rage alikuwa sahihi kuwaiteni mbumbumbu
Majibu ya ngara23 katika mjadala wowote wa Yanga ni haya:
1. Yanga kumfunga "5imba" mara nne mfululizo
2. Yanga kumfunga "5imba" goli 5
3. Kumtaja Rage
4. "5imba" kucheza kombe la kina mama

Yaani unacheza humu tu.

Inaonyesha wewe ni wale wanafunzi maswali ya essay nina uhakika ulikuwa unakodoa macho tu au majibu yako ndiyo yale ya "poor infrastructure....."
 
Majibu ya ngara23 katika mjadala wowote wa Yanga ni haya:
1. Yanga kumfunga "5imba" mara nne mfululizo
2. Yanga kumfunga "5imba" goli 5
3. Kumtaja Rage
4. "5imba" kucheza kombe la kina mama

Yaani unacheza humu tu.

Inaonyesha wewe ni wale wanafunzi maswali ya essay nina uhakika ulikuwa unakodoa macho tu au majibu yako ndiyo yale ya "poor infrastructure....."
Toa majibu acha kulia hapa
Yanga bingwa
 
Kwa hiyo kumbe lawama ni kwa wachezaji, siyo tena kwa marefa? Hahah
Refa ndio wa kwanza mzee, hii mipango inahusishwa watu wengi, mtoa mada kaniquote na kuwataja marefa ila kiukweli hata timu pinzani(wacheza) wapo kwny huo mchongo!
 
Naona Mkolo vijana wa Rage mmeanzaa kutokaa kwenye mashimo ya panya mlikiwa mmejificha.
Na bado yani kila mmoja atakuja na milioo yakee lazimaa muwe mmenena kwa lughaa..
 
Back
Top Bottom