Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fedheha gani?Ila kupitia mechi ya leo naamini TFF na bodi ya ligi lazima wataamka kutoka usingizini. Ni fedheha kubwa kwa ligi yetu.
Bei waulizwe Inonga, Chama, Manula, Arajinga,5imba alofungwa mara nne mfululizo kutia ndani kipigo cha mbwa mwizi cha goli 5 alihongwa bei gani?
Msimu huu Kuna mechi Gani ina viashiria vya upangaji matokeo?Andiko langu linazungumzia msimu huu, labda sijakuelewa point yako Mkuu.
Kunywa maji mengi kuondoka msongo wa mawazoBei waulizwe Inonga, Chama, Manula, Arajinga,
Nakumbuka Wolves walishawahi adhibiwa na FA sababu ya kupanga kikosi kilichotafsirika kuwa ni dhaifu.Fedheha gani?
Matokeo ni 2_1
Job amefanya super save ambayo inge equalize matokeo
Singida wametoa challenge nzuri hadi coach wa Yanga amelaumu wachezaji hawakucheza vizuri
SBS hawakujifunga?
Hakuna penalty
Hakuna own goal
Sasa match fixing hiyo ikoje
Au ili match fixing isiwepo hadi Yanga afungwe
Leo ilikua ni Futuhi, tena ya wazi kabisa. Ila kwa hii ya TFF na bodi ya ligi lazima waingilie kati.Nakumbuka Singida hawa walivyo fungwa na Simba baadhi ya wachezaji walikuwa wanalia mpira ulipo isha.
Leo wanatoka uwanjani huku wanatabasamu.
Upangaji wa vikosi, kukosekana kwa ushidani kwenye pitch.Msimu huu Kuna mechi Gani ina viashiria vya upangaji matokeo?
Elvis Rupia ndo top scorer wa SBS ana goals 8 ulitaka coach aanze na striker ganiNakumbuka Wolves walishawahi adhibiwa na FA sababu ya kupanga kikosi kilichotafsirika kuwa ni dhaifu.
Kupitia point hiyo tu, angalia kikosi cha Singida dhidi ya Yanga. Hapa tu TFF wakisimamia hii mechi lazima adhabu zitolewe.
Mchezaji gani hajacheza?Upangaji wa vikosi, kukosekana kwa ushidani kwenye pitch.
Wanasema kila mmoja ashinde Mechi zake!Happy Holiday! Natumaini mnaendelea vizuri wana-Jamiiforums. Msukumo wa kuandika andiko hili umetokana kuangalia mechi tatu, pale ambapo Yanga amekutana na Mashujaa, Tanzania Prisons na hii mechi yake ya mwisho dhidi ya Dodoma Jiji.
Nimekua shabiki kindaki ndaki wa mpira wa Tanzania, nimeudhuria mechi nyingi sana hasa za Yanga katika msimu uliopita. Nimefurahi sana kwa wakati ule, lakini wakati naandika andiko hili nikiri kusema sitakuja kutazama tena mechi za Yanga isipokuwa zile mechi za kimataifa, au watakapo kutana Yanga vs Simba/Azam.
Kupitia mechi hizo hapo juu, sijui niseme ni uwezo mkubwa wa Yanga, au uwezo mdogo wa timu pinzani au kuna sababu nje ya uwanja au vyote kwa pamoja . Ila hizo mechi zilikua kama futuhi, ni maigizo yaani ni kichekesho. Kuna wakati unajiuliza inakuwaje hizi timu zinashiriki ligi kuu. Wachezaji wa timu pinzani wanashindana kufanya makosa, wachezaji wanashindana kutoa zawadi, labda kwa kuwa ni msimu wa Christmas.
Sizungumzi haya sababu za kuwa Yanga hapaswi kushinda, Hapana. Ila nazungumzia ushindani umepotea kabisa. Tofauti na miaka ya nyuma. Hizi mechi zote tajwa Yanga ameshinda sio sababu ya ubora wake, ila sababu ya udhaifu wa mpinzani. Ni ushindi mwepesi sana.
Mechi zote Yanga angekua makini hata kidogo tu, alikuwa na uwezo wa kupata hata magoli zaidi ya 10 maana ilikuwa ni washindwe wao tu. Hapo hapo ukitazama timu hizo tajwa zinapokutana na vilabu vya Simba na Azam basi ushindani unakua ni mkubwa sana.
Kuokoa soka letu, tulitazame hili kwa undani, tupate tatuzi za kinadharia na kivitendo ndani na nje ya uwanja. Either kuna baadhi ya vilabu vina influence katika timu hizi ndogo au gap kati ya Yanga na hivi vilabu vingine ni kubwa sana kusema kwamba inawathiri wachezaji kisaikolojia hata kabla hawajakutana nao.
Natambua kuwa tuna tamani vilabu vyetu vishinde kwa namna yeyote, lakini katika hili haihitaji uwe shabiki wa Yanga au Simba au hata mpira kuliona hili. Athari yake ni kuwa hii ligi itaenda kuwa dhaifu au kwa lugha ya kisoka kujulikana kama Farmers League.
Mdau wa soka mtazamo wako ni upi?
Well ni sahihi Singida kuwaweka benchi wachezaji muhimu kama Trabi, Bada, Imoro, Ande hata Chukwu kwa mechi nzito kama hii na Yanga??Elvis Rupia ndo top scorer wa SBS ana goals 8 ulitaka coach aanze na striker gani
Sergie Pokou huyu ni kiungo hatari ametokea Al Hilal na aliwafunga makolo
Damaro Camara huyu sisemi sana
Goal keeper Mwasalanga alitoka Tabora United huyu ndo alizuia Yanga na Leo amefanya kazi vizuri kabisa
Gadiel Michael amecheza Azam Yanga na Simba ni beki mzuri
Morice Chuku huyu ni mchezaji kiraka anaziba kama kiungo na beki
Hapo ni mfano
Mchezaji gani pale alikuwa dhaifu
Hapana. Hili tuliangalie kwa upana, kwa maslahi ya ligi kwa ujumla.Wanasema kila mmoja ashinde Mechi zake!
Mipango ya bench la ufundiWell ni sahihi Singida kuwaweka benchi wachezaji muhimu kama Trabi, Bada, Imoro, Ande hata Chukwu kwa mechi nzito kama hii na Yanga??
Then, unaingiza Chukwu akacheze beki wakati bechi una A. Tra Bi?
Wewe kwako unaona sawa?
Hii kwako ni kawaida??
Mbona wewe unawatetea sana singida leo? Uko kwenye payroll ya madellu?Mipango ya bench la ufundi
laZima uheshimu
Coach ndo anafanya nao mazoezi kambini ndo anajua fitness Yao na Nini walionyesha mazoezini
Kama Chikwu alifanya vyema kwenye uwanja wa mazoezi laZima apewe match na TRA bi akae bench
Hakuna mchezaji ana haki ya kukaa bench
Aki perform mazoezini anapewa game
Si umeacha kuangalia NBC mkuu,SINgida kaka vizuri sema mpango wake haujatikiIla kupitia mechi ya leo naamini TFF na bodi ya ligi lazima wataamka kutoka usingizini. Ni fedheha kubwa kwa ligi yetu.
Achana nalo...Hapana. Hili tuliangalie kwa upana, kwa maslahi ya ligi kwa ujumla.
Si umeacha kuangalia NBC mkuu,SINgida kaka vizuri sema mpango wake haujatiki
Eeh unaweza kuelezea yanga itapata hasara ya kiasi gani kutokana na wewe kuacha kutazama mechi zao.Happy Holiday! Natumaini mnaendelea vizuri wana-Jamiiforums. Msukumo wa kuandika andiko hili umetokana kuangalia mechi tatu, pale ambapo Yanga amekutana na Mashujaa, Tanzania Prisons na hii mechi yake ya mwisho dhidi ya Dodoma Jiji.
Nimekua shabiki kindaki ndaki wa mpira wa Tanzania, nimeudhuria mechi nyingi sana hasa za Yanga katika msimu uliopita. Nimefurahi sana kwa wakati ule, lakini wakati naandika andiko hili nikiri kusema sitakuja kutazama tena mechi za Yanga isipokuwa zile mechi za kimataifa, au watakapo kutana Yanga vs Simba/Azam.
Kupitia mechi hizo hapo juu, sijui niseme ni uwezo mkubwa wa Yanga, au uwezo mdogo wa timu pinzani au kuna sababu nje ya uwanja au vyote kwa pamoja . Ila hizo mechi zilikua kama futuhi, ni maigizo yaani ni kichekesho. Kuna wakati unajiuliza inakuwaje hizi timu zinashiriki ligi kuu. Wachezaji wa timu pinzani wanashindana kufanya makosa, wachezaji wanashindana kutoa zawadi, labda kwa kuwa ni msimu wa Christmas.
Sizungumzi haya sababu za kuwa Yanga hapaswi kushinda, Hapana. Ila nazungumzia ushindani umepotea kabisa. Tofauti na miaka ya nyuma. Hizi mechi zote tajwa Yanga ameshinda sio sababu ya ubora wake, ila sababu ya udhaifu wa mpinzani. Ni ushindi mwepesi sana.
Mechi zote Yanga angekua makini hata kidogo tu, alikuwa na uwezo wa kupata hata magoli zaidi ya 10 maana ilikuwa ni washindwe wao tu. Hapo hapo ukitazama timu hizo tajwa zinapokutana na vilabu vya Simba na Azam basi ushindani unakua ni mkubwa sana.
Kuokoa soka letu, tulitazame hili kwa undani, tupate tatuzi za kinadharia na kivitendo ndani na nje ya uwanja. Either kuna baadhi ya vilabu vina influence katika timu hizi ndogo au gap kati ya Yanga na hivi vilabu vingine ni kubwa sana kusema kwamba inawathiri wachezaji kisaikolojia hata kabla hawajakutana nao.
Natambua kuwa tuna tamani vilabu vyetu vishinde kwa namna yeyote, lakini katika hili haihitaji uwe shabiki wa Yanga au Simba au hata mpira kuliona hili. Athari yake ni kuwa hii ligi itaenda kuwa dhaifu au kwa lugha ya kisoka kujulikana kama Farmers League.
Mdau wa soka mtazamo wako ni upi?