Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
Nimekubali kwl SINgida itakuwa Tawi la Yanga ,NBC kuna mech ngapi?kwahio hawa jamaa wanaachia Kila mechi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekubali kwl SINgida itakuwa Tawi la Yanga ,NBC kuna mech ngapi?kwahio hawa jamaa wanaachia Kila mechi tu
Hyo alikataa maagizo ya madiluu ya kuwaachia yanga wafunge magoli mengi wakamla kichwa.
Hebu soma ugoro wako vizuriNimekubali kwl SINgida itakuwa Tawi la Yanga ,NBC kuna mech ngapi?kwahio hawa jamaa wanaachia Kila mechi tu
Sasa kama ni ugoro ,kwann unieletee post ya uchebe apa akati unajua yeye ni mwajiriwa Tu hivo anapita pale asitupangie maishaHebu soma ugoro wako vizuri
Sawa Mkuu. Naheshimu utetezi wako.Mipango ya bench la ufundi
laZima uheshimu
Coach ndo anafanya nao mazoezi kambini ndo anajua fitness Yao na Nini walionyesha mazoezini
Kama Chikwu alifanya vyema kwenye uwanja wa mazoezi laZima apewe match na TRA bi akae bench
Hakuna mchezaji ana haki ya kukaa bench
Aki perform mazoezini anapewa game
Unasemaa?!?Ushindi wa yanga ni pongezi kwa mama yetu kipenzi , kama haujaelewa niulize tena 🤗