OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Status kwangu ni mwiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hobby ya kupost status?! Hizi akili za wapi hiziWatu hawafanani interests na hobbies
Zilikuwa nyege tu ,utaniweza mie kwanYaani wewe isingekuwa uchizi wangu ningekuwowa....u just so straight forward mpaka nakupenda.
Vipi mawenge ya leo yameisha?
Shemeji alishajipoza?Zilikuwa nyege tu ,utaniweza mie kwan
Kuna mshkaji alikuwa amenitafuta kitambo ikabidi nimpe tu ili nami nipone....then tumekosanaShemeji alishajipoza?
Uko sahihi Mkuu,hata mimi nina wateja wangu Wahindi kama wanne hivi na wachina kadhaa.Ila sijawahi kuona wakiview au kuweka status hata siku moja..........Kazi iendelee. Wadau mimi ni mfanyabiashara, kwenye simu yangu ya mkononi nimetunza namba takribani 300.
Kati ya hizo Kuna wateja zangu, ndugu zangu, jamaa na marafiki na bila kusahau wadau wa unywaji na michepuko kadhaa.
Hapo kwenye wateja zangu Kuna aina tofauti za watu. Mosi, Kuna namba za mabosi zangu, wahindi na wachina ambao nanunua bidhaa kwao. Pia Kuna wateja zangu watanzania, watu wa daraja la kati na huku chini kabisa kwa wale waogopa tozo.
Sasa baada ya kuwa na namba zote hizo nimegundua kitu kimoja makini sana. Aisee sisi masikini ndio tunaangaika na kuweka mastatus ya maisha yetu na mahangaiko yetu kila uchwao. Huu ni mwaka mmoja sasa bado sijaona wale wachina au wale maafsa, wahindi, na baadhi ya watu kadhaa wenye uhakika wa kula muda wowote wakiweka mistatus hata kwa bahati mbaya.
Sasa hawa michepuko, na wadau wengine walala hoi waliobaki Sasa[emoji23][emoji23][emoji23] yaani ni kutwa mara tatu kama dose ya ukimwi. Utakuta status hata akiwa choo Cha public anapost.
Acha nimalizie kwa kusema watu welevu na matajiri wametuacha mbali kwa ustaarabu.... Nb Mapovu ruksa.
Good but hata mzab angekufaa sana mna ufanano flan ameizing😂😂😂Kuna MTU naolewa nae soon Mkuu...Mungu ni mwema
Yeah ni kweli,tunafanana vingi but ndo haijawa Mkuu.Sitoacha kumpenda ni jfmate wanguGood but hata mzab angekufaa sana mna ufanano flan ameizing😂😂😂
Ndivyo tunapaswa kuishi,wote ni wa ardhini mkuu