Nimeacha rasmi kuweka status WhatsApp kwa sababu hii

Nimeacha rasmi kuweka status WhatsApp kwa sababu hii

Ina maana sijawahi kukupa like hata siku moja? Au sisi umetuweka kwenye kundi gani?

Maana naona juu yetu kuna Satan
Soma tena.
Kilichonishtua ni shetani/satan ku like post yangu
 
.........Kazi iendelee. Wadau mimi ni mfanyabiashara, kwenye simu yangu ya mkononi nimetunza namba takribani 300.

Kati ya hizo Kuna wateja zangu, ndugu zangu, jamaa na marafiki na bila kusahau wadau wa unywaji na michepuko kadhaa.

Hapo kwenye wateja zangu Kuna aina tofauti za watu. Mosi, Kuna namba za mabosi zangu, wahindi na wachina ambao nanunua bidhaa kwao. Pia Kuna wateja zangu watanzania, watu wa daraja la kati na huku chini kabisa kwa wale waogopa tozo.

Sasa baada ya kuwa na namba zote hizo nimegundua kitu kimoja makini sana. Aisee sisi masikini ndio tunaangaika na kuweka mastatus ya maisha yetu na mahangaiko yetu kila uchwao. Huu ni mwaka mmoja sasa bado sijaona wale wachina au wale maafsa, wahindi, na baadhi ya watu kadhaa wenye uhakika wa kula muda wowote wakiweka mistatus hata kwa bahati mbaya.

Sasa hawa michepuko, na wadau wengine walala hoi waliobaki Sasa😂😂😂 yaani ni kutwa mara tatu kama dose ya ukimwi. Utakuta status hata akiwa choo Cha public anapost.

Acha nimalizie kwa kusema watu welevu na matajiri wametuacha mbali kwa ustaarabu.... Nb Mapovu ruksa.
WABONGO NI WATAALAMU WA KU-EDIT VITU VYA WATU.

TECKNOLOJIA HIYO UMELETEWA JIFUNZE KUWA NA UAMINIFU KATIKA KILA JAMBO ILI UWE HURU.

UTAKIMBIA KILA SEHEMU KWA KUKOSA TRUST.
 
Kujianika kwenye status watu wanaweza kukuchora we ni mtu wa aina gani mara nyingi kujisishia heshima
Inabidi uwe makini mambo ya kushare na umma
Upo sahihi kabisa.
 
Sema Tu watu hawashoboki na status zako...!! Kama we ni mfanya biashara wa mtandaoni status haikwepeki..nunua smu Kali picha Kali , lazima uingie status walioweka hcho kipengele watsap sio mafala , kama hupend kausha pia sio kuwananga wadau
 
Kina jamaa yeye ata akiwa na mdogo na mke au side chick yeye atapost maneno mengi, vijembe ila kila mtu na maisha yake siwezi kumshauri alafu jamaa ni kama body builder lakini mambo ya kidada kabisa
 
Inategemea na personality hasa kwa matajiri wapo wanaotumia sana social networks na wapo ambao hawana time


Aliko dangote Instagram kapost picha moja tu mwaka 2018 mpaka leo hamna post nyingine


Kuna jamaa flan ni mkurugenzi Mkuu wa Bank ya UBA na taasisi nyingine za kifedha ana mpunga mrefu sana lakini yeye kila anapost sana Instagram ana post 600+


Conclusion ni kwamba Inategemea na mtu
 
.........Kazi iendelee. Wadau mimi ni mfanyabiashara, kwenye simu yangu ya mkononi nimetunza namba takribani 300.

Kati ya hizo Kuna wateja zangu, ndugu zangu, jamaa na marafiki na bila kusahau wadau wa unywaji na michepuko kadhaa.

Hapo kwenye wateja zangu Kuna aina tofauti za watu. Mosi, Kuna namba za mabosi zangu, wahindi na wachina ambao nanunua bidhaa kwao. Pia Kuna wateja zangu watanzania, watu wa daraja la kati na huku chini kabisa kwa wale waogopa tozo.

Sasa baada ya kuwa na namba zote hizo nimegundua kitu kimoja makini sana. Aisee sisi masikini ndio tunaangaika na kuweka mastatus ya maisha yetu na mahangaiko yetu kila uchwao. Huu ni mwaka mmoja sasa bado sijaona wale wachina au wale maafsa, wahindi, na baadhi ya watu kadhaa wenye uhakika wa kula muda wowote wakiweka mistatus hata kwa bahati mbaya.

Sasa hawa michepuko, na wadau wengine walala hoi waliobaki Sasa😂😂😂 yaani ni kutwa mara tatu kama dose ya ukimwi. Utakuta status hata akiwa choo Cha public anapost.

Acha nimalizie kwa kusema watu welevu na matajiri wametuacha mbali kwa ustaarabu.... Nb Mapovu ruksa.
images (2).jpg
 

Baada ya kuacha kuweka hizo status sasa umekuwa kama hao watu ambao hawaweki?

Maisha ndio haya haya, acha kujibana ili kujifananisha na watu ambao wapo kwenye level tofauti na yako. Ishi, furahia na fanya yale yanayokupendeza.

Kuna kiongozi mmoja mkubwa alikuwa anatamani sana japo aendeshe gari lakini alikuwa anakatazwa kwasababu za kiusalama. Nataka kusema nini, wao pengine hawaweki hizo status kwakuwa wapo busy sana na hawana muda wa kuweka ila wanatamani japo wangeweka, sasa wewe ambae una muda,tumia kujifurahisha.

Watu wa aina yako ni watu ambao hawana amani kabisa na maisha yao kwakuwa wanafanya mambo yao huku wakiangalia ya watu wengine.
 
Ni nadra San kunikuta nimepost nikiwa katk jumba zuri au mghawa mzuri snaa nitapost nikiwa ktk shambani au vichakani

Kuna jamaa angu alipata kazi Toyota alicho kifnya alikwenda kupiga picha kwenye zile gari zao mpya Kisha nakujiweka hadharani nadhani wahindi hawakupendwezwa na tabia hyo hvyo wakamtimua haraka Sana [emoji23]
 
Mbona tulikubaliana kwenye kikao Cha wanaume kua status Ni kwaajili ya wanawake
 
Kuna mmoja anapostigi chakula afu ana maisha magumu Sana anapost zile siku katolewa out au kwao wamepika vizuri

Huwa hapost viporo

Inshort ujinga ujinga mwingi
 
.........Kazi iendelee. Wadau mimi ni mfanyabiashara, kwenye simu yangu ya mkononi nimetunza namba takribani 300.

Kati ya hizo Kuna wateja zangu, ndugu zangu, jamaa na marafiki na bila kusahau wadau wa unywaji na michepuko kadhaa.

Hapo kwenye wateja zangu Kuna aina tofauti za watu. Mosi, Kuna namba za mabosi zangu, wahindi na wachina ambao nanunua bidhaa kwao. Pia Kuna wateja zangu watanzania, watu wa daraja la kati na huku chini kabisa kwa wale waogopa tozo.

Sasa baada ya kuwa na namba zote hizo nimegundua kitu kimoja makini sana. Aisee sisi masikini ndio tunaangaika na kuweka mastatus ya maisha yetu na mahangaiko yetu kila uchwao. Huu ni mwaka mmoja sasa bado sijaona wale wachina au wale maafsa, wahindi, na baadhi ya watu kadhaa wenye uhakika wa kula muda wowote wakiweka mistatus hata kwa bahati mbaya.

Sasa hawa michepuko, na wadau wengine walala hoi waliobaki Sasa😂😂😂 yaani ni kutwa mara tatu kama dose ya ukimwi. Utakuta status hata akiwa choo Cha public anapost.

Acha nimalizie kwa kusema watu werevu na matajiri wametuacha mbali kwa ustaarabu.... Nb Mapovu ruksa.

Sio kwamba wameku-hide usione mambo Yao Kwa sababu kwao hauna umuhimu?

Hakuna uhusiano wowote Kati ya Status na Utajiri na akili ya Mtu.

Maisha ni kufanya kile kinachokufurahisha pasipo kujidhuru na kudhuru wengine.

Usipende kuwa mtumwa wa watu wengine.

Ati Kwa vile Fulani hafanyi na wewe haufanyi huo ni ukondoo.
Fanya utakavyo
 
Ni kweli unachosema kuna mshikaji wangu mmoja tunafanya nae kazi yaani yupo vizuri sana kiuchumia ana ndinga kali anafanya kazi ila ana business zake mjini kazi ni kama danganya toto tu hawekagi status mara kwa mara na siku akiweka basi ni birthday ya mtoto wake au mke wake au yupo kwenye semina na mpira mara chache sana ila kupost yupo kwenye gari sijui vacation hapost japo mara nyingi huwa anaenda location za kibabe.
 
Back
Top Bottom