Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 479
- 727
- Thread starter
- #21
Hakika mkuu...inatia asira sana
Mtu jeuri kubadilika ni vigumu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu jeuri kubadilika ni vigumu sana
Yeah nilipo detect tabia zake roho na akili zimechoka kabisaYaonekana unampenda Sana, na sababu za kuzinguana ni previously undetected behavior being now detected,
Furahia kujua tabia zake zilizojificha, zizoee, rekebishaneni, endeleeni.
Sijaona sababu ya kuushinda upendo hapo ule uletea Raha ya urafiki wa uvulanani/usichanani (ingawa kwa wengi wameshindwa kufika nao malengoni, Ila ukifanikiwa ni mtamu Sana).
Zipo sababu zenye nguvu kama kupasuka kwa jabali, na sauti kubwa Kama baragumu, hapo mawe huvunjika na vipande vipande huruka na kuumiza, hiyo itafanana na kusema kweli unampenda, lakini acha tu aende, hakuwa wako.
Ukijitutumua utaishia.
Iko wazi..but hili ni funzo kwangu pia imekua ka field kwangu kuhusi kuish na mwanamke so poa haijalishi mnapendana kiasi gn..Wanaosemaga Tuoe kabla ya Kuishi na mwanamke huwaga wanajua kabisaa Lazima YATAKUSHINDAAA lakini kama ukimuoa yakikushinda itabdi ukomae nayooo.. Kitu ambacho ni ukweli 100% ni kuwa Tabia ya Mwanamke kabla hujamuoa au hujaanza kuishi nae nyumba moja ni Tofauti Kabisaa na ilw baada ya kuanza kuishi nae. Jeuri..matusi na tabia nyingi za ovyoo huja baada ya kumuweka ndani! Pole sana kwa sasa Komaa na masomo mkuu achana nae lakini hata ukija kuoa yakupasa kulijua hilo.
Hili swala nipo makini mno mkuuPole sana mkuu,,kama umedhamiria kuachana naye we achana nae,,hii kupasha viporo atakuja kukutegeshea mimba alaf tabu utakayoipata hutokaa usahau.
Nawahakikishia hamhachani ng'ooo. Utoto unawasumbua. Jifunzeni kuheshimiana na kuvumiliana.
🤔🤔🤔😅😅😅Kumove on ni kwa wazungu tusie akina kababaye tuendelee tu kupashana viporo
Ndo hali halisi ani nkikaa nkikumbuka moment roho inauma ila kjkeep busy najikuta nipo normal as nothn happened...then pengne inakua hivyo coz muda nachukuaa maamuzi skuwa na hasira ila nlifkria sana then nkaamuaUtoto raha sana ati " maumivu yanakuja yanapotea" 😂😂😂😂😂
😎😎kungewaka moto asee make adi so poaImagine umeshasema "Till death do sijui nini apart" patamu hapo.
Hopo "feminist" huyo si wife material. Ndio akina joyce kiria hao.. ujuaji.. mdomo merefu.. wanataka mamlaka sawa. Ukishaona hizo dalili runNimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na tulivyokua tunakutana tulikua tunaspend one night only,tuliishi kwa kuwasliana sana siku zote. imefikia stage mwenzangu kamaliza chuo ndipo tukapanga kuja gheto kwangu tuishi akiwa anatafuta kazi
Picha limeanza...manzi nlianza kugundua ni JEURI kinyama.. si hivyo ila pia mjuaji,feminist na kauli mbovu...mambo yalotufanya tugombane mara kwa mara ilfikia stage ugomvi ulkua mkubwa hatua ambacho ilinifanya nishindwe kufkria masomo zaidi nkawa nafkria tu yanayotokea gheto mwisho nliamwambia aende nyumbani japo haikua kazi ndogo nlifankiwa hilo akawa ameondoka ...alivyokaa kwao ka wiki 2 akaniomba tn aje kwangu afuatlie mambo fulani flani yakitiki ataondka coz nlikua nampenda nlikubali nkijua pia pengne amebadlk....ajabu alipokaaa siku kadhaa tabia zake za zamani zkaanza kurudi moja baada ya nyingne nlimuelekeza sana ikafkia stage makofi yakamhusu tumetibuana sana mwisho nkaamua tn aende kwao na nkamweleza mimi na yeye tumefika tamati (NB.KWAO SJULIKANI)
Ni siku 3 sasa zimepita maumivu yanakuja yanapotea.
Kinachonishangaza mawasiliano bdo hayajakatika kabsa japo yamepungua kwa 83%...
Manzi nampenda ila nmeamua tu kumove on nigange yaliyo mbele yangu(masomo).ila hii ya kunitafuta tafuta bado sielew..
Hii kitaalamu inaitwaje?
Kama ushawai tokewa na hii hali inayotokea kwangu
Je...at the end mahusiano yalizima kama mshumaa au yaliwaka ka atomic bomb...
sababu sielew elewi
NB.2...MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE[emoji85][emoji85][emoji2285]
Amenikumbusha enzi hizo. Unaweza mlilia baby mama.. https://jamii.app/JFUserGuide man.. mapenz kitu kingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utoto raha sana ati " maumivu yanakuja yanapotea" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Man kabila haki determine ujeuri wa mtu. Haswa hawa waliozaliwa town. Ukabila hau play part.Huyo mwanamke ni mchaga au mkurya?maana ndiyo makabila yenye majanajike majeuri hayo..
Jokajeusi atakuja kukupa muongozo 😂😂😂!Nimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na tulivyokua tunakutana tulikua tunaspend one night only,tuliishi kwa kuwasliana sana siku zote. imefikia stage mwenzangu kamaliza chuo ndipo tukapanga kuja gheto kwangu tuishi akiwa anatafuta kazi
Picha limeanza...manzi nlianza kugundua ni JEURI kinyama.. si hivyo ila pia mjuaji,feminist na kauli mbovu...mambo yalotufanya tugombane mara kwa mara ilfikia stage ugomvi ulkua mkubwa hatua ambacho ilinifanya nishindwe kufkria masomo zaidi nkawa nafkria tu yanayotokea gheto mwisho nliamwambia aende nyumbani japo haikua kazi ndogo nlifankiwa hilo akawa ameondoka ...alivyokaa kwao ka wiki 2 akaniomba tn aje kwangu afuatlie mambo fulani flani yakitiki ataondka coz nlikua nampenda nlikubali nkijua pia pengne amebadlk....ajabu alipokaaa siku kadhaa tabia zake za zamani zkaanza kurudi moja baada ya nyingne nlimuelekeza sana ikafkia stage makofi yakamhusu tumetibuana sana mwisho nkaamua tn aende kwao na nkamweleza mimi na yeye tumefika tamati (NB.KWAO SJULIKANI)
Ni siku 3 sasa zimepita maumivu yanakuja yanapotea.
Kinachonishangaza mawasiliano bdo hayajakatika kabsa japo yamepungua kwa 83%...
Manzi nampenda ila nmeamua tu kumove on nigange yaliyo mbele yangu(masomo).ila hii ya kunitafuta tafuta bado sielew..
Hii kitaalamu inaitwaje?
Kama ushawai tokewa na hii hali inayotokea kwangu
Je...at the end mahusiano yalizima kama mshumaa au yaliwaka ka atomic bomb...
sababu sielew elewi
NB.2...MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE🙈🙈🙅♂️
Hahahah dogo hajasoma alama za nyakati tuHapo tu hana kazi anakupelekesha ,je akipata si utakuwa unalala na viatu?? Piga chini huyo anakutumia kwa kipindi hiki ambaoo hana kazi akipata tu hakuna rangi autacha kuona.
Wale watoto wa Mwamunyange umewaacha wapi. Wajuaji na feminist sana waleHuyo mwanamke ni mchaga au mkurya?maana ndiyo makabila yenye majanajike majeuri hayo..
Siku hizi humlilii?😃Amenikumbusha enzi hizo. Unaweza mlilia baby mama.. **** man.. mapenz kitu kingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni balaa zito ndicho nlichoamuaHopo "feminist" huyo si wife material. Ndio akina joyce kiria hao.. ujuaji.. mdomo merefu.. wanataka mamlaka sawa. Ukishaona hizo dalili run
Nashukuru sana kufanya maelezo magum hivi coz now nahisi mwepesi