Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

🙌🏾🤣😂Na unamuacha akue single maza
Kipindi namuacha,hakuwa na Mimba nor mtoto ila after few day akajirudi yakawa kam yameisha kilichojili ni Mimba bible,mpaka sasa hatujaachana japo ups and down ni nyingi Akitulia ntamuoa ila shida ni ye kuvumilia hadi nijipate hapo ndo kipengele mi bado najitafuta kitaa,milango aijafunguka.
 
Kipindi namuacha,hakuwa na Mimba nor mtoto ila after few day akajirudi yakawa kam yameisha kilichojili ni Mimba bible,mpaka sasa hatujaachana japo ups and down ni nyingi Akitulia ntamuoa ila shida ni ye kuvumilia hadi nijipate hapo ndo kipengele mi bado najitafuta kitaa,milango aijafunguka.
Umejibu vema Amina,,atatulia watoto wawili si haba.
 
Back
Top Bottom