Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apana dawa ni kuhit& run no way
Niko aware datz y memtimuaHahahah dogo hajasoma alama za nyakati tu
🤣🤣🤣Soma dogo acha ufala.
KWANI UNADHANI KUMTOA BIKRA NDIO TIKETI YA KUMUOA??
muulize baba yako, kama aliye naye ndiye aliye mtoa bikra. Kisha uje PM nikushauri.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Nakubaliana naweMan kabila haki determine ujeuri wa mtu. Haswa hawa waliozaliwa town. Ukabila hau play part.
Almost mademu wote wajeuri.. wakaks.. sijawahi kutana nao kwenye hayo makabila. Nimekutana nao kwa mnyaturu.. na mwingine msukuma.. hswa mnyaturu huyu ni pasua kichwa..
Ila siwez sema kabila flani wanawake wakorofi. Wako wanawake kwenye hayo makabila na si wakorofi.
Its all down to malezi.
Ulikuaje mkuuAmenikumbusha enzi hizo. Unaweza mlilia baby mama.. **** man.. mapenz kitu kingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ku move on tumuachie Trump sisi huku ni mitano tena
Umetumia utafiti gani kujua mawasiliano yamepungua kwa 83% na sio 82% au 85
Acha ujinga, Bikra na tabia havina uhusiano.Nimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na tulivyokua tunakutana tulikua tunaspend one night only,tuliishi kwa kuwasliana sana siku zote. imefikia stage mwenzangu kamaliza chuo ndipo tukapanga kuja gheto kwangu tuishi akiwa anatafuta kazi
Picha limeanza...manzi nlianza kugundua ni JEURI kinyama.. si hivyo ila pia mjuaji,feminist na kauli mbovu...mambo yalotufanya tugombane mara kwa mara ilfikia stage ugomvi ulkua mkubwa hatua ambacho ilinifanya nishindwe kufkria masomo zaidi nkawa nafkria tu yanayotokea gheto mwisho nliamwambia aende nyumbani japo haikua kazi ndogo nlifankiwa hilo akawa ameondoka ...alivyokaa kwao ka wiki 2 akaniomba tn aje kwangu afuatlie mambo fulani flani yakitiki ataondka coz nlikua nampenda nlikubali nkijua pia pengne amebadlk....ajabu alipokaaa siku kadhaa tabia zake za zamani zkaanza kurudi moja baada ya nyingne nlimuelekeza sana ikafkia stage makofi yakamhusu tumetibuana sana mwisho nkaamua tn aende kwao na nkamweleza mimi na yeye tumefika tamati (NB.KWAO SJULIKANI)
Ni siku 3 sasa zimepita maumivu yanakuja yanapotea.
Kinachonishangaza mawasiliano bdo hayajakatika kabsa japo yamepungua kwa 83%...
Manzi nampenda ila nmeamua tu kumove on nigange yaliyo mbele yangu(masomo).ila hii ya kunitafuta tafuta bado sielew..
Hii kitaalamu inaitwaje?
Kama ushawai tokewa na hii hali inayotokea kwangu
Je...at the end mahusiano yalizima kama mshumaa au yaliwaka ka atomic bomb...
sababu sielew elewi
NB.2...MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE🙈🙈🙅♂️
Mwanamke ameumbwa kuleta vitu vya furaha dunia
Yaani inaaminika ukiwa umeoa au unaishi na mwanamke basi unanawili ,maisha yako yakuwa na amani,unakuwa smart,malengo yako yanatimia hrk sababu kichwa kimetulia,watoto nao ni mbaraka.
Sasa ukiona unaishi na mwanMke hlf unakuwa huna furaha na chanzo ni yeye basi usiwaze mara mbili piga chini
Hupaswi kukosa amani sababu ya mwanamke unapaswa kukosa amani sababu malengo yako hayajatimia na ukisharudi nyumbani basi matatizo yako yanapungua mara tu unapomuona mkeo/mpenzi wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie nmeshindwa had ku imagine yaan.Utoto raha sana ati " maumivu yanakuja yanapotea" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mapenzi ni magumu. Relationship yenu imekuwa on and off, on and off. Hiyo inaitwa TOXIC relationship. Haina mwisho mzuri. Sababu Ulimtoa bikra ww, Lazima utaumia sana. Lakini VUMILIA. Time. TIME. time. TIME HEALS ALL WOUNDS!. Take one day at a time. Usifikirie sana ya kesho kumhusu. Pambana tu leo uimalize vizuri bila kuwasiliana naye TENA. Inaweza chukua hata mwaka au zaidi kumsahau. Sometimes miaka mitatu, na unaweza usimsahau kabisa 100%. Lakini utamsahau tu kiasi kwamba hakuathiri tena maisha yakoNimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na tulivyokua tunakutana tulikua tunaspend one night only,tuliishi kwa kuwasliana sana siku zote. imefikia stage mwenzangu kamaliza chuo ndipo tukapanga kuja gheto kwangu tuishi akiwa anatafuta kazi
Picha limeanza...manzi nlianza kugundua ni JEURI kinyama.. si hivyo ila pia mjuaji,feminist na kauli mbovu...mambo yalotufanya tugombane mara kwa mara ilfikia stage ugomvi ulkua mkubwa hatua ambacho ilinifanya nishindwe kufkria masomo zaidi nkawa nafkria tu yanayotokea gheto mwisho nliamwambia aende nyumbani japo haikua kazi ndogo nlifankiwa hilo akawa ameondoka ...alivyokaa kwao ka wiki 2 akaniomba tn aje kwangu afuatlie mambo fulani flani yakitiki ataondka coz nlikua nampenda nlikubali nkijua pia pengne amebadlk....ajabu alipokaaa siku kadhaa tabia zake za zamani zkaanza kurudi moja baada ya nyingne nlimuelekeza sana ikafkia stage makofi yakamhusu tumetibuana sana mwisho nkaamua tn aende kwao na nkamweleza mimi na yeye tumefika tamati (NB.KWAO SJULIKANI)
Ni siku 3 sasa zimepita maumivu yanakuja yanapotea.
Kinachonishangaza mawasiliano bdo hayajakatika kabsa japo yamepungua kwa 83%...
Manzi nampenda ila nmeamua tu kumove on nigange yaliyo mbele yangu(masomo).ila hii ya kunitafuta tafuta bado sielew..
Hii kitaalamu inaitwaje?
Kama ushawai tokewa na hii hali inayotokea kwangu
Je...at the end mahusiano yalizima kama mshumaa au yaliwaka ka atomic bomb...
sababu sielew elewi
NB.2...MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE🙈🙈🙅♂️