Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

Soma dogo acha ufala.

KWANI UNADHANI KUMTOA BIKRA NDIO TIKETI YA KUMUOA??

muulize baba yako, kama aliye naye ndiye aliye mtoa bikra. Kisha uje PM nikushauri.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Man kabila haki determine ujeuri wa mtu. Haswa hawa waliozaliwa town. Ukabila hau play part.

Almost mademu wote wajeuri.. wakaks.. sijawahi kutana nao kwenye hayo makabila. Nimekutana nao kwa mnyaturu.. na mwingine msukuma.. hswa mnyaturu huyu ni pasua kichwa..

Ila siwez sema kabila flani wanawake wakorofi. Wako wanawake kwenye hayo makabila na si wakorofi.
Its all down to malezi.
Nakubaliana nawe
It's all about malezi🙅‍♂️🙅‍♂️👐
 
Mwanamke ameumbwa kuleta vitu vya furaha dunia

Yaani inaaminika ukiwa umeoa au unaishi na mwanamke basi unanawili ,maisha yako yakuwa na amani,unakuwa smart,malengo yako yanatimia hrk sababu kichwa kimetulia,watoto nao ni mbaraka.

Sasa ukiona unaishi na mwanMke hlf unakuwa huna furaha na chanzo ni yeye basi usiwaze mara mbili piga chini

Hupaswi kukosa amani sababu ya mwanamke unapaswa kukosa amani sababu malengo yako hayajatimia na ukisharudi nyumbani basi matatizo yako yanapungua mara tu unapomuona mkeo/mpenzi wako.
 
Nimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na tulivyokua tunakutana tulikua tunaspend one night only,tuliishi kwa kuwasliana sana siku zote. imefikia stage mwenzangu kamaliza chuo ndipo tukapanga kuja gheto kwangu tuishi akiwa anatafuta kazi

Picha limeanza...manzi nlianza kugundua ni JEURI kinyama.. si hivyo ila pia mjuaji,feminist na kauli mbovu...mambo yalotufanya tugombane mara kwa mara ilfikia stage ugomvi ulkua mkubwa hatua ambacho ilinifanya nishindwe kufkria masomo zaidi nkawa nafkria tu yanayotokea gheto mwisho nliamwambia aende nyumbani japo haikua kazi ndogo nlifankiwa hilo akawa ameondoka ...alivyokaa kwao ka wiki 2 akaniomba tn aje kwangu afuatlie mambo fulani flani yakitiki ataondka coz nlikua nampenda nlikubali nkijua pia pengne amebadlk....ajabu alipokaaa siku kadhaa tabia zake za zamani zkaanza kurudi moja baada ya nyingne nlimuelekeza sana ikafkia stage makofi yakamhusu tumetibuana sana mwisho nkaamua tn aende kwao na nkamweleza mimi na yeye tumefika tamati (NB.KWAO SJULIKANI)
Ni siku 3 sasa zimepita maumivu yanakuja yanapotea.

Kinachonishangaza mawasiliano bdo hayajakatika kabsa japo yamepungua kwa 83%...
Manzi nampenda ila nmeamua tu kumove on nigange yaliyo mbele yangu(masomo).ila hii ya kunitafuta tafuta bado sielew..
Hii kitaalamu inaitwaje?

Kama ushawai tokewa na hii hali inayotokea kwangu
Je...at the end mahusiano yalizima kama mshumaa au yaliwaka ka atomic bomb...
sababu sielew elewi
NB.2...MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE🙈🙈🙅‍♂️
Acha ujinga, Bikra na tabia havina uhusiano.

Hata malaya wanaojiuza walikuwa bikra. Hata wachawi pia walikuwa bikra. Hiyo ni historia tu, kwa hiyo ulipomtoa bikra ulipata nini cha ziada? Matokeo yake utaambulia disco chuo. Endekeza ujinga.

Shukuru Mungu amekuonesha mapema tabia zake.
 
Mwanamke ameumbwa kuleta vitu vya furaha dunia

Yaani inaaminika ukiwa umeoa au unaishi na mwanamke basi unanawili ,maisha yako yakuwa na amani,unakuwa smart,malengo yako yanatimia hrk sababu kichwa kimetulia,watoto nao ni mbaraka.

Sasa ukiona unaishi na mwanMke hlf unakuwa huna furaha na chanzo ni yeye basi usiwaze mara mbili piga chini

Hupaswi kukosa amani sababu ya mwanamke unapaswa kukosa amani sababu malengo yako hayajatimia na ukisharudi nyumbani basi matatizo yako yanapungua mara tu unapomuona mkeo/mpenzi wako.

Afanyie kazi haraka sana ushauri wako huu.
 
Nimevunja uhusiano wangu uliodum kwa miaka mi4 na mchumba angu tuliekuwa tunaishi pamoja.katka miaka yote mi4 hatukuwai kubahatika kukaa pamoja zaidi tuliekuwa tunakutana mara2 au 3 kwa mwaka na tulivyokua tunakutana tulikua tunaspend one night only,tuliishi kwa kuwasliana sana siku zote. imefikia stage mwenzangu kamaliza chuo ndipo tukapanga kuja gheto kwangu tuishi akiwa anatafuta kazi

Picha limeanza...manzi nlianza kugundua ni JEURI kinyama.. si hivyo ila pia mjuaji,feminist na kauli mbovu...mambo yalotufanya tugombane mara kwa mara ilfikia stage ugomvi ulkua mkubwa hatua ambacho ilinifanya nishindwe kufkria masomo zaidi nkawa nafkria tu yanayotokea gheto mwisho nliamwambia aende nyumbani japo haikua kazi ndogo nlifankiwa hilo akawa ameondoka ...alivyokaa kwao ka wiki 2 akaniomba tn aje kwangu afuatlie mambo fulani flani yakitiki ataondka coz nlikua nampenda nlikubali nkijua pia pengne amebadlk....ajabu alipokaaa siku kadhaa tabia zake za zamani zkaanza kurudi moja baada ya nyingne nlimuelekeza sana ikafkia stage makofi yakamhusu tumetibuana sana mwisho nkaamua tn aende kwao na nkamweleza mimi na yeye tumefika tamati (NB.KWAO SJULIKANI)
Ni siku 3 sasa zimepita maumivu yanakuja yanapotea.

Kinachonishangaza mawasiliano bdo hayajakatika kabsa japo yamepungua kwa 83%...
Manzi nampenda ila nmeamua tu kumove on nigange yaliyo mbele yangu(masomo).ila hii ya kunitafuta tafuta bado sielew..
Hii kitaalamu inaitwaje?

Kama ushawai tokewa na hii hali inayotokea kwangu
Je...at the end mahusiano yalizima kama mshumaa au yaliwaka ka atomic bomb...
sababu sielew elewi
NB.2...MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE🙈🙈🙅‍♂️
Mapenzi ni magumu. Relationship yenu imekuwa on and off, on and off. Hiyo inaitwa TOXIC relationship. Haina mwisho mzuri. Sababu Ulimtoa bikra ww, Lazima utaumia sana. Lakini VUMILIA. Time. TIME. time. TIME HEALS ALL WOUNDS!. Take one day at a time. Usifikirie sana ya kesho kumhusu. Pambana tu leo uimalize vizuri bila kuwasiliana naye TENA. Inaweza chukua hata mwaka au zaidi kumsahau. Sometimes miaka mitatu, na unaweza usimsahau kabisa 100%. Lakini utamsahau tu kiasi kwamba hakuathiri tena maisha yako
 
Back
Top Bottom