Nimeachana na mpenzi wangu niliyedumu naye miaka 4

Hukutoa bikra labda Birika.

Ukiona umemtoa bikra mwanamke alafu akakuzingua ujue shida kubwa ni wewe.

Kama umeshindwa mwanamke bikra sidhani kama kuna mwanamke utakayemuweza.

Ni sawa na mtu aliyeshindwa kula ini, sijuii kama kuna nyama nyingine ataiweza
 
Ndio mapungugu yake
Mpende tu
Umetoa na BK
 
Yaani wewe mtoa maada ni zezeta au zoba kwa ufupi hauna maamuzi kichwani lakini unaamua kwa kutumia makalio
 

Pole
 
Kama umeamua kumtema usigeuke nyuma mkuu hakuna mbili Kwenye moja yani, huyo mmeshindwana tayari

Piga msuli tafuta GPA yako kali maisha yaendelee, Jasiri ataumaliza mwendo
 
𝔸𝕔𝕙𝕒𝕟𝕒 𝕟𝕒𝕖 ....𝕕𝕖𝕞𝕦 𝕒𝕞𝕓𝕒𝕖. ℍ𝕒𝕨𝕖𝕫𝕚 𝕛𝕚𝕤𝕙𝕦𝕤𝕙𝕒 ....𝕒𝕜𝕒 𝕗𝕖𝕞𝕚𝕟𝕚𝕤𝕥 ....ℂ𝕀𝕆 𝕨𝕒 𝕜𝕦𝕠𝕒
 

Ukiona mwanamke anakuletea mapicha picha ujue kwamba haumsugui vizuli kitandani mpka k inakuwa ya moto hapo ndipo unapokoseaa

Kwa kifupi ukipata nafasi ya kula mzigo basi hakikisha unakula mzigo mpka k yake inakuwa ya moto kweli kweli nakuhakikishia huyo mwanamke atakuheshimu
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…