Kwa hio km ulimtoa bikira?MIMI NDO NLIMTOA BIKRA MAZEE
Hadi aamueAkapimwe aseeeee
Hapo umedanganyaHadi aamue
Ngoja akujibu mwenyeweHapo umedanganya
Wa kwangu,I mean๐๐ sema vizuri Atari,me na ke hata kukataa siwezi..Nawewe jeee
UnakimbiaNgoja akujibu mwenyewe
Yeye ana tutoto tuwili,,wewe una niniiWa kwangu,I mean๐๐ sema vizuri Atari,me na ke hata kukataa siwezi..
Vip ulifanikiwa kumzalisha ???Mpaka Leo hi naandika apa ana watoto wawili๐๐na yupo kwao
Yeye ndiyo alitega Mimba, nlipokutana nae imo then akakataa kuchomoaVip ulifanikiwa kumzalisha ???
Mm nishapitia kama ulivyohadithia ww na nimefanikiwa kuachana nae.
Wale watoto mimi ndo nmepanda mzee...I mean ni watoto wangu pimbi wewe๐Yeye ana tutoto tuwili,,wewe una ninii
๐๐พ๐คฃ๐Na unamuacha akue single mazaWale watoto mimi ndo nmepanda mzee...I mean ni watoto wangu pimbi wewe๐
Kipindi namuacha,hakuwa na Mimba nor mtoto ila after few day akajirudi yakawa kam yameisha kilichojili ni Mimba bible,mpaka sasa hatujaachana japo ups and down ni nyingi Akitulia ntamuoa ila shida ni ye kuvumilia hadi nijipate hapo ndo kipengele mi bado najitafuta kitaa,milango aijafunguka.๐๐พ๐คฃ๐Na unamuacha akue single maza
Umejibu vema Amina,,atatulia watoto wawili si haba.Kipindi namuacha,hakuwa na Mimba nor mtoto ila after few day akajirudi yakawa kam yameisha kilichojili ni Mimba bible,mpaka sasa hatujaachana japo ups and down ni nyingi Akitulia ntamuoa ila shida ni ye kuvumilia hadi nijipate hapo ndo kipengele mi bado najitafuta kitaa,milango aijafunguka.