Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
- Thread starter
- #21
Unlimited kweli au baada ya muda wanabana speed?
Hata ivyo kwa kipato cha mtanzania wa hali ya chini hiyo 120k bado ni nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unlimited kweli au baada ya muda wanabana speed?
Airtel ndio mtandao wangu pendwa naotumia mb zinatumika vizuri bila wizi. Voda nawatumia kupokea simu tu na miamala nayo nilipunguza sababu ya tozo.Inategemea na kazi zako lakini halotel bado wako nyuma kwa spid.
Spid namba moja ni jambazi voda akifuatiwa na Tigo.
Airtel na halotel wanaburuza mkia
Sasa mwanaume utashinda mjini kila siku kama akina Sepetu?Airtel ndio mtandao wangu pendwa naotumia mb zinatumika vizuri bila wizi. Voda nawatumia kupokea simu tu na miamala nayo nilipunguza sababu ya tozo
halotel mwanzo walikuja vizuri baadae nao wakaanza wizi nilitupa line yao mwaka jana mitandao yote speed nzuri tu ukiwa mjini
Tsh 5,000 unapata 2.2GBUpande wa internet ukoje mkuu!
Vocha sijui zina rangi gani 🙄😑😐Njoo TTCL hautokaa ujutie.
#RudiNyumbaniKumenoga
TTCL ni choo cha shimo mkuuNjoo TTCL hautokaa ujutie.
#RudiNyumbaniKumenoga
Unaizungumzia ttcl ya nchi gani we mtu? Au hz laini zimetofautiana... Mara mia Tigo kuliko hao takatakaNjoo TTCL hautokaa ujutie.
#RudiNyumbaniKumenoga
Mtetezi ameamua kuwa upande wa mnyongaji! Tutaponaje sasa?Hv ni kweli kabisa tumekosa mtetezi katika hili!? Mbona Hali imekuwa ni mbaya sana
Fiber ?Apa suluhisho ni fiber ya zuku
Airtel 2000 MB 850Nimeachana rasmi na vifurushi vya TIGO, nimerudi halotel japo ni wale wale kasoro jina tuu.
Halotel 1500 MB 750
Halotel 2000 GB1
Tigo 1500 MB 650
TIGO 2000 MB 800
N.k
N.k
In short hakuna mtandao wenye unafuu kwa sasa, ndugu zangu kama kuna mtu anajua mtandao wenye WIFI unlimited, na bei zake atujuze. Hali ni mbaya, ukijiunga hazikawii kupiga hodi, ni fasta wanazifyeka bila huruma
Wasalaam..
Kuna wapumbavu wanaitwa ttcl.Mungu awasaidie tu hao watu,yani mtandao hapo kibaha tu haukamati.Inategemea na kazi zako lakini halotel bado wako nyuma kwa spid.
Spid namba moja ni jambazi voda akifuatiwa na Tigo.
Airtel na halotel wanaburuza mkia
Hiyo ni kama makampuni ya mafuta tu.Utahangaika sana, Hayo makampuni huwa yanakaa mezani kukubaliana bei ili wasiharibiane biashara
Unapataje hiki kifurushi? Jinsi ya kujiunga tafadhaliKama shughuli zako zina tija na unahitaji bando kila siku mi nakushauri funga supakasi ya voda, 120k kwa mwezi unlimited, speed up to 30mbps
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtetezi yuko bize mjini Twitter akisema lete ushahidi wa kuibiwa bandoHv ni kweli kabisa tumekosa mtetezi katika hili!? Mbona Hali imekuwa ni mbaya sana