HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Jikune uwezapoHata ivyo kwa kipato cha mtanzania wa hali ya chini hiyo 120k bado ni nyingi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jikune uwezapoHata ivyo kwa kipato cha mtanzania wa hali ya chini hiyo 120k bado ni nyingi sana
Mtetezi ni wewe mwenyewe.watu wanalamba asali kwakwenda mbele.Hv ni kweli kabisa tumekosa mtetezi katika hili!? Mbona Hali imekuwa ni mbaya sana
Airtel leo wameshusha tena 2,000/= 970 Mb
Hao ni zero kabisa.. Niko Mpanda hapa hakuna kitu...Njoo TTCL hautokaa ujutie.
#RudiNyumbaniKumenoga
Hao ni zero kabisa.. Niko Mpanda hapa hakuna kitu...
Gb 600?? Una internet Cafe mkuu?Yah ni unlimited mi natumia mpka gb 600 kwa mwezi
Tigo postpaid hapa, GB 30 elfu ishirini na tano, mwezi mmoja.Nimeachana rasmi na vifurushi vya TIGO, nimerudi halotel japo ni wale wale kasoro jina tuu.
Halotel 1500 MB 750
Halotel 2000 GB1
Tigo 1500 MB 650
TIGO 2000 MB 800
N.k
N.k
In short hakuna mtandao wenye unafuu kwa sasa, ndugu zangu kama kuna mtu anajua mtandao wenye WIFI unlimited, na bei zake atujuze. Hali ni mbaya, ukijiunga hazikawii kupiga hodi, ni fasta wanazifyeka bila huruma
Wasalaam..
Maelekezo, tunapatajeTigo postpaid hapa, GB 30 elfu ishirini na tano, mwezi mmoja.
Asanteni tiGO.
Nenda tiGO shop mkuu
Hakuna cha post wala mama yake post paidTigo postpaid hapa, GB 30 elfu ishirini na tano, mwezi mmoja.
Asanteni tiGO.
Silizingumzii hilo hapa, nazungumzia POST PAID. Ni hayo tuHakuna cha post wala mama yake post paid
Wewe unaona ni sawa ivyo!! Unalizungumziaje kwa watu wenye kipato cha chini!!! Kwanini wasifanye 5GB kwa shiling 5000 tu kwa mwezi badala ya 30GB kwa 25000 ili watu wa chini na wao waweze kumudu kifurushi hicho kwa bei ya 5000!!!
Silizingumzii hilo hapa, nazungumzia POST PAID. Ni hayo tu
Tigo Ni wapuuzi sana