Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Ni unlimited, speed ni ile ile mwanzo mwishoUnlimited kweli au baada ya muda wanabana speed?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni unlimited, speed ni ile ile mwanzo mwishoUnlimited kweli au baada ya muda wanabana speed?
Mi nilitupa na line kabisa.Nimeachana rasmi na vifurushi vya TIGO, nimerudi halotel japo ni wale wale kasoro jina tuu.
Halotel 1500 MB 750
Halotel 2000 GB1
Tigo 1500 MB 650
TIGO 2000 MB 800
N.k
N.k
In short hakuna mtandao wenye unafuu kwa sasa, ndugu zangu kama kuna mtu anajua mtandao wenye WIFI unlimited, na bei zake atujuze. Hali ni mbaya, ukijiunga hazikawii kupiga hodi, ni fasta wanazifyeka bila huruma
Wasalaam..
Hivi hii ni pure unlimited kweli?Kama shughuli zako zina tija na unahitaji bando kila siku mi nakushauri funga supakasi ya voda, 120k kwa mwezi unlimited, speed up to 30mbps
Sent using Jamii Forums mobile app
Yah ni unlimited mi natumia mpka gb 600 kwa mweziHivi hii ni pure unlimited kweli?
Lete bei ya TTCLNjoo TTCL hautokaa ujutie.
#RudiNyumbaniKumenoga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mim nishachoka mno nikienda kununua vocha naanza kutetemeka mikono khaaaa
Kweli tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha haaaaa haaa. Kwenye petrol tushazoea na kwenye MB pia tutazoea. Soon kitetemeshi kitapotea hichoMim nishachoka mno nikienda kununua vocha naanza kutetemeka mikono khaaaa
ZukyChini ya apo hakuna mkuu wangu?
Yani kitetemeshi hadi kije kupotea ishafanyika Kazi ya ziadaHa ha haaaaa haaa. Kwenye petrol tushazoea na kwenye MB pia tutazoea. Soon kitetemeshi kitapotea hicho
Maelezo kidogo tafadhali
Maelezo kidogo tafadhali
5G hiyo we hata ukate GB 1000 hawakatiUnlimited kweli au baada ya muda wanabana speed?