Nimeachana rasmi kubet football nimehamia basketball bet napiga pesa tu

Nimeachana rasmi kubet football nimehamia basketball bet napiga pesa tu

sasa sema na sisi tujue unabet kampuni ipi maana kila kampuni na ubora wake ila nasisi tujue na tupe tips jinsi unavyo piga pesa. babu vipi
 
Safi sanaa mkuu, umefanya uamuzi wa busara sanaa.
 
Actually mubetia football ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge, ni kupoteza muda na fedha, basi tu walio wengi hawaufahamu ukweli huu.
 
sasa sema na sisi tujue unabet kampuni ipi maana kila kampuni na ubora wake ila nasisi tujue na tupe tips jinsi unavyo piga pesa. babu vipi
kampuni nzuri ni meridian unaweza kubet ata sh 100 na kuna option nyingi tu...maelezo zaidi tayari nimekutag kwenye uzi unaozungumzia basketball betting
 
Actually mubetia football ni upuuzi wa kiwango cha standard gauge, ni kupoteza muda na fedha, basi tu walio wengi hawaufahamu ukweli huu.
kama ningejua tangu mwanzo ningeifuta mbali football coz nilikuwa nabet mwaka na nusu nilishinda mara 2 tu...lakini basketball nimeanza juzi tu nimeshinda mara 8 tena pesa nzuri
 
Nimeachana rasmi kubet football nimehamia basketball..aisee najuta sijui kwanini nilichelewa kuijua basketball yaani uku pesa nje nje hakuna vyuma kukaza.
Jana nitumia sh300 tu nimeshinda laki5 hii ni mara 8 mfululizo na shinda tu tangu nijiunge.Football ni ngumu mno
Naomba ulete ufundi jinsi ya kubet Basketball
 
Mkuu shkamoo, tupe group kama vip tuuchukue mkeka wako
 
Back
Top Bottom