Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
[emoji849][emoji849]ila sisi wanawake mmmhKweli ananipenda kwa dhati ila kutokana na msimamo nilionao amekata tamaa kabisa hana upendo kama zamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahaaa nimetoka kushangaa na Mimi[emoji1787][emoji1787]Eti anakupenda kwa dhati[emoji849][emoji849]
Ww utakuwa una watt wengi wa kikeMkuu wazazi sio WATU BAKI. Acha kumpotosha. Unadhani yatakapomshinda huko atarejea kwa nani? Kauli eti ndoa ni yenu wawili ni uongo mwingine uliopenyezwa kwa kizazi cha sasa. Na wengi wameumizwa kwa ajili hiyo. Huyo unayemwita driver wala sio wa kujenga maisha, keshajilia vyake karidhika, sasa anatafuta gia ya kutokea.
Habari za mwanamke kumpenda mwanamume kwa dhati ni kujipoteza tu. Mwanamke huongozwa kwa hisia, mwanamume kwa reasoning. Sasa ukitaka atumie hisia tu kumpenda mwanamume kwa dhati ataliwa sana tu. Asubiri kupendwa na si vinginevyo. Ndoa sio taasisi ya masikhara kama mnavyoichukulia, wakiingia kimzaha mzaha itaisha hivyo hivyo.
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Hii nadhani ni formula...ndo maana mi nimeachana na upuuzi wa mapenziIko hivi unapopenda kwa dhati hupendwi na pale unapopendwa kwa dhati hupendi.
Basi huyu jamaa atakuwa na matatizo cha msingi alitakiwa aende kwenu kujitambulisha then atoe mahari ndoa mtakuja kufunga baadaeSiyo harusi tu mkuu hata angetuma wazee kwetu wakatoa mahari sina shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndo nililokuwa namsisitizaBasi huyu jamaa atakuwa na matatizo cha msingi alitakiwa aende kwenu kujitambulisha then atoe mahari ndoa mtakuja kufunga baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!
Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)
Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.
Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.
Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume hawezi kumuweka ndani mmwanamke asiye mpenda hata siku mojaAcha ujinga. NEVER compromise your values kwa ajili ya ujinga wa aina hiyo hata siku moja.
Huyo most likely anataka kukutumia tuu (naongea hivi kwa experience binafsi kama mwanaume). Mwanaume anaekupenda from the bottom of his heart, hawezi kufanya hicho anachofanya jamaa yako.
Stick to your values, do not degrade yourself kisa tu kuolewa (tena bila utaratibu).
Upendo iswa
Ameen"...Hata yusufu alijaribu kumuacha kwa siri mwana mwali bikira....."
Endelea kudumu katka maombi....[emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji481]
Well, ni kutofautiana perspectives tu.Mwanaume hawezi kumuweka ndani mmwanamke asiye mpenda hata siku moja
Huyu mwanaume kiboko,eti wazazi wa bidada wakajitambulishe kwao!Nami nimehisi: kama hana mke mwingine basi ana ex wife ambaye kuna some complications kati yao
Sasa swali ni hivi, kujitambulisha hataki na mahali hajatoa we unachagua kipi?Siyo harusi tu mkuu hata angetuma wazee kwetu wakatoa mahari sina shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana kazi/ kipato kinachoeleweka?Wazazi wake hawana shida wanatamani kijana wao aoe ila tu yeye hataki kufuata utaratibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ishu nzito sana imefichwaHapana. Ndugu wa mwanaume wapo pamoja na kijana wao; amchukue tu mdada kimya kimya kwanza. Mabwaku....
Nakuelewa shost uko penzini ..but angalia lisikugharimu
Nakazia nakazia[emoji122][emoji122]Mwanaume hawezi kumuweka ndani mmwanamke asiye mpenda hata siku moja
Hapana wazazi wake ndio wakajitambulishe kwetuHuyu mwanaume kiboko,eti wazazi wa bidada wakajitambulishe kwao!
Hii kali ya mwaka[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app