Nimeachwa na mpenzi sababu anataka tuishi pasipo ndoa (sogea tuishi)

Ww utakuwa una watt wengi wa kike

Sent using Jamii Forums mobile app
 

"...Hata yusufu alijaribu kumuacha kwa siri mwana mwali bikira....."

Endelea kudumu katka maombi....👣👣👣👣👣👣👣👣👣👣🍺
 
Mwanaume hawezi kumuweka ndani mmwanamke asiye mpenda hata siku moja
 
Mwanaume hawezi kumuweka ndani mmwanamke asiye mpenda hata siku moja
Well, ni kutofautiana perspectives tu.
Mimi my perspective is, anaweza kumuweka ndani mwanamke aliemtamani (sio aliempemda) kwa matumizi ya muda mfupi ili kukidhi mahitaji yake kwa muda huo. Na hapo hutumia mbinu mbalimbali kufanikisha hilo.
Econometrician
 
Mwambie aende akajitambulishe kwenu,mambo mengine mtafanya taratibu;kukaa na mtu bila ndugu zake kujua ni bomu linaloweza kulipuka muda wowote (akikufia hapo ni balaa lingine).
 
Uamuzi uliochukua ni mzuri sana mkuu... Us I ones he upo desperate na ndoa kwa kujirahisisha kwenda kuishi nae maana ukienda tu utakuwa ndo umeolewa hata mahari wanaweza wasitoe....

Good choice, inaonekana upo smart upstairs kama ndoa ipo ipo tu Mungu ataileta kama haipo huwezi ilazimisha iwepo by the way kuwa some great men wapo bado so utapata mkuu Mungu akusimamie .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…