Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
- Thread starter
- #161
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana sijataka kukurupukaNakuelewa shost uko penzini ..but angalia lisikugharimu
Be smart, we msomi bwana, examine hii ishu attentively
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini mkuu?
Ampelekee jamaa huduma ya bure? Yaani kabisa unaona kuna muoaji hapo?Nenda mkaishi mwambie akatoe kishika uchumba kinatosha sana,
Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!
Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)
Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.
Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.
Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na iwe hivyo ameenUamuzi uliochukua ni mzuri sana mkuu... Us I ones he upo desperate na ndoa kwa kujirahisisha kwenda kuishi nae maana ukienda tu utakuwa ndo umeolewa hata mahari wanaweza wasitoe....
Good choice, inaonekana upo smart upstairs kama ndoa ipo ipo tu Mungu ataileta kama haipo huwezi ilazimisha iwepo by the way kuwa some great men wapo bado so utapata mkuu Mungu akusimamie .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili kweli ni wazo lake haswaaYawezekana aliwahi kuanzisha mahusiano ambayo yalifika process flani halafu yakavunjika;
Ili kutokucompilcate mambo anaona muanze kukaa ili process zingine zifuate.
Nasimama na jamaa kuwa anania nzuri tu, ila wewe kwa uzumbukuku wako unaona anakuonea.
Mwache sasa uendelee na mipango yako ya kuolewa kwa harusi na mtu mwingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo wengi tu siku hizi; anakuweka ndani ili mradi anapata ngono, kupikiwa, kufuliwa etc; yeye anaona fresh tu. Sasa mwanamke ajikute kabeba mimba au aanze kuulizia mambo ya ndoa; atashaaaa. Wengine ndo hao mwanaume unaishi naye ila unakuja kushangaa katangaza ndoa kwingineWell, ni kutofautiana perspectives tu.
Mimi my perspective is, anaweza kumuweka ndani mwanamke aliemtamani (sio aliempemda) kwa matumizi ya muda mfupi ili kukidhi mahitaji yake kwa muda huo. Na hapo hutumia mbinu mbalimbali kufanikisha hilo.
Econometrician
Hakuna muoaji hapoHuyu mwanaume kiboko,eti wazazi wa bidada wakajitambulishe kwao!
Hii kali ya mwaka[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo makini sana na hili kama anayo nia nzuri afuate utaratibuWapo wengi tu siku hizi; anakuweka ndani ili mradi anapata ngono, kupikiwa, kufuliwa etc; yeye anaona fresh tu. Sasa mwanamke ajikute kabeba mimba au aanze kuulizia mambo ya ndoa; atashaaaa. Wengine ndo hao mwanaume unaishi naye ila unakuja kushangaa katangaza ndoa kwingine
Angalia na situation yake kiuchumi inawezekana unataka apitie process zote ilihali uwezo huo hana au kama anazo basi .Wakuu kuna jambo linanitatiza.
Nimekuwa na mahusiano kwa miaka miwili sasa huyu mwenzangu anataka tuchukuane kimya kimya (sogea tuishi) pasipo ndoa rasmi. Anaeleza kuwa baada ya mimi kwenda kwake wazazi wake waende nyumbani kwetu kutoa taarifa kuwa nimeolewa!
Kwa upande wangu nimejaribu kumueleza kuwa siyo jambo la busara mimi kufanya hivyo nahofia wazazi wangu kusononeka (nitakosa baraka za wazazi)
Nimejaribu kumweleza tutambulishane rasmi tufunge ndoa simple tu isiyokuwa na shamrashamra ila amekuwa mgumu kuelewa.
Ameamua kuniacha kisa nimekataa kuolewa kimyakimya pasipo kuwaeleza wazazi kuwa nimepata mchumba.
Bado nampenda sana nifanyeje ili tuweze kufikia suluhu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenda kujitambulisha kwa familia ya binti kuna gharama gan kwaniAngalia na situation yake kiuchumi inawezekana unataka apitie process zote ilihali uwezo huo hana au kama anazo basi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anakupenda na anataka kukuoa olewa tu dada.
Wazungu wana msemo unasema "Me and you against the world"Familia yetu haitabariki hata kidogo mimi kuishi na mwanaume pasipo ndoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hali ya kiuchumi siyo nzuri sana kwa sasa, hata angeenda tu kujitambulisha na kutoa mahari ndoa nipo radhi tungefunga baadaeAngalia na situation yake kiuchumi inawezekana unataka apitie process zote ilihali uwezo huo hana au kama anazo basi .
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo gharama, sijui yeye anahofia nini!Kwenda kujitambulisha kwa familia ya binti kuna gharama gan kwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Unampenda wakati hutaki akuoe wa unaamini mkifunga ndoa ndo mtaishi pamoja milele?
Sawa mkuu nimekuelewaUnampenda wakati hutaki akuoe wa unaamini mkifunga ndoa ndo mtaishi pamoja milele?
Acha wenge binti we nenda uolewe yawezekana nae kwa sasa hali yake ya uchimi hairuhusu kufunga ndoa, ndoa ni shughuli hata unayoiita wewe ya kawaida ni shughuli ujue. Kama mnapendana kwa dhati wote we nenda uolewe ndoa mtaunganisha hata kwa badae
Sent using Jamii Forums mobile app